<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702</id><updated>2012-01-28T10:30:48.568+03:00</updated><category term='Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumapili'/><category term='Mei 4'/><category term='2008'/><title type='text'>FJ</title><subtitle type='html'></subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>807</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-837352304598328177</id><published>2012-01-18T17:26:00.002+03:00</published><updated>2012-01-18T17:35:58.275+03:00</updated><title type='text'>MLIOADHIBIWA UDSM MMEVUNA MLICHPANDA</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-RN9_XRtFgjU/TxbYwY4kVhI/AAAAAAAAAqE/xDwyIlg1bPY/s1600/happiness%2Bkatabazi.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 184px; height: 275px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-RN9_XRtFgjU/TxbYwY4kVhI/AAAAAAAAAqE/xDwyIlg1bPY/s320/happiness%2Bkatabazi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698980704308975122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Profesa Rwekaza Mukandala ,Januari 10 mwaka huu alitangaza kuwafukuza  chuo wanafunzi 13 akiwamo Spika  wa Serikali ya Wanafunzi(DARUSO), Peter Arnold  na wengine  86 kuwasimamisha  miongoni mwao ni Rais wao, Kilawa Simon.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo ilifikia baada ya hali katika chuo hicho  kuwa tete kwa siku tatu mfululizo  baada ya wanafunzi  wa DARUSO kufukuzwa  chuo  siku hiyo  kwa shinikizo  la kuanzisha  mgomo wenye  nia ya kuwarejesha  wenzao  48 na wanne waliosimamishwa  Desemba mwaka jana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha kwa kipindi cha Desemba  mwaka jana  hadi sasa ni wanafunzi 61 waliofukuzwa  na 90 kusimamishwa  wakipisha uchunguzi  kufanyika  na ikigundulika wana makosa watafukuzwa  na  na watakaoonekana kutokuwa na makosa watarejeshwa kuendelea na masomo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema maneno yafuatayo kwamba  ‘ukweli una tabia moja nzuri sana hauchagui rafiki wala adui’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo kwa nukuu hiyo ya Baba wa Taifa kwanza nafahamu wazi mtazamo huu hautawafurahisha wanafunzi waliofukuzwa na kusimamishwa lakini naomba wanivumilie.&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa Tanzania ni nchi ambayo inajiongoza kwa utawala wa sheria hivyo kila mwananchi na viongozi wetu wanapotenda kazi au kufanya mambo yao lazima wahakikishe wanafuata na kuzingatia taratibu zote za kisheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi hata wale wanafunzi vyuoni hasa baadhi ya wanafunzi wa UDSM pindi wanapokuwa na madai yao wanapaswa kufuata taratibu zote za sheria zilizoanzisha vyuo vyao na sheria nyingine za nchi kudai madai yao na siyo kuamua kujichukulia sheria mkononi kwa kuanzisha migomo haramu, kufunga barabara na kuwacharaza bakora wanafunzi wenzao ambao hawawaungi mkono katika hiyo migomo yao haramu .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Labda tuwakumbushe hao wanafunzi wa UDSM kwamba sheria ni msumeno.Na pindi sheria inapoanza kutumiwa dhidi ya wavunja sheria haibagui kuwa huyu ni mwanachuo asishtakiwe mahakamani au kuadhiwa kwa njia yoyote ile au huyu ni maskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pale UDSM kuna wanafunzi ambao wanafahamu vyema kilichowapeleka pale ni masomo na wengine nafikiri  hivi sasa wamesahau kilichowapeleka pale na matokeo yake wamekengeuka na kuanza kila kukicha kuanzisha vurugu kwa kisingizio cha hali ngumu ya maisha kwa Bodi ya Mikopo haijawaingia fedha kwenye akaunti mara wale wenzao wanaokabiliwa na kesi ya mkusanyiko haramu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Desemba mwaka jana eti warudishwe chuo wakati wengine wamesimamishwa na wengine kufukuzwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi nyie wanachuo mliokuwa mkiendesha huo mgomo haramu wiki iliyopita  aliyewaambia UDSM  ina mamlaka ya kuwafutia kesi wanafunzi hao nani?Kwanini msingeenda kumvamia Hakimu Waliarwande Lema anayesikiliza kesi hiyo  au ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP), Dk.Elizer Feleshi kuwashinikiza wafute hiyo kesi kwani ndiyo hasa wenye mamlaka hayo?Ni kiwaita nyie ni wabaguzi na mnalenu jambo  nitakuwa nimekosea?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wale wanafunzi wanaokabiliwa na kesi si watanzania kama wale watanzania wengine ambao kila kukicha wanafunguliwa kesi mahakamani na wengine wanazeekea magerezani, mbona hatujawahi kuwasikia mkijitokeza kuandaa mgomo kushinikiza nao wafutiwe kesi?Maana kinachotuunganisha sisi Utanzania wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Imeanza kuonekana ni kawaida sasa kusikia kila kukicha wanafunzi wa hasa wale wa UDSM wakigoma bila kufuata taratibu na hakuwa hata mzazi mmoja au wale wanaojiita wanaharakati kujitokeza kukemea vitendo hivyo vya ufunjifu wa amani na utovu wa nidhamu unaofanywa na wanafunzi hao kwa kigezo kuwa wanakabiliwa na matatizo mengi likiwemo la bodi ya mikopo kuwacheleweshea fedha zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ieleweke kwamba ni wanafunzi hawa hawa siku za mbele ndiyo wanaweza kuwa viongozi katika taasisi za serikali,siasa na sekta binafsi sasa inapotokea leo hii wanafunzi hawa leo hii hawajahitimu masomo wala kutwaa madaraka wanaanza kufanya vitendo vya kidikteta vya kuwacharaza bakora wanafunzi wenzao ambao hawataki  kugoma,inasikitisha na kutisha sana.&lt;br /&gt;Hapo zamani wanafunzi wa UDSM walikuwa ni wanafunzi ambao walikuwa wakishiriki kwenye midahalo na kutoa fikra zao ambazo zilikuwa zikileta changamoto kwenye jamii, licha kulikuwepo pia migomo licha haikuwa ya mara kwa mara kama hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini leo hii hayo hayapo tena kwani kuna taarifa za kuaminika kuwa baadhi ya wanafunzi wamekuwa wakitumiwa na wanasiasa kuanzisha migomo mara kwa mara na bila kufuata taratibu na wanafunzi wengine  wanafuata mkumbo na kusahau kuwa kilichowapeleka pale ni kusoma na siyo kutumiwa na wanasiasa na kuanzisha migomo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na nyie wanafunzi mnaokubali kutumiwa na wanasiasa mkae  mkijua hapo chuoni ulikwenda peke yako na utaondoka peke yako hivyo siku ukifukuzwa chuo hao wanasiasa hawatawasiadia lolote kwani mkae mkijua UDSM ina sheria zake ndogo ndogo ambapo pindi uongozi wa chuo ukiamua kuzitumia ni wazi wale wanafunzi ambao wanashiriki kwenye vitendo vya uvunjifu wa sheria watafukuzwa na hasara wataipata wao na familia zao.&lt;br /&gt;Misioni mankiti&lt;br /&gt; ya wanafunzi hao kila kukicha kuzua migomo, kutoa lugha chafu na kuwachara bakora wenzao na kuwatoa madarasani kwa kigezo kuwa wanashinikiza bodi iwaingizie fedha kwenye akaunti kwa muda wanaoutaka wao wakati wanafunzi hao hao wengine wanawazazi ambao wanauwezo wa kuwalipia ada lakini hawawalipii ada lakini wanafunzi hao hatujawasikia wakiwaletea vurugu au kuwapiga baba zao kwa kigezo cha kushindwa kuwalipia ada.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tujiulize leo hii ni wanafunzi wangapi ambao wamekosa fursa ya kulipiwa ada ya vyuo vikuu na bodi ya mikopo lakini wanafunzi hao wanasoma katika mazingira magumu sana na wamegeuka kuwa matonya wa kuomba ada huku na kule  kwenda kulipa vyuoni lakini hata siku moja hatujawasikia wanafunzi hao wakifanya vurugu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni baadhi ya  wanafunzi hawa hawa wa UDSM  mwishoni mwa mwaka jana siku ile ya Sherehe ya miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ambapo Rais Jakaya Kikwete, Rais wa Uganda Yoweli Mseveni walikuwepo kwenye sherehe hizo lakini wanafunzi hawa kwa kukosa nidhamu walimzomea kwa mabango rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete alivumilia hali hiyo na aliendelea na maadhimisho hayo na ilipofika wakati wa kutoa hotuba yake alisoma hotuba yake ambayo ilionekana kutoa matumaini mapya ya maendeleo  kwa chuo hicho kwani ndani ya hotuba hiyo alisema serikali yake itatenga fedha kwaajili ya upanuzi wa ujenzi wa majengo wa chuo hicho hali iliyosababisha wale wale waliokuwa wakimzoea nao kuanza kumpigia makofi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mila na desturi za Afrika na jamii iliyostaarabika ni lazima mtoto awe na heshima kwa mkubwa wake , lakini kwa kile kitendo kilichofanywa na baadhi ya wanafunzi wale kumzoea rais wan chi Kikwete siku hiyo ni dhahiri kwa watu tunaotazama mbali, kitendo kile kilituthibitishia kuwa wale wanafunzi waliofanya kitendo kile ni wahuni,wasiyoheshimu wakubwa na viongozi na kuwa uenda hata majumbani kwao hawawaheshimu wazazi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ifike mahala sasa uongozi wa Chuo Kikuu chini ya Profesa Mukandara uamke na kuanza kurejesha na kutetea heshima ya UDSM kwa kuwashughulikia bila huruma wanafunzi wote wanajihusisha na vitendo vya uvunjifu wa sheria chuoni hapo kwa madai kuwa wanakabiliwa na maisha magumu kwani hakuna ubishi kwamba chuo hicho hivi sasa ndani ya nchi za Afrika Mashariki kimeanza kuwa na sifa mbaya ya wanafunzi wake kuanzisha migomo kila kukicha badala ya kuingia madarasani kusoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chuo KIkuu cha Dar es Salaam, kina historia ndefu na kimezalisha wasomi wengi na wazuri ambao hivi sasa wanatamba katika nchi nyingi duniani, sasa serikali na Profesa Mukandara msikubali sifa hiyo ya kitaaluma iliyokuwa nacho chuo hicho ipotee kwaajili ya wanafunzi wachache ambao wana hulka za kihuni ambao wanapoteza muda mwingi wa kuandaa maandamano badala ya kujisomea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kweli chuo hicho kinakabiliwa na changamoto kadhaa kama uchache wa mabweni, miundombinu ya majitaka,madara  na mengineyo lakini changamoto hizo zisiwe kigezo cha wanafunzi hao kudai kwanjia ya uvunjifu wa sheria kutatuliwa kwa changamoto hizo.&lt;br /&gt;Nawataka nyie wanafunzi ambao mnadai mnadai haki zenu kwa njia ya migomo haramu mtambue kuwa hata sisi tunaofanyakazi maofisi tena tunafamilia zinatutegemea  pia na sisi tunakabiliwa na changamoto kadhaa ambazo zinatakiwa zitatuliwe na wamiliki au viongozi wa maofisi tunayofanyia kazi, lakini sisi wafanyakazi tumekuwa tukifuata taratibu na njia za amani kufikisha vilio vyetu vya kutaka changamoto hizo zitatuliwe na kweli wakati mwingine zinatatuliwa na nyingine hazitatuliwi kwa muda tunautaka sisi na tunavumilia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie kwa kuwaasa kuwa kumbukeni kuwa nyie baadhi ya wanafunzi mnaoshiliki kwenye migomo kila kukicha  pale UDSM ni kusoma na siyo kutumiwa na wanasiasa au kudai haki zenu kwanjia ya uvunjifu wa sheria za nchi mkae mkijua mwisho wa siku mtaangua kwenye mikono ya dola na mtashughulikuwa kama wanashughulikiwa watuhumiwa wengine ambao si wanafunzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwani inasikitisha sana kuona mzazi kwa moyo mweupe anamruhusu mtoto wake aende kusoma UDSM halafu mtoto huyo anafika chuoni hapo anasahau kilichompeleka pale na  dhiki za nyumbani kwao anaanza kujiingiza kwenye makundi ya wanafunzi wapuuzi ambao wanachowaza ni migomo kuliko kusoma mwisho wa siku mzazi anasikia mtoto wake amekamatwa na kufikishwa Mahakamani kwa makosa ya mkusanyiko usiyo halali au kusimamishwa shule au kufukuzwa chuo kabisa.Kwa kweli inaumiza  sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na ndiyo maana katika makala yangu ninawaasa wazazi,vyombo vya habari  ambao si tu wana watoto wanaosoma  pale UDSM kuanza kuwakemea wanafunzi wanaoshiriki kufanya uhuni huo  kuliko kila kitu kuuachia uongozi wa chuo na serikali kuwakemea wanafunzi wanaotenda vitendo hivyo kwani kushindwa kufanya hivyo ndiyo kunasababisha wakati mwingine wanafunzi hao kuwa na jeuri ya kuendelea kutenda vitendo hivyo kwani hakuna watu wa kuwakemea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo hii kuna baadhi ya wazazi au wafanyakazi waliojaliwa kuwa na kipato kikubwa wameamua kutotaka watoto wao wakasome UDSM kutokana na uhuni huo ambao ni wazi na taratibu unaanza kuporomosha  heshima ya chuo mbele ya jamii  jambo ambalo ni hatari kwa chuo kama hicho ambacho kinamilikiwa na serikali yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne,Januari 17 mwaka 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-837352304598328177?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/837352304598328177/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=837352304598328177' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/837352304598328177'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/837352304598328177'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/mlioadhibiwa-udsm-mmevuna-mlichpanda.html' title='MLIOADHIBIWA UDSM MMEVUNA MLICHPANDA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-RN9_XRtFgjU/TxbYwY4kVhI/AAAAAAAAAqE/xDwyIlg1bPY/s72-c/happiness%2Bkatabazi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2394181750812489462</id><published>2012-01-18T17:18:00.002+03:00</published><updated>2012-01-18T17:26:22.509+03:00</updated><title type='text'>MGOMBEA URAIS WA UPINZANI BURUNDI,AFIKISHWA  KISUTU</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ALIYEKUWA mgombea urais wa chama kimoja cha upinzani nchini Burundi, Alex Sinduhnje, jana alifikishwa katika mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, lakini hata hivyo hakuweza kupandishwa kizimbani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sinduhnje ambaye anatetewa na wakili wa kujitegemea, Hurbet Nyange, alifikishwa majira ya saa tatu asubuhi, katika eneo la mahakama hiyo na makachero wa polisi tayari kwa ajili ya kusubiri kupandishwa kizimbani lakini hata hivyo haikuweza kufahamika angefunguliwa mashtaka gani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gazeti hili lilipofika saa 6:47 mchana liliwashuhudia makachero wa Jeshi la Polisi wakimuondoa mtuhumiwa mahakamani hapo na kumpeleka polisi kwa kutumia gari aina ya Discovery lenye namba za usajili 280 AEN.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya hali hiyo kutokea waandishi wa habari za mahakamani walimfuata Mwendesha Mashtaka Kiongozi wa Mahakama hiyo, Elizabeth Kaganda, ili kupata ufafanuzi ni kwa nini hajapandishwa kizimbani, na kusema kuwa baadhi ya taratibu za kisheria zilikuwa hazijakamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa kuwa taratibu za kisheria kuhusu tuhuma zinazomkabili Sinduhnje hazijakamilika ofisi yangu imeliagiza Jeshi la Polisi kwenda kufanyia marekebisho hayo na kuondoka na mtuhumiwa huyo na kwenda kumhifadhi katika mikono yao na pindi taratibu hizo zitakapokamilika hatua nyingine zitafuata,” alisema Kaganda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufikishwa kwa Sinduhnje mahakamani hapo, kulimfanya Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, kufika kwa ajili ya kumsaidia, lakini alidai kuwa makachero wa polisi walimkataza asiende kuzungumza na mtuhumiwa huyo hali iliyomfanya Mtikila kukaa kwenye chumba cha mawakili kwa ajili ya kusubiri taratibu zilizokuwa zikiendelea dhidi ya mshtakiwa huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Huyu Sinduhnje ni mpinzani ambaye amemsumbua sana Rais wa Burundi, Pier Nkurunzinza, katika uchaguzi uliopita na nimepata taarifa kuwa serikali ya Tanzania inataka imrudishe Burundi na mimi maoni yangu sitaki arudishwe kwao kwani akirudishwa kule anaenda kukatwa kichwa,” alisema Mtikila.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtikila alisema kwa taarifa alizonazo ni kwamba serikali ya Burundi inamtaka mtuhumiwa huyo arudishwe Burundi ili akakabiliane na kesi za kubambikwa za mauji kwani uchaguzi ulipomalizika alikimbilia Ulaya akakaa huko na ndiyo hivi karibuni kaingia hapa nchini na kukamatwa, haelewi kama mtuhumiwa huyo aliua kwa kutumia simu au intaneti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Januari 14 mwaka 2012.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2394181750812489462?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2394181750812489462/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2394181750812489462' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2394181750812489462'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2394181750812489462'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/mgombea-urais-wa-upinzani.html' title='MGOMBEA URAIS WA UPINZANI BURUNDI,AFIKISHWA  KISUTU'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1382468307703295539</id><published>2012-01-18T17:09:00.001+03:00</published><updated>2012-01-18T17:18:23.592+03:00</updated><title type='text'>LIYUMBA AOMBA AFUTIWA KESI</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba, ambaye kwa sasa anakabiliwa na kesi ya kukutwa na simu akiwa katika gereza la Ukonga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, iifute kesi hiyo kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kuisikiliza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo ambayo inasikilizwa na Hakimu Mkazi, Stewart Sanga, jana ilikuja kwa ajili ya kusikiliza pingamizi lililowasilishwa na wakili wa Liyumba, Majura Magafu, kwa ajili ya kuwasilisha pingamizi ambalo linataka mteja wake afutiwe kesi hiyo kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kwa sababu taratibu za awali za sheria ya Magereza ya mwaka 2002 hazikufuatwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Magafu alidai kwa mujibu wa sheria ya magereza ya mwaka 2002 inataka mshtakiwa anayeishi mahabusu kabla hajaletwa mahakamani asomewe mashtaka na ofisa wa magereza hukohuko gerezani na endapo atapatikana na hatia atapewa adhabu na aendapo mshtakiwa huyo ataonekana amekuwa mtendaji sugu wa makosa akiwa gerezani ndipo italazimika afunguliwe mashtaka katika mahakama za uraiani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akipangua hoja za upande wa utetezi Wakili wa Serikali Eliezabeth Kaganda alianza kwa kusema kuwa kesi ya aina hiyo inayomkabili Liyumba siyo ya kwanza kufunguliwa katika mahakama za hapa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kaganda aliitaja kesi ya jinai Na. 472/2009 iliyokuwa ikimkabili Juma Matonya katika Mahakama ya wilaya ya Temeke ambapo hakimu Mzava alimhukumu kifungo cha miezi sita jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kukutwa na simu gerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kesi nyingine mbili za aina hiyo hiyo, ambazo washtakiwa walitiwa hatiani moja akitakiwa alipe faini ya shilingi 20,000 na nyingine kwenda jela miezi sita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa kesi hizo ambazo ni mifano hai, upande wa jamhuri unapinga hoja ya wakili ya utetezi inayotaka sisi tulete vielelezo kuonyesha hatua zilizofanyika kwa kuwa kuna mashahidi wa upande wa mashtaka watakaokuja kueleza kila kitu,” alidai wakili Kaganda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Kaganda alieleza kuwa kabla hawajamfikisha Liyumba mahakamani hapo Jeshi la Magereza lilikuwa na mamlaka ya kushughulikia tuhuma zilizokuwa zikimkabili mshtakiwa na kwamba mkurugenzi wa mashtaka, na maofisa wa magereza walikuwa wameishaamua kuifungua kesi hiyo mahakamani hapo, kwa sababu hiyo haikuwa mara ya kwanza kukutwa na simu gerezani na alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa shinikizo la damu hivyo haikuwa rahisi kumpa adhabu akiwa gerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha akijibu hoja za Kaganda, wakili Magafu alieleza kwa kudai kuwa kwanza anamshukuru wakili huyo kukubali hoja yake ya maofisa wa magereza kuwa alikuwa na mamlaka ya kushughulikia tuhuma zilizokuwa zikimkabili mshtakiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Magafu aliipinga hoja ya wakili huyo wa serikali kuwa mshtakiwa alipokuwa gerezani alikuwa ni mtendaji sugu wa makosa hayo ya kukutwa na simu gerezani lakini eti magereza ilishindwa kumwadhibu kwa sababu alikuwa anaugua ugonjwa wa shinikizo la damu kwa sababu haina ushahidi wowote kwani hata kama ni kweli alikuwa akiyatenda makosa hayo hakuna ushahidi unaonyesha alishawahi kufikishwa mbele ya maofisa wa magereza na kuchukuliwa hatua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia kuhusu kesi zile tatu zilizotolewa hukumu na mahakama ya Temeke, wakili Magafu alidai kuwa upande wa utetezi haufahamu kesi hizo zilifunguliwa katika mazingira gani hivyo Kaganda alipaswa alete nakala za hukumu hizo ili waweze kuzisoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake Hakimu Mkazi Stewart Sanga alisema amesikiliza hoja za pande zote mbili na kwamba atakuja kutoa uamuzi wake Januari 27 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Septemba 8 mwaka jana, kwa mara nyingine tena Liyumba alifikishwa mbele ya hakimu Sanga akikabiliwa na kosa la kukutwa na kitu kilichokatazwa gerezani chini ya kifungu cha 86 (1,2) cha sheria ya Magereza kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Kaganda alidai kuwa Liyumba ambaye wakati huo alikuwa ni mfungwa mwenye Na.303/2010, Julai mwaka jana, ndani ya gereza la Ukonga, alikutwa na simu ya Nokia Na.1280 nyeusi iliyokuwa na laini yenye Na. 0653-004662 na IMEI Na. 356273/04/276170/3 ambayo alikuwa akiitumia kufanyia mawasiliano binafsi wakati ni kinyume cha sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Januari 14 mwaka 2012&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1382468307703295539?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1382468307703295539/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1382468307703295539' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1382468307703295539'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1382468307703295539'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/liyumba-aomba-afutiwa-kesi.html' title='LIYUMBA AOMBA AFUTIWA KESI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2292572568281262661</id><published>2012-01-13T19:51:00.001+03:00</published><updated>2012-01-13T19:55:33.313+03:00</updated><title type='text'>WANNE UDSM WAENDA JELA KWA KUKOSA DHAMANA</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WANAFUNZI wanne kati ya 51  wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM),  wanaokabiliwa na kesi ya kufanya mkusanyiko haramu wamepelekwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha masharti ya dhamana waliyopewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waliopelekwa rumande ni Elias Mwambapa, Alphonce Lusako, Moris Denis na Jabir Ndimbo ambao walishindwa kukamilisha masharti ya dhamana ya kuwa na mdhamini mmoja wa kuaminika na kusaini hati ya dhamana ya Sh 1 milioni kwa kila mshtakiwa.&lt;br /&gt;Hatua hiyo ilikuja baada ya uongozi  wa Chuo hicho Kikuu cha Dar es Salaam kujivua udhamini wa wanafunzi 41 kati ya 51, Desemba 20, mwaka jana. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda alidai mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Waliarwande Lema kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kaganda alidai kuwa jana  kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya washtakiwa kusomewa maelezo ya awali na kupeleka wadhamini wapya baada ya uondozi wa chuo kujitoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kutolewa kwa maelezo hayo, hakimu Lema aliiahirisha kesi hiyo hadi Januari 23, mwaka huu watakaposomewa maelezo ya awali yanayohusiana na kesi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kesi hiyo, mshtakiwa wa 31, anadaiwa kuwa si mwanafunzi wa chuo hicho, bali ni kibaka aliyetumia jina la mwanafunzi wa chuo hicho la Said John  wakati jina lake halisi ni Hassan Suleiman hata hivyo ilibainika kuwa anakabiliwa na kesi nyingine katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni.&lt;br /&gt;Awali, Ambinyiel Maro akiwasilisha barua  kutoka kwa uongozi wa chuo hicho mbele ya Hakimu Stewart Sanga alidai  kuwa uongozi wa chuo unajivua udhamini kwa wanafunzi 41. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama hiyo ilipokea maombi hayo, lakini Hakimu Sanga alisema anatoa nafasi mpaka Januari 10, mwaka huu kwa wanafunzi hao 41 kutafuta wadhamini wengine kuliko kuwarudisha rumande. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kisheria haitakuwa haki kupokonya udhamini kwa washitakiwa hao kwasababu imekuwa ni ghafla leo hawakujiandaa , hawakujua kama kuna barua hiyo,” alisema Hakimu huyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alitoa tahadhari kwa wanafunzi hao kujiandaa kupeleka wadhamini kwa masharti yale yaliyowekwa awali na ambaye hatayekuwa hana  mdhamini atakuwa amevunja masharti ya &lt;br /&gt;dhamana, hivyo ataenda rumande. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 14, mwaka huu, wanafunzi hao walifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza na kudaiwa kuwa katika eneo la Mlimani, kwa pamoja walifanya mkusanyiko usio wa halali na kusababisha uvunjifu wa amani katika eneo hilo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shitaka jingine walidaiwa kukaidi amri ya askari walipoambiwa watawanyike. Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala wiki iliyopita alifafanua kuwa kati ya wanafunzi 51 waliokuwa wamefikishwa Kisutu, 43 kati yao ndio waliofukuzwa, watatu sio wanafunzi wa chuo &lt;br /&gt;hicho, tisa hawajasikilizwa na Baraza la Chuo hicho na kutolewa mapendekezo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema matukio yaliyojiri ni mwendelezo wa matukio ya uvunjifu wa amani ambapo kila mara vitendo hivyo vilianzishwa na kikundi kidogo cha wanafunzi na hatimaye kupata wafuasi katika kuvuruga shughuli za chuo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema madai ya wanafunzi waliokuwa wakiendesha vurugu hizo, yamekuwa yakibadilika kila kukicha ambapo mwanzo walidai mikopo ya wanafunzi waliochaguliwa katika mwaka huu wa masomo na ambao hawakupata mikopo, baadaye dai kubwa likawa ni kuachiwa huru wenzao waliokamatwa na kufunguliwa mashitaka kutokana na kuendesha maandamano kinyume cha sheria na kukaidi amri ya Polisi ya kutawanyika. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Profesa Mukandala alisema katika siku mbili za vurugu madai ya awali yalikuwa kuondolewa kwa adhabu za kinidhamu walizopewa wenzao wachache kwa mujibu wa Kanuni na Sheria za Chuo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Januari 12 mwaka 2012&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2292572568281262661?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2292572568281262661/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2292572568281262661' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2292572568281262661'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2292572568281262661'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/wanne-udsm-waenda-jela-kwa-kukosa.html' title='WANNE UDSM WAENDA JELA KWA KUKOSA DHAMANA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5362233254036180784</id><published>2012-01-13T19:48:00.002+03:00</published><updated>2012-01-13T19:51:01.896+03:00</updated><title type='text'>KESI YA HAMAD RASHID KUSIKILIZWA JANUARI 19</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA Kuu Dar es Salam imepanga kusikiliza maombi ya Mbunge wa Wawi Zanzibar Hamadi Rashid na wenzake 10 waliofukuzwa uanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), juma lijalo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rashid na wenzake juzi waliwasilisha maombi mahakamani hapo wakiiomba mahakama hiyo iwamuru waitwe mahakamani wajieleze ni kwa nini wasitiwe hatiani na kufungwa kwa kupuuza amri ya mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia anaiomba mahakama ibatilishe uamuzi wa Baraza Kuu la Chama hicho wa kuwafukuza uanachama na itamke kuwa wao bado ni wanachama halali wa chama hicho.&lt;br /&gt;Habari zilizolifikia Tanzania Daima  jana na kuthibitishwa na Wakili wa kina Rashid  Agustine Kusalika zinasema kuwa maombi hayo yamepangwa kusukilizwa Alhamisi ijayo Januari 19, 2012 na kwamba  maombi hayo yatasikilizwa na Jaji Augustine Shangwa anayesikiliza kesi ya msingi .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 4 Jaji Shangwa wa Mahakama Kuu Dar es Salaam iliagiza Baraza Kuu la CUF lisitishe mchakato wa kuwasimamisha au kuwafukuza uanachama Rashid na wenzake wala kuendelea kuwajadili wakati wa mkutano wake wa Januari 4 uliofanyika Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama  hiyo ilifikia uamuzi huo baada ya Rashid na wenzake kuwasilisha maombi Januari 3, 2012 wakiiomba mahakama hiyo iamuru mkutano huo ambao ulikuwa na lengo la kuwafukuza uanachama usitishwe hadi kesi yao ya msingi itakapomalizika.&lt;br /&gt;Katika kesi yao hiyo ya msingi namba 1 ya mwaka 2012, Rashidi na wenzake wanahoji uhalali wa Kamati ya Nidhamu na Maadili ya chama hicho na uteuzi wa wajumbe wake.&lt;br /&gt;Kamati hiyo ndio iliyowahoji Rashid na wenzake na kisha kupendekeza kwa Baraza Kuu wafukuzwe uanachama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari juzi baada ya kuwasilisha maombi hayo madogo, Rashid alisema CUF wamevunja Katiba ya Nchi kwa kuidharau amri ya Mahakama pamoja na Katiba ya chama chao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema Ibara ya 4 ya katiba ya chama hicho inasema kuwa mahakama ndio itakayoamua mambo yote yakiwemo yahusuyo migogoro baina ya wanachama bila kuingiliwa isipokuwa kwa kukata rufaa tu na kwamba Ibara ya 5 inasisitiza kuwa juu ya utawala wa Sheria.&lt;br /&gt;Alisema kutokana na chama hicho kukiuka amri halali ya mahakama basi yeye bado ni mbunge halali wa Wawi na kwamba hata kwenye vikao vya kamati za Bunge vitakavyoanza Januari 15 atashiriki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisisitiza kuwa tayari ameshawalisha taarifa na vielelezo kwa Spika Anne Majkinda na kwamba kwa mujibu wa kanuni za bunge kama jambo liko mahakamani haliwezi kuchukua hatua yoyote hadi mahakama itakapokuwa imetoa uamuzi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamsi, Januari 12 mwaka 2012.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5362233254036180784?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5362233254036180784/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5362233254036180784' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5362233254036180784'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5362233254036180784'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/kesi-ya-hamad-rashid-kusikilizwa.html' title='KESI YA HAMAD RASHID KUSIKILIZWA JANUARI 19'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7393774999006362262</id><published>2012-01-13T19:47:00.000+03:00</published><updated>2012-01-13T19:48:21.435+03:00</updated><title type='text'>HAMAD RASHI AITIA KITANZI CUF KORTINI</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HATIMAYE mbunge wa Wawi  Hamad Rashid Mohamed(CUF), na wenzake 10  jana waliwasilisha maombi madogo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakiomba mahakama hiyo itamke kuwa uamuzi wa  Baraza la Uongozi Taifa la chama hicho uliomvua uanachama yeye na wenzake ni batili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na Hamad walalamikaji wengine Shoka Khamisi Juma, Doyo Hassan Doyo, Juma Said Sanani, Yassin Mrotwa,Kirungi Amir Kiurungi,Doni Waziri Mnyamani, Mohamed Faki Albadawi,Tamim Omari Tamim,Nanjase Haji Nanjase na Mohamed Massaga ambao wanatetewa na wakili Augustine Kusilika toka kampuni ya uwakili ya GF Law Chambers dhidi ya Bodi ya Udhamini ya  chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ombi hilo ambalo nalo limepewa Na.1/2011 na limewasilisha chini ya hati ya dharula licha bado halijapangiwa tarehe ya kuanza kusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa hati hiyo ya madai  ambayo ina maombi manne, ombi la kwanza,  Hamad na wenzake wanaiomba  mahakama itoe amri kwa bodi ya baraza la wadhamini na wajumbe wa baraza kuu la chama hicho wajieleze ni kwanini wasitiwe hatiani kama wafungwa kesi ya madai  kwa kitendo chao cha kudharau uamuzi wa upande mmoja uliotolewa na  Januari 4 mwaka huu,  ambayo iliwataka wadaiwa hao au mawakala wao  wasifanye  jambo lolote ambalo lilikuwa na lengo la kuwafukuza uanachama wadaiwa hadi  ombi hilo dogo la lilotolewa uamuzi siku hiyo ya Januari 4 mwaka huu, litakapokuja kusikilizwa na pande zote mbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ombi la pili, Hamad anaiomba mahakama itamke kuwa utaratibu wote uliofanywa na wadaiwa Januari 4 mwaka huu jioni mjini Zanzibar  baada ya Jaji Agustine Shangwa wa Mahakama Kuu, kutoa uamuzi ule wa upande mmoja kuwa ni batili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ombi la tatu, walalamikaji hao wanaomba mahakama iwaamuru wadaiwa kulipa gharama za uendeshaji wa ombi hilo dogo na ombi la nne wanaiomba mahakama itoe amri nyingine itakazoona zinafaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 4 mwaka huu, saa nne asubuhi Jaji Agustine Shangwa alitoa amri ya kuzuia Hamad Rashid na wenzake wasifukuzwe uanachama hadi maombi hayo madogo Na.1/2012 yatakapokuja kwaajili ya kusikilizwa na pande zote mbili na ilipofika saa 6:30 mchana ya siku hiyo Hatibu Omari ambaye ni mtumishi wa mahakama anayeshughulika na jukumu la kuwapelekea wahusika wa kesi mbalimbali hati za wito wa kuitwa mahakamani au amri zilizokwishatolewa na mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwa mujibu wa nakala ya kiapo ambacho Tanzania Daima Jumatano inayo nakala yake, kilichoapwa na Omari , Januari 4 mwaka huu, katika kiapo kinamnukuu Omari akisema; “Nathibitisha  kwamba nilipeleka  uamuzi  huo uliotolewa na Jaji Shangwa  pale Buguruni  kwenye ofisi  Kuu ya chama cha CUF  na Bwana Mikidadi  ambaye nimemkuta  hapo ofisini alikataa kupokea uamuzi huo bila sababu za msingi”alisema Omari katika kiapo chake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 4 mwaka huu, Jaji Shangwa akitoa uamuzi wake siku hiyo alisema Januari 3 mwaka huu, wadaiwa hao waliwasilisha ombi dogo dhidi ya Bodi ya Wadhamini ya chama cha CUF liliomba mahakama  hiyo itoe uamuzi wa kwa kusikiliza upande mmoja ambao uamuzi huo utazuia Baraza Kuu la Taifa la CUF ambalo lilikuwa likiketi Januari 4 mwaka huu mjini Zanzibar , lisiwafukuze uanachama walalamikaji kwani endapo watavuliwa uanachama haki zao za Kikatiba kama wanachama wa chama hicho zitakuwa zimevunjwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia Hamad siku hiyo mbele ya Shangwa kupitia wakili wake wakiwasilisha hoja zao  walidai sababu nyingine yakuwasilisha ombi lile ambalo lilikishwa tolewa uamuzi siku hiyo na jaji huyo  ni kwamba tayari walishafungua kesi ya msingi mahakamani hapo  ambayo bado haijatolewa uamuzi na katika madai yao ya msingi walalamikaji hao wanaipinga uhalali wa Kamati ya Nidhamu na Maadili iliyoundwa nje ya Katiba ya chama na wajumbe wa Kamati Kuu ambao ndani ya wajumbe wa Kamati hiyo tayari walishawahi kutokeza adharani kumuhukumu Hamad Rashid na wenzake kupitia mitandao ya mawasiliano  kabla ya hata kamati hiyo ya Nidhamu na Maadili kuundwa ghafla hivi karibuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa uamuzi wa upande mmoja kutokana na maombi hayo yaliyowasilishwa na walalamikaji hao Januari 3 mwaka huu, Jaji Shangwa alisema kwa maoni yake kama kuna taaarifa ya dharula inayotaka walalamikaji kuvuliwa uanachama na kwamba taarifa hiyo itaatarisha  haki zake zao za Kikatiba na hadhi ya wadhifa wao wa kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Natoa amri ya kumzuia mdaiwa na mawakala wake kuwavua uachama walalamikaji  hadi ombi hili litakapokuja kusikilizwa kwa kudhuliwa na  pande zote katika ombi hilo Februlia 13 mwaka huu”alisema Jaji Shangwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania la Jumatano, Januari 11 mwaka 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7393774999006362262?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7393774999006362262/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7393774999006362262' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7393774999006362262'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7393774999006362262'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/hamad-rashi-aitia-kitanzi-cuf-kortini.html' title='HAMAD RASHI AITIA KITANZI CUF KORTINI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5286826067440495522</id><published>2012-01-13T19:44:00.002+03:00</published><updated>2012-01-13T19:46:58.165+03:00</updated><title type='text'>RAIA WA BURUNDI KORTINI KWAKUKUTWA NA RISASI 682</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;RAIA wa  Burundi, Ismail Stefano (39) jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akikabiliwa na mashtaka ya kukutwa na silaha mbili aina ya SMG  na risasi  682.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbele ya Hakimu Mkazi Ritha Tarimo Wakili wa Serikali  Cecilia  Mkononga alidai kuwa Januari 5, mwaka huu katika stendi ya mabasi yaendayo mikoani ya Ubungo, mshtakiwa huyo alikamatwa  akiwa na SMG mbili pamoja na risasi 682 kinyume na kifungu cha 4(1) na 34(1),(2) cha sheria ya Umiliki wa silaha sura ya 223 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkononga alidai kuwa silaha hizo alizokamatwa nazo  mshtakiwa akizimiliki bila ya kuwa na leseni inayomruhusu kufanya kumiliki , na zilikuwa na namba  UC-99611998 na nyingine   namba 1992-AET 3837.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa siku hiyo aliyokamatwa ,  mshtakiwa huyo pia alikutwa akimiliki risasi hizo 682 wakati akiwa hana kibali kinachomruhusu kuzimiliki.&lt;br /&gt;Hata hivyo mshtakiwa huyo alikana mashtaka hayo na upande wa Jamhuri ulidai upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamalika hivyo wanaiomba mahakama ipange tarehe ya kutajwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa masharti ya dhamana Hakimu Tarimo alimhoji mshtakiwa huyo kuwa ni mwenyeji wa wapi ambapo mshtakiwa huyo alijibu kuwa yeye ni mzaliwa wa Mkoa wa Kigoma na wazazi wake kabila lao ni Wahutu na wakimbizi toka nchini Burundi  waliongia nchini mwaka 1972 na kwamba wakati wanaingia nchini mama yake alikuwa na ujauzito wake hivyo yeye amezaliwa  mkoani Kigoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliendelea kudai kuwa  licha ya yeye kuzaliwa mkoani Kigoma pia ana uraia wa Tanzania  lakini vinashikiliwa na jeshi la polisi na kusisitiza kuwa yeye ni raia wa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu huyo aliendelea kumuuliza mshtakiwa huyo kuwa anakaa wapi , ambapo alijibu  Katumba Mpanda na kuongeza kuwa alikuja Jijini Dar es Salaam na lengo lake ni kufikia nyumba ya kulala wageni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kutoa maelezo hayo, Wakili Mkononga aliiomba mahakama wakati inapotoa masharti ya dhamana izingatie kuwa mshtakiwa huyo haelewi uraia wake kama ni mtanzania au la.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa masharti ya dhamana, Hakimu Ritha  alimtaka mshtakiwa huyo awe na wadhami watatu wanaominika , wanaoishi Dar es Salaam,  mmoja wao awe mfanyakazi wa serikali lakini asiwe mwalimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo mshtakiwa huyo alishindwa kutimiza masharti hayo ya dhamana na hakimu akaamuru apelekwe gerezani  hadi Januari 24 mwaka huu kesi hiyo itakapokuja kwaajili ya kutajwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Januari 11 mwaka 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5286826067440495522?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5286826067440495522/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5286826067440495522' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5286826067440495522'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5286826067440495522'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/raia-wa-burundi-kortini-kwakukutwa-na.html' title='RAIA WA BURUNDI KORTINI KWAKUKUTWA NA RISASI 682'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-8418459288574609931</id><published>2012-01-10T15:10:00.002+03:00</published><updated>2012-01-10T15:12:52.209+03:00</updated><title type='text'>UGUMU WA MAISHA UTATUANGAMIZA</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-MHy_h0s4ZX8/TwwrO3udzUI/AAAAAAAAAp4/qIwIla7y5Is/s1600/kkk.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 214px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-MHy_h0s4ZX8/TwwrO3udzUI/AAAAAAAAAp4/qIwIla7y5Is/s320/kkk.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5695975163193838914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KARIBU kila pembe ya nchini hii wimbo wa gharama za kupanda kwa maisha na mfumuko wa bei umezidi kushika chati katika mawazo na midomoni mwa wananchi wengi.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi tulio wengi hususani sisi wenye maisha ya hali ya chini tumekuwa tukisurubika na hali hiyo huku tukiona hakuna jitihada za mara moja zinazofanywa na serikali au wamiliki wa makampuni ya sekta binafsi wakikabiliana na hali hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matokeo yake wafanyakazi wanaofanya kazi katika serikali, sekta binafsi na wale wasio na ajira za uhakika na wamekuwa wakiimba wimbo huo wa kukabiliwa na hali ngumu ya maisha .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa sisi wanawake ambao  mara kwa mara ndiyo tunakwenda kununua bidhaa katika masoko na madukani ndiyo tumekuwa tukishuhudia moja kwa moja upandaji wa bei za nafaka katika kipindi kifupi tu na ukimuuliza muuzaji ni kwanini wiki iliyopita nimekuja kununua mchele au maharage kwa bei ile na leo umepandisha bei kiasi hiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muuzaji anaishia kukupa jibu la mkato kwamba gharama za maisha zimepanda na kwamba kama unataka kununua bidhaa zake nunua hutaki nenda katika masoko mengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtu unakuwa huna jinsi inabidi ununue bidhaa hiyo kwa huku ukinung’unika moyoni.&lt;br /&gt;Tumewasikia viongozi wa serikali wakitoa bei ya sukari kwa wauzaji kuwa washushe bei hiyo toka shilingi 2500 kwa kilo moja na waizue kwa shilingi 1,700.Lakini maagizo hayo yameshindwa kutekelezeka na wauzaji hao matokeo yake bei ya kilomoja ya sukari inauzwa sh 2500.&lt;br /&gt;Lakini kwa kuwa shida ni mwalimu sisi malofa hivi sasa tunakimbila maduka ya Shoprite kununua sukari kwasababu bei yake ina unafuu.Katika maduka hayo kilo moja ya sukari ni shilingi 1,900.&lt;br /&gt;Kwa maoni yangu serikali kupitia wachumi wake kama hawatakaa kitako na kuweka mikakati ya taifa lake kukabiliana na hali hii, basi ijiandae kuona baadhi ya nguvu kazi yake kubwa mwisho wa siku ikishindwa kuzalisha kutokana na sababu mbalimbali.&lt;br /&gt;Ikiwemo maradhi ya kuambukiza kama ukimwi, magonjwa ya moyo na wananchi wake kuamua kujitumbukiza kwenye vitendo haramu kwa lengo la kujipatia fedha kwa njia ya mkato na mwisho wa siku wakajikuta wakiangukia kwenye mkono wa dola.&lt;br /&gt;Hivi sasa huko mitaani kuna vijana ambao hawana elimu na wengine wenye elimu tena wengine wapo vyuoni, nao wamekuwa wakilalamikia hali hilo hali inayowasababisha wengine kushindwa kujizuia na kuamua kujitumbukiza kwenye kufanya ngono zembe ili waweze kupata fedha za kuendeshea maisha yao.&lt;br /&gt;Na siyo kundi hilo pia kuna baadhi ya wake za watu nao bila haya wamekuwa wakisaliti ndoa zao na kwenda kufanya mapenzi na wanaume wengi ili waweze kupata fedha za kuendeshea maisha yao kwa kisingizio kuwa waume zao fedha wanazowapatia ni ndogo.&lt;br /&gt;Pia kuna wa mama watu wazima nao wamekuwa wakitumia fedha zao kuwarubuni vijana wadogo wa kiume kufanya nao mapenzi kwa kuwahonga fedha ili waweze kuwatimizia haja zao za kimapenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Licha tabia hizi chafu hazikuanza leo zimeanza siku nyingi lakini hivi sasa zimeshika kasi na zinafanyika kwa uwazi bila kificho kwa kila mmoja wao kutumia udhaifu wa mwenzie uwe wa kimapenzi au kifedha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukiachana na hilo hivi sasa mitaani kutokana na baadhi ya vijana kutaka kujipatia fedha kwa njia za mkato na kukata tamaa,miongoni mwao mitaani wamekuwa wakiishi maisha ya kifahari kuliko hali halisi zinazowazunguka na wengine wamekuwa wakinyoshewa vidole kuwa wanajiusisha na kufanyabiashara haramu kama kuuza unga kwa kigezo cha kujifanya wao ni wafanyabiashara wa kwenda kununua bidhaa kama nguo nje ya nchi na kuzileta hapa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni rai yangu pia kwa waendeshaji wa maofisi ya sekta binafsi nao wabadilike hivi sasa wasiangalie faida tu wanayoingiza tu makampuni na viwanda vyao pia wakae chini watafakari ni jinsi gani wanaboresha maisha ya wafanyakazi wao kwani hakuna ubishi mfumuko wa bei pia unawaathiri hata wafanyakazi wa sekta binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia na serikali nayo iweke  utaratibu sasa huko mbele ya safari wa kuweza kuwabana wauzaji wa bidhaa mbalimbali ambao kila kukicha wanapandisha bei kwani hiki kisingizio cha serikali cha soko huria ndiyo maana inashindwa kuwabana ipo siku watu watachoka kukisikia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na pia serikali iendelee kupanua wigo wa ajira za uhakika kwa vijana ili waweze kuondoka vitendo hivyo haramu ambavyo mwisho wa siku vitafupisha maisha yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaamini serikali yoyote makini ina uthubutu na ina mkono mrefu na inapoamua jambo lake lifanyike na litekelezwe, linatekelezwa sasa ni sisi wenyewe tumeridhia serikali yetu ituongoze hivyo serikali hii haina budi sasa kuakikisha inaweka taratibu za kuweza kukabiliana na hali hii ya wananchi wengi kuimba wimbo huu wa ukali wa maisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Januari 10  mwaka 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-8418459288574609931?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/8418459288574609931/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=8418459288574609931' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8418459288574609931'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8418459288574609931'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/ugumu-wa-maisha-utatuangamiza.html' title='UGUMU WA MAISHA UTATUANGAMIZA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-MHy_h0s4ZX8/TwwrO3udzUI/AAAAAAAAAp4/qIwIla7y5Is/s72-c/kkk.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5196444668922066066</id><published>2012-01-03T15:49:00.004+03:00</published><updated>2012-01-03T15:53:23.718+03:00</updated><title type='text'>MNALENU JAMBO,SIO BEI MPYA YA KIVUKO</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-_kxxybndz2U/TwL6HtAwAmI/AAAAAAAAAps/ns5UBL9Cxvg/s1600/happiness%2BKatabazi-mpyaaaaaaaaaaaa.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 214px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-_kxxybndz2U/TwL6HtAwAmI/AAAAAAAAAps/ns5UBL9Cxvg/s320/happiness%2BKatabazi-mpyaaaaaaaaaaaa.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5693387889198498402" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MWISHONI mwa wiki iliyopita Waziri wa Ujenzi, Dk. John  Magufuli,  alitangaza kupanda kwa nauli za vivuko hususan vivuko vya serikali vya Kigamboni.&lt;br /&gt;Alisema kuanzia siku hiyo abiria wangeanza kulipa nauli ya sh 200 badala ya sh 100 ya zamani.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo tangazo hilo lilionekana kuwakera baadhi ya watumiaji wa huduma hiyo na wengine kufikia hatua ya kumtolea maneno yasiyofaa na kupinga wakati abiria wengine wakitekeleza agizo hilo kwa vitendo kwa kuanza kutumia huduma hiyo kwa nauli mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya baadhi ya wananchi kulipinga tangazo hilo, Magufuli aliwapasha wananchi hao kwamba asiyetaka kulipa nauli mpya ajifunze kupiga mbizi au asitumie kivuko  hicho na badala yake azungukie Kongowe.&lt;br /&gt;Aidha juzi tulishuhudia baadhi ya wabunge wa Dar es Salaam wakinukuliwa na vyombo vya habari wakiishutumu kauli ya Magufuli na kudai kwamba upandaji wa nauli utawaumiza abiria na kuomba uongozi wa juu  wa nchi kumuonya waziri kutokana na maamuzi ya kupandisha nauli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi naunga mkono tangazo la Waziri Mafuguli la kupandisha nauli na ushauri alioutoa kwa abiria wanaopinga ongezeko hilo la nauli kwamba kama hawataweza kulipa basi wajifunze kupiga mbizi au wazungukie Kongowe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimelazimika kuunga mkono agizo hilo kwa sababu Watanzania wengi tunapenda kuambiwa uongo na viongozi wetu, hivyo anapotokea kiongozi anayetuambia ukweli ili tujiandae kukabiliana na utekelezwaji wa ukweli huo, huwa tunamuona ni mbaya na hafai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na tabia hii ambayo imejengeka akilini mwetu, ndio maana nyakati za uchaguzi, wagombea wengi wa ubunge, urais na udiwani toka vyama vya siasa wamekuwa wakitumia uongo kunadi sera zao na hatimaye wananchi wanaopenda kudanganywa huona wanasiasa hao wanafaa na kuwapa kura za ndiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nina uzoefu na hilo nililolisema kwani  nimezunguka nchi nzima mara tatu na wagombea wa urais toka vyama mbalimbali na baadhi ya ahadi walizokuwa wakizitoa kwenye majukwaa zilikuwa hata hazimo kwenye ilani za vyama vyao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka kampeni za urais mwaka 2005, ahadi mbalimbali zilitolewa na viongozi wa kisiasa kama vile kila kata kungejengwa chuo kikuu; maisha bora kwa kila mmoja; milo mitatu kwa kila mtu; pamoja na wananchi kusoma bure hadi chuo kikuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati viongozi hao tofauti wakitoa ahadi hizo kwenye mikutano ya hadhara tulikuwa tukiwashangilia sana lakini leo hii tumegeuka na kuanza kuwashambulia kwa  ahadi hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa kwa  muktadha huo nawataka wananchi tunaotumia kivuko cha Kigamboni tujiulize hivi katika akili zetu siku zote za maisha tulikuwa tukifikiri ile nauli ya sh 100 ya kivuko haitapanda?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni nyie abiria mliokuwa mkilia usiku na mchana kuhusu ubovu wa kivuko cha zamani na hatimaye alipoingia madarakani Rais Jakaya Kikwete na serikali yake wakafanya jitihada hadi wakawaletea kivuko kipya cha Mv. Magogoni; leo hii mnavuka usiku na mchana na kwa usalama zaidi kwa sababu kivuko hicho kipya ni cha uhakika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hamjiulizi serikali ilipataje fedha hadi ikawaletea kivuko hicho hapo Kigambo?&lt;br /&gt;Inashangaza kwa ongezeko hilo la nauli ambayo kwa sasa ni sh 200 hadi  mnataka kuandamana wakati bidhaa na huduma mbalimbali zimepanda bei kama nafaka, dawa, kondomu, matibabu, vinywaji, nauli za kwenda mikoani, ada na vifaa vya shule.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge wa Dar es Salaam mnaoingilia kati jambo hili, napenda kutoa ushauri wa bure kwenu kwamba tekelezeni ile dhana ya uwajibikaji wa pamoja  na achaneni na porojo za kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naamini Magufuli sio chizi kwa  kutoa agizo lile, hivyo ni vema na mna haki, wabunge kwenda ofisini kwa Magufuli kimya kimya ili awaeleze sababu zilizosababisha yeye kufikia uamuzi huo na sio kujitokeza hadharani na kuanza kumhukumu kuwa anatumia madaraka yake vibaya kupandisha nauli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sote tunafahu waziri ana mamlaka ya kutunga sheria ndogondogo muda wowote anapoona inafaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali kupitia Magufuli haijawalazimisha mtumie kivuko hicho, hivyo wale wanaopenda kutumia kivuko hicho kwa nauli mpya watumie na wasiotaka watafute njia nyingine.&lt;br /&gt;Magufuli aliposema kama hamtaki kulipa bei mpya basi mjifunze kupiga mbizi au kuzungukia Kongowe sio lugha ya kuudhi, bali ametoa ushauri mzuri tu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa nini Watanzania hatupendi mtu anayeliita jembe ni jembe? Kwa nini tunawapenda watu wanaotudanganya kwa kanga, pilau na kofia wakati wa uchaguzi wakati tunajua ni waongo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Magufuli tafadhali kaza uzi! Na nyie wanasiasa wa Dar es Salaam acha unafiki na uzandiki. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama hili la kupanda bei limewakera andikeni michanganuo kwa hao wafadhili wenu wanaowachangieni hela za kampeni kisirisiri ili muweze kununua kivuko binafsi ili wananchi waweze kupanda bure kama mtaweza!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;0716 774494 www.katabazihappy.blogspot.com&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Januari 4 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5196444668922066066?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5196444668922066066/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5196444668922066066' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5196444668922066066'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5196444668922066066'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2012/01/mnalenu-jambosio-bei-mpya-ya-kivuko.html' title='MNALENU JAMBO,SIO BEI MPYA YA KIVUKO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-_kxxybndz2U/TwL6HtAwAmI/AAAAAAAAAps/ns5UBL9Cxvg/s72-c/happiness%2BKatabazi-mpyaaaaaaaaaaaa.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5335010810910963484</id><published>2011-12-30T12:32:00.009+03:00</published><updated>2011-12-30T13:17:08.341+03:00</updated><title type='text'>MATUKIO MAKUBWA MAHAKAMANI 2011</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-4yYBKrEGYAc/Tv2N2EHIMuI/AAAAAAAAApg/p6Rq7FIXJEk/s1600/jaji%2Bmkuu%2Bchande.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 183px; height: 276px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-4yYBKrEGYAc/Tv2N2EHIMuI/AAAAAAAAApg/p6Rq7FIXJEk/s320/jaji%2Bmkuu%2Bchande.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5691861464022266594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mara nyingine siku ya leo ambayo ni siku ya mwisho ya kufunga mwaka huu, Mwandishi wa Habari za Mahakama wa gazeti hili    amekuandalia  matukio makubwa yaliyotikisa katika baadhi za mahakama hapa nchini ungana nae kwa simulizi zaidi.&lt;/strong&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Desemba 27&lt;br /&gt;Kafulila arejeshewa ubunge&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Alise Chinguile amesikiliza na kutoa amri  ya kukizuia chama cha NCCR-Mageuzi, kusitisha utekelezaji zaidi wa maazimio ya kikao chake cha Halmashauri Kuu kilichoketi Desemba 17 mwaka huu, ambacho kilimvua uanachama mbunge wa Kigoma Kusini kwa tiketi ya chama hicho, David Kafulila hadi pale kesi ya msingi iliyofunguliwa na mbunge huyo itakapotolewa uamuzi.Na kesi ya msingi itatajwa mbele ya Jaji.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Desemba 23&lt;br /&gt;Kafulila afungua kesi kupinga kufukuzwa uanachama&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;David Kafulila afungua kesi ya madai Na. 218/2011 ya  kupinga uamuzi wa kikao cha NEC cha Desemba 17 kilichomvua uanachama na pia akawasilisha ombi dogo chini ya hati ya dharula lilotaka mahakama hiyo itoe amri ya kuzuia utekelezwaji zaidi wa azimio la kikao hicho cha NEC.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;&lt;strong&gt;Desemba 21&lt;br /&gt;Kibanda afikishwa kizimbani&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda afikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi Stewart Sanga , akikabiliwa na kosa la uchochezi na alikana shtaka na yupo nje kwa dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni mara ya kwanza kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imfungulie kesi ya uchochezi mwandishi wa habari na Mhariri kwa madai kuandika na kupitisha makala inayodaiwa kuwa ni ya kichochezi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Desemba 14&lt;br /&gt;Kesi ya Mramba bado hakieleweki&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imesema kuwa mwendo wa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi ya umma na kuisababishia serikali  hasara ya shilingi bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Mramba na wenzake bado haujakamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji  John Utamwa anayesaidiwa na Hakimu Mkazi Sam Rumanyika na Saul Kinemela   alisema kesi hiyo ilikuja jana kwaajili ya kutajwa na kuangalia kama mwenendo wa kesi hiyo umekamilika lakini amebaini mwenendo wa kesi hiyo ambao ulishachapwa una makosa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Desemba  8 mwaka huu,&lt;br /&gt;Mwandishi Kortini kwa uchochezi&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi   wa Safu ya ‘Kalamu ya Mwigamba’ ambayo inachapishwa kila siku ya Jumatano na gazeti la Tanzania Daima, Samson Mwigamba (36) alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akikabiliwa na kosa moja la  kuandimakala inayowashawishi maaskari na maofisa wa majeshi ya hapa nchini kuacha kuitii serikali iliyopo madarakani kwa sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Mwandamizi wa Serikali Elizabeth Kaganda mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema  alidai mshtakiwa huyo anakabiliwa na kosa moja la kuwashawishi askari na maofisa wa jeshi la polisi, magereza na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) kutoendelea kuitii serikali iliyopo madarakani kwa sasa ambayo inaongozwa na Rais Jakaya Kikwete kinyume na kifungu cha 46(b),55(10(a) na 35 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Kaganda alidai Novemba 30 mwaka huu,gazeti la Tanzania Daima la siku hiyo toleo Na.2553 lilichapisha waraka uliokuwa na kichwa cha habari kisemacho “Waraka Maalum kwa Askari wote” ambao uliandikwa na mshtakiwa huyo kupitia safu yake ijulikanayo kwa jina la ‘Kalamu ya Mwigamba’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili huyo wa serikali alidai kuwa mshtakiwa huyo kupitia walaka wake huo kwa makusudi na kwa nia kuvunja sheria za mamlaka ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliwashawishi askari na maofisa wa jeshi la polisi, Magereza na JWTZ kutoendelea kuiiti serikali iliyopo madarakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo mshtakiwa huyo anayetetewa na Edson Mbogoro  alishindwa kutimiza masharti ya dhamana na akarudishwa rumande hadi Desemba 20 mwaka huu, ambapo kesi hiyo itakapokuja kwaajili ya kutajwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni mara ya kwanza kwa Tanzania kumfungulia kesi ya kushawishi au uchochezi mchangiaji wa makala kwenye magazeti ya hapa nchini. Pia hii itakuwa ni mara ya pili kwa serikali kumfungulia kesi ya jinai Mwigamba tangu mwaka huu ulipoanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwani Mwigamba na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe, Katibu Mkuu Dk.Wilbroad Slaa , mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema na Mbunge wa Moshi Mjini Philemon Ndesamburo na wanachama wengine wanakabiliwa na kesi ya mkusanyiko na maandamano haramu waliyoyafanya Januari 5 mwaka huu, katika jiji la Arusha na kesi hiyo ipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na imefikia hatua ya kuanza kusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Desemba  5 mwaka huu&lt;br /&gt;Upelelezi kesi ya Mattaka tayari&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upande  wa Jamhuri katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kununua magari ya mitumba kinyume na Sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka 2004 inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Ndege(ATCL), David Mattaka na wenzake umeileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Mwandamizi wa Serikali Oswald Tibabyemokya alieleza hayo mbele ya Hakimu Mkazi Ritha Tarimo wakati kesi hiyo jana ilipokuja kwaajili ya kutajwa ambapo alieleza kuwa upelelezi huo umekamilika.Hakimu Tarimo alisema anaiarisha kesi hiyo hadi Januari 5 itakapokuja kwaajili ya kutajwa na kwamba usikilizwaji wa awali utafanyika  Januari 23 mwaka 2012.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Desemba 5 mwaka huu&lt;br /&gt;Meja JWTZ kortini kwa utapeli&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Meja wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 511 cha Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, Muhsini Kombo (39) na Devotha Soko (33), jana walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa tuhuma ya kujipatia sh milioni 100 kwa njia ya udanganyifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema, wakili wa Serikali, Ladslaus Komanya, alidai katika shitaka la kwanza kuwa Kombo pamoja na Devotha Soko walikula njama na kughushi kati ya Januari-Machi mwaka 2008 na kwa nia ya  udanganyifu washitakiwa walighushi mhutasari wa kikao cha Machi 25 mwaka 2008 na kujaribu kuonesha kuwa familia ya marehemu Awadhi Shoo imemteua Devotha Soko kuwa msimamizi wa mirathi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Desemba 2&lt;br /&gt;Mawakili wa Liyumba wakwamisha kesi &lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ilijikuta ikishindwa kuanza kusikiliza pingamizi la awali lililotarajiwa kuwasilishwa na mawakili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba (63), anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu gerezani kwa sababu ya mawakili hao kutokuwepo mahakamani bila kutoa taarifa rasmi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 30&lt;br /&gt;Jerry Murro ashinda kesi&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama ya  Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemwachilia huru aliyekuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC 1), Jerry Murro (30) na wenzake ambao ni Deogratius Mugassa na Edmund Kapama ambao walikuwa wakikabiliwa na makosa ya kula njama na kuomba rushwa ya sh milioni 10 toka kwa aliyekuwa Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Michael Wage  baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashitaka yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 17&lt;br /&gt;Shahidi:Mintanga hakustahili kushtakiwa kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shahidi  wa nne upande wa Jamhuri katika kesi ya kula njama na kusafirisha dawa za kulevya Kilo 4.8 inayomkabili aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Ngumi la Ridhaa Tanzania (BFT), Alhaji Shaban Mintanga, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP), Charles Ulaya amedai mshtakiwa huyo alistahili kushtakiwa kwa kosa moja tu la kula njama na siyo kosa la kusafirisha dawa hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 16&lt;br /&gt;Maranda afunguliwa kesi mpya&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kada  wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Rajabu Maranda jana alifikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akikabiliwa na kesi mpya ya kugushi na kujipatia ingizo la jumla ya Sh bilioni 5.9 toka Benki Kuu ya Tanzania, mali ya benki hiyo kinyume cha sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 21&lt;br /&gt;Washtakiwa ‘kesi ya samaki wa magufuli’ wamaliza kujitetea&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washtakiwa watano raia wa China wanaokabiliwa na kesi ya uvuvi haramu katika ukanda wa Tanzania kwa kutumia meli ya Tawariq 1 maarufu kama ‘Kesi ya Samaki wa Magufuli’ wamemaliza kujitetea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.Washtakiwa hao Hsu Chin Tai, Zhao Hanguing, Hsu Shang Pao, Ca’ Dong Li na Chen Rui Hai wanatetewa na mawakili wa kujitegemea Ibrahim Bendera na John Mbele mbele ya Jaji Agustine Mwarija.Novemba 14, mwaka huu, washtakiwa hao walijitetea kwa lugha ya Kichina na kusaidiwa na mkalimani Mtanzania; walisema: “Mheshimiwa Jaji wateja wetu hao watano wamemaliza kujitetea na tumeona utetezi wao unatosha hivyo hatuhitaji kuleta mashahidi ili waje kuwatetea na kwa hiyo upande wa utetezi katika kesi hii tumefunga ushahidi wetu na tunaiachia mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 28&lt;br /&gt;Waziri aongeza muda kesi ya Mbatia, Mdee&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye Waziri wa Katiba na Sheria Celina Kombani ameongeza muda wa miezi sita kuanzia jana katika kesi ya kupinga matokeo yaliyomtangaza mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee(Chadema), kuwa mshindi kama alivyokuwa ametakiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuongeza muda huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2010 iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea Ubunge kwa tiketi ya (NCCR-Mageuzi), James Mbatia anayetetewa na wakiliwa Mohamed Tibanyendera dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mdee na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kawe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 16&lt;br /&gt;Hakimu azuia waandishi kuripoti kesi ya wanafunzi UDSM&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu  Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, Waliarwande Lema kwa mara ya pili jana aliendelea tabia yake kwa kuwazuia waandishi wa habari toka vyombo mbalimbali vya wasiingie kusikiliza kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali inayowakabili wanafunzi 50 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.Kesi hiyo ambayo jana ilikuja kwaajili wanafunzi 41 kati ya 50 kuja kupatiwa dhamana na hakimu huyo, ambapo waandishi hao wa habari walifika mahakamani hapo tangu saa mbili asubuhi na kuhudhuria kesi mbalimbali lakini ilipofika saa 6.30 mchana wanafunzi hao waliingizwa kwenye ofisi ya hakimu Lema kwaajili ya kuanza kutimiza masharti ya dhamana&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 18&lt;br /&gt;Kesi ya Mpendazoe, Mahanga kuanza kusikilizwa Machi 2&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema kuwa Machi 2-Aprili 13 mwakani itaanza kusikiliza mfululizo kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge wa  Mbunge wa Jimbo la Segerea(CCM), Dk.Makongoro Mahanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo ya uchaguzi ilifunguliwa mahakamani hapo mwaka jana na aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo la Segerea kwa tiketi ya Chama cha Maendeleo na Demokrasia(CHADEMA), Fred Mpendazoe anayetetewa  na wakili Peter Kibatara dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG), Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambao wanatetewa na wakili wa serikali David Kakwaya na Dk.Mahanga  ambaye ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira anayetetewa na wakili wa kujitegemea Jerome Msemwa, kwa madai kuwa taratibu za uchaguzi zilikiukwa na wanaiomba mahakama itengue matokeo yalimtangaza Mahanga kuwa mshindi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba  Mosi&lt;br /&gt;Mnyika akanusha madai ya Ng’umbi&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MBUNGE wa Jimbo la Ubunge kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), John Mnyika ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, itupilie mbali hati ya madai iliyofanyiwa marekebisho na aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya (CCM), Hawa Ng’umbi kwa madai kuwa tuhuma zilizoelekezwa kwake na Ng’umbi ni za uzushi na hazina ushahidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kesi hiyo ya madai ya Na.107/2010 ,iliyopo mbele ya Jaji Upendo Msuya , Ng’umbi anayetetewa na wakili wa kujitegemea Issa Maige,anamshtaki Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Ubungo na Mnyika, ambapo anadai  Sheria ya Uchaguzi ilikiukwa katika uchaguzi huo na kwamba mwanasheria mkuu wa serikali na msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo walishindwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 28&lt;br /&gt;Jerry Murro ana hatia-Serikali &lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upande  wa Jamhuri uliwaowakilishwa mwanzo hadi mwisho wa kesi hii na Mkurugenzi Msaidizi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini, Stanslaus Boniface uliwasilisha majumuisho yao kwa njia ya maandishi ambayo yalimuomba Hakimu Mkazi Frank Moshi amuone  Murro na wenzake wanahatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 28&lt;br /&gt;Mdee akwaa kisiki kortini&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lilowekwa na Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),Halima Mdee lililokuwa likitaka hati ya madai katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2010 iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea Ubunge kwa tiketi ya (NCCR-Mageuzi), James Mbatia ifanyiwe marekebisho kwa maelezo kuwa haina msingi wa kisheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo ulitolewa  na Jaji John Utamwa ambaye baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili alifikia uamuzi wa kukubaliana na hoja za wakili wa mlalamikaji, Mohamedi Tibanyendela aliyetaka pingamizi hilo litupwe na mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hivyo mahakama hii haikubaliani na pingamizi la mdaiwa anayetetewa na Wakili Edson Mbogoro anayetaka hati ya madai ifanyiwe marekebisho kwa vile hawezi kujibu baadhi ya tuhuma alizotuhumiwa nazo kwasababu zinamkera, kumtia kichefuchefu…..kwa hiyo mahakama hii leo inasema tuhuma hizo hazikeri wala kutia kichefuchefu hivyo ina muamuru mdaiwa kuzijibu na inatupilia mbali pingamizi la mdaiwa”alisema Jaji Utamwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 25&lt;br /&gt;Kesi ya Jeetu Patel dhidi ya Mengi yatupwa&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na mfanyabiashara Jayantkumar Chandubai ‘Jeetu Patel’ na wenzake watatu dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi na Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) kwa maelezo kuwa kesi hiyo haina mantiki ya kisheria na Kikatiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo wa kesi hiyo Na. 30/2009 ulitolewa jana asubuhi na jopo la majaji watatu Jaji Kiongozi wa Fakihi Jundu, Semistocles Kaijage na Profesa Ibrahim Juma ambao walisema licha wanaifuta kesi hiyo kwa sababu haina mantiki ya kisheria, pia walisema madai ya Patel kuhusu tamko la Mengi alilolitoa Aprili 23 mwaka 2009 kwa vyombo vya habari kuwa yaliingilia uhuru wa Mahakama Mkazi Kisutu na kuidharau mahakama hiyo kwa kuwa hukumu walalamikaji ambao wanakabiliwa na kesi nne za EPA kupitia vyombo vya habari kuwa ni ‘Mafisadi Papa’ yalipaswa yapelekwe katika mahakama hiyo ya chini kwani mahakama za chini zimepewa nguvu za kuwaadhibu wale wote wanaotenda makosa ya kuidharau mahakama na endapo uamuzi wa mahakama hiyo ya chini asingelidhika nao ndiyo Jeetu Patel angekatia rufaa uamuzi huo wa mahakama ya Kisutu katika Mahakama Kuu.&lt;br /&gt;Oktoba 21&lt;br /&gt;Jerry Murro hana hatia-Mawakili&lt;br /&gt;Upande wa utetezi unaowakilishwa na mawakili wa kujitegemea Rweyongeza, Majura Magafu katika kesi inayomkabili Jerry Murro na wenzake uliwasilisha majumuisho yao kwanjia ya maandishi na kuiomba mahakama iwaachilie huru washtakiwa hao kwasababu hawana hatia kwani ushahidi ulioletwa na Jamhuri ni wa kuunga unga na hautoshelezi kuishawishi mahakama kuwatia hatiani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Oktoba 23&lt;br /&gt;Mbunge CCM kizimbani&lt;br /&gt;Mbunge  wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamisi Kigwangalla (CCM) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Nzega, akikabiliwa na mashitaka sita, yakiwemo ya kuvamia kituo cha Polisi wilayani Nzega.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Oktoba 10&lt;br /&gt;Mbunge kortini, atupwa rumande&lt;br /&gt;Mbunge  wa Mbarali, Modest Kilufi (CCM) amewekwa rumande katika Gereza la Ruanda jijini hapa baada ya kunyimwa dhamana na Mahakama ya Mkoa wa Mbeya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alinyimwa dhamana hiyo na Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Michael Mteite, Kilufi (51), baada ya kufikishwa hapo akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kumuua Mtendaji wa Kata ya Ruiwa wilayani Mbarali, Jordan Masweve (28). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge huyo alisomewa mashitaka na mawakili wa Serikali, Griffin Mwakapeje na Basilius Namkambe mbele ya Hakimu Mteite na kudaiwa kutishia kuua Machi 16, mwaka huu katika maeneo ya Ubaruku wilayani Mbarali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 19&lt;br /&gt;Watuhumiwa wa mauji waachiwa&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Mwekezaji  wa Hoteli ya South Beach ya Kigamboni, Salim Nathoo ‘Chipata’ (53), na wenzake waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kijana Lila Hussein (25), wameachiwa huru kufuatia Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Eliezer Feleshi kuwasilisha hati ya kuiondoa kesi hiyo mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nathoo aliyeshtakiwa pamoja na Meneja wake Bhushan Mathkar na John Mkwanjiombi (32) waliachiwa wiki hii na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Temeke, Kassim Mkwawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwendesha mashtaka katika kesi hiyo, Dunstun Kombe, aliliambia Tanzania Daima kwamba amri ya kuachiwa huru kwa watuhumiwa hao ilitolewa Oktoba 10 na DPP kwa kutumia kifungu 91 (1) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai ya mwaka 2002, inayompa madaraka ya kuondoa kesi mahakamani ikiwa ataona ushahidi wa kesi husika hautoshelezi bila kuhojiwa na mtu wala taasisi yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;Oktoba 20&lt;br /&gt;Serikali yajichanga kesi ya Mahalu&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika  hali isiyotarajiwa jana upande wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi wa zaidi ya Euro milioni mbili, inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Dk.Costa Mahalu na Grace Martin ilijikuta ikitoa mpya  baada ya kuieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kuwa imepata nyaraka halisi  za mawasiliano yaliyokuwa yakifanywa kati ya mshtakiwa huyo na serikali wakati hapo awali upande wa Jamhuri ulidai kuwa hauna nyaraka hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo ambayo jana ilikuwa imekuja kwaajili ya kuendelea kusikilizwa ambapo  Wakili Mwandamizi wa Serikali Ponsia Lukosi alikuwa anatarajiwa kuja kuieleza mahakama amebaini nini kwenye zile  nyaraka 11 zilizotolewa juzi na Mahalu ambaye aliomba mahakama hiyo izipokee kama vielelezo lakini wakili huyo wa serikali aliomba mahakama kabla ya kuvipokea kesi hiyo iarishwe hadi jana ili upande wa Jamhuri uweze kupata nafasi ya kuzipitia nyaraka  hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 18&lt;br /&gt;Mahalu afichua bei ya ununuzi jengo la Ubalozi, Rome Italia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Aliyekuwa  balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kuwa ripoti ya bei ya ununuzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania mjini Roma aliyokuwa ameipendekeza yeye ilikuwa ni ya bei ya chini ukilinganisha na ripoti ya ununuzi wa jengo hilo iliyokuwa imependekezwa na serikali kupitia Wizara ya Ujenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 4 &lt;br /&gt;Washtakiwa kesi ya Jerry Murro wamaliza kujitetea&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  ilitoa amri ya   kuzitaka pande zote mbili katika kesi ya Jerry Murro iliyotolewa na Hakimu Moshi, Oktoba 4 mwaka huu, ambapo siku hiyo alizitaka pande zote kufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na siku ndiyo shahidi wa Murro alitoa ushahidi wake na washtakiwa wawili Deogratius Mugassa na Edmund Kapama nao walitoa utetezi wao na siku hiyo hiyo wakili wa utetezi Richard Rweyongeza aliambia mahakama kuwa huo ndiyo mwisho wa ushahidi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kabla ya washtakiwa hao kuanza kutoa utetezi wao wakili wa serikali , Boniface aliwasilisha ombi la kutaka kubadilisha hati ya mashtaka ambapo ombi hilo lilikubaliwa na hakimu huyo ambapo alisema kuanzia siku hiyo hati ya mashtaka itasomeka kuwa washtakiwa waliomba rushwa Michael Wage Januari 29 mwaka jana katika hoteli ya Sea Cliff, tarehe ambayo inaoona na picha za CCTV ambazo zinawaonyesha washtakiwa hao walifika katika hoteli hiyo wakiwa na Wage.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya kubadilisha hati hiyo,hati ya mashtaka ilikuwa ikisomeka kuwa washatkiwa hao walitenda kosa hilo Januari 28 mwaka jana, tarehe ambayo ilikuwa ikitofautiana na tarehe iliyokuwa ikionekana kwenye nakala ya picha ya CCTV kamera.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 14&lt;br /&gt;Wanachuo UDSM 50 kortini kwa maandamano haramu&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jumla  ya Wanafunzi 50 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wakikabiliwa na makosa mawili ya kufanya mkusanyiko usihalali na kukaidi amri ya Jeshi la Polisi liliwataka watawanyike.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Novemba 11&lt;br /&gt;Mdogo wa Rostam Aziz kizimbani kwa dawa za kulevya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;ASSAD Aziz Abdulasul ambaye ni mdogo wa mwanasiasa maarufu nchini, Rostam Aziz, anayetuhumiwa kusafirisha kilo 92.2 za dawa ya kulevya aina ya heroine yenye thamani ya sh bilioni 2, jana alifikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu Kanda ya Tanga na kusomewa maelezo ya awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Tanga, Kipenka Mussa, wakili mwandamizi wa serikali Biswalo Mganga aliieleza mahakama hiyo kuwa kesi hiyo ya jinai Na.1/2011 ilikuja mahakamani hapo kwa mara ya kwanza jana ikitokea Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Tanga kwa ajili ya maandalizi ya kuhamishiwa katika mahakama hiyo ya juu ambayo ndiyo yenye mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo na jana upande wa jamhuri uliwasomea washtakiwa hao maelezo ya awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa mganga aliwataja washtakiwa hao mbali na Assad kuwa ni Kileo Bakari Kileo, Yahya Makame, Mwamadali Podadi ambaye ni raia wa Iran, Salum Mparakesi, Saidi Ibrahim Hamis na Bakari Kileo ‘Mambo’ ambao wanatetewa na mawakili wa kujitegemea Richard Rweyongeza na Edward Chuwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiwasomea maelezo hayo ya awali, Wakili Mganga alieleza kuwa washtakiwa wote kwa pamoja kati ya Januari mwaka 2009 hadi Machi 8 mwaka 2010 walikula njama na kusafirisha kiasi hicho cha dawa za kulevya na kuziingiza nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Septemba 28&lt;br /&gt;Dowans yaibwaga Tanesco&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jitihada za wanasiasa na wanaharakati kulizuia Shirika la Ugavi wa Umeme (TANESCO), kulipa tuzo ya mabilioni ya shilingi kwa Kampuni ya kufua umeme, Dowans Tanzania, zimegonga mwamba baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kutoa uamuzi wa kuiruhusu Dowans kusajili tuzo hiyo ili ilipwe.&lt;br /&gt;Katika hukumu hiyo aliyoanza kuisoma kuanzia saa 3:31 asubuhi hadi 6:53 mchana, Jaji Mushi alisema kesi hiyo ya madai Na. 8/2011 iliyofunguliwa na TANESCO dhidi Dowans Tanzania, ilikuja kwake ili atoe hukumu ya ama kuiruhusu Dowans kusajili au kutokusajili tuzo hiyo. TANESCO katika pingamizi lake iliwasilisha sababu 12 za kupinga tuzo hiyo isisajiliwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alianza kwa kusema maneno yafuatayo: &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwanza, naishukuru TANESCO na zile taasisi nne za wanaharakati waliokuwa wakiongozwa na LHRC; walijitokeza mahakamani hapa kupinga tuzo ya Dowans isisajiliwe na kutumia muda wao kuchambua kesi mbalimbali na kuandaa mapingamizi yao, ambayo hata hivyo niliyatupilia mbali. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Pili, nafahamu fika kuwa kesi hii ya Dowans ina sayansi nyingi sana za kisiasa, hivyo napenda niwafahamishe mapema kabisa kabla ya kuendelea kuwa hukumu yangu nitakayotoa leo haijatoa nafasi kwa sayansi hizo za kisiasa, kwa sababu imezingatia misingi ya sheria na haki.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alisema miongoni mwa sababu zilizowasilishwa na mlalamikaji (TANESCO) za kutaka tuzo ya Dowans isisajiliwe ni pamoja na majaji wa Mahakama ya ICC kuipendelea Dowans, hukumu yake kuwa na upungufu wa kisheria, hukumu kutofuata sera na maslahi ya taifa na Mahakama Kuu ya Tanzania kutokuwa na mamlaka ya kuisajili tuzo hiyo. Dowans ilikuwa inatetewa na Wakili Kennedy Fungamtama, huku TANESCO ikitetewa na Kampuni ya uwakili ya Rex Attorney. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali iliwakilishwa na Naibu Mwanasheria Mkuu, George Masaju na Dk. Hawa Senare.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Septemba 23&lt;br /&gt;Amatus Liyumba atoka gerezani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Hatimaye aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba (63) ametoka jela katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam , alikokuwa akiishi baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka miwili gerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika toka ndani ya familia ya Liyumba, zililiambia Tanzania Daima jana kuwa Liyumba alitoka gerezani hapo jana saa 3:30 asubuhi bila ya kuwepo kwa vikwazo vyovyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Septemba 20&lt;br /&gt;Hati ya Kesi ya Ng’umbi ina makosa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Aliyekuwa  mgombea ubunge wa Jimbo la Ubunge(CCM), Hawa Ng’umbi ambaye ni ndiye mlalamikaji katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 yaliyomtangaza John Mnyika kuwa mbunge wa jimbo hilo, amekiri kuwa hati yake ya madai aliyoifanyia marekebisho ina makosa ya kisheria na anaiomba mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imruhusu aende kuifanyia marekebisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Septemba 20&lt;br /&gt;Wabunge Chadema wapanda kizimbani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Wabunge  wawili na Mjumbe wa Baraza la Vijana la Chama cha (Chadema), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Tabora, wakikabiliwa na mashitaka manne likiwamo shambulio na kumshikilia Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Fatuma Kimario, kinyume cha sheria. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waliofikishwa mahakamani hapo jana ni Mbunge wa Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbai, Mbunge wa Viti Maalumu, Suzan Kiwanga na Mjumbe wa Bavicha Wilaya ya Igunga, Anwar Kashaga. Watatu hao walifikishwa mahakamani hapo saa 4.55 asubuhi kwa gari la Polisi na kuingizwa katika chumba cha mahabusu saa 5.05, huku umati wa wananchi ukiwa umefurika katika Mahakama hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Septemba 8&lt;br /&gt;Liyumba ashtakiwa tena&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliyekuwa  Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania, Amatus Liyumba (63), ambaye Septemba 23 mwaka huu anamaliza kutumikia adhabu ya kifungu cha miaka miwili jela, jana alijikuta akipandishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam kwa kesi mpya ya kukutwa na simu gerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Septemba 6&lt;br /&gt;Dowans haikamatiki&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye  Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeyafukuza maombi ya wanaharakati waliokuwa wakiongozwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) ambao yaliyokuwa yakiomba mahakama hiyo ikatee kusajili tuzo iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa migogoro ya Kibiashara(ICC) kwa kampuni ya Dowans Holdings SA(Costa Rica) na na wenzake kwasababu wanaharakati hao hawana haki wala mamlaka ya kupinga hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Septemba 8&lt;br /&gt;Mtikila afungua kesi kuzuia mahakama isiuzwe&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti  wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amefungua kesi ya Kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana, akiitaka izuie kuuzwa kwa jengo la Mahakama ya Rufaa lililopo eneo la Kivukoni Front, kwa mmiliki wa Hoteli ya Kempinski.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa hati ya madai ambayo tayari imeshapewa namba 23 ya mwaka huu, Mtikila anamshtaki Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Katiba na Sheria na Jaji Mkuu wa Tanzania kwa kuruhusu jengo hilo la mahakama ya juu nchini liuzwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Agosti 18&lt;br /&gt;Jerry Murro:Polisi wamenibambikizia kesi &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Aliyekuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa(TBC1), Jerry Murro(30), anayekabiliwa na kesi ya kula njama na kuomba rushwa ya Sh milioni 10, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imuone hana hatia kwasababu kesi hiyo inayomkabili amebambikiwa na baadhi ya askari wa Jeshi la Polisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Agosti 17&lt;br /&gt;Tao ‘akwaa kisiki’korti kuu&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha (TLP),  Hamad Tao dhidi ya Mbunge wa Ilala(CCM), Mussa Hassan ‘Zungu’lilokuwa linataka mahakama hiyo imsamehe asilipe dhamana ya kesi hiyo ya uchaguzi kwa maelezo ombi hilo liliwasilishwa kabla ya wakati wake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi wa kesi hiyo ya uchaguzi Na.104/2010 iliyofunguliwa na Tao ambaye hivi karibu alifukuzwa uanachama wa chama hicho, ulitolewa jana na Jaji Dk.Fauz Twaibu ambaye alisema amefikia uamuzi baada ya kubaini ombi hilo la Tao lakutaka asamehewe kulipa dhamana ya kesi hiyo kwasababu ombi hilo pia halikukidhi matakwa ya Sheria ya Uchaguzi ya mwaka 2010.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Agosti 4&lt;br /&gt;Mahalu aanza kujitetea&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu ameileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kuwa alipofika katika ubalozi huo alikuta ofisi hizo zikiwa na hali mbaya hali iliyosababisha kutoa fedha zake mfukoni na kunua thamani zenye hadhi ya ofisi ya ubalozi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na hilo Balozi Mahalu mawasiliano kati ya rais wanchi, balozi,waziri wa Mambo ya Nje na Katibu uwa ya aina tatu.Aina ya kwanza ni mawasiliano ya maandishi yaani barua za kawaida, maandishi ya mafumbo na mawasiliano ya mdomo.Rais anamamlaka ya kumpigia simu balozi kokote alipo na kumpa maelekezo au kumwita balozi aje hapa nchini na kisha kumpa maelekezo ya ana kwa ana bila maandishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Julai 28&lt;br /&gt;Bosi wa Richmond aibwaga serikali&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Hatimaye  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es salaam, imemwachiria huru mfanyabiashara Naeem Adam Gire aliyekuwa akikabiliwa na makosa ya kughushi, kutoa taarifa za uongo kwa maofisa wa serikali kuhusu kampuni ya Richmond LLC ya Texas ya Marekani kwasababu ushahidi ulitolewa na upande wa Jamhuri ni dhahifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Waliarwande Lema ambaye alisema kesi hiyo jana ilikuja kwaajili ya mahakama hiyo kutoa uamuzi wa ama mshtakiwa huyo Gire aliyekuwa akitetewa na wakili wa kujitegemea Alex Mgongolwa na Richard Rweyongeza ambapo Jamhuri ilikuwa ikiwakilishwa na Wakili Mkuu wa Serikali Fredrick Manyanda na Shadrack Kimaro ana kesi ya kujibu au la.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lema alisema baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi wote tisa na vilelelezo vilivyotolewa na upande wa Jamhuri, amebaini ushahidi na vielelezo hivyo ni dhahifu na una mapungufu ambao umeacha mashaka na maswali mengi na hivyo mahakama yake imefikia uamuzi wa kutumia kifungu cha 330 cha Sheria ya Makosa ya Jinai ya mwaka 2002, ambacho kinaipa mamlaka mahakama ya kumwona mshtakiwa hana kesi ya kujibu na kumwachiria huru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Julai 25&lt;br /&gt;Maranda ana kesi ya kujibu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Kwa mara nyingine tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemuomwona Kada wa CCM, Rajabu Maranda na mpwa wake Farijala Hussein kuwa wanakesi ya kujibu katika kesi ya pili inayowakili ya wizi wa Sh bilioni 2.2 katika Akaunti ya Madeni ya Nje katika Benki Kuu ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Julai 15&lt;br /&gt;Jaji Mkuu aongoza kusikiliza kesi ya askofu Mokiwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Kanisa la Anglikana Tanzania, limeiomba Mahakama ya Rufaa Tanzania kutengua amri ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha iliyoamuru Askofu Mkuu wa kanisa hilo Dk.Valentino Mokiwa akamatwe na ashtakiwa kwa sababu ametenda kosa la jinai la kudharau amri ya mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ambapo katika madai hayo ya msingi waliwasilisha kwa Jaji Sambo ambapo waliomba mahakama yake itoe amri ya kuzuia uchaguzi wa askofu wa dayosisi Mount Kilimanjaro usifanyike na askofu mteule wa dayosisi hiyo asiapishwe ambapo mahakama kuu baadaye ilitoa amri ya Mhashamu Dk.Mokiwa akamatwe na ashtakiwa na adhibiwe kwa sababu amedharau amri ya mahakama kwani amemwapisha mdaiwa wa pili (Hotay) wakati mahakama hiyo bado haijatoa maamuzi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ombi hilo la kanisa la Anglikana la kutaka amri hiyo itenguliwe liliwasilishwa jana wakili wa kanisa hiyo Joseph Thadayo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Chande Othman aliyekuwa akisaidiwa na majaji wa mahakama ya rufaa William Mandia na Steven Bwana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Julai 15&lt;br /&gt;31 waachiwa ‘kesi ya samaki wa Magufuli’&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imewaachilia huru raia wa kigeni 31 kati ya 36 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uvuvi haramu bila leseni maarufu kama “kesi ya samaki wa Magufuli”katika ukanda wa Tanzania, baada ya kuwaona hanawana kesi ya kujibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na hilo,mahakama hiyo imemwamuru Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na taasisi nyingine za serikali kuandaa haraka iwezekanavyo utaratibu wa usafiri ambao ni salama wa kuwarejesha katika nchi zao raia 31 wa kigeni iliyowaachilia huru ili waweze kwenda kuungana na familia zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Juni 24&lt;br /&gt;Mahita aumbuka tena&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali rufaa iliyokuwa imekatwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu, Omari Mahita, dhidi ya aliyekuwa msichana wake wa kazi anayedaiwa kuzaa naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika rufaa hiyo, Mahita alikuwa akiiomba Mahakama Kuu itengue hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ambayo ilimuamuru kupeleka gharama za matunzo ya mtoto wake Juma Omary Mahita (14) mtoto anayedaiwa kuzaa na msichana huyo Rehema Shabani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Juni 20&lt;br /&gt;Mhindi aliyeua Mtanzania  kunyongwa&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama  Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemhukumu kunyongwa kwa kamba hadi kufa raia wa India Vinoth Praveen kwa kosa la kumchoma visu hadi kufa Mtanzania, Abdul Basit.&lt;br /&gt;Hukumu hiyo ilitolewa jana na Jaji Dk. Fauz Twaibu aliyesema kwamba mahakama imeridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kesi hiyo ya jinai namba 83/2009 upande wa Jamhuri uliwakilishwa na Wakili wa Serikali Shadrack Kimaro, wakati upande wa utetezi uliwakilishwa na Wakili wa kujitegemea Majura Magafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Juni 20&lt;br /&gt;Diwani CCM jela miaka 10 kwa rushwa&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, imemhukumu kifungo cha mika 10 jela na faini ya sh milioni 6.7 Diwani wa Viti Maalum (CCM) Kata ya Mlingoti, Atindanga Mohammed kwa makosa 11 ya rushwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hukumu hiyo ya aina yake ilitolewa leo na Hakimu Shemuli Cyprian baada ya mahakama hiyo kuridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka ambapo diwani huyo aligawa vitenge na kanga kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2010.Katika kesi hiyo upande wa mashtaka uliwakilishwa na wakili wa serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Christa Kadekenga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Juni 18&lt;br /&gt;Mfungwa msomi ashinda rufaa&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye  Mahakama ya Rufani nchini imemfutia adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela yule mfungwa aliyepata Shahada ya kwanza ya Sheria katika Chuo Kikuu Huria(OUT) akiwa gerezani,askari mpelelezi wa Jeshi la Polisi E.6937 D/C Haruna Pembe Gombela baada ya kubaini huku zote zilizotolewa na mahakama za chini zilimtia hatiani kimakosa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo wa Mahakama ya Rufani nchini unatokana na rufaa Na.44/2006 iliyokatwa mahakamani hapo na mrufani Gombela ambaye alikuwa akiishi katika Gereza Ukonga dhidi ya Jamhuri aliyoomba mahakama hiyo ya juu nchini itengue hukumu ya ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iliyotolewa na Jaji Katherine Orioyo Oktoba 31 mwaka 2005, ambayo pia nayo ilikubaliana na hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Ilala katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha Na.1426/1990 ambazo hukumu zote hizo zilimtia hatiani kwa kosa hilo na kumhukumu kwenda jela miaka 20.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Juni 8&lt;br /&gt;Hakimu kortini kwa rushwa Dar&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Hakimu  wa Mahakama ya Mwanzo Ukonga jijini Dar es Salaam, Ndevera Kihangu na wenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na makosa ya kushawishi na kupokea rushwa ya sh 100,000.Mbali na Hakimu Kihangu, washitakiwa wengine ni karani wa hakimu huyo, Eveline Mowo na mhasibu wa mahakama hiyo, Victoria Mtasiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Juni 5&lt;br /&gt;Serikali yashinda kesi tano mauji ya Albino&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi  wa Mashtaka nchini (DPP),Eliezer Feleshi ameeleza kuwa hadi sasa ofisi yake imeshinda jumla ya kesi tano za mauji ya watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino) walizokuwa wamezifungua katika Kanda mbalimbali za Mahakama Kuu hapa nchini na Mahakama Kuu nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na kushinda kesi hizo tano za mauji ya albino, pia imeweza kushinda kesi moja ya biashara haramu ya kusafirisha binadamu ( Human Traffick and Abduction) iliyomhusisha Robison Mukwena ambaye ni mlemavu wa ngozi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Juni 1&lt;br /&gt;Wabunge CCM waiburuza serikali mahakamani&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge  watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na raia wengine wanne wamefungua kesi ya Kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,  dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wenzake wakiiomba serikali izuiwe kulipa fidia ya sh bilioni 94 kwa Kampuni ya Dowans Holdings SA na Dowans Tanzania Ltd.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Mei 31&lt;br /&gt;Kesi ya Mahalu:Ushahidi wa Mkapa  tishio&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kuanza kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi wa zaidi ya euro milioni 2, sawa na sh bilioni 3 inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu, na Grace Martin, ushahidi wa Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, umeivuruga serikali ya Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mvurugano huo ulijionyesha jana mahakamani baada ya wakili mkuu wa serikali, Ponsian Lukosi, anayesaidiwa na wakili mwandamizi toka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Ben Lincoln, kuwasilisha ombi la kuitaka mahakama itoe mwongozo wa kesi hiyo kwa madai kuwa mawakili wa Mahalu, Mabere Marando na Alex Mgongolwa, wamekuwa wakitoa mwenendo wa kesi hiyo kwenye vyombo vya habari kabla ya kusikilizwa na mahakama hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Mei 30&lt;br /&gt;Jamhuri yafunga ushahidi kesi ya ‘Samaki wa Magufuri’&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye upande wa Jamhuri katika kesi ya uvuvi haramu katika kina kirefu cha ukanda wa Bahari ya Hindi maarufu kesi ya ‘Samaki wa Magufuri’ inayowakabili raia 36 wa kigeni umefunga ushahidi wake katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Mwandamizi wa Serikali Biswalo Mganga anayesaidiwa na Prosper Mwangamila mbele ya Jaji Agustine Mwarija alieleza mahakama hiyo kuwa mashahidi wake 13 walifika mahakamani hapo kutoa ushahidi wameona ushahidi wao umetosha na hivyo wamefikia uamuzi huo wa kuifunga kesi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Mei 23&lt;br /&gt;Hukumu kesi ya EPA:Yametimia&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam,ilitoa  hukumu ya kwanza katika kesi ya wizi wa sh bilioni 1.8 zilizochotwa kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), mali ya Benki Kuu (BoT), ambapo ilimhukumu Kada wa CCM, Rajabu Maranda na mpwake wake Farijala Hussein kwenda jela miaka 5  baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kugushi na kujipatia ingizo la kiasi hicho cha fedha toka BoT.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hukumu hiyo ilizusha vilio na kuifanya mahakama hiyo kuzizima kwa muda baada ya Mweka Hazina wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma Rajab Maranda na binamu yake Farijala Hussein kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano jela.&lt;br /&gt;Jopo la mahakimu wakazi likiongozwa Saul Kinemela lilianza kusoma hukumu hiyo kwa saa moja ndani ya ukumbi namba mbili wa mahakama hiyo.Mahakimu wengine ni Phocus Bambikya Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani na Elvin Mugeta, Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Aprili 15&lt;br /&gt;Waandishi wapigwa marufuku kesi ya Manji,Mengi&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika  hali ya kustaajabisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam,jana ilitoa maelekezo ya kuvizuia vyombo vyote vya habari nchini kuripoti mwenendo mzima wa kesi ya madai ya kashfa ya shilingi moja iliyofunguliwa mahakamani hapo na Mfanyabiashara Yusuf Manji dhidi ya Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Ltd, Reginald Mengi na ITV.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Aprili 10&lt;br /&gt;Kesi ya Zombe yapangiwa Jaji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Uongozi  wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, umempangia Jaji Upendo Msuya kusikiliza kesi ya madai ya fidia ya sh bilioni tano iliyofunguliwa na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Abdallah Zombe (57) dhidi ya serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Aprili 8&lt;br /&gt;Hakimu kesi ya Manji,Mengi ajitoa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Hakimu  Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, Alocye Katemana ametangaza kujitoa kuendelea kusikiliza kesi ya madai ya kashfa ya shilingi moja iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na mfanyabiashara Yusuf Manji dhidi ya Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Ltd, Reginald Mengi na ITV.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo aliutoa jana mahakamani wakati kesi hiyo ilipokuja kwaajili ya kutajwa.Kesi hiyo ilikuja kutajwa kwa mara ya kwanza jana tangu jalada la kesi hiyo lilipotoka kwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Semistocles Kaijage Machi 29 mwaka huu ambaye aliamuru jalada la kesi hiyo lirudishwe Mahakama ya Kisutu kwa hakimu Katemana ambaye ndiye amekuwa akisikiliza kesi hiyo kwaajili ya kuendelea kusikiliza baada ya ukaguzi wake alioufanya katika jalada hilo akabaini kuwa hakimu huyo hakuwa amepindisha sheria yoyote wakati akiisiliza kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Machi 30&lt;br /&gt;Mengi akwaa kisiki korti kuu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Hatimaye  Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa ametoa amri ya kurudishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jalada ya kesi ya madai ya kashfa ya shilingi moja iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na mfanyabiashara Yusuf Manji dhidi ya Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Ltd, Reginald Mengi na ITV.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jalada la kesi hiyo ambayo lilitua katika Mahakama Kuu Machi 23 mwaka huu, likitokea Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na barua ya februali 23 mwaka huu, iliyoandikwa na wakili wa mdaiwa(Mengi) , Michael Ngaro kwa Jaji Mfawidhi Semistocles Kaijage ambapo ndani ya barua hiyo Ngaro alimuomba Jaji Kaijage apitie mwenendo mzima wa kesi hiyo kwani hakimu mkazi anayeisikiliza kesi hiyo Alocye Katemana ametoa maamuzi kadhaa yanaoonyesha anaupendelea upande wa mlalamikaji(Manji).&lt;br /&gt;Machi 28&lt;br /&gt;Jaji Mwangesi ajitoa kesi ya Mahalu&lt;br /&gt;Hatimaye  jaji Sivangilwa Mwangesi ambaye alikuwa akisiliza kesi ya uhujumu uchumi wa Euro zaidi ya milioni mbili inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu na Meneja Utawala na Fedha, Grace Martin ametangaza kujiondoa kuendelea kusikiliza kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mwangesi alitangaza umuzi huo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, ambapo kesi hiyo ilikuja kwaajili ya jaji huyo kutoa uamuzi wa ama kuendelea au kujiondoa katika kesi hiyo kufuatia sababu sita zilizowasilishwa Ijumaa iliyopita na washtakiwa ambayo yalimtaka ajitoe kwasababu hawana imani nae kwasababu amekuwa akiendesha shauri hilo kwa malengo yake badala ya sheria.&lt;br /&gt;Machi 25&lt;br /&gt;Mahalu amkataa jaji &lt;br /&gt;Aliyekuwa  Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu na Grace Martin ambao wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ya zaidi ya Euro milioni mbili, jana walimwomba Jaji Sivangilwa Mwangesi ambaye anaendesha kesi hiyo hajitoe kwasababu amekuwa akikiusha sheria kwa makusudi kwasababu ya malengo anayoyajua yeye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ombi hilo limetolewa jana na mawakili wa washtakiwa haoMabere Marando aliyekuwa akisaidiwa na Beatusi Malima na Alex Mgongolwa ambapo kwakuanza waliiumbukusha mahakama hiyo kuwa wanafahamu kuwa kesi hiyo jana ilikuja kwaajili ya jaja huyo kupanga tarehe ya washtakiwa hao kuanza kujitetea.&lt;br /&gt;Machi 23&lt;br /&gt;Kesi ya Manji Vs Mengi:Jalada latua korti kuu&lt;br /&gt;Jalada la  kesi ya madai ya kashfa ya shilingi moja iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na mfanyabiashara Yusuf Manji dhidi ya Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Ltd, Reginald Mengi na ITV, limetua rasmi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika toka ndani ya Mahakama Kuu vililithibitishia gazeti hili kuwa jalada hilo limefika mahakamani hapo jana asubuhi likitokea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.&lt;br /&gt;Vyanzo hivyo vilibainisha kuwa chanzo cha jalada hilo kuitwa katika mahakama hiyo ya juu ni kutokana na barua ya Februali 23 mwaka huu, iliyoandikwa na wakili wa mdaiwa(Mengi),Michael Ngaro kwa Jaji Mfawidhi Semistocles Kaijage ambapo ndani ya barua hiyo Ngaro anamuomba Jaji Kaijage alipitie mwenendo mzima wa kesi hiyo kwani hakimu mkazi anayeisikiliza kesi hiyo na akatolea maamuzi mbalimbali Alocye Katemana alionesha kuupendelea upande wa mlalamikaji(Manji).&lt;br /&gt;Machi 18&lt;br /&gt;Kesi ya wizi wa gari la DPP:sita wafutiwa shitaka la unyang’anyi&lt;br /&gt;Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imewafutia shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha washtakiwa sita katika kesi unyanganyi wa kutumia silaha, kupokea mali za wizi na wizi wa gari na kompyuta mali ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DDP) vyenye jumla ya thamani ya shilingi sh 111,500,000. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na hilo Hakimu Mkazi Jenevitus Dudu ambaye ndiye anasikiliza kesi hiyo ambayo ina jumla ya washtakiwa 12, pia amewaachilia huru washtakiwa watatu ambao walikuwa wakikabiliwa na kosa la kupokea mali za wizi baada ya kuwaona hawana kesi ya kujibu.&lt;br /&gt;Baada ya Hakimu Dudu kutoa uamuzi huo , Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP), Eliezer Feleshi aliwasilisha mahakamani hapo hati ya kuzuia dhamana kwa washtakiwa sita walifutiwa shtaka la unyang’anyi kwa kutumia silaha ambalo kwa mujibu wa sheria za mwenendo wa makosa ya Jinai ya mwaka 2002, shitaka hilo halina dhamana na Wakili wa Serikali Zuberi Mkakati naye akawasilisha mahakamani hapo hati ya kusudio ya kukata rufaa katika Mahakama Kuu dhidi ya uamuzi wa hakimu huyo.&lt;br /&gt;Machi 16&lt;br /&gt;Gulam Dewji aburuzwa kortini &lt;br /&gt;Shirika  la Nyumba la Taifa(NHC), imeiburuza katika Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi ,Bodi ya Udhamini ya Federation of Khoja Ithna-Asheri Jamaats of Afrika na mfanyabiashara maafuru nchini Gulambhai Dewji wakiomba mahakama hiyo itamke jengo lililopo kitalu Na.39 mtaa wa Chuma-Chang’ombe jijini hapa ni mali halali ya shirika hilo na si la wadaiwa hao.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa hati ya madai ambayo gazeti hili inayo nakala yake, mlalamikaji ambaye amefungua kesi hiyo chini ya hati ya hati ya dharula , na Mwanasheria wa Shirika hilo la Nyumba nchini, Martin Mdoe ndiye amekula kiapo kwaniaba ya Mkurugenzi Mkuu wa (NHC), anaiomba mahakama hiyo itamke kuwa jengo hilo ambalo lina thamani ya zaidi ya bilioni mbili ni mali ya shirika hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Machi 8&lt;br /&gt;Jerry  Murro ana kesi ya kujibu &lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemuona aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la TBC1, Jerry Murro na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kula njama, kushawishi na kuomba rushwa ya sh milioni 10, kuwa wana kesi ya kujibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo wa kushtua ulitolewa leo na Hakimu Mkazi Gabriel Mirumbe ikiwa ni muda mfupi baada ya shahidi wa sita wa upande wa Jamhuri, D/C Koplo Lugano Mwampeta kumaliza kutoa ushahidi wake na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini, Stanslaus Boniface kueleza kuwa wamefunga ushahidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Machi 8&lt;br /&gt;Zombe aishika pabaya serikali &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye  aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Abdallah Mohamed Zombe(57),amemfungulia kesi ya madai ya fidia ya Sh bilioni tano serikali kwasababu ilimnyanyasa, kumdhalilisha,kumbakizia kesi na ilikiuka sheria na Katiba ya nchi wakati ilipomkamata na kumfungulia kesi ya mauji ya watu wa nne.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Machi 7&lt;br /&gt;Raia wa kigeni kortini kwa dawa za kulevya &lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mara nyingine tena serikali imewaburuza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, raia wanne wa kigeni wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kula njama na kuingiza dawa za kulevya aina ya Heroin zenye uzito wa gramu 81 zenye thamani ya Sh bilioni 2.8.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbele ya Hakimu Mkazi Mustapher Siyani wakili mwandamizi wa serikali Biswalo Mganga aliyekuwa akisaidiwa Prosper Mwangamila na Theophili Mtakyawa aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Dinnis Chukwudi Okechukwu,Paul Ikechukwu Obi ambao ni raia wa Naigeria, Stani Hycenth raia wa Afrika ya Kusini na Shoaib Mohammed Ayazi ambaye ni raia wa Pakstani ambao wanatetewa na wakili wa kujitegemea Brigson Sheiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Machi 3&lt;br /&gt;Jaji ajitoa ‘kesi ya Samaki wa Magufuli’&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye  jaji Razia Sheikh anayesikiliza kesi ya uvuvi haramu katika Bahari ya Hindi ukanda wa Tanzania inayowakabili ryaia 34 wa kigeni maarufu kama ‘kesi ya samaki wa Magufuli’ amejitoa kuendelea kusikiliza kesi hiyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Sheikh alitoa uamuzi huo jana katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kufuatia ombi la washtakiwa hao walioliwasilisha mbele yake Ijumaa iliyopita ambapo washtakiwa walimwomba ajitoe kwasababu hawana imani naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Sheikh alisema anajitoa kusikiliza shauri hilo si kwasababu ya hoja zilizowasilishwa na wakili wa washtakiwa John Mapinduzi na Ibrahim Bendera bali anajitoa ili haki ionekane inatendeka na kwamba jalada la kesi hiyo atalipeleka kwa Jaji Mfawidhi Semistocles Kaijage ili aweze kumpanga jaji mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Februali 15&lt;br /&gt;Nyaraka za Mengi kuhusu EPA,Kagoda zakatariwa tena kortini&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Kwa mara ya pili Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Ltd, Reginald Mengi, lililotaka mahakama hiyo iwapatie nakala ya uamuzi iliyoutoa Ijumaa iliyopita ili aweze kwenda Mahakama Kuu kuomba ufanyiwe mapitio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mengi kupitia wakili wake Michael Ngaro, wanapinga kutupwa kwa nyaraka zinazohusu wizi wa fedha kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), inayoihusisha kampuni ya Kagoda ambazo Mengi anadai ina uhusiano na Manji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi wa kulitupa ombi hilo, ulitolewa jana na Hakimu Mkazi, Aloyce Katemana, ambaye alisema baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili anakubaliana na hoja ya mawakili wa mlalamikaji (Manji), Mabere Marando, Dk. Ringo Tenga, Richard Rweyongeza na Beatus Malima, ambao walidai ombi lililowasilishwa na wakili wa mdaiwa Michael Ngaro na Deo Ringia, halina msingi wa kisheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;Februali 10&lt;br /&gt;Mawakili wa Mintanga wageuka mbogo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Upande  wa utetezi katika kesi ya kula njama na kusafirisha dawa za kulevya inayomkabili aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Alhaji Shabani Mintanga, umeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuifuta kesi hiyo kwasababu upande wa Jamhuri umeshindwa kuleta mashahidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;Februali 4&lt;br /&gt;Mhasibu mahakamu kuu kortini kwa wizi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;Mhasibu  Msaidizi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kitengo cha Ardhi, Raymond Mazale, amefikishwa mahakamani akikabiliwa na kosa la wizi wa sh milioni 22 mali ya mwajiri wake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Serikali Beatrice Mpangala mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam, Aloyce Katemana, alieleza mahakama kuwa mshtakiwa huyo anakabiliwa na mashtaka manne ya wizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Februali 3&lt;br /&gt;Manji amvaa Mengi kortini&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Mfanyabiashara  maarufu nchini, Yusuf Manji(35) jana ameileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kuwa kashfa zilizotolewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Ltd,Reginald Mengi kuwa yeye ni Fisadi Papa zimemvunjia heshima na kusababisha asiaminiwe tena wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Manji ambaye siku hiyo  ilikuwa ni mara yake ya kwanza kupanda kizimbani hapo , alitoa maelezo hayo wakati akiongozwa kutoa ushahidi wake na mawakili maarufu wa kujitegemea nchini, Mabere Marando, Dk.Ringo Tenga, Richard Rweyongeza, Sam Mapande na Beatus Malima mbele ya Hakimu Mkazi Aloyce.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Februali  2&lt;br /&gt;Kikwete aitaka mahakama ijisafishe&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;Rais  Jakaya Kikwete ameomba uongozi wa Mhimili wa Mahakama nchini kuondoa hisia za ukosefu wa uhadilifu zinazowakabili baadhi ya watendaji wa mahakama nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete aliyasema hayo leo katika sherehe ya siku ya Sheria nchini iliyofanyika katika viwanja vya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ambapo maudhui ya siku ya sheria mwaka huu ni “ Umuhimu wa elimu kuhusu mahakama kama hatua ya msingi ya utatuzi wa migogoro katika jamii”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Leo katika kusherekea siku hii ya sheria minauomba mhimili wa mahakama mambo mawili .Mosi; uadilifu katika utoaji haki…bado kuna hisia ya ukosefu wa uhadilifu kwa watoaji haki ambao ni mahakama kwamba wenye fedha ndiyo wanapata haki na wasiyo na fedha hawapati haki:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“….Uwezo wa kuondoa hisia hizo mbaya upo mikononi mwenu na ninatambua sifa za uadilifu mlizokuwa nazo majaji na mahakimu licha miongoni mwenu wamekuwa na sifa za ukosefu wa uhadilifu na kwa taarifa nilizonazo uongozi umekuwa ukiwashughulikia kiutawala”alisema Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Januari 27&lt;br /&gt;Dowans yaipiga chenga serikali&lt;/em&gt; &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatimaye  kampuni ya kufua umeme ya Dowans Holdings SA na Dowans Tanzania Ltd zimewasilisha rasmi ombi la kuomba fidia ya sh bilioni 94 isajiliwe katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fidia hiyo ni ile iliyoamriwa kulipwa na TANESCO kwa kampuni hiyo baada ya shirika hilo la ugavi wa umeme nchini kutiwa hatiani na mahakama ya kimataifa ya usuluhishi migogoro ya kibiashara (ICC), kwa kile kilichoelezwa kuwa ilivunja mkataba baina yake na kampuni hiyo kinyume cha taratibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana mchana jijini Dar es Salaam, Naibu Msajili Mwandamizi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Salvatory Bongole, alisema ombi hilo la Dowans dhidi ya TANESCO, liliwasilishwa Januari 25 mwaka huu mahakamani hapo na wakili wa kujitegemea ambaye anaiwakilisha kampuni hiyo, Kennedy Fungamtama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bongole alisema ombi hilo limepewa namba 8/2011 na jaji wa kulisikiliza ameshapangwa ingawa tarehe ya kuanza kusikilizwa kwa ombi hilo bado haijapangwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Januari 6&lt;br /&gt;Vigogo wa Chadema kortini Arusha&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Freemen Mbowe, Katibu Mkuu Dk.Wilbroad Slaa na wanachama wengine wafikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakikabiliwa na makosa kufanya mkusanyiko haramu Januari 5 mjini Arusha.&lt;br /&gt;Nawatakieni wasomaji wote kheri ya mwaka mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;www.katabazihappy.blogspot.com&lt;/strong&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Desemba 31 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5335010810910963484?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5335010810910963484/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5335010810910963484' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5335010810910963484'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5335010810910963484'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/matukio-makubwa-mahakamani-2011.html' title='MATUKIO MAKUBWA MAHAKAMANI 2011'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-4yYBKrEGYAc/Tv2N2EHIMuI/AAAAAAAAApg/p6Rq7FIXJEk/s72-c/jaji%2Bmkuu%2Bchande.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3446964277561264074</id><published>2011-12-30T12:25:00.001+03:00</published><updated>2011-12-30T12:29:03.998+03:00</updated><title type='text'>JAJI MAKARAMBA UMENENA</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-iSZCZnqzaWU/Tv2ETZGYacI/AAAAAAAAApU/Uw8lug1Ao14/s1600/happiness%2BKatabazi-mpyaaaaaaaaaaaa.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 214px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-iSZCZnqzaWU/Tv2ETZGYacI/AAAAAAAAApU/Uw8lug1Ao14/s320/happiness%2BKatabazi-mpyaaaaaaaaaaaa.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5691850972756208066" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KWANZA namshukuru mungu kwa kuweza kunipa uzima na afya njema na hadi Desemba 25 mwaka huu, nikaweza kutimiza umri wa miaka 33.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikiachana na hilo,leo nitajadili ushauri uliotolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara Robert Makaramba alioutoa Desemba 26 mwaka huu kwa vyombo vya habari  kabla ya kufungua  tamasha  la vipaji  kwa vijana Wakatoriki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Makaramba aliwataka  waandishi wa habari  nchini kuungana  na kupiga kelele kwa serikali  ili ibadilishe  sheria ya uchochezi  iliyorithiwa  kutoka kwa wakoloni  kwa kuwa ni hatari  na inaweza  kusababisha  wengi wao  kufungwa  jela pamoja  na vyombo vya habari  kufilisiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema lazima waandishi waungane  kupitia Press Club zao na kuhakikisha wanadai  mabadiliko  katika sheria  hiyo kwani sheria ya uchochezi  ipo na kwa namna yoyote  mwandishi  anaweza kuambiwa  ameivunja  na hivyo kujikuta  akifikishwa mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi binafsi nikiwa kama mwandishi wa habari na mwanafunzi wa fani ya Sheria hivi sasa, napenda kuunga mkono ushauri huo wa Jaji Makaramba kwetu sisi waandishi wa habari kwani endapo waandishi wa habari hivi sasa tutaacha dharau, ubinafsi na ujinga tunaweza kuufanyia kazi kwa vitendo ushauri huo ulitolewa na jaji huyo ambaye alishawahi kuwa mwadhiri wa katika kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kabla ya kuteuliwa kuwa jaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni wazi kwamba Ibara ya 18(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inatoa uhuru wa kila mtu kutoa fikra zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hakuna ubishi kwamba licha haki hiyo imewekwa ndani ya Katiba kwa maandishi lakini wakati huu wa utawala wa Serikali ya Awamu ya Nne inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete sote ni mashahidi, vyombo vya habari na waandishi wa habari tumekuwa na uhuru mpana sana wa kujadili masuala mbalimbali na mengine nyeti  bila vyombo vya dola kuvamia vyumba vyetu vya habari na kufanya uharibifu au kuwadhuru waandishi wa habari wazi wazi kama tunavyoshuhudia nchi za wenzetu ambapo watawala wamekuwa wakitumia vyombo vya dola kubugudhi wanahabari na kuaharibu mitambo ya vyombo vya habari.&lt;br /&gt;Sisi waandishi wa habari hapa nchini tunafahamiana vizuri tu kwani baadhi ya waandishi habari tumekuwa tukitumiwa na wanasiasa wanaoasimiana au wenye nia ya kuwania madaraka  ya juu kupitia vyama vyao vya hasa wale wa Chama cha Mapinduzi(CCM) kuandika habari za kuwachafua wanasiasa wenzao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na wanasiasa hao wamekuwa wakati mwingine wamekuwa wakitupatia hata mazungumzo mbalimbali yanayojadiliwa kwenye vikao vya siri vya vyama vyao ambayo mazungumzo hayo yakichapishwa kwenye vyombo vya habari yanakuwa yamemchafua mwanasiasa wanawayehasimiana naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na situ tumekuwa tukitumiwa na wanasiasa, bali hata wafanyabiashara na makundi mengine katika jamii nayo yamekuwa yakiwatumia baadhi ya waandishi wasio waadilifu ama kwa kujua au kutokujua kupenyeza ajenda zao zichapishwe kwenye vyombo vya habari kwa maslahi yao binafsi badala ya taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na wakati mwingine waandishi wa habari wa aina hiyo wamekuwa wakikubali kuaziandika habari hizo bila ya kuwa na vielelezo vyovyote mkononi jambo ambalo mwisho wa siku serikali au mtu binafsi anapoamua kulishtaki gazeti au kuwafikisha wahariri na waandishi wa habari mahakamani, wanajikuta hawana ushahidi ambao unaounga mkono habari au makala walizozichapisha ambazo zimeleta madhara kwa watu au serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa kifungu cha 9 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002, kinasema  kutojua sheria siyo kinga ya kutokuadhibiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo sisi waandishi wa habari tukae tukijua sheria ya uchochezi ipo na ni kweli ni hatari kwetu sisi waandishi wa habari na endapo siku serikali itakapoamua kuanza kuitumia dhidi yetu ni wazi kabisa tutajikuta tukiangukia kwenye mkondo ule ule wa kufikishwa mahakamani na magerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo zuri tumelipata kupitia hukumu mbalimbali zilizotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Mauji ya Kimataifa yenye makao makuu yake mjini Arusha,ambapo tulishuhudua waandishi wa habari walivyotiwa hatiani kwa makosa ya uchochezi na kuhukumiwa kwenda jela.&lt;br /&gt;Lakini pia nimalizie kwa kutoa rai kwa wamiliki wa vyombo vya habari hapa nchini waondokane na uwekezaji uchwara katika sekta ya habari na badala yake waanze kuajili wanasheria kwa wingi ambao wanasheria hao ambao kutwa nzima watakuwa wakishinda ndani ya vyombo vya habari na kuzipitia habari zote zinazoandikwa na waandishi na kuhaririwa na wahariri ili kuweza kunusuru waandishi, wahariri na vyombo vya habari kukumbwa na kadhia ya kufikishwa mahakamani kwa kuandika na kupitisha habari ambazo ni za kichochezi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho nimalize kwa kuwakumbusha waandishi wenzangu kuwa kila mmoja atimize wajibu wake kwa maslahi ya taifa hili na siyo kwa maslahi ya manyang’au kwani endapo tutakubali kuandika habari au makala za uchochezi mwisho wa siku tutaangukia mikononi mwa dola jambo ambalo si  jema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo wakati tukitafakari ushauri wa Jaji Makaramba,na sisi waandishi wa habari miongoni mwetu tujitazame upya na huu uhuru mpana wa kuandika na kuzungumza tuutumie vizuri kwaajili ya kuuletea tija taifa letu na siyo kuwaletea tija wanasiasa manyang’au ambao leo hii wameanza kupiga jalamba kuutaka  urais wa Tanzania mwaka 2015 kwa gharama zozote kwani mwisho wa siku madhara ya kufunguliwa kesi yatakapotupata wanasiasa hao manyang’au  hawatatusaidia kwa lolote na hiyo ndiyo tabia ya wasiasa wengi hapa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nawatakia maandalizi mema ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2012.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika&lt;br /&gt;0716- 774494&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Septemba 29 mwaka 2011.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3446964277561264074?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3446964277561264074/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3446964277561264074' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3446964277561264074'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3446964277561264074'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/jaji-makaramba-umenena.html' title='JAJI MAKARAMBA UMENENA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-iSZCZnqzaWU/Tv2ETZGYacI/AAAAAAAAApU/Uw8lug1Ao14/s72-c/happiness%2BKatabazi-mpyaaaaaaaaaaaa.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1229295770699632514</id><published>2011-12-30T12:23:00.002+03:00</published><updated>2011-12-30T12:25:39.457+03:00</updated><title type='text'>KESI YA KAFULILA,NCCR-MAGEUZI-MAWAKILI WATUNISHIANA MISULI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini kimedai vyombo vya habari  vilivyochapisha na kutangaza habari jana kuhusu amri ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam  katika kesi ndogo Na.218/2011 iliyofunguliwa mahakamani hapo na Mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho David Kafulila na wenzie saba.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Idara ya Katiba  na Sheria  wa chama hicho, Dk.Sengondo Mvungi katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jana katika makao makuu ya chama hicho ambapo alisema lengo la mkutano huo ni kutoa ufafanuzi zaidi wa kilichoamriwa na Jaji Alise Chinguile juzi jioni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nyie vyombo vya habari hivi mmefikia hatua sasa ya kuchakachua hata amri za mahakama?Kumbukeni hata vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyotokea Rwanda, waandishi wa habari walishiriki kuleta machafuko yale sasa nataka niwaeleze jambo moja mfahamu kuwa hii Tanzania ni yetu sote na kamwe mimi na chama changu hatuwezi kuona nyie waandishi wa habari mnachakachua hata amri za mahakama halafu tunanyamaze kimya”alisema Dk.Mvungi kwa sauti ya ukali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk.Mvungi akitolea ufafanuzi wa kilichoamliwa na mahakama ni kuhusiana na yale waliyoyaomba ambapo hakuna hati yoyote  inayoonyesha maombi ya kubatilisha maamuzi ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho yaliyotolewa Desemba 17 mwaka huu na kwamba suala la kuamuru upande katika kesi usifanye jambo zaidi ni katika  mamlaka  ya mahakama ambalo chama hakina tatizo  na suala hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ni vyema ieleweke wazi kwamba hakuna amri yoyote ya mahakama iliyotolewa ya kuwabakiza waliovuliwa uanachama  katika chama.Wala hakuna amri ya kuwafutia adhabu yoyote waliyopewa wale  waliodhibiwa . Hivyo maamuzi ya NEC yababaki kuwa sahihi na halali  kwa mujibu  wa sheria za nchi  mpaka  pale ambako mahakama itaamua vinginevyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Msimamo  wa chama chetu kwa sasa ni kwamba maamuzi yake ya NEC ambayo yalimvua uanachama Kafulila bado hayajatenguliwa wala kujadiliwa na mahakama yoyote ile.Isipokuwa  kwa sasa tumepokea amri ya Mahakama Kuu  ikizuia chama kisiendelee na hatua zaidi dhidi ya Kafulila na wenzake  walioshirikiana kushitaki chama kwenye kesi  Na.218/2011 mpaka shauri la msingi litakapoamriwa”alisema Dk.Mvungi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema msimamo wa chama chake ni kwamba hautaipinga amri hiyo ya mahakama licha amri hiyo imetolewa bila wadaiwa ambao ni Chama cha NCCR-Mageuzi na Mwenyekiti wake James Mbatia bila kujulishwa wala kupewa wito wa mahakama kuwa Kafulila amewafungulia kesi  mahakamani hapo na kwamba wameshangazwa na hatua hiyo ya mahakama ya kusikiliza ombi hilo bila ya kutoa wito wa kuitwa kwa wadaiwa ili waje kujitetea na kwamba chama hicho kimeamua kitaenda kuudhulia kwenye kesi kubwa ambayo itatajwa Februali 21 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyombo vya habari vingi jana viriripoti habari ambazo zilimkariri wakili wa Kafulila, Daniel Welwel kuwa mahakama imetoa amri ya kuzuia utekelezwaji wa uamuzi wa NEC ya chama hicho wakati amri ya mahakama haikusema hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Desemba 29 mwaka 2011.&lt;br /&gt;mwisho&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1229295770699632514?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1229295770699632514/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1229295770699632514' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1229295770699632514'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1229295770699632514'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/kesi-ya-kafulilanccr-mageuzi-mawakili.html' title='KESI YA KAFULILA,NCCR-MAGEUZI-MAWAKILI WATUNISHIANA MISULI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1168824042423333367</id><published>2011-12-30T12:10:00.002+03:00</published><updated>2011-12-30T12:23:09.563+03:00</updated><title type='text'>KAFULILA AREJESHEWA UBUNGE</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetoa amri ya muda ya kusitisha utekelezwaji wa azimio la kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi, kilichomvua uanachama, David Kafulila (Kigoma Kusini), hivyo kupoteza kiti chake cha ubunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Amri hiyo ya muda ilitolewa jana na Jaji Alise Chinguilwe, muda mfupi baada ya kusikiliza ombi lililoletwa chini ya hati ya dharura na Kafulila kupitia kwa wakili wake, Daniel Welwel.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa uamuzi huo uliomwacha Kafulila akiwa na furaha isiyo kifani, Jaji Chinguilwe alisema, ametoa uamuzi huo baada ya kusikiliza na kuridhishwa na hoja za wakili huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nimesikiliza hoja za wakili wa mlalamikaji (Kafulila) na mahakama hii inatoa amri ya kusimamisha utekelezaji wa azimio hilo la  NEC ya Chama cha NCCR- Mageuzi ambalo lilimvua uanachama mlalamikaji kwa madai kuwa alikiuka katiba ya chama hicho,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akifafanua juu ya uamuzi huo, jaji huyo alisema kuwa mahakama yake imeona kuwa endapo itaruhusu utekelezwaji wa azimio la NEC ya chama hicho iendelee na uamuzi wake, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), italitangaza jimbo hilo kuwa liko wazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Na ni wazi kuwa NEC ikishatangaza kuwa jimbo hilo liko wazi, itaitisha uchaguzi mdogo wakati kesi ya msingi iliyofunguliwa na Kafulila itakuwa bado haijatolewa uamuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hivyo basi, mahakama yangu imezingatia mambo yote hayo, kwa hiyo inakubaliana na ombi la kuzuia utekelezwaji wa azimio la kikao hicho hadi kesi ya msingi iliyofunguliwa na Kafulila mahakamani hapo, itakapo malizika,” alisema Jaji Chinguile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa amri hiyo ya Mahakama, Kafulila ni Mbunge halali wa Kigoma Kusini hadi hapo mahakama itakapotoa hukumu ya kesi ya msingi iliyofunguliwa na mwanasiasa huyo kijana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ijumaa iliyopita Kafulila alifungua kesi ya madai dhidi ya chama hicho na Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia, ya kupinga uhalali wa kikao cha NEC ya NCCR–Mageuzi, kilichoketi Desemba 17 mwaka huu, jijiji Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikao hicho pamoja na mambo mengine, kilimvua uanachama mbunge huyo kwa madai ya utovu wa nidhamu na kukiuka kanuni na taratibu za chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo namba 218/2011, itakuja tena Februari 21mwakani ambapo itakuja kwa ajili ya kutajwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa miezi kadhaa sasa, Kafulila amekuwa akiripotiwa na vyombo vya habari kuwa amekuwa akimshinika Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia ajivue gamba kwa madai kuwa ameshindwa kukiongoza chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msimamo huo uliibua makundi ndani ya chama hicho na mwisho wa siku chama hicho kikafikia uamuzi wa kuitisha kikao cha NEC cha dharura, kisha kufanya uamuzi wa kumfukuza uanachama Kafulila.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali ya Kafulila, chama hicho pia kilimvua uanachama kada wake aliyekuwa mgombea wa kiti cha urais katika uchaguzi uliopita, Hashim Rungwe, kwa madai kama hayo ya Kafulila.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia NEC ya chama hicho, ilitoa onyo kali kwa baadhi ya wabunge na wanachama wengine ambao wanadaiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Kafulila.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Desemba 28 mwaka 2011&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1168824042423333367?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1168824042423333367/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1168824042423333367' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1168824042423333367'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1168824042423333367'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/kafulila-arejeshewa-ubunge.html' title='KAFULILA AREJESHEWA UBUNGE'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2902064584622583637</id><published>2011-12-30T12:07:00.001+03:00</published><updated>2011-12-30T12:10:36.688+03:00</updated><title type='text'>KESI YA MRAMBA BADO HAKIELEWEKI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imesema kuwa mwendo wa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi ya umma na kuisababishia serikali  hasara ya shilingi bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Mramba na wenzake bado haujakamilika.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji  John Utamwa anayesaidiwa na Hakimu Mkazi Sam Rumanyika na Saul Kinemela   alisema kesi hiyo ilikuja jana kwaajili ya kutajwa na kuangalia kama mwenendo wa kesi hiyo umekamilika lakini amebaini mwenendo wa kesi hiyo ambao ulishachapwa una makosa.&lt;br /&gt;Jaji Utamwa alisema kwa sababu hiyo anaagiza mwenendo huo ukafanyiwe marekebisho na wahusika na endapo utakamalika basi mahakama hiyo itazipatia pande hizo mbili na akaiarisha kesi hiyo hadi Januari 13 mwakani ambapo kesi hiyo itakuja kwaajili ya kutajwa.&lt;br /&gt;Mbali na Mramba washtakiwa wengine ni Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Daniel Yona ambao wanatetewa na mawakili wa kujitegema Peter Swai, Hurbet Nyange na Elisa Msuya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima, Desemba 15 mwaka 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2902064584622583637?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2902064584622583637/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2902064584622583637' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2902064584622583637'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2902064584622583637'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/kesi-ya-mramba-bado-hakieleweki.html' title='KESI YA MRAMBA BADO HAKIELEWEKI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1470709297567406511</id><published>2011-12-30T11:44:00.002+03:00</published><updated>2011-12-30T12:07:17.868+03:00</updated><title type='text'>SERIKALI YASHAURIWA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SERIKALI imetakiwa kuzingatia  matakwa ya kifungu cha 7 cha Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999  na Katiba ya nchi kabla ya kuanza uchukua uamuzi wa kuwaondoa kwa nguvu wakazi wanaoishi kwenye makazi hatarishi  yaliyoathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua iliyonyesha wiki iliyopita.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ushauri huo wa kisheria umetolewa jana na Mhadhiri toka Kituo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Onesmo Kyauke jana alipofanya mahojiano maalum na gazeti hili jijini  Dar es Salaam, ambapo alisema endapo serikali haitazingatia hilo na badala yake ikatumia mabavu, mwisho wa siku itajikuta ikifikishwa mahakamani na wakazi hao na kuwalipa fidia kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kyauke alisema kifungu cha 7 cha Sheria ya Ardhi Na.113 ya mwaka 1996, kinatamka watu wanaoishi kwenye makazi hatarishi yakiwemo maeneo ya mabondeni na kwamba kifungu hicho kinawatambua wakazi wanaoshi &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa hiyo endapo serikali inataka kuwaondoa wakazi wanaoishi kwenye maeneo hayo kwanza inapaswa kuzingatia matakwa ya kifungu hicho cha sheria hiyo kwa Waziri mwenye dhamana ya ardhi kwa kuanza kutoa tangazo kwenye gazeti la serikali la kusudio la kulitangaza eneo fulani ni eneo hatarishi na kisha nakala hiyo ya hilo tangazo la waziri huyo linapaswa lipelekwe kwa wakazi wa eneo hilo waweze  kulisoma;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Na wakazi hao wakishalisoma tangazo hilo la waziri  na kama hawakubaliani nalo, wakazi hao wa eneo hilo hatari watakuwa na haki ya kwenda kutoa malalamiko yao mbele ya Kamishna wa Ardhi na kamishna wa ardhi atawasilikiza na kuandika ripoti yake na kisha ripoti hiyo kumkabidhi waziri na kumshauri waziri kuwa eneo hilo kweli ni hatarishi;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ambapo waziri huyo ataisoma ripoti hiyo na ushauri huo   na kama hataridhika na huo utetezi wao, waziri huyo ataipeleka ripoti hiyo kwa rais wa nchi na kisha rais wanchi ndiyo atakaye tangaza kulichukua eneo hilo kwasababu eneo hilo ni hatarishi na eneo hilo linakuwa ni mali ya serikali lakini pia wakazi hao watapaswa walipwe fidia”alisema Kyauke.&lt;br /&gt;Alisema licha ya rais wa nchi kutangaza kulichukua eneo hilo hatarishi kwaajili ya kulibadilisha matumuzi yake ,wakazi hao watakuwa na haki ya kupewa fidia kwanza hata kama wakazi hao walikuwa wakimiliki maeneo hayo kwa kutumia hati za kimila au za wizara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kyauke ambaye ni wakili wa kujitegemea pia alisema kwa hiyo agizo lilotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Meck Sadick na Rais Jakaya Kikwete lilowataka wakazi hao wahame halikufuata taratibu hizo za kisheria ambapo mwisho wa siku serikali inaweza kujikuta ikifikishwa mahakamani na wananchi hao na kudaiwa fidia na wakazi hao kwani kifungu cha saba cha sheria ya ardhi kinawatambua wakazi wanaoishi kwenye maeneo hatarishi ambayo yamepimwa na ambayo hayajapimwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa hiyo naiomba serikali yetu ifuate taratibu hizo za kisheria kwani ieleweke wazi Katiba ya nchi ina mpa haki mwananchi ya kumiliki mali na ardhi hivyo, katika kukabiliana na tatizo hilo natoa ushauri kwa serikali ifuate taratibu za kisheria ambazo zipo wazi”alisema Kyauke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Desemba 28 mwaka 2011&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1470709297567406511?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1470709297567406511/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1470709297567406511' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1470709297567406511'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1470709297567406511'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/serikali-yashauriwa.html' title='SERIKALI YASHAURIWA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-4001089088237273974</id><published>2011-12-08T15:58:00.002+03:00</published><updated>2011-12-08T16:40:17.873+03:00</updated><title type='text'>MAKALA YAMFIKISHA KORTINI KADA WA CHADEMA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MWANDISHI wa Safu ya ‘Kalamu ya Mwigamba (36)’ inayochapishwa kila siku ya Jumatano na gazeti la Tanzania Daima , Samson  Mwigamba (36), jana alijikuta akifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kwa kosa la kuandika makala inayowashawishi maaskari na maofisa  wa majeshi ya hapa nchini kuacha kuitii serikali iliyopo madarakani kwa sasa.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwigamba ni Mhasibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Makao Makuu na Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha na si mwandishi wa habari kitaaluma, alifikishwa hapo jana saa tatu asubuhi chini ya ulinzi mkali wa makachero wa Jeshi la polisi na kisha kuifadhiwa katika mahabusu ya mahakama hiyo wakati akisubiri  kupandishwa kizimbani na kusomewa shtaka moja la kesi ya jinai Namba 289 ya mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilipofika saa 6:21 mchana Mwigamba ambaye si Mwandishi wa Habari Kitaaluma aliondolewa katika mahabusu ya mahakama huyo huku akisindikishwa na askari polisi na kisha kuuingizwa  ndani ya chumba cha mahakama mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema na kisha Wakili Mwandamizi wa Serikali Elizabeth Kaganda alianza kumsomea shtaka linalomkabili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kaganda alidai mshtakiwa huyo anakabiliwa na kosa moja la kuwashawishi  askari  na maofisa wa jeshi la polisi, magereza na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) kutoendelea kuitii serikali iliyopo madarakani kwa sasa ambayo inaongozwa na Rais Jakaya Kikwete kinyume na kifungu cha 46(b),55(10(a) na 35 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Kaganda alidai  Novemba 30 mwaka huu,gazeti la Tanzania Daima la siku hiyo toleo Na.2553  lilichapisha waraka  uliokuwa na kichwa cha habari kisemacho “Waraka  Maalum  kwa Askari  wote” ambao uliandikwa na mshtakiwa huyo kupitia safu yake ijulikanayo kwa jina la ‘Kalamu ya Mwigamba’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili huyo wa serikali alidai kuwa mshtakiwa huyo kupitia walaka wake huo  kwa makusudi na kwa nia kuvunja sheria za mamlaka ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliwashawishi askari na maofisa  wa jeshi la polisi, Magereza  na JWTZ kutoendelea kuiiti serikali iliyopo madarakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo mshtakiwa huyo ambaye alikuwa amevalia magwanda ya chama hicho alikana kosa hilo na wakili Kaganda alidai upande wa jamhuri hauna pingamizi la mshtakiwa kupewa dhamana kwasababu kosa linalomkabili lina dhamana kwa mujibu wa sheria nakuongeza kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake Hakimu Waliarwande Lema alisema ili mshtakiwa apate dhamana ni lazima awe na wadhamini wawili wa kuaminika ambao kila mmoja atatakiwa asaini  bondi ya shilingi milioni tano na mdhamini mmoja kati ya hao wadhamini wawili atapaswa awasilishe hati ya mali isiyoamishika yenye thamani ya shilingi milioni tano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Lema alisema sharti jingine ni kwamba mshtakiwa huyo atatakiwa  kila mwisho wa mwezi aende kuripoti katika kituo Kikuu cha Polisi Kati(central) na mshtakiwa huyo atatakiwa asalimishe hati yake ya kusafiria mahakamani hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha wakili wa mshtakiwa Edson Mbogoro alieleza kuwa mshtakiwa ana wadhamini wawili  ambao ni madiwani wa wilaya ya Ilala ambao wamekuja na barua zinazowatambulisha kuwa wao ni madiwani na kwamba hati hiyo ya mali isiyoamishika hawakuja nayo ila akaiomba mahakama impatie dhamana mteja wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ni hivi hapa hakuna kuombana omba masharti ya dhamana ndiyo hayo hapo juu nimeishayataja kwahiyo ninachotaka masharti hayo yatekelezwe kwa vitendo na siyo kuniomba sijui nini….kwanza nina kazi nyingi za kufanya siyo kesi hii moja…kwasababu mshtakiwa ameshindwa kutimiza masharti hayo ya dhamana naamuru amepelekwe gerezani hadi Desemba 20 mwaka huu, kesi hii itakapokuja kwaajili ya kutajwa”alisema kwa ukali Hakimu Lema na kufanya Mwigamba kunyong’onyea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya hakimu huyo kusema hayo askari hao walimtoa kizimbani Mwigamba na kisha kumrudisha katika mahabusu ya mahakamani hapo tayari kwaajili ya kusubiri gari la kumpeleka gerezani.Gazeti hili lilimshuhudia mmoja wa ndugu wa mshtakiwa huyo akitoka ndani ya viwanja hivyo akienda kwenye maduka ya jirani na mahakama hiyo na kumnunulia maboksi ya juice mbili na kisha kumpelekea mstakiwa katika mahabusu hayo kabla ya kupakizwa kwenye gari na kupelekwa gerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni mara ya kwanza kwa Tanzania kumfungulia kesi ya  kushawishi au uchochezi mchangiaji wa makala kweny magazeti ya hapa nchini. Pia hii itakuwa ni mara ya pili kwa serikali kumfungulia kesi ya jinai Mwigamba tangu mwaka huu ulipoanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwani Mwigamba na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe, Katibu Mkuu Dk.Wilbroad Slaa , mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema na Mbunge wa Moshi Mjini Philemon Ndesamburo na wanachama wengine  wanakabiliwa na kesi ya mkusanyiko na maandamano haramu waliyoyafanya Januari 5 mwaka huu, katika jiji la Arusha  na kesi hiyo ipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na imefikia hatua ya kuanza kusikilizwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Desemba 9 mwaka 2011.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-4001089088237273974?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/4001089088237273974/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=4001089088237273974' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4001089088237273974'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4001089088237273974'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/makala-yamfikisha-kortini-kada-wa.html' title='MAKALA YAMFIKISHA KORTINI KADA WA CHADEMA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-6135896673029441630</id><published>2011-12-08T15:54:00.002+03:00</published><updated>2011-12-08T15:58:10.813+03:00</updated><title type='text'>UPELELEZI KESI YA MATTAKA TAYARI</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kununua magari ya mitumba kinyume na Sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka 2004 inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Ndege(ATCL), David Mattaka na wenzake umeileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Mwandamizi wa Serikali Oswalid Tibabyemokya alieleza hayo mbele ya Hakimu Mkazi Ritha Tarimo wakati kesi hiyo jana ilipokuja kwaajili ya kutajwa ambapo alieleza kuwa upelelezi huo umekamilika na kwamba wanaiomba mahakama hiyo ipange tarehe kwaajili ya kuja kuwasomea washtakiwa maelezo ya awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake Hakimu Tarimo alisema  anaiarisha kesi hiyo hadi  Januari 5 kesi hiyo itakapokuja kwaajili ya kutajwa na kwamba usikilizwaji wa awali utafanyika Januari 23 mwakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 22 mwaka huu, Mattaka anayetetewa na wakili Peter Swai  na Kaimu Ofisa Mkuu wa Kitengo cha Fedha Elisaph Mathew Ikomba na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Ndani, William Haji anayetetewa na wakili Alex Mgongolwa walifikishwa mahakamabi hapo kwa mara ya kwanza wakikabiliwa na makosa  kushindwa kutunza kumbukumbu za mawasiliano ya manunuzi waliyokuwa wakifanya na mtoa huduma kinyume na kifungu cha 55(3),87(1)(f) cha Sheria ya Manunuzi ya Umma Na. 21 ya mwaka 2004 na kanuni ya 17(1) ya Sheria ya Manunuzi (Goods,Works,Non-Consultant Services and Disposal of Public Asets by Tender) Regulation,G.N. No.97 of 2005.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa(TAKUKURU) alidai shtaka la pili ambalo linawakabili ni la kushindwa kutimiza matakwa ya vifungu vya Sheria ya Manunuzi ya Umma na Kanuni zake kinyume na kifungu cha 87(1)(f) cha Sheria ya Manunuzi ya umma ya mwaka 2004.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shtaka la tatu  lina mkabili Mattaka peke yake ni matumuzi mabaya ya madaraka kinyume na kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa ya mwaka 2007 ambapo Mattaka alitoa idhini ya kununuliwa kwa magari  hayo  bila ya kuwepo kwa mkataba wa pande zote mbili na bila idhini ya Bodi ya ATCL.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Desemba 6 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-6135896673029441630?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/6135896673029441630/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=6135896673029441630' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6135896673029441630'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6135896673029441630'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/upelelezi-kesi-ya-mattaka-tayari.html' title='UPELELEZI KESI YA MATTAKA TAYARI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7644585569298874475</id><published>2011-12-08T15:50:00.002+03:00</published><updated>2011-12-08T15:54:16.177+03:00</updated><title type='text'>MEJA JWTZ KORTINI KWA UTAPELI</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MEJA wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 511 cha Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, Muhsini Kombo (39) na Devotha Soko (33), jana walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa tuhuma ya kujipatia sh milioni 100 kwa njia ya danganyifu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema, wakili wa Serikali, Ladslaus  Komanya, alidai katika shitaka la kwanza kuwa Kombo pamoja na Devotha Soko walikula njama na kughushi kati ya Januari-Machi mwaka 2008.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Komanya alidai shitaka la pili ni kwamba Machi 25 mwaka 2008  kwa nia ya udanganyifu washitakiwa walighushi mhutasari  wa kikao cha Machi 25 mwaka 2008  na kujaribu kuonesha  kuwa familia  ya marehemu Awadhi Shoo imemteua  Devotha Soko kuwa msimamizi wa mirathi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika shitaka la tatu inadaiwa kuwa Aprili 23 mwaka 2008 , Devotha alitoa nyaraka za uongo  katika Mahakama ya Mwanzo Sinza  jijiini Dar es Salaam,  kwa lengo  la udanganyifu  na akajaribu kuonyesha ameteuliwa  kusimamia mirathi ya familia ya marehemu Awadhi Shoo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika shitaka la tano, inadaiwa kuwa Mei 15 mwaka 2008  katika Mahakama ya Mwanzo Sinza , Devotha alimpatia  hakimu wa mahakama hiyo  taarifa  hizo ambazo  si za kweli,  kuwa marehemu  Awadhi Shoo  alifariki dunia mwaka 1986  akiacha  watoto  wawili, Juma na Asha na kwamba mshitakiwa huyo wa pili amesimamia mirathi hiyo huku akijua si kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imeelezwa kuwa Januari 21 mwaka 2011  kwa nia ya udanganyifu, washitakiwa wote wawili walijipatia  sh milioni 100  kutoka kwa Rukia Zidadu baada ya kumuuzia nyumba iliyopo kitalu Na. 281 Block 46 huko Kijitonyama. Washitakiwa wamekana mashitaka na upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Lema alikubali dhamana ya fedha taslimu sh milioni 25 au kuwasilisha hati ya mali yenye thamani ya kiasi hicho cha fedha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Devotha alitimiza masharti hayo ya dhamana lakini Meja Kombo alishindwa kutimiza masharti hayo na amepelekwa rumande hadi  Desemba 19 mwaka huu, kesi hiyo itakapokuja kwa ajili ya kutajwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Desemba 6 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7644585569298874475?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7644585569298874475/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7644585569298874475' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7644585569298874475'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7644585569298874475'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/meja-jwtz-kortini-kwa-utapeli.html' title='MEJA JWTZ KORTINI KWA UTAPELI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7357625633720652302</id><published>2011-12-08T15:48:00.001+03:00</published><updated>2011-12-08T15:50:28.949+03:00</updated><title type='text'>MCHINA AHUKUMIWA, AKAMATWA TENA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, jana ilimhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya sh 100, 000 raia wa  China Xuxiab We Ng (26) baada ya mshtakiwa kukiri kutenda kosa la kumzuia ofisa wa Idara ya Uhamiaji asifanye kazi yake.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Aloyce Katemana, muda mfupi baada ya Mwanasheria wa Idara ya Uhamiaji  Patrick Ngayomela,  kumsomea shtaka linalomkabili mshtakiwa  ambaye anatetewa na wakili wa kujitegemea, Yassin Memba, na kisha mshtakiwa jana alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza kukiri kutenda kosa hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Katemana alisema kwa kuwa mshtakiwa amekiri kosa linalomkabili  mahakama hiyo inamtia hatiani kwa kosa hilo ambalo ni kinyume na kifungu cha 31(1)(f) na (2) cha Sheria ya Uhamiaji, hata hivyo mshtakiwa huyo ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Teng Da Foot  Wear Co Ltd, alilipa faini hiyo na kuachiliwa huru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dakika kumi baada ya raia huyo wa China kulipa faini, alijikuta akikamatwa na askari wa polisi wa mahakamani hapo na kisha kupelekwa kikuo kikuu cha Polisi Kati, kwa ajili ya kufunguliwa kesi mpya ya shambulio la kudhuru mwili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali wakili wa Idara ya Uhamiaji,  Ngayomela, akimsomea shtaka lake, alidai kuwa Novemba 30, mwaka huu, huko Kariakoo mshtakiwa huyo alimzuia Ofisa Uhamiaji  Koplo Mussa Abdallah Mkubwa, kufanya kazi yake  kwa kumshambulia  na kumsababishia  maumivu makali  yaliyompelekea kulazwa hospitali  akiwa hajitambui.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwamba baada ya kumpiga mshtakiwa huyo  alikamatwa na kupelekwa  katika Kituo cha Polisi Kati  na kuchukuliwa maelezo na alikiri kosa  na iliamuriwa afikishwe mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Desemba 3 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7357625633720652302?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7357625633720652302/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7357625633720652302' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7357625633720652302'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7357625633720652302'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/mchina-ahukumiwa-akamatwa-tena.html' title='MCHINA AHUKUMIWA, AKAMATWA TENA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2927978833245268432</id><published>2011-12-08T15:33:00.002+03:00</published><updated>2011-12-08T15:48:11.219+03:00</updated><title type='text'>MAWAKILI WA LIYUMBA WAKWAMISHA KESI</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ilijikuta ikishindwa kuanza kusikiliza pingamizi la awali lililotarajiwa kuwasilishwa na mawakili wa  aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba (63), anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu gerezani kwa sababu ya mawakili hao kutokuwepo mahakamani bila kutoa taarifa rasmi.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Liyumba anayetetewa na mawakili wa kujitegemea Majura Magafu na Hudson Ndusyepo, alifika mahakamani na kudai kuwa Magafu amemweleza kuwa yuko Mahakama Kuu kwenye kesi nyingine na Ndusyepo kampeleka hospitalini baba yake mzazi kwani ni mgonjwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja hiyo ilionekana kumkera wakili wa serikali Elizabeth Kaganda, ambaye alidai upande wa jamhuri ulikuwa tayari kwa ajili ya kuanza kusikiliza pingamizi la upande wa utetezi na kwamba anasikitishwa na kitendo cha mawakili hao kutofika mahakamani bila kutoa taarifa za udhuru kwa utaratibu unaostahili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake, Hakimu Stewart Sanga, alimweleza mshtakiwa huyo kuwa mawakili wake walipaswa kutoa taarifa  mahsusi kama kweli wako Mahakama Kuu  na kwa ajili gani  kwani wakili kwenda kuhudhuria kesi Mahakama Kuu  si jambo la kushtukiza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema anaiahirisha kesi hiyo hadi Desemba 21, mwaka huu, kesi hiyo itakapokuja kwa ajili ya kusikiliza pingamizi la awali ambalo litawasilishwa na mawakili wa utetezi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Septemba 8, mwaka huu, Liyumba alifikishwa mahakamani akikabiliwa na kesi ya kukutwa na simu gerezani kinyume na sheria za Magereza chini ya kifungu cha 86 (1,2) kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Desemba 3 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2927978833245268432?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2927978833245268432/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2927978833245268432' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2927978833245268432'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2927978833245268432'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/mawakili-wa-liyumba-wakwamisha-kesi.html' title='MAWAKILI WA LIYUMBA WAKWAMISHA KESI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-6770081978476672194</id><published>2011-12-08T15:08:00.002+03:00</published><updated>2011-12-08T15:28:35.925+03:00</updated><title type='text'>JERRY MURRO ASHINDA KESI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-_Nlrv5rn2Ks/TuCtRErEKAI/AAAAAAAAApI/N5_cSotiOJc/s1600/murrooooo.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 274px; height: 184px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-_Nlrv5rn2Ks/TuCtRErEKAI/AAAAAAAAApI/N5_cSotiOJc/s320/murrooooo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5683733238565316610" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemwachilia huru aliyekuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC 1), Jerry Murro (30) na wenzake ambao walikuwa wakikabiliwa na makosa ya kula njama na kuomba rushwa ya sh milioni 10 baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashitaka yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na hilo,  tayari Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), Dk. Eliezer Feleshi kupitia  Mkurugenzi Msaidizi  wa ofisi hiyo, Stanslaus Boniface, jana saa 6:46 mchana aliwasilisha hati ya nia ya kuikatia rufaa hukumu hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na mahakama hiyo imekwisha kuipokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hukumu hiyo iliyokuwa ikisubiriwa kwa shahuku kubwa na umma, ilisomwa jana kwa takriban saa mbili na Hakimu Mkazi, Frank Moshi, ambaye alisema baada ya kupitia kwa kina ushahidi wa mashahidi saba wa upande wa Jamhuri, mashahidi wanne wa upande wa utetezi na vielelezo vilivyotolewa na upande wa Jamhuri, mahakama hiyo imefikia uamuzi wa kuuona upande wa Jamhuri umeshindwa kuthibitisha kesi yao, kwakuwa ushahidi wao ni dhahifu na umeshindwa kuishawishi mahakama hiyo kuwatia hatiani washitakiwa hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Moshi alisoma hati ya mashitaka iliyokuwa na jumla ya mashitaka matatu, ambapo shitaka la kwanza ni la kula njama kinyume cha kifungu namba 32, shitaka la pili ni kuomba rushwa ya sh milioni 10 kutoka kwa aliyekuwa mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Michael Wage, kinyume cha kifungu cha 15(1)(a) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007  ambalo wanadaiwa kulitenda Januari 29, mwaka 2010.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shitaka la tatu ambalo linamkabili mshitakiwa wa pili, Edmund Kapama ‘Dokta’ na mshitakiwa wa tatu, Deogratius Mugassa, ni kudai kuwa wao ni maofisa wa Takukuru  kinyume cha kifungu cha 100 B cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007, ambacho kinasomwa pamoja na kifungu cha 35 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 ya mwaka 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Moshi alisema upande wa Jamhuri katika harakati zake za kuthibitisha shitaka la kwanza ilimleta shahidi wa tatu wa upande wa Jamhuri, Michael Wage, ambaye katika ushahidi wake alidai kukutana na washitakiwa hao katika Hoteli ya Sea Cliff Januari 29, mwaka jana, na kielelezo cha tatu ambacho ni picha za kamera ya CCTV ya hoteli hiyo ambayo alidai inaonyesha sura za washitakiwa hao na yeye na kwamba alikuwa akifanya mawasiliano kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu (SMS).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sasa mahakama imefikia uamuzi wa kuona ushahidi wa Wage una mapungufu  kwani Jamhuri imeshindwa kuleta nakala ya mawasiliano ya ujumbe mfupi ‘print out’ ambazo zingethibitisha Murro alikuwa akiwasiliana na Wage.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Pia kwa kitendo cha Jamhuri kushindwa kuleta video ya kuona mahakamani, gwaride la utambulisho na nakala halisi ya picha za CCTV zinazoonyesha washitakiwa wote  kweli walikutana pamoja na Wage…mahakama hii inatamka wazi kuwa Jamhuri imeshindwa kuthibitisha kosa hili na kwa sababu hiyo inawaachilia huru washitakiwa wote katika kosa hili la kula njama,” alisema Hakimu Moshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akilichambua kosa la pili ambalo ni la kuomba rushwa ambalo pia linawakabili washitakiwa wote watatu, alisema kwa mujibu wa ushahidi wa shahidi wa tatu wa upande wa Jamhuri, Wage alidai kuwa mshitakiwa wa pili na wa tatu (Kapama na Muggasa) walijitambulisha kwake kama wao ni maofisa wa Takukuru na wakamtaka awapatie kiasi hicho cha fedha kwakuwa yeye anakabiliwa na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma ili wasimkamate na kwamba Murro alimwambia ampatie fedha hizo ili asiende kuzirusha tuhuma hizo kwenye kipindi cha Usiku wa Habari kinachorushwa na Televisheni ya TBC1, na kwamba Kapama alipokea kianzio ambacho ni sh 9,000,000 kwa ahadi kuwa kesho yake angekuja kuwamalizia kiasi kilichosalia katika kiwango cha awali walichokuwa wakikitaka kutoka kwake ambacho ni shilingi milioni 10.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwamba Wage alidai Januari 30, mwaka jana alikwenda kutoa taarifa Kituo Kikuu cha Polisi kuwa kuna watu wanamuomba rushwa na kwamba polisi waliweka mtego ambapo waliondoka na shahidi huyo hadi mgahawa wa City Garden uliopo Mtaa wa Mkwepu jijini Dar es Salaam, na Wage akaamuliwa na polisi hao kumpigia simu Murro ili aje kuchukua kiasi cha fedha kilichosalia na kweli baada ya muda mfupi Murro alifika katika eneo la mgahawa huo na kabla ya kushuka kwenye gari alizingirwa na polisi waliokuwa wamemuwekea mtego waliokuwa wakiongozwa na shahidi wa nne, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Issa Chabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu huyo akilichambua shitaka hilo la pili, alisema mahakama imeshindwa kuelewa ni kwanini polisi hao siku hiyo walimkamata Murro kwa haraka kiasi kile na kwamba zile picha za CCTV kamera ambazo zilipokewa na mahakama kama kielelezo cha tatu hazionekani vizuri  na kwamba  haziusaidii upande wa Jamhuri  kuonyesha uhalisia wa washitakiwa hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mahakama hii imeona Hoteli ya Sea Cliff  ni eneo lenye shughuli nyingi sana na linatembelewa na watu wengi na Murro wakati akijitetea alidai  kuwa alifika katika hoteli hiyo kwa ajili ya kusaka habari na kwamba kosa hili liliungwa mkono na ushahidi wa Wage  na mahakama hii inasema Jamhuri imeshindwa pia kulithibitisha shitaka hili la pili na hivyo mahakama inawaachiria huru washitakiwa wote katika kosa la pili,” alisema Hakimu Moshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu shitaka la tatu ambalo ni la kujitambulisha kwa Wage kuwa wao ni maofisa wa Takukuru linamkabili Kapama na Mugassa peke yao, hakimu Moshi alisema mahakama imejiuliza umakini wa Wage uko wapi kwani kama ni kweli washitakiwa walijitambulisha kwake kuwa wao ni maofisa wa Takukuru ni kwanini Wage asingeomba washitakiwa hao wampatie vitambulisho vyao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, Hakimu Moshi alidai kuwa wakati Kapama na Mugassa wakijetetea waliyakana majina ya Dokta na Kaimu Mkurugenzi wa Takukuru  ambayo upande wa Jamhuri ulidai washitakiwa hao walijitambulisha kwa Wage kwa majina hayo  na kuongeza kuwa upande wa Jamhuri ulipaswa ufanye uchunguzi mitaani ili kubaini majina hayo na vyeo hivyo kama kweli washitakiwa hao wanavitumia mitaani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mahakama imeonelea shitaka hili la tatu nalo limeacha mashaka  makubwa kwani hakuna vielelezo  vinavyoonyesha washitakiwa hao Kapama na Mugassa walijiwakilisha kuwa wao ni maofisa wa Takukuru na kwasababu hiyo mahakama hii inawaachiria huru washitakiwa wote kwenye kosa hili la tatu na makosa mengine yote, hivyo kuanzia sasa washitakiwa wote mpo huru na upande wowote kama haujaridhika na hukumu yangu una haki ya kukata rufaa katika mahakama ya juu,” alisema Hakimu Moshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, hakimu huyo alitoa amri kwamba Murro aliyekuwa anatetewa na mawakili wa kujitegemea, Richard Rweyongeza na Pascal Kamala wakati washitakiwa wengine walikuwa wakitetewa na Majura Magafu  arejeshewe pingu na bastola yake ambayo ilitolewa mahakamani hapo na upande wa jamhuri kama vielelezo kwasababu vitu hivyo havikubishaniwa mahakamani hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kumalizika kusomwa kwa hukumu hiyo umati wa ndugu na jamaa wa washitakiwa hao waliwalaki kwa furaha ndugu zao hao ambao walishinda kesi hiyo nje ya viwanja vya mahakama hiyo huku ndugu mmoja wa Murro ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja alikwenda kumkabidhi chupa ya mvinyo ambayo Murro aliipokea kwa furaha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari nje ya viwanja vya mahakama hiyo huku akiwa ameambatana na mkewe Jeniffer John, Murro alisema amewasamehe baadhi ya viongozi wa serikali na maofisa wa Jeshi la Polisi ambao walimbambikizia kesi hiyo na kwamba yote ana mwachia Mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Natoa ushauri wa bure, wanachi wenzangu na maofisa serikali na polisi tuache kutafutana badala yake tufanye kazi kwa masilahi ya taifa letu, matatizo yaliyonikuta mimi yalikuwa ni yakunitafuta mimi lakini leo hii nashukuru nimeweza kuishinda kesi yangu na ninawashukuru wale wote waliokuwa karibu na mimi katika matatizo haya wakawa wananiombea na kwa moyo mmoja natamka rasmi kuwa nimewasamehe wale viongozi wa serikali na jeshi la polisi ambao walibambikia kesi hii,” alisema Murro huku akijifuta machozi na kisha kuondoka mahakamani hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, Mkurugenzi Msaidizi katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini, Stanslaus Boniface, akizungumza na Tanzania Daima  jana mchana  alisema Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini inayoongozwa na Dk. Eliezer Feleshi haijaridhika kabisa na  hukumu hiyo na kwamba jana hiyo hiyo saa saba mchana walikuwa wameishawasilisha   hati ya nia ya kukata rufaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Februari 5, mwaka 2010, washitakiwa hao walifikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo wakikabiliwa na mashitaka hayo ya kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa Michael Wage, mashitaka ambayo waliyakana na kwa wakati wote huo hadi jana kesi hiyo ilipotolewa hukumu washitakiwa hao walikuwa nje kwa dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Desemba 1 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-6770081978476672194?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/6770081978476672194/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=6770081978476672194' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6770081978476672194'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6770081978476672194'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/12/jerry-murro-ashinda-kesi.html' title='JERRY MURRO ASHINDA KESI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-_Nlrv5rn2Ks/TuCtRErEKAI/AAAAAAAAApI/N5_cSotiOJc/s72-c/murrooooo.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-602247629528068905</id><published>2011-11-30T14:52:00.006+03:00</published><updated>2011-11-30T14:56:46.826+03:00</updated><title type='text'>MWANZO,MWISHO WA KESI YA JERRY MURRO</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-LI3azeRbbuA/TtYZ39HaYHI/AAAAAAAAAo8/fOmh8IKn0RY/s1600/jeri%2B1.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 213px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-LI3azeRbbuA/TtYZ39HaYHI/AAAAAAAAAo8/fOmh8IKn0RY/s320/jeri%2B1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5680756429063610482" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NOVEMBA  20 mwaka 2011: Jerry Murro alifunga ndoa na Jeniffer John  katika kanisa  la Kiinjili la Kilutheri  Tanzania(KKKT) Usharika wa Azani Front jijini Dar es Salaam.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Oktoba 28 mwaka huu, upande wa Jamhuri uliwaowakilishwa mwanzo hadi mwisho wa kesi hii na  Mkurugenzi Msaidizi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini, Stanslaus Boniface uliwasilisha majumuisho yao kwa njia ya maandishi ambayo yaliomba mahahakama imuone Murro na wenzake wanahatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Boniface alidai hoja ya Wakili wa Murro, Richard Rweyongeza inayodai kuwa Murro hakutenda makosa hayo na kwamba anashangaa ni kwanini polisi walifanya haraka kumkamata Murro wakati alikuwa hajapokea kiasi hicho cha fedha,ni dhahifu kwasababu kabla ya Murro kukamatwa tayari  Wage  alishafika kituo cha polisi na kutoa taarifa kuwa mshtakiwa huyo amemwomba rushwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Na kifungu cha 15(1)(a) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007  kinasema kitendo cha kuomba rushwa ni kosa chini ya kifungu hicho ….sasa namshangaa sana wakili Rweyongeza anavyo dai ni kwanini polisi wasingesubiri Murro apokee zile Sh milioni 10 za rushwa.&lt;br /&gt;Tunaiomba mahakama iipuuze hoja hiyo ya wakili Rweyongeza kwasababu haina msingi kwani sheria hiyo ya kuzuia rushwa inatamka bayana mtu yoyote atayeomba rushwa, kupokea rushwa, kula njama ni makosa matatu yanayojitegemea na kitendo cha Murro kuomba rushwa tayari alikuwa ameishatenda kosa na ndiyo maana polisi walimkamata”alidai wakili Kiongozi wa Serikali Boniface.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha Wakili Boniface aliomba mahakama hiyo iikate hoja wakili wa Murro iliyokuwa ikidai kuwa Murro alikamatwa katika Hoteli ya City Garden Februali mwaka jana wakati mshatiwa huyo hotelini hapo kwaajili ya kuudhulia mkutano nma waandishi wa habari, hoja ambayo wakili hiyo wa seriakali ni ya uongo kwani siku hiyo hapakuwepo na mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika hapo na ndiyo maana si Murro wala wakili wake Rweyongeza wameweza kuleta ushahahidi unaonyesha siku hiyo hotelini hapo ulifanyika mkutano na waandishi wa habari na pia wameshindwa kumleta mtu aliyekuwa ameuitisha mkutano huo ili aje kuidhibitishia mahakama kuwa alikuwa ameitisha mkutano siku hiyo na kwamba ni yeye ndiye alikuwa amempigia simu Murro ili aje hotelini hapo kuudhulia mkutano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ni rai ya upande wa Jamhuri kuwa tumeweza kuithibitisha kesi yetu na tunaiomba mahakama imuone Murro na wenzake wana hatia katika kesi hii inayowakabili kwani ushahidi, vielelezo na utetezi waliotuoa mahakamani hapa umedhibitisha kuwa washtakiwa hao walitenda makosa yanayowakabili hivyo tunaiomba mahakama hii tukufu iwatie hatiani”alidai Wakili Boniface.&lt;br /&gt;Oktoba 21 mwaka huu, upande wa utetezi unaowakilishwa na mawakili wa kujitegemea  Rweyongeza, Majura Magafu nao waliwasilisha majumuisho yao kwanjia ya maandishi na kuiomba mahakama iwaachilie huru washtakiwa hao kwasababu hawana hatia kwani ushahidi ulioletwa na Jamhuri ni wa kuunga unga na hautoshelezi kuishawishi mahakama kuwatia hatiani.&lt;br /&gt;Wakili Rweyongeza alidai kuwa alisikilizwa kwa makini ushahidi uliotolewa na mashahidi wa upande wa Jamhuri lakini hajasikia kitu chochote kinacho muunganisha Murro na washtakiwa wengine wasiojulikana kula njama kutenda kosa hilo kama shtaka la kwanza kwanza linavyodai kuwa Murro na washtakiwa wenzake ambao ni Deo Mugassa na Edmund Kapama na watu wengine wasiyofahamika walitenda kusa la kushawishi ili wapewe rushwa Sh milioni 10 toka kwa Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Michael Wage Karoli , Januari 20 mwaka 2010 ili asiwe kurusha tuhuma zake za ubadhilifu wa fedha za umma katika kipindi cha Usiku wa Habari kinachorushwa na Televisheni ya TBC1.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Shtaka la kwanza katika hati ya mashtaka, linasomeka kuwa kosa lilitendeka Januari 28 mwaka 2010.Lakini ushahidi ulitolewa na Jamhuri ulionyesha kosa lilitendekea Januari 29 mwaka 2010…na hadi mapema Oktoba mwaka huu washtakiwa walimaliza kujitetea na hivyo kesi upande wa utetezi ikawa imefungwa , hati ya mashtaka ilikuwa ikisomeka Murro alitenda kosa hilo Januari 28 mwaka 2010 ndipo upande wa Jamhuri siku hiyo kabla ya utetezi kufunga kesi yao ukaamua kubadilisha hati ya mashtaka na mahakama ilikubali hati hiyo kubadilishwa kutokana na utofauti uliopo kati ushahidi na maelezo yaliyokuwa yameandikwa kwenye hati ya mashtaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa hali hiyo naona upande Jamhuri hauna maelezo ya uhakika yanayoonyesha mteja wangu alitenda makosa hayo na badala yake ikaamua kuleta ushahidi wa kuungaunga na matokeo yake ndiyo maana Murro aliyakana mashtaka yote yanayomkabili mahakamani hapa”alidai Rweyongeza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa kesi ya Jamhuri imesimama na kutegemea ushahidi wa shahidi wa tatu (Michael Wage) jambo linawapotosha kwa sisi upande wa utetezi tunamuona Wage siyo shahidi wa kuaminika na wanaoimba mahakama iupuuze ushahidi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Rweyongeza alidai kuwa katika ushahidi mashahidi wa Jamhuri walidai kuwa shahidi wa tatu(Wage) kwakuanzia aliwapatia washtakiwa wote rushwa ya Sh 9,000,000 katika sehemu ya rushwa ya Sh milioni 10 aliyokuwa ameombwa na washtakiwa, na wakili huyo akadai kuwa kama hivyo ndivyo ni kwanini polisi wasingesubiri Murro apokee rushwa hiyo ndiyo wakamkamate na kuongeza ni kwanini polisi ilifanya haraka kumkamata Murro wakati bado hajapokea rushwa hiyo ya Sh milioni?&lt;br /&gt;Kuwasilishwa kwa majumuisho hayo ya pande hizo mbili kwa tarehe tofauti yalitokana na  amri iliyotolewa na Hakimu Moshi, Oktoba 4 mwaka huu, ambapo siku hiyo alizitaka pande zote kufanya hivyo.&lt;br /&gt;Na siku  ndiyo shahidi wa Murro alitoa ushahidi wake na washtakiwa wawili Deogratius Mugassa na Edmund Kapama nao walitoa utetezi wao na siku hiyo hiyo wakili wa utetezi Richard Rweyongeza aliambia mahakama kuwa huo ndiyo mwisho wa ushahidi wao.&lt;br /&gt;Na kabla ya washtakiwa hao kuanza kutoa utetezi wao wakili wa serikali , Boniface aliwasilisha ombi la kutaka kubadilisha hati ya mashtaka  ambapo ombi hilo lilikubaliwa na hakimu huyo ambapo alisema kuanzia siku hiyo hati ya mashtaka itasomeka kuwa washtakiwa waliomba rushwa Michael Wage Januari 29 mwaka jana katika hoteli ya Sea Cliff, tarehe ambayo inaoona na picha za CCTV ambazo zinawaonyesha washtakiwa hao walifika katika hoteli hiyo wakiwa na Wage.&lt;br /&gt;Kabla ya kubadilisha hati hiyo,hati ya mashtaka ilikuwa ikisomeka kuwa washatkiwa hao walitenda kosa hilo Januari 28 mwaka jana, tarehe ambayo ilikuwa ikitofautiana na tarehe iliyokuwa ikionekana kwenye nakala ya picha ya CCTV kamera. &lt;br /&gt;Agosti 18 mwaka 2011; Murro alipanda kizimbani na kujitetea  ambapo aliiomba mahakama imuone hana hatia kwasababu kesi inayomkabili amebambikiziwa na baadhi ya askari wa Jeshi la Polisi.&lt;br /&gt;Mei 2 mwaka 2011, kesi hiyo ilipata hakimu mpya ambaye ni Hakimu Moshi baada ya hakimu mkazi wa awali Gabriel Mirumbe aliyekuwa akiisikiliza kesi hiyo kuamishiwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Machi 8 mwaka 2011, Hakimu Gabriel Mirumbe aliwaona washtakiwa wote wana kesi ya kujibu.Uamuzi huo ulitolewa ikiwa ni dakika chache baada ya shahidi wa saba  wa upande wa Jamhuri D/C Koplo Lugano Mwampeta kumaliza kutoa ushahidi wake siku hiyo na Wakili wa Serikali Kiongozi  Boniface kuieleza mahakama kuwa huo ndiyo ulikuwa mwisho wa ushahidi wao na kwamba wanafunga kesi yao.&lt;br /&gt;Inspekta Lugano Mwambeta akitoa ushahidi wake siku hiyo alieleza kuwa yeye alisaidiana na SSP-Duwani Nyanda kupekua gari la Murro na katika upekuzi wao walikuta miwani ya kusomea ya Wage na pingu moja iliyokuwa ikimilikiwa na Murro ambapo vitu vyote hivyo viwili vilipokelewa mahakamani hapo kama kelelezo namba sita na saba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 26 mwaka huu;  Shahidi wa sita ambaye ni  Mkuu wa upelelezi Mkoa wa Ilala, (SSP) Duwani  Nyanda alitoa ushahidi siku hiyo hiyo na akaieleza  mahakama jinsi alivyoongoza zoezi la upekuzi katika  gari la Murro ambapo alidai alikuta pingu na miwani ya kusomea ambayo ni mali ya Michael Wage.&lt;br /&gt;SSP-Nyanda alieleza kuwa Januari 31 mwaka 2010 saa 12 jioni akiwa ofisini aliamriwa na aliyekuwa Mkuu wake, Charles Mkumbo, kwenda kulipekua gari la Murro lenye namba za usajili T 545 BEH Toyota Cresta lililoegeshwa kwenye viunga vya Kituo Kikuu cha Polisi Kati(Central) Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Nyanda alieleza kuwa katika upekuzi wake alifanikiwa kupata pingu ambazo Wage alizibaini kuwa ndizo alizotishiwa nazo na Murro na miwani ya kusomea ambayo anadai ni yake aliiisahau kwenye gari hilo Januari 30 mwaka jana na kuongeza kuwa alikuwa na hato ya polisi ambayo  Murro na Wage walisaini kuthibitisha kushuhudia upekuzi huo na kuitoa mahakamani kama kielelezo namba tano ambacho kilipokelewa na Hakimu Mirumbe.&lt;br /&gt;Januari 25 mwaka huu; Shahidi wa tano,   Mkaguzi wa Polisi, Antony Mwita(45) ambaye alitoa ushahidi wake siku hiyo hiyo alieleza mahakama kuwa kitabu  cha kumbukumbu ya kupokea wageni cha Hoteli ya Sea Cliff  kinaonyesha kuwa Januari 29 mwaka jana, Murro alifika hotelini hapo siku hiyo.&lt;br /&gt;“Na kitabu hicho kinaonyesha mgeni wa 25 alikuwa ni Jerry Murro na alifika hotelini hapo kwa kutumia gari lake lenye namba za usajili T545 THE aina ya Cresta na mlinzi huyo aliipatia kadi Na.673 na aliingia hotelini hapo saa 7:33 na kuondoka saa 8:48 mchana. ”alidai Mkaguzi Mwita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliendelea kuieleza mahakama kuwa licha ya yeye kukusanya kielelezo hicho cha kitabu pia katika upelelezi wake katika kesi hiyo alienda duka la Mizinga lililopo Upanga jijini, kujiridhisha kama ni kweli Murro alinunua pingu katika duka hilo, na upelelezi wake ulibaini kwamba ni kweli duka hilo lilimuuzia pingu hiyo Mei 26 mwaka 2009 kwa Sh 25,000 na akapewa risiti yenye kumbukumbu na. 34357410. Kwamba mahakama ilipokea risiti ya pingu hiyo kama kielelezo cha nne.&lt;br /&gt;Na siku hiyo hiyo ya Januari 25 mwaka 2011; shahidi wa nne ambaye ni  Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Issa Seleman Chabu (37) alitoa ushahidi wake ambapo aliieleza mahakama jinsi  yeye na makachero wenzake walivyoweka mtego  na kufanikiwa  kumkamata  Murro Januari 31 mwaka 2010.&lt;br /&gt;Mpelelezi huyo kutoka ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Ilala alieleza kuwa Januari 30 mwaka jana, saa nne asubuhi akiwa kwenye kazi za nje alipigiwa simu na Station Sajenti Gervas akimwarifu kuwa amepokea taarifa toka kwa Michael Wage kuwa kuna watu wamemtishia kwa silaha na kumwomba rushwa ya sh milioni 10 akanitaka nirudi ofisini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa siku hiyo Gervas alikuwa zamu ofisini kwake katika ofisi za RCO-Ilala na yeye akafika ofisini hapo saa nane mchana akamkuta Wage na Gervas wakampatia taarifa za malalamiko hayo kwa kirefu na kuongeza kuwa yeye alifikia uamuzi wa kuwasiliana na Mkuu wake wa kazi-RCO wa Ilala-Duwani Nyanda na kumueleza malalamiko hayo na kwamba mlalamikaji yupo ofisini kwao na kumuomba atupe utaratibu wa kulishughulikia tatizo hilo.&lt;br /&gt;“RCO-Nyanda akanielekeza kwamba nifungue jalada la malalamiko na watuhumiwa wasakwe na wafikishwe kituoni.Na Wage alikuwa akilalamika kuwa kuna watu wawili wamejitambulisha kwake kuwa ni maofisa wawili wa (TAKUKURU )hakuwataja majina na mwingine akamtaja ni Jerry Murro ambaye ni mtangazaji ...na mimi nilitekeleza maagizo kwa kufungua jalada la uchunguzi;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Na nikamwelekeza afande Masika achukue maelezo ya Wage na nikamwomba Wage awapigie simu watu hao waliokuwa wakimtisha na kumwomba rushwa na akampigia mmoja wao ambaye alimtaja kuwa ni Murro na simu yake aliiweka kwenye Loud Speaker’ na Wage akamtaka Murro wakutane na Murro akamtaka Wage aje ofisini kwake TBC1 au Bamaga.”alidai Mkaguzi Msaidizi Chabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chabu alidai hata hivyo yeye aliairisha zoezi hilo la Murro kutaka akutane na Wage ofisi za TBC1 na akamwomba RCO-Nyanda zoezi hilo la kuwamata lifanyike kesho yake ombi ambalo lilikubaliwa na mkuu wake wa kazi nakuongeza kuwa Januari 31 mwaka jana,saa nne asubuhi yeye na Wage walitoka katika ofisi za RCO-Ilala na kabla ya kutoka alimwomba Wage awapigie watu hao ili wajue wanakutana nao katika mgahawa wa City Garden.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Wage akampigia Murro na kumweleza aje amkute katika mhagawa huo ili ampatie mzigo ambao ni sh milioni tisa na Murro akakubali na mimi nikawachukua askari wapelelezi watatu tukafanye mtego katika mgahawa huo na wapelelezi hao ni Station Sajenti Gervas, Sajenti Omary na Koplo Masawe na na tulipofika mimi nilikuwa kiongozi wao na Gervas na Masika niliweka nje ya mgahawa huo na mimi na Gervas tuliingia tuliingia na kukaa ndani ya mgahawa huo saa tano asubuhi;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nilipoona Murro atokeo nikamwambia Wage ampigie tena kumwarifu kwamba ameishafika na Wage akampigia huku simu yake ikiwa kwenye Loud Speaker wote tunasikia, Murro akamjibu Wage kuwa anakuja baada ya dakika tano na ndani ya muda huo Murro akafika nje ya mgahawa huo akampigia simu Wage akimtaka atoke nje ya mgahawa ili amkabidhi mzigo huo;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Wage kabla hajatoka nje nikamkataza asitoke kwanza asubili sisi wapelelezi wawili tuko nje tukawaongezee nguvu wapelelezi wetu wawili tuliowacha nje kwaajili ya mtego, na tulivyotoka na nikamwona Murro akiwa nje ya gari lake amesimama na mimi na wale wapelelezi wenzangu tukapeana ishara zetu za Kiintelijensia na Wage ndiyo akatoka ndani ya mgahawa huo kuja nje na akakutana na Murro ambaye alikuwa akimuita kwa mkono Wage ambaye alikuwa amebeba mkoba ambapo alifungua mlango mwingine wa gari la Murro na kuingia ndani ya gari hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inspekta Chabu aliendelea kueleza kuwa baada ya Wage kuingia ndani ya gari la mshatakiwa huyo alifunga mlango haraka na kutaka kuondoka nikamweleza dereva wetu ambaye alikuwa akiendesha gari lenye namba za kiraia akaenda kulizuia gari la Murro ili lisiondoke na ndipo Murro aliposhtuka akamtaka Wage atelemke kwenye gari lake na yakazuka malumbano baina yao wawili na kutokana na hali hiyo yeye alisogea kwenye gari la mshtakiwa huyo na kumuuliza Murro kama alikuwa akimfahamu Wage, mshtakiwa huyo alikana kutomfahamu Wage.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha aliieleza kuwa alimuuliza pia Wage kama alikuwa akimfahamu Murro na Wage alikiri kumfahamu mshtakiwa huyo na kusema kuwa ndiye miongoni mwa aliyemtishia kwa pisto na pingu na kumuomba rushwa y ash milioni 10 na kuongeza kuwa baada ya hapo alijitambulisha kwa Murro kuwa yeye ni ofisa wa polisi na kumweleza kuwa anakabiliwa tuhuma zinazomkabili la na kumtaka afungue gari lake ili yeye na wapelelezi wengine wapande gari lake na aliendeshe kuelekea kituo Kikuu cha Polisi Kati kwa mahojiano zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Baada ya kumpa maelezo hayo kwanza Murro alinyamaza akasema haiwezekani kwani katika mgahawa huo yeye alifuatilia habari ya Mchina...nikapanda kiti cha mbele katika gari lake na kumtaka aendeshe gari hadi Kituo cha Kati na alitii amri hiyo na tulipofika nilimwambia afunge gari lake vizuri na anifuatwe kwenye ofisi za RCO-Ilala , tulipofika ofisini nikamuhoji kuhusu tuhuma hizo na alikana na baada ya hapo nikatoa taarifa kwa wakubwa wangu wa kazi kwamba tayari nimeishamata. Shahidi wa sita anaendelea leo kutoa ushahidi wake.&lt;br /&gt;Januari 24 mwaka 2011;shahidi wa tatu ambaye alikuwa ni Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo ,Michael Wage alikiri kutoa rushwa ya shilingi milioni moja baada ya kutishiwa kwa pingu na bastola.&lt;br /&gt;Alidai kuwa alilazimika kutoa rushwa hiyo kwa sababu alitishwa na Murro na mshtakiwa wa pili Kapama aliyejitambulisha kuwa ni Kaimu Mkurugenzi wa Takukuru na mshtakiwa wa tatu Deogratius  Mugassa alijitambulisha kuwa ni msaidizi wa mkurugenzi huyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shahidi huyo ambaye alikuwa mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kabla ya hajasimamishwa kazi na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Januari mwaka jana, alidai kuwa washtakiwa hao wote watatu Januari 31 mwaka jana, katika Hoteli ya Sea Cliff walimtaka awapatie sh milioni 10 ama sivyo wangembambikia kesi kama alivyobambikiwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba, kwa kumwambukiza maradhi mpenzi wa rafiki wa Kapama ndiyo maana akabambikiziwa kesi iliyomfanya ahukumiwe kwenda jela miaka miwili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wage aliieleza Mahakama kuwa Januari 28 mwaka jana akiwa nyumbani kwake Bagamoyo alipokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa mtangazaji wa TBC1 na hakuwa hakimfahamu, akimtaka kesho yake aje Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano kwani amepata taarifa kuwa anakabiliwa na tuhuma za ufisadi katika Halmashauri ya Bagamoyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hilo Wage alieleza kuwa alikubaliana na ombi hilo na Januari 29 mwaka jana, saa tano asubuhi alifikia katika mgahawa wa Califonia ulioko jijini hapa akiwa na dereva wake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alieleza kuwa akiwa njiani  alimpigia simu Murro ili aje aungane naye na baada ya dakika chache Murro aliwasili katika mgahawa huo akiwa na gari ndogo na akamweleza watafute meza nyingine ili wakae mbali na dereva wake na walipohamia kwenye meza nyingine ndipo Murro alipoanza kumueleza tuhuma za ufisadi zinazomkabili na kwamba anataka kuzitangaza kwenye kipindi cha Usiku wa Habari kinachorushwa na TBC1. &lt;br /&gt;“Baada ya Murro kunieleza tuhuma hizo akaniambia mahojiano kamili yangefanyika katika Hoteli ya Sea Cliff kwani huko ndiko walikokuwa mabosi wake na kunitaka nimwache dereva wangu kwenye mgahawa huo nikapande gari lake twende nae Sea Cliff na nilifanya kama alivyonielekeza nikapanda na tulipokuwa njiani akampigia simu mtu akawa anazungumza naye na akanitaja jina langu… alivyokata simu nikamuuliza ni kwa nini alikuwa akitaja jina langu akasema alikuwa akizungumza na Kaimu Mkurugenzi wa PCCB (Kapama) naye pia atanihoji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wage aliendelea kueleza kuwa walipofika tu Hoteli ya Sea Cliff walipokelewa na mtu aliyejitambulisha kuwa ni Kaimu Mkurugenzi wa PCCB, anaitwa Mussa ambapo hata hivyo Wage alimtambua mtu huyo mahakamani kuwa ni Mugassa na akaongeza mtu mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Dokta ambaye Wage jana alimtambua mahakamani kuwa ni Kapama na kuongeza kuwa baada ya hapo mahojiano yakaanza na Dokta akaanza kumueleza kuwa yeye ni fisadi mkubwa na kwamba kama alihitaji msaada wao angesema mapema ili mahojiano yao yasiweze kurushwa kwenye kipindi cha Usiku wa Habari cha TBC1. &lt;br /&gt;Alisema mara baada ya kutoa taarifa hizo polisi wakamtaka ampigie simu Murro na amweleze kuwa tayari ameishafika kwenye mgahawa wa City Garden. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wage alieleza kuwa alifanya hivyo na baada ya dakika chache Murro aliwasili kwenye mgahawa huo lakini alivyomuona Wage ameambatana na watu wengine watatu alishtuka na polisi waliwahi kuzuia gari lake lisitoke katika viwanja vya mgahawa huo na askari kanzu hao walimwamuru aendeshe gari lake na kulipeleka kituo cha polisi Kati na Murro alitii amri hiyo na wote walifika kituoni hapo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema Murro alipoulizwa kama alikuwa akimfahamu Wage alikana kumfahamu na polisi hao walipopekuwa gari la Murro walikuta bastola, pingu na miwani ya kusomea ambayo Wage alidai ni yake na aliisahau jana yake wakati alipopanda katika gari hilo wakati anapelekwa Sea Cliff.&lt;br /&gt;Vitu hivyo vyote pingu, bastola na miwani ilipokelewa mahakamani hapo kama utambulisho. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake wakili wa Murro, Richard Rweyongeza, na Majura Magafu, anayemtetea Kapama na Muggasa akimhoji shahidi huyo alidai kuwa shahidi huyo haoni kwamba Murro alikuwa akitangaza habari za hatari hatari za kuligusa jeshi la polisi na alikuwa akitaka kurusha tuhuma za ufisadi zinazomkabili Wage ndiyo maana alishirikiana na polisi kumbambikizia kesi mteja wake, hoja hiyo ilipingwa vikali na shahidi huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Novemba 12 mwaka 2010; &lt;/strong&gt;shahidi wa pili Kumar Aluru Pournama alitoa nakala za picha za CCTV kamera  katika mtandao wa Hoteli ya Sea  Cliff   kama vielelezo vya ushahidi katika kesi hii zinazowaonyesha washtakiwa hao watatu  pamoja na Wage ambaye wanadaiwa kumuomba rushwa,wakiwa katika eneo hilo la Hoteli ya Sea  Cliff na nakala hizo za picha za CCTV zilipokelewa na mahakama kama kielelezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Agosti 18 mwaka 2010; shahidi wa kwanza Staff Sajenti Peter Jumamosi alidai kuwa yeye ndiye alimchukua maelezo ya onyo mshtakiwa wa tatu(Muggasa) na akaomba mahakama iyapokee maelezo hayo ya onyo kama kielelezo.&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo wakili wa mshtakiwa huyo, Majura Magafu  alidai mteja wake (Mugassa) anaiomba mahakama isipokee maelezo hayo kama kielezo kwasababu Februali 3 mwaka huo ,wakati anachukuliwa maelezo hayo na mshtakiwa wa kwanza Staff Sajenti Peter Jumamosi, aliteswa na alikuwa akishinikizwa na aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam(ZDCO), Kamishna Msaidizi wa Polisi, Charles Mkumbo na Kamishna Kasala ambao walimtaka mshtakiwa huyo atoe maelezo yatakayomgandamiza mshtakiwa wa kwanza (Murro) ambaye jeshi la polisi limekuwa likimsaka kwa muda mrefu kwasababu amekuwa akilidhalililisha jeshi hilo kwenye vyombo vya habari..&lt;br /&gt;Hali iliyosababisha Hakimu Mirumbe  kutoa amri ya kusimamishwa usikilizwaji wa kesi ya msingi  na akaamuru kufanyika kwa kesi ndogo (trial within a trial) ambapo ilifanyika na kila pande zikaleta mashahidi wake  lakini mwisho wa siku mahakama hiyo ilitupilia mbali ombi la wakili Magafu na ikapokea maelezo hayo kama kielelezo.&lt;br /&gt;Agosti 12 mwaka 2010; mshtakiwa wa tatu katika kesi hiyo, Deogratius Mugassa kwa mara nyingine alifikishwa mahakamani hapo kwa kesi nyingine mpya ya kujifanya ni Ofisa wa Jeshi la Polisi na kisha kujipatia shilingi milioni 19 kwa njia ya udanganyifu.,&lt;br /&gt;Mbele ya Hakimu Mkazi Devota Kisoka, Wakili wa serikali Zuberi Mkakatu alidai kuwa Mugassa anakabiliwa na mashtaka matatu.Shitaka la kwanza ni la kula njama na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwamba mshtakiwa huyo na wenzake ambao hawapo mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Mkakatu alidai shtaka la pili ni la Mugassa kujifanya Ofisa wa Jeshi la Polisi kwamba Aprili 28 mwaka huu, katika Bar ya Rose Garden huko Mikocheni, yeye na wenzake walijitambulisha kwa Rose Azizi kuwa wao ni maofisa wa jeshi la polisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkakatu alidai shitaka la tatu ni la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwamba kati ya Mei na Aprili mwaka huu, katika Bar hiyo ya Rose Garden walijipatia sh milioni 19 kutoka kwa Rose Azizi baada ya kujifanya wao ni maofisa wa jeshi hilo na kwamba fedha hizo walizopewa watazitumia kuweka mtego wa kuwakamata wezi walioiba matofari mawili wa madini ya dhahabu wilayani Nzega.Katika kesi hii pia alipata dhamana.&lt;br /&gt;Februali  5 mwaka 2010, ndiyo siku ya kwanza washtaki&lt;br /&gt;wa hao kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Gabrile Mirumbe ambapo wakili Kiongozi wa Seriakali, Stanslaus Boniface alidai  Murro anakabiliwa na makosa mawili ya kula njama na kuomba rushwa ya shilingi 10 toka kwa aliyekuwa Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamayo,Michael Karoli Wage.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Mugassa na Kapama wanakabiliwa mashtaka hayo kama yanayomkabili Murro na shtaka jingine la tatu ambalo ni la kujifanya wao ni maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), jambo ambalo si la kweli.Na kwa kipindi chote hicho washtakiwa wapo nje kwa dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;0716- 774494&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Novemba 30 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-602247629528068905?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/602247629528068905/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=602247629528068905' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/602247629528068905'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/602247629528068905'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/mwanzomwisho-wa-kesi-ya-jerry-murro.html' title='MWANZO,MWISHO WA KESI YA JERRY MURRO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-LI3azeRbbuA/TtYZ39HaYHI/AAAAAAAAAo8/fOmh8IKn0RY/s72-c/jeri%2B1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1908857368212627116</id><published>2011-11-30T14:50:00.001+03:00</published><updated>2011-11-30T14:52:04.036+03:00</updated><title type='text'>HUKUMU KESI YA JERRY MURRO LEO</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HAKIMU Mkazi wa Mkazi ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, Frank Moshi leo anatarajia kuketi kwenye kiti cha enzi na kumsomea hukumu  aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa(TBC 1),Jerry Murro(30) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kula njama na kuomba rushwa ya shilingi milioni 10.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kusomwa kwa hukumu hiyo leo hii kunatokana na amri iliyotolewa na  Hakimu Moshi, Oktoba 31 mwaka huu mahakamani hapo ambapo siku hiyo kesi hiyo ilikuja kwaajili ya kutajwa na kupangiwa tarehe ya kusomwa hukumu ya kesi hiyo ambayo inasubiriwa kwa shahuku kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Februali  5 mwaka 2010, ndiyo siku ya kwanza washtaki&lt;br /&gt;wa hao kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mirumbe ambapo Wakili Kiongozi wa Serikali Stanslaus  Boniface ambapo alidai  Murro anakabiliwa na makosa mawili ya kula njama na kuomba rushwa ya shilingi 10 toka kwa aliyekuwa Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamayo,Michael Karoli Wage.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Mugassa na Kapama wanakabiliwa mashtaka hayo kama yanayomkabili Murro na shtaka jingine la tatu ambalo ni la kujifanya wao ni maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU), jambo ambalo si la kweli.Na kwa kipindi chote hicho washtakiwa wapo nje kwa dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Novemba 30 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1908857368212627116?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1908857368212627116/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1908857368212627116' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1908857368212627116'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1908857368212627116'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/hukumu-kesi-ya-jerry-murro-leo.html' title='HUKUMU KESI YA JERRY MURRO LEO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-8815728994327392078</id><published>2011-11-29T14:14:00.003+03:00</published><updated>2011-11-29T14:20:26.526+03:00</updated><title type='text'>NHC GHOROFA SIO LAZIMA ZIJENGWE UBUNGO</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IELEWEKE wazi kuwa si lengo langu kupingana na baadhi ya hatua za maendeleo zinazoendelewa kupigwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), chini ya Mkurugenzi Mkuu Nehemiah Mchechu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;La hasha kwanza napongeza  baadhi ya hatua za kimaendeleo zilizopigwa katika kipindi cha muda mfupi na NHC ikiwemo cha kuwaumbua adharani wadaiwa sugu, na pia mikakati yako ya kuwabana wadaiwa sugu hadi hivi sasa tunaona baadhi ya wapangaji wanaoishi kwenye nyumba hizo wameanza kufuata utaratibu wa kwenda kulipa kodi ya pango kila muda unapofika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwale wanaosikiliza Redio Clouds kikamilifu, watakuwa wameishalisikia liletangazo NHC linalovutia na kuacha maswali mengi kwa wasikilizaji ambalo limekuwa likiwataka watu wanaotaka kununua nyumba za kisasa zilizopo katikati ya mji, madhali nzuri ambazo wamezipa jina la Ubungo Residential.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mara ya kwanza niliposikiliza tango hilo ndani ya gari na wenzangu tulibaki tukijiuliza maswali yafuatayo kuwa hayo majengo yako wapi?Je yameishajengwa?yapo ubungo eneo gani ambalo mimi silifahamu?. Na ili kupata ukweli wa hilo nilimtafuta rafiki yangu mmoja anayeishi kwenye maghorofa ya Ubungo-NHC na kumuuliza kwa undani kuwa nimelisikia tango hilo je hayo majengo yapo eneo gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo huyo rafiki yangu akaanza kunieleza kuwa kwanza hayo majengo hayajaanza hata kujengwa na yanajengwa katikati ya maeneo ya maegesho ya magari na njia ya wapitao kwa miguu ambayo yapo ndani maghorofa ya NHC-Ubungo.Kwakweli nilichoka kabisa na kuamua kwenda kutembelea eneo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipofika nikakuta mabati yamezungushwa katika eneo hilo ambalo ni kati ya ghorofa na ghorofa za awali ambazo watu wanaishi tangu miaka ya 1970 hali inayosababisha wakazi wa maeneo hayo hivi sasa kukosa hewa ya kutosha , eneo la kuegesha magari yao na watembea kwa miguu kushindwa kupita katika eneo hilo kama zamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kukutana na hali hiyo kwakweli nilijiuliza hivi kama kweli serikali inania ya dhati ya kupanua mji  ni kwanini imeruhusu NHC ijenge majengo hayo katika eneo finfu kama lilele?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kweli NHC imeona biashara ndiyo bora zaidi kuliko afya za watu ni kwanini isingeiomba serikali maeneo makubwa tu ikaenda kujenga nyumba zake hizo inazodai ni sasa kisasa ili watu wanaotaka kuzinunua waende kuzinunua na kwenda kuishi huko?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni serikali hii hii ya Rais Jakaya Kikwete ilituhadi kuwa itakuza michezo, sasa ni michezo gani inayokuza wakati maeneo ya wazi katika maghorofa ya NHC-Ubungo ambayo utumiwa na watoto wadogo kucheza michezo mbalimbali, leo hii yanachukuliwa na NHC na kubadilishwa matumuzi na matokeo yake kwasasa yanajengwa makazi ya watu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Basi NHC kama haiyataki maghorofa yake ya zamani ya hapo Ubungo ambayo bado watu wanaishi na shirika hilo linaendelea kupokea kodi zao, ni vyema basi shirika hilo lingewataka wapangaji wake wote wanaoishi hapo waame ili maghorofa hayo yavunjwe na kisha shirika hilo ndiyo lije na ramani ya kujenga hayo majengo ya kisasa kwa nafasi zaidi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aiingii akilini kwa watu waliofika eneo hilo linalotaka kujengwa maghorofa hayo ambayo yanatangazwa kana kwamba tayari majengo hayo ujenzi wake umeishamalizika, kuona watu wakiendelea kuishi katika eneo hilo wakati ujenzi wa majengo hayo mapya tunayoambiwa ni ya kisasa ambayo eti yatakuwa na eneo kubwa la kuegesha magari lakini kwa watu tunaofahamu eneo hilo la maghorofa ya NHC-Ubungo tunaishia kuchekea moyoni, ukikaribia kuanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania bado ina maeneo mengi tu yanaitaji kuendelezwa ama na mtu mmoja mmoja, serikali yenyewe, wawekezaji au hata hilo shirika la nyumba NHC.Kwa hiyo siyo lazima NHC ijenge majengo hayo ya kisasa ndani ya eneo ya maghorofa ya NHC-Ubungo ambapo watu wanaishi na kwa ukweli kabisa maeneo yaliyosalia katika si vyema yangepaswa kujengwa maghofa mapya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NHC  achaneni na tamaa ya kupata fedha za chap chap, kama kweli NHC mmpo kwaajili ya kukikisha mnaisaidia wananchi wa taifa hili kupata nyumba za kuishi iwe kwa kuwapangisha au kujenga na kisha kuziua, ni vyema mngewasiliana na Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka awapatie maeneo makubwa tu ili muweze kujenga hayo majengo ya kisasa ambayo yatakuwa na hewa zaidi ya hasili kuliko ilivyo hivi sasa maghorofa hayo mnayokusudia kuyajenga pale Ubunge, wakazi wa maghorofa hayo ya kisasa watategemea zaidi hewa ya isiyo ya halisi kwa kulazimika kutumia AC na Feni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 29 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-8815728994327392078?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/8815728994327392078/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=8815728994327392078' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8815728994327392078'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8815728994327392078'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/nhc-ghorofa-sio-lazima-zijengwe-ubungo.html' title='NHC GHOROFA SIO LAZIMA ZIJENGWE UBUNGO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2472943356522320880</id><published>2011-11-29T14:12:00.001+03:00</published><updated>2011-11-29T14:14:15.475+03:00</updated><title type='text'>WAZIRI AONGEZA MUDA KESI YA MBATIA,MDEE</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HATIMAYE Waziri wa Katiba na Sheria Celina Kombani ameongeza muda wa miezi sita kuanzia jana katika kesi ya kupinga matokeo yaliyomtangaza mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee(Chadema), kuwa mshindi kama alivyokuwa ametakiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuongeza muda huo.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo ya  kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu mwaka 2010 iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea Ubunge kwa tiketi ya (NCCR-Mageuzi), James Mbatia anayetetewa na wakiliwa Mohamed Tibanyendera dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mdee na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kawe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yalisemwa jana na Jaji John Utamwa jana wakati kesi hiyo ilipokuja kwaajili ya kutajwa na kuangalia kama waziri huyo tayari ameishatekeleza amri hiyo ya mahakama ya kuongeza muda  wa usikilizwaji wa kesi hiyo kwasababu kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi inataka kesi yoyote ya uchaguzi iwe imemalizika ndani ya miezi 12 , na kesi hiyo ya Mbatia na Mdee anayetetewa na Edson Mbogoro muda wa miezi 12 imeishapita na bado haijamalizika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Utamwa alisema kwakuwa tayari muda umeishaongezwa, maelezo ya awali yatasomwa mahakamani hapo Desemba 6 mwaka huu na kwamba kesi hiyo itaanza kusikilizwa rasmi kuanzia Februali 7-10 mwakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 25 mwaka 2010, Mbatia alifungua kesi hiyo ya kupinga matokeo ya ubunge wa jimbo hilo ambayo yalimtangaza Halima Mdee(CHADEMA) kuwa mshindi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwa mujibu wa hati yake ya madai, Mbatia  anadai kuwa katika mikutano ya kampeni, Mdee alimwita yeye kuwa ni fataki anayefanya mapenzi na watoto wa shule, kibaraka wa CCM na kila wiki analipwa sh milioni 80 na chama hicho, hivyo kuwataka wapiga kura wa jimbo la Kawe wasimchague Mbatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 29 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2472943356522320880?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2472943356522320880/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2472943356522320880' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2472943356522320880'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2472943356522320880'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/waziri-aongeza-muda-kesi-ya-mbatiamdee.html' title='WAZIRI AONGEZA MUDA KESI YA MBATIA,MDEE'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-8901783399881489721</id><published>2011-11-29T14:03:00.002+03:00</published><updated>2011-11-29T14:12:00.578+03:00</updated><title type='text'>KESI YA WANAFUNZI UDSM YAPIGWA KALENDA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UPANDE wa Jamhuri  katika kesi ya maandamano na kufanya mkusanyiko haramu inayowakabili wanafunzi 50 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, jana ulishindwa kuwasomea maelezo ya awali washtakiwa hao kwasababu ya mshtakiwa mmoja kuongezwa katika kesi hiyo na mshtakiwa mmoja kushindwa kufika mahakamani hapo.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Serikali Ladiuslaus Komanya mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema,alidai kuwa kesi hiyo ilikuja kwaajili ya kuwasomea maelezo ya awali washtakiwa lakini haitawezekana kwasababu wanamuongeza mshtakiwa mmoja Fred Hatari na hivyo kufanya idadi ya washtakiwa kufikia 51 hivi sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Komanya  alidai sababu ya pili ni mshtakiwa mmoja Said John ameshindwa kufika mahakamani hapo na kulazimika kuomba mahakama itoe hati ya kukamatwa kwa mshtakiwa huyo na mdhamini wake aitwe mahakamani, maombi ambayo yalikubaliwa na hakimu Lema&lt;br /&gt;Hata hivyo mshtakiwa aliyeongezwa, Hatari alishindwa kutimiza masharti ya dhamana na amepelekwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Lema aliarisha kesi hiyo hadi Desemba 20 mwaka huu itakapokuja kwaajili ya kutajwa na kwamba upande wa Jamhuri uje kuwasomea washtakiwa maelezo ya awali Januari 10 mwakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 14 mwaka huu, washtakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza na wakili wa serikali Komanya alidai kuwa katika eneo la Mlimani la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, washtakiwa wote kwa pamoja walifanya mkusanyiko usio wa halali na kusababisha uvunjifu wa amani katika eneo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwamba shtaka la pili ni  kwamba washtakiwa hao wakiwa kwenye mkusanyiko huo haramu kwa lengo la kufanya mgomo, askari wa Jeshi la Polisi waliwataka wanafunzi hao watawanyike lakini hata hivyo wanafunzi hao walikahidi amri hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 29 mwaka 2011. &lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-8901783399881489721?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/8901783399881489721/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=8901783399881489721' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8901783399881489721'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8901783399881489721'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/kesi-ya-wanafunzi-udsm-yapigwa-kalenda.html' title='KESI YA WANAFUNZI UDSM YAPIGWA KALENDA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3138470665248093509</id><published>2011-11-24T10:43:00.002+03:00</published><updated>2011-11-24T10:48:05.707+03:00</updated><title type='text'>MHASIBU WA TRA KORTINI KWA UDANGANYIFU</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MHASIBU wa  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Sangu John alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu jana na kusomewa mashitaka 132 akidaiwa kujipatia zaidi ya Sh milioni 944 mali ya mwajiri wake kwa njia za udanganyifu pamoja na kulipa mishahara hewa.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mashitaka hayo aliyosomewa mbele ya Hakimu Aloyce Katemana na mawakili kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Ben Lincon, Osward Tibabyekomya wakisaidiana na wakili wa serikali Shadrack Kimaro. Mashitaka yalikuwa ni ya kutumia nyaraka za uongo kumdanganya mwajiri wake, kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kusababisha hasara kwa mamlaka hiyo Sh 944,169,330.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shitaka la kwanza alidaiwa June 19, 2006 katika ofisi za TRA makao makuu yaliyoko wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa nia ya kudanganya alighushi orodha ya malipo ya mshahara kwa mwezi huo, akionyesha wafanyakazi hewa tisa wa shirika hilo walitakiwa walipwe Sh 12,000,000 akijua si kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mashitaka ya kutumia nyaraka kumpotosha mkuu wake wa kazi, alidaiwa moja wapo alidaiwa June 20, 2006 ofisi za TRA akiwa mwajiriwa aliwasilisha orodha hiyo kwa mkuu wake wa kazi akidai kwamba wafanyakazi hao walitakiwa kulipwa fedha hizo huku akijua sio kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mashitaka mengine alidaiwa kwa nia ya kudanganya alijipatia kutoka benki ya NBC fedha hizo akijidai kuwalipa watu hao kwa mshahara wa mwezi June 2006.&lt;br /&gt;Katika mashitaka mengine alidaiwa kudai malipo hayo hewa miezi mingine kuanzia June 2006 hadi Augost 2009.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mashitaka mengine John alidaiwa alighushi nyaraka kuonyesha mishahara ya wafanyakazi wa TRA mwezi Novemba ni Sh 2,207,122,430 akijua sio kweli, alidaiwa kuendelea kumdanganya mwajiri wake katika miezi mingine katika kipindi hicho akionyesha mishahara tofauti na iliyokuwa ikistahili wafanyakazi wa TRA kwa mwezi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha mshitakiwa huyo alishitakiwa pia kwa kufanya mchezo huo aliisababishia hasara mamlaka ya Mapato Tanzania ambayo ndio ilikuwa mwajiri wake Sh 944,169,330.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;John alikana mashitaka yote na kurudishwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana yaliyomtaka kutoa nusu ya fedha hiyo ambayo ni Sh 472,084,665. Kesi hiyo imepangwa kutajwa Desemba 5 mwaka huu na upelelezi haujakamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Novemba 24 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3138470665248093509?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3138470665248093509/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3138470665248093509' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3138470665248093509'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3138470665248093509'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/mhasibu-wa-tra-kortini-kwa-udanganyifu.html' title='MHASIBU WA TRA KORTINI KWA UDANGANYIFU'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3867557481659200792</id><published>2011-11-24T10:32:00.002+03:00</published><updated>2011-11-24T10:43:14.561+03:00</updated><title type='text'>DAVID MATTAKA KIZIMBANI</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-48qIWdZLzZM/Ts31fqrJnpI/AAAAAAAAAow/hggVlJbYBOQ/s1600/mattaka.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 275px; height: 183px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-48qIWdZLzZM/Ts31fqrJnpI/AAAAAAAAAow/hggVlJbYBOQ/s320/mattaka.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5678464629564087954" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATLC), David Emmanuel Mattaka jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akikabiliwa na makosa matatu likiwemo kosa la matumizi mabaya ya madaraka kinyume na Sheria na kifungu 31 Na.11 ya  Kuzuia  na Kupamba na Rushwa Na.11 ya mwaka 2007.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na Mattaka anayetetewa na wakili wa kujitegemea Peter Swai, washtakiwa wengine ni Kaimu Ofisa Mkuu wa Kitengo cha Fedha Elisaph Mathew Ikomba na Mkazi Mkuu wa Mahesabu ya Ndani, William Haji anayetetewa na wakili Alex Mgongolwa  walifikishwa mahakamani hapo jana saa nne asubuhi na makachero wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa(TAKUKURU), chini ya ulinzi mkali wa makachero hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Takukuru, Ben Lincoln aliyekuwa akisaidiwa na wakili wa serikali Oswald Tibabyekomya mbele ya Hakimu Mkazi Ritha Tarimo aliyasoma mashtaka hayo &lt;br /&gt;Kuwa ni kosa la kwanza ambalo linawahusu washtakiwa wote ni kwamba washtakiwa wote kwa pamoja walishindwa kutunza kumbukumbu za  mawasiliano ya manunuzi waliyokuwa wakifanya na mtoa huduma kinyume  na kifungu cha 55(3),87(1)(f) cha Sheria ya Manunuzi ya Umma Na. 21 ya mwaka 2004 na kanuni ya 17(1) ya Sheria ya Manunuzi (Goods,Works,Non-Consultant Services and Disposal of Public Asets by Tender) Regulation,G.N. No.97  of 2005.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Lincoln alidai shtaka la pili ambalo pia linawakabili washtakiwa wote ni la kushindwa kutimiza matakwa ya vifungu vya Sheria ya Manunuzi ya Umma na Kanuni zake kinyume na kifungu  cha 87(1)(f) cha Sheria ya Manunuzi ya umma ya mwaka 2004.&lt;br /&gt;Na shtaka la tatu lina mkabili Mattaka peke yake   ni matumuzi mabaya ya madaraka  kinyume na kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa ya mwaka 2007.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lincoln alidai kuwa maelezo ya shtaka la kwanza kuwa Juni 2007 na JUlai 2007 ndani ya jiji la Dar es Salaam,  washtakiwa wote kwa pamoja kupitia nafasi zao wote kwa pamoja  walishindwa kutunza rekodi ya tangazo la tenda  idadi ya magari  26  waliyoyanunua ambapo magari hayo yalinunuliwa na shirika hilo yakiwa tayari yamekwishatumika(magari mitumba) kutoka kwa kampuni ya Bin Dalmouk Motors Co.Ltd yenye ofisi zake nchini Dubai katika Falme za Kiarabu, kampuni ambayo ilipewa tenda shirika hilo kuleta magari hayo 26  ambayo ni mitumba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Lincoln alidai kuhusu shtaka la pili  ambalo ni la kushindwa kutimiza masharti ya sheria hiyo ya Manunuzi  ya mwaka 2004 kuwa kati ya Julai 2-Agosti 23  mwaka 2007  wote kwa walishindwa kutimiza matakwa ya kifungu cha 87(1)(f) cha Sheria ya manunuzi ya umma  na Kanuni ya 58(3) sheria hiyo kwa kutumia kampuni ya umma ya ATLC  walinunua magari ya mitumba 26 toka kwa kampuni ya Bin Dalmouk Motors Co.Ltd ya Dubai kinyume na kifungu hicho ambacho kinakataza ofisi yoyote ya serikali kununua bidhaa ambazo zilizokwishatumia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Lincoln alidai shtaka la tatu la matumizi mabaya ya madaraka linalomkabili Mattaka peke yake ambaye amestaafu hivi karibuni utumishi wa umma, alitumia madaraka yake vibaya kwa makusudi na kuagiza magari hayo ya mitumba 26 huku akijua kufanya hivyo ni kwenda kinyume na vifungu hivyo vya sheria ya manunuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo washtakiwa wote walikana mashtaka hayo na wakili wa serikali Tibabyekomya alidai kuwa upelelezi bado unaendelea na kwamba makosa yanayowakabili washtakiwa yanadhaminika na hivyo akaiomba mahakama iwapatie dhamana washtakiwa kwa kutumia kifungu cha 148(5)(e) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2002,ambayo yanamtaka mshtakiwa atoe mahakamani nusu ya fedha taslimu au hati ya mali isiyoamishika yenye thamani ya nusu ya kiwango anachotuhumiwa kuiba, kuharibu au kusababisha hasara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo hoja hiyo ilipingwa vikali na mawakili wa utetezi Peter Swai na Alex Mgongolwa ambao walidai kimsingi mashtaka yanayowakabili wateja hao si ya matumuzi mabaya ya ofisi ya umma, kusababisha hasara wala wizi hivyo kamwe dhamana ya washtakiwa hao haiwezi kuangukia chini ya kifungu hicho na kuiomba mahakama ikatae hoja hiyo ya mawakili wa jamhuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa uamuzi wake Hakimu Tarimo alisema anakubaliana na hoja ya mawakili wa utetezi kuwa mashtaka yanayowakabili washtakiwa hayo hayahusiani na fedha, kusababisha hasara, wizi wala uharibu wa mali ya umma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hivyo masharti yangu ya dhamana ni haya hapa kuwa ili kila mshtakiwa apate dhamana ni lazima awe na wadhamini wawili wa kuaminika ambapo kila mdhamini atapaswa asaini bondi ya milioni 10 kila mmoja na kwa anaiarisha kesi hiyo hadi Desemba 5 mwaka huu, itakapokuja kwaajili ya kutajwa”alisema Hakimu Tarimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washtakiwa wote walitimiza masharti ya dhamana ambapo Mattaka alitolewa ndani ya chumba hicho cha mahakama kwa kasi huku akisindikizwa na ndugu zake na maaskari na kisha kuondoka ndani ya eneo hilo la mahakama.&lt;br /&gt;Hivi karibuni Mattaka alistaafu kwa mujibu wa sheria  utumishi wa umma akiwa na cheo cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la ndege nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Kikwete alipochaguliwa kuwa rais wa Tanzania Desemba 21 mwaka 2005  muda mchache baadaye  alimteua Mattaka kuwa mkurugenzi wa shirika hilo la ATCL na kisha baadaye kumteua Mattaka kuwa Mjumbe wa Tume ya Rais ya Kikosi Kazi cha Kurekebisha Shirika la Bima la Taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Rais Kikwete akimteua Mattaka kushika nyadhifa hizo katika kipindi cha Serikali ya awamu ya nne, wananchi mbalimbali walilaani uteuzi huo bila mafanikio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kabla ya Rais Kikwete kumteua Mattaka kushika nyadhifa hizo,Rais wa serikali ya awamu ya tatu, Benjamin Mkapa alikuwa amemstaafisha Mattaka kwa manufaa ya umma.Na wakati Mkapa anamstaafisha mshtakiwa huyo kwa manufa ya umma alikuwa akishikilia cheo cha Ukurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pesheni  wa Mashirika ya Umma(PPF).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Jumatano, Novemba 23 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3867557481659200792?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3867557481659200792/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3867557481659200792' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3867557481659200792'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3867557481659200792'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/david-mattaka-kizimbani.html' title='DAVID MATTAKA KIZIMBANI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-48qIWdZLzZM/Ts31fqrJnpI/AAAAAAAAAow/hggVlJbYBOQ/s72-c/mattaka.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-9089524921292941254</id><published>2011-11-24T10:29:00.003+03:00</published><updated>2011-11-24T10:32:26.811+03:00</updated><title type='text'>LEMA USITUNYIME UHURU WANAHABARI</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-6b4INi8aN7Y/Ts3y_mTlAZI/AAAAAAAAAok/ih9VkVwDP_E/s1600/happiness.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 90px; height: 120px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-6b4INi8aN7Y/Ts3y_mTlAZI/AAAAAAAAAok/ih9VkVwDP_E/s320/happiness.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5678461879612408210" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;INASHANGAZA kuona uandishi wa habari za mahakamani licha ya kutoa taarifa mbalimbali zinazohusu kesi za wananchi na viongozi, mchango wake bado haujatambuliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadiriki kusema hivyo kutokana na kitendo kilichofanywa na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Waliarwande Lema, Novemba 14 na 16 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasema jamii na serikali haina budi kuthamini mchango wetu waandishi wa habari za mahakamani kwani tukiamua kuziripoti kesi hizo mara moja tu wakati zinafunguliwa mahakamani na kisha tukaacha kuripoti mwendelezo wake, matokeo yake si serikali, wakuu wa vyombo vya habari wala jamii watakao kuwa wakifahamu kesi hizo zimefikia hatua gani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kwa uzalendo wetu na kwa kupenda kuripoti habari za mahakamani tumekuwa tukiziripoti kesi hizo mwanzo - mwisho na tunauhakikishia umma wa Watanzania kuwa tutaendelea kuziripoti kesi hizo bila kuchoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 14 mwaka huu, wanafunzi 50 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), walifikishwa mahakamani hapo wakidaiwa kutenda makosa mawili ya kufanya mkusanyiko haramu Novemba 11, na kosa la pili ni kukaidi amri ya Jeshi la Polisi lililowataka wanafunzi hao kutawanyika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku zote hizo mbili kesi hiyo ilipokuja kwa mara ya kwanza kwa ajili ya washitakiwa kusomewa mashitaka, waandishi wa habari tuliingia ndani ya chumba cha mahakama kwa ajili ya kuanza kusikiliza kesi hiyo lakini ghafla Hakimu Lema aliwatimua waandishi ambao tulitii amri yake tukatoka nje na kesi ilipokwisha tulitumia mbinu zetu za kujua kilichoeendelea ndani ya chumba hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesho yake tukaenda kuiripoti kesi hiyo kwenye vyombo vya habari bila kukosea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, Novemba 16 katika hali isiyotarajiwa Hakimu Lema aliendeleza kasumba yake ya kutufukuza waandishi wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya wanachuo hao 41 kuja kupata masharti ya dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kweli tuliitii amri yake na kutoka nje na kwakuwa tuliona hakimu huyo hakututendea haki kwakuwa kesi hiyo ilikuwa ikiwahusu watu waliozidi miaka 18, si kesi ya kulawiti wala kubakwa, tuliamua kwenda kumripoti kwa mkuu wake wa kazi, Hakimu Elvin Mugeta, ambaye alitupokea na kututaka tuwe na subira na kwamba atakwenda kuzungumza na Hakimu Lema kujua ni kwanini alifikia uamuzi huo wa kutufukuza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na wakati Lema akitufukuza tusiingie kwenye chumba alichokuwa akiendeshea kesi, wanausalama mbalimbali wanaoshinda mahakamani hapo walikuwa wakijitahidi kadiri ya uwezo wao kuwasaidia waandishi wa habari kuingia ndani ya chumba hicho ili waweze kusikiliza kesi hiyo bila mafanikio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si siri, kitendo alichotufanyia Hakimu Lema si tu kinanyima haki ya waandishi wa habari kupata habari, pia kilitudhalilisha waandishi wa habari tuliokuwa tumefika hapo kwa ajili ya kuripoti habari hiyo na nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia kitendo hicho kimeibua maswali mengi yasiyo na majibu kuwa hakimu huyo ana nini anachotaka kukificha katika kesi hiyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Au Hakimu Lema alidhani sisi ni wafuasi wa kikundi cha wanamgambo wa Kisomali cha Al - Shabaab tuliobeba mabomu kwenye pochi zetu kwenda kumlipua?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumuulize Hakimu Lema ana masilahi gani binafsi katika kesi hiyo hadi atuzuie kuripoti kesi hiyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa pili wa shilingi, binafsi namuona Hakimu Lema ni miongoni mwa mahakimu wanawake wachache wenye uzoefu wa kazi hiyo na wanaojiamini katika kutoa maamuzi yao ukilinganisha na baadhi ya mahakimu wengine wanawake ambao si jasiri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na katika hili nampongeza Hakimu Lema, kwani kupitia kesi mbalimbali anazoziendesha ambazo mimi nimekuwa nikihudhuria, nimeweza kulibaini hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi, ni rai yangu kwa Hakimu Lema atambue kuwa tunaheshimu uhuru wa mahakama na utawala wa sheria na tunakuza utawala wa sheria kupitia uandishi wetu wa habari hizo za mahakamani na tunafahamu vema miiko na mipaka ya taaluma yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunamwakikishia Hakimu Lema kuwa tutaendelea kuiripoti kesi hiyo ya wanafunzi wa UDSM na nyingine kwa njia tunazozijua sisi, hata kama atatuzia kuripoti kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania,&lt;br /&gt;Mungu ibariki Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 22 mwaka 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-9089524921292941254?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/9089524921292941254/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=9089524921292941254' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/9089524921292941254'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/9089524921292941254'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/lema-usitunyime-uhuru-wanahabari.html' title='LEMA USITUNYIME UHURU WANAHABARI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-6b4INi8aN7Y/Ts3y_mTlAZI/AAAAAAAAAok/ih9VkVwDP_E/s72-c/happiness.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5811479504983711471</id><published>2011-11-24T10:28:00.002+03:00</published><updated>2011-11-24T10:29:54.064+03:00</updated><title type='text'>WASHTAKIWA KESI YA 'SAMAKI WA MAGUFULI'WAMALIZA KUJITETEA</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HATIMAYE washtakiwa watano raia wa China wanaokabiliwa na kesi ya uvuvi haramu katika ukanda wa Tanzania kwa kutumia meli ya Tawariq 1 maarufu kama ‘Kesi ya Samaki wa Magufuli’ wamemaliza kujitetea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washtakiwa hao Hsu Chin Tai, Zhao Hanguing, Hsu Shang Pao, Ca’ Dong Li na Chen Rui Hai wanatetewa na mawakili wa kujitegemea Ibrahim Bendera na John &lt;br /&gt;Mbele mbele ya Jaji Agustine Mwarija.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 14, mwaka huu, washtakiwa hao walijitetea kwa lugha ya Kichina na kusaidiwa na mkalimani Mtanzania; walisema: “Mheshimiwa Jaji wateja wetu hao watano wamemaliza kujitetea na tumeona utetezi wao unatosha hivyo hatuhitaji kuleta mashahidi ili waje kuwatetea na kwa hiyo upande wa utetezi katika kesi hii tumefunga ushahidi wetu na tunaiachia mahakama iendelee na taratibu zingine za kisheria,” alisema Wakili Bendera.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake Jaji Mwarija alikubaliana na ombi hilo na akaahirisha kesi hiyo hadi Novemba 29 ambapo siku hiyo pande zote katika kesi hiyo, ule wa jamhuri unaowakilishwa na wakili mwandamizi wa serikali Biswalo Mganga na wa utetezi unaowakilishwa na mawakili tajwa hapo juu, zinatakiwa kufika mahakamani hapo na kuwasilisha majumuisho yao kwa njia ya mdomo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Machi 2009 washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kisha kesi hiyo ikahamishiwa Mahakama Kuu wakikabiliwa na makosa ya kuvua samaki bila leseni, kuharibu mazingira katika kina kirefu cha ukanda wa Bahari ya Hindi eneo la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 22 mwaka 2011. &lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5811479504983711471?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5811479504983711471/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5811479504983711471' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5811479504983711471'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5811479504983711471'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/washtakiwa-kesi-ya-samaki-wa.html' title='WASHTAKIWA KESI YA &apos;SAMAKI WA MAGUFULI&apos;WAMALIZA KUJITETEA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-4893316007648724680</id><published>2011-11-21T15:22:00.002+03:00</published><updated>2011-11-21T15:26:49.793+03:00</updated><title type='text'>ADAM MBOGO 'NYENGO"APATA JIKO</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-rcPx6UMGfss/TspC1UG0KvI/AAAAAAAAAoY/Ae1Z0pfTlZE/s1600/mbogoro%2Bharusi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 195px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-rcPx6UMGfss/TspC1UG0KvI/AAAAAAAAAoY/Ae1Z0pfTlZE/s320/mbogoro%2Bharusi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5677423763951725298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mdau Adam Mbogoro'NYENGO"akiwa tafakari mpya baada ya kupata mke Matrida mwishoni mwa wiki na kufuatiwa na tafrija la kukata na shoka katika ukumbi wa Land Mark jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Nawatakieni furaha na uvumilivu katika safari yenu mpya ya maisha ya ndoa mliyoianza na mungu awatangulie.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-4893316007648724680?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/4893316007648724680/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=4893316007648724680' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4893316007648724680'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4893316007648724680'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/adam-mbogo-nyengoapata-jiko.html' title='ADAM MBOGO &apos;NYENGO&quot;APATA JIKO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-rcPx6UMGfss/TspC1UG0KvI/AAAAAAAAAoY/Ae1Z0pfTlZE/s72-c/mbogoro%2Bharusi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7066062018158084200</id><published>2011-11-18T12:50:00.003+03:00</published><updated>2011-11-18T13:06:10.588+03:00</updated><title type='text'>SHAHIDI:MINTANGA HAKUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-s-BSabXpzzQ/TsYt9EIMFEI/AAAAAAAAAoQ/-YIn1yMYd5s/s1600/mintanga.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 186px; height: 139px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-s-BSabXpzzQ/TsYt9EIMFEI/AAAAAAAAAoQ/-YIn1yMYd5s/s320/mintanga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676274907450446914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SHAHIDI wa nne upande wa Jamhuri katika kesi ya kula njama na kusafirisha dawa za kulevya Kilo 4.8 inayomkabili aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Ngumi la Ridhaa Tanzania (BFT), Alhaji Shaban Mintanga, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP), Charles Ulaya amedai mshtakiwa huyo alistahili kushtakiwa kwa kosa moja tu la kula njama na siyo kosa la kusafirisha dawa hizo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SSP Ulaya, ambaye ndiye mpelelezi mkuu wa kesi hiyo na aliyeongoza askari wenzake kupekua makazi na ofisi mbili za mshtakiwa (Mintanga), alitoa maelezo hayo jana mbele ya Jaji Dk. Fauz Twaib wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakati akijibu swali la wakili kiongozi wa utetezi Jerome Msemwa anasaidiwa na Majura Magafu na Yassin Membar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali hilo lilimtaka shahidi huyo, aieleze mahakama kama, kutokana na upelelezi wake aliyoufanya na vielelezo alivyovikusanya, alikuwa anaona Mintanga anastahili kushtakiwa kwa makosa mawili ya kula njama na kusafirisha  kiasi hicho cha dawa za kulevya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mtukufu Jaji na mimi ndiyo mpelelezi mkuu wa kesi hii na mimi ndiyo niliyemhoji mshtakiwa na nikaongoza askari wengine kufanya upekuzi. Mimi na askari mwenzangu mmoja, tulikwenda hadi nchini Mauritius kufanya upelelezi wa kesi hii na kuwahoji wale Watanzania sita, ambao ulikuwa ni msafara wa mabondia wa hapa Tanzania waliokwenda Mauritius kushiriki mashindano ya ngumi za ridhaa na nilivyowahoji hao Watanzania sita na mwanamke mmoja raia wa Kenya, walinieleza kuwa dawa zile hawakupewa na Mintanga, bali dawa zile walipewa na mtu mmoja ambaye anaitwa Mika, ambaye hadi sasa Jeshi la polisi halijafanikiwa kumkamata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hivyo basi, kwa vielelezo vyote na ushahidi wote niliyoukusanya hapa Tanzania na kule Mauritius, nasema wazi kuwa mshtakiwa hakustahili kabisa kushtakiwa kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya, badala yake mawakili wa serikali walipaswa kumshtaki mshtakiwa huyo kwa kosa moja la tu la kula njama,” alieleza SSP Ulaya na kusababisha watu kuangua vicheko vya chini chini mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, SSP Ulaya alieleza kuwa, kimsingi  kilichofanya mshtakiwa huyo afikishwe mahakamani ni simu yake yenye namba 0754 284887, kuonekana ilikuwa ikitumika kuwasiliana na kampuni ya usafirishaji ya Antelops Tours Agency kwa ajili ya kuwakatia tiketi mashabiki watatu, ambao nao waliongozana na msafara huo uliokamatwa nchini Mauritius. Lakini hata hivyo alivyotakiwa na mawakili wa utetezi kutoa kielelezo hicho kinachoonyesha simu hiyo ilikuwa ikiwasiliana na kampuni hiyo ya ukatishaji tiketi, shahidi huyo alidai kuwa, yeye katika upelelezi wake alikwenda katika kampuni ya simu ya Vodacom, akapewa kielelezo hicho (print out) na kwamba, alishakikabidhi kwa mawakili wa serikali, lakini hadi shahidi huyo anamaliza kutoa ushahidi wake, hakuweza kukitoa ili kiweze kupokelewa na mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shahidi huyo akijibu maswali aliyoulizwa kwa mpigo na mawakili wa utetezi, Msemwa na Magafu, kuwa katika maelezo ya nyongeza aliyomchukua Mintanga katika mahojiano yao yaliyofanyika Makao Makuu ya Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, eneo la Kilwa Road jijini Dar es Salaam, Juni 20 mwaka 2008, kuwa, alimhoji mshtakiwa huyo kuhusu matumizi ya simu ya mkononi Na. 0754 284887 inayodaiwa kuwa ni ya mshtakiwa na alikuwa akiitumia kwa mawasiliano na kampuni Antelope Tours Agency, shahidi huyo alidai hakuwahi kumuuliza swali hilo mshtakiwa huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Yafuatayo ni mahojiano baina ya mawakili wa utetezi Msemwa na Magafu na SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili:&lt;/strong&gt;Tazama haya maelezo ya mshtakiwa aliyoyatoa mbele yako wakati unamhoji, kuna sehemu yoyote inaonyesha wewe ulimuuliza mshtakiwa matumuzi ya hiyo simu ambayo mnadai ni yake, alikuwa anaitumiaje?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt; Hakuna sehemu inayoonyesha kuwa nilimuuliza swali hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt; Soma haya maelezo yako wewe shahidi, kuna sehemu yanaonyesha ulimhoji mshtakiwa kuhusu matumuzi ya namba hiyo ya simu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya: &lt;/strong&gt;Mhhh! pia sikumuuliza swali hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili: &lt;/strong&gt;Utakubaliana na mimi hiyo simu namba 0754 284887 unayodai ni ya mshtakiwa siyo mali ya mshtakiwa, bali ni simu ya ofisini kwa mshtakiwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt; Mimi nilivyokuwa nikimchukua maelezo ya nyongeza, mshtakiwa huyo alinieleza simu hiyo ni yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili: &lt;/strong&gt;Soma hii ni Barua ya BFT inakwenda kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;Juu ya barua hiyo inaonyesha anwani ya BFT ni Box-15558 namba binafsi ya Mintanga ni 0773-257547, kazi na ofisi ni +255 0754-284887 .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt;Kwa mujibu wa hizo nyaraka, si zinaonyesha simu hiyo ya  Vodacom +255 0754-284887 si ni ya ofisini kwa Mintanga?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya: &lt;/strong&gt;Ndiyo (watu wakacheka).   &lt;br /&gt;Wakili:Ulivyooenda katika kampuni ile ya Antelope kufanya upelelezi wako, ulimhoji nani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;Nilimhoji shahidi wa tatu, Godfrey Mroso na akaniambia namba hiyo ndiyo alikuwa akiwasiliana nayo na ikamtaka awakatie watu hao watatu, licha mwenye namba hiyo hajawahi kumtajia jina lake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt;Kama hivyo ndivyo, wewe ulisema kigezo pekee  kilichokufanya upendekeze mshtakiwa afunguliwe kesi ni simu hiyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;Ndiyo, kwani nilikwenda hadi Vodacom nikaprint out mawasiliano ya namba hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili: &lt;/strong&gt;Hiyo print out umekuja nayo hapa mahakamani ili tuione?&lt;br /&gt;SSP Ulaya:Sijaja nayo ila nakumbuka niliikabidhi kwa mawakili wa serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt;Utakubaliana na mimi hadi sasa hizo dawa za kulevya zilizokamatwa Maurtius hazijaletwa hapa nchini na kesi inayomkabili mshtakiwa ni kula njama na kusafirisha dawa hizo za kulevya Kg.4.8, na hatuoni kuwa hapa tunazungumzia hewa na kucheza mchezo wa kuigiza, kwani kielelezo ni dawa za kulevya na wewe kama mpelelezi mkuu pia hizo dawa za kulevya leo hujazileta hapa mahakamani kama kielelezo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt; Mmh! siwezi kusema hii ni kesi hewa na ninavyofahamu mimi hizo dawa bado hazijaletwa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt;Katika upelelezi wenu, mliweza kubaini katika kipindi hicho cha mgogoro huo kama mshtakiwa aliwahi kwenda nchini Mauritius?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;Hatujagundua kama Mintanga aliwahi kwenda Mauritius.&lt;br /&gt;Wakili:Huu uzito wa Kg. 6 wa dawa za kulevya uliupata?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt; Mauritius ambapo walipowakamata Watanzania wale walilitumia jeshi la Polisi Tanzania kuwa, dawa za kulevya zenye Kg. 6.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt;Unamfahamu mtu mmoja anaitwa Christopher Shekiondo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt; Namfahamu, huyo ni Kamishna wa Tume ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, ambaye yeye alitoa hati yake inayoonyesha dawa hizo zina uzito wa Kg.4.8 na zina thamani ya sh. milioni 120 na hati inaonyesha ilitolewa na Kamishna huyo Julai 6, 2010.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt;Utakubaliana na mimi kuwa, Kamishna Shekiondo aliyapima madawa hayo na kutoa uzito na thamani ya dawa hizo wakati dawa hizo hazijaletwa bado nchini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt; Ndiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt; Huoni kitendo hicho cha Shekiondo kupima dawa hizo wakati dawa hizo bado haziletwa hapa nchini, ndiyo kumemsababisha mshtakiwa afunguliwe kesi hii na hadi sasa anaendelea kusota gerezani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;Kimya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt;Hivi hizo kilo 6 za dawa hizo ambazo jeshi la polisi la Tanzania lililetewa kwa maandishi na serikali ya Mauritius zinafanana na kilo 4.8 zilizotajwa katika hati ya Shekiondo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;Ni tofauti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakili:&lt;/strong&gt; Inakuwaje hati ya mashtaka inasomeka mshtakiwa alisafirisha Kg.4.8 kwenda Mauritius na taarifa za kipelelezi za Mauritius walizolitumia jeshi letu la polisi, zinaonyesha waliukamata msafara ule ukiwa na kg. 6 za dawa za kulevya, sasa ieleze mahakama usahihi ni upi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;Kimya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili: Kwa hiyo utakubaliana na mimi tuhuma kuhusu usafirishaji wa dawa hizo zilikuwa zinamhusu Mika na siyo Mintanga?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt;Ni kweli, kwani tulipata taarifa hizo toka Mauritius na ndiyo maana tukawa tunamtafuta sana Mika, kwani Petro Mtagwa, Elia Nathaniel, Ally Msengwa na Emilian Patrick ndiyo waliokamatwa na dawa hizo wakiwa wamemeza tumboni na mimi nilipowafuata katika gereza moja nchini humo na kuwahoji, walinieleza kuwa aliyewapatia dawa hizo ni mtu mmoja anaitwa Mika na aliwamezesha dawa hizo katika hoteli moja iliyopo Manzese na aliwapatia dola 100 za kimarekani kwa kila mmoja  na Agosti 10 mwaka 2008, walianza safari kuelekea Maurtius wakiwa wamememeza tumboni dawa hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Yafuatayo ni mahojiano baina ya wazee wa baraza na SSP Ulaya:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali:Kuna ushahidi gani katika upekuzi unahusiana na makosa yanayomkabili mshtakiwa?&lt;/strong&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt; Hakuna.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Swali:&lt;/strong&gt;Ulisema ulivyofika Mauritius wale Watanzania waliokamatwa walikuambia ni Mika ndiyo aliyekuwa amewapatia zile dawa za kulevya, sasa kwanini Jamhuri inamfungulia kesi hii Mintanga peke yake?&lt;br /&gt;SSP Ulaya:Kimya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Swali:&lt;/strong&gt;Una uhakika gani kama mshtakiwa hausiki katika kesi hii?&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya:&lt;/strong&gt; Naamini ushahidi niliyotoa na upelelezi niliyofanya, mshtakiwa anahusika katika kesi hii kwenye kosa moja tu la kula njama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Swali:&lt;/strong&gt;Kwani wale Watanzania waliokamatwa kule Mauritius  ulivyowahoji, walikueleza kuwa Mintanga  ana husika kusafirisha dawa zile za kulevya walizokutwa nazo?&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;SSP Ulaya&lt;/strong&gt;:Walinieleza kuwa Mintanga hausiki kabisa na dawa hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Dk.Fauz Twaib aliarisha kesi hiyo hadi leo, ambako shahidi wa tano anatarajiwa kupanda kizimbani kutoa ushahidi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Novemba 18 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7066062018158084200?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7066062018158084200/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7066062018158084200' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7066062018158084200'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7066062018158084200'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/shahidimintanga-hakusafirisha-dawa-za.html' title='SHAHIDI:MINTANGA HAKUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-s-BSabXpzzQ/TsYt9EIMFEI/AAAAAAAAAoQ/-YIn1yMYd5s/s72-c/mintanga.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-4753590378043232552</id><published>2011-11-17T15:42:00.002+03:00</published><updated>2011-11-17T15:50:46.708+03:00</updated><title type='text'>SHAHIDI:SIMU YA MINTANGA ILITUMIKA</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-c6J9MuMyLEE/TsUC_BMBCCI/AAAAAAAAAoA/B4UBdnzXYQE/s1600/mintanga.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 186px; height: 139px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-c6J9MuMyLEE/TsUC_BMBCCI/AAAAAAAAAoA/B4UBdnzXYQE/s320/mintanga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5675946187044227106" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HATIMAYE Mahakama Kuu Dar es Salaam jana ilizipokea tiketi tatu za  ndege kama vielelezo vya upande wa Jamhuri  katika kesi hiyo ambazo tiketi hizo zilitumiwa na msafara wa Timu ya Taifa ya Ngumi, ambao ulitiwa mbaroni nchini Mauritius  kwa tuhuma za kuingiza dawa za kulevya zenye uzito wa Kg.4.8 nchini humo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Dk.Fauz Twaib alisema anazipokea tiketi hizo kama vilelezo kwasababu vimekidhi matakwa ya kisheria na uamuzi alioutoa juzi ambao ulikataa kuzipokea tiketi hizo kama vielelezo hadi upande wa jamhuri utakapokwenda kuzifanyia marekebisho tiketi hizo ambazo zilikuwa ni nakala na kisha jana wazirejeshe mahakamani hapo, amari ambayo ilitekelezwa na mawakili wa upande wa Jamhuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa mahakamani hap na hivyo vielelezo vilivyopokelewa jana na Jaji Dk.Twaibu, kunaonyesha kuwa aliyekuwa Rais wa  Shirikisho la Ngumi Tanzania Alhaji Shabani Mintanga ambaye ndiye mshtakiwa pekee katika kesi hiyo kuwa ndiye aliyehusika  kuwatafutaia tiketi watu waliokutwa na dawa hizo huko Mauritius ambao hata hivyo hawajashtakiwa katika Mahakama za Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tiketi hizo tatu zilitolewa jana na shahidi wa tatu, Godrey Mroso ambaye ni mfanyakazi wa Kampuni ya  Anvelope Travel Agency, ambaye alidai yeye ndiye aliyekatisha tiketi hizo mwaka 2008 ambapo tiketi hizo zilikuwa ni za Nathaniel, Msengwa na Mutagwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nathaniel na Msengwa waliambatana na timu hiyo nchini Mauritius kwa madai kuwa ni mashahabiki ambao kwa mujibu wa ushahidi walitambulishwa kwa kocha wa timu hiyo Nassoro Michael Irenge na Mintanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiongozwa kutoa ushahidi wake na Wakili wa Serikali Ntuli Mwakahesya, Mroso aliitaja namba ya simu ya kiganjani aliyokuwa akipigiwa na mtu  aliyekwenda ofisini kwao  kufanya maandalizi na kulipia tiketi hizo nne kwa ajili ya safari hiyo kuwa ni 0754 284887.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo wazee wa baraza  Wazee wa Baraza, Zeshta Lyimo na Msakala Tambaza  walipomuuliza shahidi huyo swali kuwa mtu ambaye alikwenda kukata tiketi hizo kama alijitambulisha jina, shahidi huyo alijibu kuwa mtu huyo hakujitambulisha jina na hawezi kumtambua kwa sura.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kwa mujibu wa ushahidi uliokwisha tolewa na shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ambaye alikuwa ni Makamu wa Rais wa Shirikisho la Ngumi la Taifa, Christopher Mtabarukwa,mapema Jumatatu wiki alieleza mahakama hiyo kuwa mwenye namba hiyo ya hi namba hiyo    0754 284887 ni mshtakiwa Mintanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mutaburukwa alidai kuwa alikuwa akiwasiliana na rais wake (Mintanga) kwa kutumia simu hiyo kuhusu maendeleo ya kambi ya timu hiyo wakati ikiwa kambini.&lt;br /&gt;Irenge na bondia Patrick Emilian pia walikuwa wameshikiliwa nchini  Mauritius kwa tuhuma hizo lakini wao wameshaachiwa baada ya kuonekana kuwa hawahusiki na uingizaji wa dawa hizo nchino humo, lakini Bondia Mutagwa, Nathaniel na Msengwa bado wanashikiliwa nchini humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa ushahidi wake juzi shahidi wa pili upande wa mashtaka kocha wa zamani wa timu hiyo ya ngumi Nassoro Michael Irenge alidai kuwa dawa hizo za kulevya anazoshtakiwa nazo  Mintanga zilikutwa kwenye begi la  Bondia Petro Mutagwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Irenge aliieleza mahakama kuwa katika msafara wa timu hiyo ulikuwa na mabondia wawili Patrick na Mutagwa na yeye kocha na kwamba ndio wlaioagwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo alidai kuwa baada ya kuagwa aliambiwa na Mintanga kuwa kuna watu wengine ambao ndio waliomdhamni bondia Mutagwa tiketi ya kusafiri, pia watakuwa nao katika msafara huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa walipofika uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere, alikutana na watu wengine aliowataja kwa majina ya  Nathaniel na Msengwa ambao walijitambulisha kuwa ni mashahabiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa wakiwa katika hoteli waliyofikia Mauritius, siku ya pili akiwa chumbani kwake na mabondia wake waliingia askari wa Mauritius wakiwa na wale mashahabiki pamoja na begi lilioandikwa Tanzania likiwa na jina la Petro Mutagwa.&lt;br /&gt;Alidai askari wale waliwaweka chini ya ulinzi kwa tuhuma za kukutwa na dawa zaa kulevya ambazo walizitoa kwenye begi lile na kuzimwaga chini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Irenge aliendelea kudai kuwa Mutagwa alikubali kuwa begi lile ni lake na kwamba liliazimwa na mmoja wa wale mashahabiki kuwa kuna vitu alikuwa anakwenda kuvinunua.Kesi hiyo inaendelea tena leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Novemba 17 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-4753590378043232552?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/4753590378043232552/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=4753590378043232552' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4753590378043232552'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4753590378043232552'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/shahidisimu-ya-mintanga-ilitumika.html' title='SHAHIDI:SIMU YA MINTANGA ILITUMIKA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-c6J9MuMyLEE/TsUC_BMBCCI/AAAAAAAAAoA/B4UBdnzXYQE/s72-c/mintanga.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7125604513440687780</id><published>2011-11-17T15:40:00.003+03:00</published><updated>2011-11-17T15:42:32.740+03:00</updated><title type='text'>HAKIMU AZUIA WAANDISHI KURIPOTI KESI YA WANAFUNZI WA UDSM</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, Waliarwande Lema kwa mara ya pili jana aliendelea tabia yake kwa kuwazuia waandishi wa habari toka vyombo mbalimbali vya wasiingie kusikiliza kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali inayowakabili wanafunzi 50  wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo ambayo jana ilikuja kwaajili wanafunzi 41 kati ya 50  kuja kupatiwa dhamana na hakimu huyo, ambapo waandishi hao wa habari walifika mahakamani hapo tangu saa mbili asubuhi na kuhudhuria kesi mbalimbali lakini ilipofika saa 6.30 mchana wanafunzi hao waliingizwa kwenye ofisi ya hakimu Lema kwaajili ya kuanza kutimiza masharti ya dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wanafunzi hao wakiongozwa na askari wa Jeshi la Magereza na Polisi kuingia ndani ya chumba hivyo, pia askari polisi walikuwa wakiwasaidia waandishi wa habari ili waweze kuingia ndani ya chumba hicho ili waweze kusikiliza kesi hiyo lakini ghafla hakimu Lema alipoona sura za waandishi wa habari akatoa sauti ya ukali na ya juu ya kuwafukuza waandishi wa habari wa habari watoke ndani ya chumba hicho bila kutoa sababu zozote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nimesema nyie waandishi wa habari tokeni haraka ndani ya ofisi yangu, na hii ni amri nataka mtoke upesi ili nianze kuendesha kesi hii ya wanafunzi wa Chuo Kikuu”alifoka Hakimu Lema kwa sauti ya juu na kuwafanya waandishi wa habari akiwemo mwandishi wa habari hii kuondoka ndani ya chumba hicho bila kujua kesi hiyo iliendeleaje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo waandishi hao wa habari za mahakama walionyesha kukerwa na tabia hiyo ya Hakimu Lema ya kuwazuia kuripoti kesi hiyo kwa mara ya pili sasa hali iliyowazimu  kwenda kwa kushtaki kwa Hakimu Mkuu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Elvin Mugeta ambaye aliwaomba waandishi wa habari kuwa wapole na akaidi hilo swala kulifuatili ili kujua ni sababu gani iliyosababisha hakimu huyo kufia uamuzi huo wa kuwakataza waandishi wasiingie kusikiliza kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara ya kwanza hakimu huyo kuwatimua waandishi wa habari kuripoti kesi hiyo ni Novemba 14 mwaka huu,wanafunzi hao 50 walifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza mbele ya hakimu huyo na kusomewa mashtaka mawili kwamba    Novemba 11 mwaka huu,katika eneo la Mlimani la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, washtakiwa wote kwa pamoja walifanya mkusanyiko  usio wa halali  na kusababisha uvunjifu wa amani katika eneo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Komanya alidai kosa la pili ni kwamba washtakiwa hao wakiwa  kwenye mkusanyiko huo haramu  kwa lengo la kufanya mgomo, askari wa Jeshi la Polisi waliwataka wanafunzi hao watawanyike  lakini hata hivyo wanafunzi hao walikahidi amri hiyo na kudai kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Novemba 17 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7125604513440687780?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7125604513440687780/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7125604513440687780' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7125604513440687780'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7125604513440687780'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/hakimu-azuia-waandishi-kuripoti-kesi-ya.html' title='HAKIMU AZUIA WAANDISHI KURIPOTI KESI YA WANAFUNZI WA UDSM'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2996555467718808095</id><published>2011-11-17T15:35:00.003+03:00</published><updated>2011-11-17T15:40:20.861+03:00</updated><title type='text'>MARANDA AFUNGULIWA KESI MPYA YA EPA</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-7mFnUnukGF0/TsUAnNKlk-I/AAAAAAAAAn0/k23iBRi1-FQ/s1600/maranda.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 182px; height: 142px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-7mFnUnukGF0/TsUAnNKlk-I/AAAAAAAAAn0/k23iBRi1-FQ/s320/maranda.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5675943578919343074" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KADA wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Rajabu Maranda jana alifikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akikabiliwa na kesi mpya ya kugushi na kujipatia ingizo la jumla ya Sh bilioni 5.9 toka Benki Kuu ya Tanzania, mali ya benki hiyo kinyume cha sheria.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maranda na mpwa wake Farijala Hussein ambao kwa sasa wanatumikia kifungo cha miaka mitano jela baada ya kutiwa hatiani na mahakama hiyo Mei mwaka huu, kwa makosa ya kughushi na kujipatia ingizo la shilingi bilioni 1.8 toka katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), na hadi sasa anakabiliwa na kesi tano za aina hiyo katika mahakama hiyo ambazo bado hazijatolewa hukumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Mwandamizi wa serikali Fredrick Manyanda mbele ya Hakimu Mkazi Alocye Katemana, alidai kesi hiyo kwa sasa itakuwa na jumla ya washtakiwa watano ambapo washtakiwa wapya ni Maranda,aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Idara ya Madeni ya Nje(EPA), Ester Komu na Kaimu Katibu BoT, Bosco Kimela na wafanyabiashara Ajay Somani na Jai Somani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Maranda alidai Maranda anakabiliwa na makosa matano  ya kula njama, kugushi, kuwasilisha hati ya kuamisha deni iliyogushiwa, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kujipatia ingizo la kiasi hicho cha fedha toka Benki Kuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa Desemba 15 mwaka 2004 alighushi hati ya kuamisha mali  kati ya Philip Sceman of Societe Alsociene de Construction De Machines Textile 146-148,Ruedaboukir 75002 ya Paris  Ufaransa na Maulid Kaasa wa kampuni ya Liquidity Services Ltd kuonyesha kwamba mauled wa kampuni ya Liquidity Services Ltd  amepewa idhini ya kudai deni la shilinigi bilioni 5.9 mali ya kampuni ya M/S Societie Alsacienne De Cpnstruction De Machines Textile ya Ufaransa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa Komu na Kimela alidai wanashtakiwa kwa kosa moja la kuisababishia BoT hasara ya kiasi hicho cha fedha  kwani wao walikuwa watumishi wa benki hiyo na wakashindwa kutimiza majukumu yao hivyo kuisababishia benki hasara ya kiasi hicho cha fedha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo washtakiwa wote walikana mashtaka hayo na Maranda akadai juzi jioni alipigiwa simu akiwa katika gereza la Ukonga anakoishi kwa sasa akitakiwa jana afike mahakamani hapo bila kujua afike kwaajili ya jini na kwamba hata wakili wake hana taarifa kama amefunguliwa kesi hiyo mpya ila anaiomba mahakama hiyo impatie dhamana kwa mashtari yatakayowekwa na mahakama hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Katemana alisema Komu na Kimela wanakabiliwa na kosa la kusababisha hasara  hivyo ili wapate dhamana ni lazima kila mmoja wao awe na wadhamini wawili watakaosaini bondi ya bilioni 1.5.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Maranda anayekabiliwa na makosa ya kula njama, kugushi na kujipatia ingizo atapaswa awe na wadhamini wawili ambao watatoa fedha taslimu au kuwasilisha hati yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.6.Hata hivyo Maranda ameshindwa kutimiza masharti hayo ya dhamana na kesi hiyo imearishwa Desemba mosi mwaka huu na watasomewa maelezo ya awali  watasomewa Januari 16-20 mwaka 2012.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Novemba 17 mwaka 2011.  &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2996555467718808095?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2996555467718808095/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2996555467718808095' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2996555467718808095'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2996555467718808095'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/maranda-afunguliwa-kesi-mpya-ya-epa.html' title='MARANDA AFUNGULIWA KESI MPYA YA EPA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-7mFnUnukGF0/TsUAnNKlk-I/AAAAAAAAAn0/k23iBRi1-FQ/s72-c/maranda.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2041643282486914665</id><published>2011-11-16T17:37:00.003+03:00</published><updated>2011-11-16T17:40:10.723+03:00</updated><title type='text'>VIELELEZO VYAKWAMISHA KESI YA MINTANGA</title><content type='html'>Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana ililazimika kusitisha kuendelea ushahidi wa shahidi wa tatu na wanne katika kesi ya kula njama na kusafirisha dawa za kulevya zenye uzito wa kilo 4.8 inayomkabili  Rais wa zamani wa Shirikisho la Ngumi Tanzania (TFB) Alhaji Shabani Mintanga baada mahakama hiyo kuvikuta vielelezo vitatu vya upande wa Jamhuri kuwa vina mapungufu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji Dk.Fauz Twaib kufuatia shahidi wa tatu Godfrey Mroso ambaye ni mfanyakazi wa Kampuni ya   Anvelope Travel Agency  kutoa sehemu ya ushahidi wake ambapo alidai kuwa yeye ndiye alitengeneza tiketi tatu ambazo aliomba zipokelewe na mahakama kama  vielelezo ombi ambalo lilipingwa vikali na mawakili wa utetezi Jerome Msemwa na Yassin Memba kwa madai kuwa tiketi hizo ni nakala badala risiti halisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Msemwa aliomba mahakama isipokee tiketi hizo vivuli kama vielelezo kwasababu tayari upande wa Jamhuri upo kwenye nafasi nzuri ya kuleta tiketi halisi na kompyuta iliyotumiwa na kampuni kutengeneza tiketi hizo ambapo hata hivyo Jaji Dk.Twaibu alikubaliana na pingamizi la wakili Msemwa na akautaka upande wa Jamhuri uende kuondoa neno linalosomeka kuwa tiketi hizo si nakala halisi na akaamuru shahidi huyo aruhisiwe kwenda nyumbani na pindi marekebisho hayo yatakaponywa upande wa Jamhuri umulete tena shahidi huyo ili aweze kuja kumalizia kutoa ushahidi wake na kutaka shahidi wa nne apande kizimbani aanze kutoa ushahidi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Jaji Dk.Twaibu  huyo akitolea uamuzi kuhusu vielelezo hivyo vilivyokuwa vikitaka kutolewa na shahidi wa tatu wa upande wa Jamhuri,Wakili Mwandamizi wa serikali Prudence Rweyongeza alimleta shahidi wa nne, ambaye ni Mrakibu Mwandamizi wa Polisi(SSP), Charles Ulaya ili atoe ushahidi wake lakini hata hivyo wakili huyo alieleza mahakama kuwa kutokana na uamuzi wa mahakama ulitolewa wakati shahidi wa tatu anataka kutoa vile vielelezo vitatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shahidi huyo wan ne (SSP) Ulaya , vielelezo vyake anavyokusudia kuvitoa wakati akitoa ushahidi wake ni kama vya shahidi wa tatu ambavyo vimetengenezwa kwa teknolojia ya kielekroniki na nikala siyo halisi hivyo  wakaiomba mahakama  shahidi huyo asitoe ushahidi ili upande wa jamhuri uende kuvifanyia marekebisho vielelezo vyote hivyo kwenye kompyuta na leo wataviwasilisha mahakamani na mashahidi hao wataendelea kutoa ushahidi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha Jaji Dk.Twaibu alikubaliana na ombi hilo la wakili wa serikali Rweyongeza la kuarisha kesi hiyo hadi leo na akaamuru vielelezo hivyo ambavyo hata hivyo bado havikuwa vimepokelewa na mahakama hivyo haikuweza kujulikana mara moja ndani ya vielelezo hivyo vimeandikwa nini, hadi leo asubuhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 2008, Mwintanga alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi hiyo ambayo haina dhamana ambapo kisheria Mahakama ya Hakimu Mkazi haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo, kesi hiyo iliamishiwa mahakama Kuu mwaka jana na juzi ikaanza kusikilizwa rasmi ambapo imepangwa kusikilizwa mfululizo hadi Novemba 25mwaka huu.     &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Novemba 16 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2041643282486914665?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2041643282486914665/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2041643282486914665' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2041643282486914665'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2041643282486914665'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/vielelezo-vyakwamisha-kesi-ya-mintanga.html' title='VIELELEZO VYAKWAMISHA KESI YA MINTANGA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3050834625464950485</id><published>2011-11-15T12:14:00.002+03:00</published><updated>2011-11-15T12:18:49.074+03:00</updated><title type='text'>KESI YA ALHAJI MINTANGA:SHAHIDI:DAWA ZA KULEVYA ZILIKUTWA KWENYE BEGI LA BONDIA PETO MTAGWA</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-Mg4faVI9WD4/TsIucYm6lhI/AAAAAAAAAno/vTKWB9hhJ1A/s1600/mintanga.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 186px; height: 139px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-Mg4faVI9WD4/TsIucYm6lhI/AAAAAAAAAno/vTKWB9hhJ1A/s320/mintanga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5675149545617135122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ALIYEKUWA  Kocha wa timu ya Taifa ya Ngumi , Nassoro Michael Irenge aliyeachiliwa huru na Serikali ya  Mauritius kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya , ameieleza Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuwa dawa hizo zilikutwa na wanausalama zikiwa  ndani ya begi la Bondia Petro Mutagwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Irenge ambaye ni shahidi wa upande wa Jamhuri aliingia nchini hapa wiki iliyopita akitokea kwenye gereza moja nchini  Mauritius alikokuwa akishikiliwa kwa kosa tuhuma hizo , alitoa madai hayo jana wakati akitoa ushahidi wake mbele ya Jaji Dk.Fauz Twaibu katika kesi  kesi ya kula njama na kusafirisha dawa za kulevya zenye uzito wa Kg 4.8 toka Tanzania kwenda Mauritus  kukutwa na dawa za kulevya ambayo inamkabili  Rais wa zamani wa Shirikisho la Ngumi Tanzania (TFB) Alhaji Shabani Mintanga anayetetewa na wakili Jerome Msemwa  na  Yassin Memba ilikuja kwaajili ya kuanza kusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Irenge ambani askari wa Jeshi la Wananchi Watanzania(JWTZ),  pamoja na mabondia wawili, Patrick Emilian na Petro Mutagwa walikuwa wakishikiliwa nchini Mauritus kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya wakati  walipokwenda kwenye mashindano ya Champion mwaka 2008 nchini humo.Bondia Mutagwa bado anashikiliwa nchini Mauritus wakati bondia Emilian na Irenge waliachiliwa huru na serikali hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiongozwa kutoa ushahidi wake na wakili wa Mwandamizi wa Serikali Pridence Rweyongeza ,Irenge  ambaye ni shahidi wa pili katika kesi hiyo  alidai kuwa msafara wao ulikuwa na mabondia wawili Mutagwa na Emuilian na kwamba bondia wa tatu Abdallah Kimwaga hakufanikiwa kusafiri kwasababu alikosa tiketi lakini akadai kuwa siku ya kuondoka Mintanga alimweleza kuwa katika msafara wao watakuwepo  mashahabiki watatu na kwamba hao mashabiki ndiyo ndio walimdhamini Bondia Mutagwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa wakiwa uwanjwa wa Ndege wa Mwalimu Julia  Nyerere alionana na watu wengine watatu ambao ni Phiris Kesi, Nathaniel na Ali Msengwa ambao walijitambulisha kwake kuwa wao ni mashabiki ambao wanajiunga kwenye msafara wake, kama awali alivyokuwa ameishaelezwa na na Mintanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; “Mheshimiwa jaji mimi na mabondia wangu tulipofika Mauritus tulilala chumba kimoja katika tuliyokuwa tumeandaliwa na wenyeji wetu lakini cha kushangaza kesho yake usiku walikuja askari kutugongea mlango kwa nguvu minikamtaka Mutagwa  aende kuwafungulia mlango na baada ya kufungua mlango waliingia askari  wakiwa na silaha  na kutuambia  kuanzia wakati huo tupo chini ya ulinzi  na baadae  wakawaingiza na wale mashahabiki wakiwa na begi ambalo walilifungua na kutoa dawa ambazo walisema  ni za kulevya,” alidai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali akihojiwa na wakili Msemwa , Irenge  alidai kuwa begi lile lilikuwa limeandikwa jina la Bondia Mutagwa lakini wakati akihojiwa na Wakili Msemwa akisaidiana na Wakili Memba na kuoneshwa maelezo yake aliyoaandika Polisi, Irenge alidai kuwa begi lile   liliandikwa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha katika maelezo ya Irenge  alidai kuwa mashahabiki wale walikiri kutenda kosa hilo na kwamba dawa hizo walikuwa wamezimeza tumboni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akijibu maswali ya wakili Msemwa, Irenge  alieleza kuwa Muntanga kuwa dhidi ya tuhuma zinazomkabili akidai kuwa yeye hakuwahi kukaa naye na kupanga njama kutenda kosa hilo na kwamba Mintanga hakuwai kusafiri na timu hiyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alidai kuwa ingawa walifanyiwa upekuzi mkali katika viwanja vya ndege Dar es Salaam, Nairobi Kenya walikopotia na Mautius ambako walivuliwa hata nguo, lakini hakuna katika msafara wake ambaye alikutwa na dawa au kitu chochote kisicho cha kawaida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kw upande wake shahidi wa kwanza  Christopher Mutabarukwa ambaye alikuwa Makamu wa Rais wa BFT alisema kuwa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho hilo ambayo ndio huidhinisha watu wa kuambatana na timu haikuwahi kuwaidhinisha mashahabiki hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo akihojiwa na wakili wa Mintanga,   Mutabarukwa alidai kuwa hajui lolote kuhusu mahali zilikokamatwa dawa hizo huko Mauritius, aliyewakamata wala waliokamatwa nazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo itaendelea tena leo ambapo shahidi wa tatu upande wa mashtaka ataendelea kutoa ushahidi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 15 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3050834625464950485?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3050834625464950485/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3050834625464950485' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3050834625464950485'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3050834625464950485'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/kesi-ya-alhaji-mintangashahididawa-za.html' title='KESI YA ALHAJI MINTANGA:SHAHIDI:DAWA ZA KULEVYA ZILIKUTWA KWENYE BEGI LA BONDIA PETO MTAGWA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-Mg4faVI9WD4/TsIucYm6lhI/AAAAAAAAAno/vTKWB9hhJ1A/s72-c/mintanga.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7586964054922221632</id><published>2011-11-15T12:11:00.001+03:00</published><updated>2011-11-15T12:14:45.827+03:00</updated><title type='text'>WANACHUO UDSM 50 KORTINI KWA MAANDAMANO HARAMU</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JUMLA ya Wanafunzi 50 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wakikabiliwa na makosa mawili ya kufanya mkusanyiko usihalali na kukaidi amri ya Jeshi la Polisi liliwataka watawanyike.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mawakili wa Serikali  Ledslaus Komanya na Shadrack Kimaro walidai mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema  waliwataja washtakiwa hao kuwa ni Mwambapa Elias,Evalist Elias, Baraka Monesi, Hellen Mushi, Alphonce  Lusako, Matrona  Babu, Rolana Wilfred, Godfrey  Deogratius , Munisi Denis,Evanos Gumbi na wenzao 40.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Serikali Komanya alidai kuwa  mnamo  Novemba 11 mwaka huu,katika eneo la Mlimani la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, washtakiwa wote kwa pamoja walifanya mkusanyiko  usio wa halali  na kusababisha uvunjifu wa amani katika eneo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Komanya alidai kosa la pili ni kwamba washtakiwa hao wakiwa  kwenye mkusanyiko huo haramu  kwa lengo la kufanya mgomo, askari wa Jeshi la Polisi waliwataka wanafunzi hao watawanyike  lakini hata hivyo wanafunzi hao walikahidi amri hiyo na kudai kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo washtakiwa hao ambao walifikishwa mahakamani hapo chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi,  walikana mashtaka hayo na Hakimu Lema alisema ili mshtakiwa apate dhamana ni lazima kila mshtakiwa awe na mdhamini mmoja wa kuaminika ambaye atasaini bondi ya Sh milioni moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo ni washtakiwa tisa tu kati ya 50 ndiyo waliotimiza masharti na kupata dhamana na wengine waliosalia walijikuta wakipelekwa gerezani kwa kushindwa kutimiza masharti hayo ya dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washtakiwa hao waliopata dhamana ni Rehema Mnuo, Grory Masawe, Happy Amulike, Elisia Mpangala, Frida Timoth , Stela  Msofe, Betwel Martin, Mmasi Stephano na Lugemalila Venance.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Lema aliarisha kesi hiyo Novemba 28 mwaka huu, ambapo siku hiyo itakuja kwaajili ya upande wa jamhuri kuwasomea washtakiwa maelezo ya awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 11 mwaka huu, Jeshi la polisi liliwatanya baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho ambao walianzisha mgomo kwa kile walichodai ni kuishinikiza bodo ya Mikopo iwapatie mikopo wanafunzi wenzao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 15 mwaka 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7586964054922221632?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7586964054922221632/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7586964054922221632' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7586964054922221632'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7586964054922221632'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/wanachuo-udsm-50-kortini-kwa-maandamano.html' title='WANACHUO UDSM 50 KORTINI KWA MAANDAMANO HARAMU'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3052325918279984031</id><published>2011-11-15T12:09:00.001+03:00</published><updated>2011-11-15T12:11:34.294+03:00</updated><title type='text'>MSHTAKIW KESI YA 'SAMAKI WA MAGUFULI'AIBUA MAPYA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAKALA wa Meli ya Tawariq 1,  Zhao Qinj(41) ambayo inadaiwa kukamatwa kwenye ukanda wa bahari ya Hindi ya Serikali ya Tanzania ikivua bila leseni na kuharibu mazingira, ameileza Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuwa meli hiyo iliingia nchini Kenya na Tanzania tayari ikiwa na Tani 110 za Samaki ambazo ilizivua kwenye eneo la bahari kuu  ambalo halimilikiwi na nchi yoyote duniani.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zhao  ambaye pia ni raia wa China, alitoa maelezo hayo jana wakati alipokuwa akitoa utetezi wake mbele ya Jaji Agustine Mwarija huku akiongozwa na wakili wake Ibrahim Bendera kutoa utetezi wake  ambapo alidai kuwa wamiliki wa meli hiyo ambao hakuwataja majina yake ndiyo waliompa jukumu ya kuitafutia leseni Meli ya Tawariq 1 hapa Tanzania ili ije kuvua samaki na kwamba walimteua yeye kuwa wakala wa meli hiyo, maombi ambayo aliyakubali  na akayatekeleza kwa vitendo kupitia mamlaka husika za Kenya na Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mshtakiwa huyo alidai Septemba 22 mwaka 2009 aliiandika barua ya Idara ya Uvuvi ya Zanzibar akiomba meli ya Tawariq 1 iruhusiwe kuvua kwenye eneo la Ukanda wa Uchumi,  kwa muda wa miezi mitatu  na nakala ya ombi hilo naitoa kama kielelezo na Zanzibar ilikubali ombi hilo na kisha nikawajulisha wamiliki wa hiyo meli kwa njia ya mtandao ambapo wakati nawajulisha kuwa kibali hicho kimepatikana Meli ya Tawariq 1 ilikuwa  katika eneo la Bahari Kuu ambalo eneo hilo halimilikiwi na nchi yoyote hapa duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa ilipofika  Desemba 2008 wamiliki wa meli hiyo walimtaarifu wamewatuma manahodha wa tatu wa meli hiyo wanaotokeo katika eneo hilo Bahari Kuu  kuja mjini Mombasa ambapo anaishi mshtakiwa huyo ili waje kuchukua kibali hicho  na Januari 1 mwaka 2009  manahodha hao waliwasili kwenye bandari ya Mombasa na akawapatia kibali hiyo na kisha akawapandisha kwenye meli iitwayo Tuosoun kwaajili ya kuanza safari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Machi 8 mwaka  2009 ndiyo meli ya Tawariq 1 ilifika bandari ya Mombasa ikitokea eneo la Bahari Kuu na ndani ya meli hiyo kulikuwa na tani 110 za samaki ambazo zilitakiwa kusafirishwa nje  na kwamba walinitajia  tani hizo za samaki ili yeye kama wakala wa meli hiyo aweze kwenda kufanya bokingi ya makontena ya kuifadhia samaki hao na kuandaa ilani ya meli hiyo na bandari ya Mombasa iweze kufahamu meli hiyo imebeba mzigo wa uzito gani;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Lakini Machi 9 mwaka 2009  nikiwa Nairobi nikapigiwa simu  na nahodha wa meli hiyo ambaye ni mshtakiwa wa tisa,Hsu Shang Pao  kuwa kuna meli nyekundu imezingira meli yao ya Tawariq 1 baharini na kuikataza meli yao isiende Mombasa bali meli hiyo iende Dar es Salaam, na kwamba yeye baada ya kupokea taarifa hizo Machi 10 mwaka huo, alilazimika kupanda ndege kutoka Mombasa kuelekeza Zanzibar na kisha akachukua boti ya Sea Bus na kuisha kuingia Marine Polisi ya Dar es Salaam na alipofika hapo akakutana na askari mmoja ambapo yeye alijitambulisha kwa askari huyo kuwa yeye ndiye wakala wa meli hiyo iliyokamatwa”alidai Zhao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo imearishwa hadi leo ambapo washtakiwa wengine wataendelea kutoa utetezi wao.Mbali za Zhao washtakiwa wengine ni manahodha wa meli hiyo Hsu Shang Pao na Ca’ Dong Li na Chen Rui Hai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima, Novemba 15 mwaka 2011.&lt;br /&gt;    &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3052325918279984031?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3052325918279984031/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3052325918279984031' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3052325918279984031'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3052325918279984031'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/mshtakiw-kesi-ya-samaki-wa.html' title='MSHTAKIW KESI YA &apos;SAMAKI WA MAGUFULI&apos;AIBUA MAPYA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2428501137938774180</id><published>2011-11-13T12:47:00.001+03:00</published><updated>2011-11-13T12:51:43.660+03:00</updated><title type='text'>MDOGO WA ROSTAM AZIZ KIZIMBANI KWA DAWA ZA KULEVYA</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ASSAD Aziz Abdulasul ambaye ni mdogo wa mwanasiasa maarufu nchini, Rostam Aziz, anayetuhumiwa kusafirisha kilo 92.2 za dawa ya kulevya aina ya heroine yenye thamani ya sh bilioni 2, jana alifikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu Kanda ya Tanga na kusomewa maelezo ya awali.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Tanga, Kipenka Mussa, wakili mwandamizi wa serikali Biswalo Mganga aliieleza mahakama hiyo kuwa kesi hiyo ya jinai Na.1/2011 ilikuja mahakamani hapo kwa mara ya kwanza jana ikitokea Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Tanga kwa ajili ya maandalizi ya kuhamishiwa katika mahakama hiyo ya juu ambayo ndiyo yenye mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo na jana upande wa jamhuri uliwasomea washtakiwa hao maelezo ya awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa mganga aliwataja washtakiwa hao mbali na Assad kuwa ni  Kileo Bakari Kileo, Yahya Makame, Mwamadali Podadi ambaye ni raia wa Iran, Salum Mparakesi, Saidi  Ibrahim Hamis na Bakari Kileo ‘Mambo’ ambao wanatetewa na mawakili wa kujitegemea Richard Rweyongeza na Edward Chuwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiwasomea maelezo hayo ya awali, Wakili Mganga alieleza kuwa washtakiwa wote kwa pamoja kati ya Januari mwaka 2009  hadi Machi 8 mwaka 2010 walikula njama na kusafirisha kiasi hicho cha dawa za kulevya na kuziingiza nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha wakili Mganga alidai kuwa kosa la pili linalowakabili washtakiwa hao ni kusafirisha dawa hizo za kulevya na kukamatwa na askari wa Kikosi cha Kuzuia Dawa za Kulevya cha Jeshi la Polisi, mkoani Tanga, Machi 8, 2010.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya washtakiwa hao kusomewa maelezo hayo ya awali, walikana mashtaka hayo yanayowakabili na badala yake walikubali majina tu kuwa ndiyo yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake Jaji Kipenka aliahirisha kesi hiyo hadi kikao kingine cha Mahakama Kuu na akaamuru washtakiwa wote kurudi mahabusu kwa sababu kisheria, makosa yanayowakabili washtakiwa hao hayana dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Novemba 12 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2428501137938774180?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2428501137938774180/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2428501137938774180' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2428501137938774180'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2428501137938774180'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/mdogo-wa-rostam-aziz-kizimbani-kwa-dawa.html' title='MDOGO WA ROSTAM AZIZ KIZIMBANI KWA DAWA ZA KULEVYA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-6482266768211112982</id><published>2011-11-08T18:15:00.003+03:00</published><updated>2011-11-08T18:20:04.530+03:00</updated><title type='text'>WATANZANIA TUACHE UNAFIKI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-F0ou86pbJB0/TrlIlqNzyZI/AAAAAAAAAnc/G8E2_eCKiz8/s1600/katabazi-rasta.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-F0ou86pbJB0/TrlIlqNzyZI/AAAAAAAAAnc/G8E2_eCKiz8/s320/katabazi-rasta.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5672645017474419090" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WIKI iliyopita Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameroon alihutubia mkutano wa marais wa nchi za Jumuiya ya Madola uliofanyika nchini Austalia. Tanzania tuliwakilishwa na rais wetu Jakaya Kikwete na msafara wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imeripotiwa kuwa katika mkutano huo  Waziri Mkuu wa Uingereza, Cameroon aliwahutubia viongozi hao mambo mengi likiwemo agizo la kuzitaka nchi za Afrika kwenda kutunga sheria itakayoruhusu ndoa za jinsi moja la sivyo nchi yake itazinyima misaada nchi za Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu kuripotiwa na vyombo vya habari agizo hilo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe amejitokeza hadharani kutoa tamko kwa niaba ya serikali kuhusu agizo hilo ambapo alisema msimamo wa serikali yetu, ni kwamba haitakaa itekeleze agizo hilo kwasababu siyo utamaduni wetu na kwamba heri watanzania wafe masikini kuliko kutunga sheria hiyo.&lt;br /&gt;Wananchi kupitia njia mbalimbali za mawasiliano wanaendelea kutoa maoni yao kuhusu agizo hilo ambapo wananchi wengine wanataka sheria hiyo itungwe huku wengine wakitaka isitungwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ieleweke wazi kuwa hadi sasa sheria  na Katiba ya Tanzania haitambui ndoa za jinsia moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Licha ya vitendo vya ushoga, usagaji na vya baadhi ya  wanawake kupenda kufanyiwa matendo ya ngono  kinyume na maumbile kwa hiari yao au wengine siyo kwa hiari yao vinazidi kushika kasi kila kukicha na baadhi viongozi wa serikali, wananchi wakiwemo  wazazi na viongozi wa dini wanafahamu fika hilo ila kwa unafiki wetu tulifumbia macho ubazazi huu kwa kukataa kutoa taarifa kwa vyombo vya  dola wale wote wanaofanya ufilauni huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini leo hii Camerron ametoa agizo hilo mbele ya marais wetu, ndiyo serikali yetu,wananchi,viongozi wa dini nao wanaibuka nakutoa  matamko ya kupinga utekelezwaji wa agizo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakubaliana na matakwa ya Ibara 18(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, inampa uhuru kila mwananchi kutoa maoni na kutoa fikra zake;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini huu ni unafki wa kujitokeza kupinga agizo hilo  wakati tayari kuna baadhi ya Watanzania  wenzetu wameishakubuhu na wamegeuza vitendo hivyo ndiyo ajira yao inayowapatoa riziki.Na inaelezwa hata baadhi ya wanaume waliofunga ndoa  uamua kuwasaliti wake zao na kuamua kuwatafuta mashoga kwa siri ili wawapatie huduma hiyo ya ngono kinyume cha maumbile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo hii hapa Dar es Salaam, zile sherehe maalum za kumfunda bibi harusi mtarajiwa(Kitchen Party), kwenye kumbi hasa zinazopiga muziki wa Taarabu hata dansi ni kawaida kabisa kuwakuta mashoga  wakiwa wametamalaki na ‘kutamba,kujishebedua’ bila wasiwasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitchen Party nyingi siku hizi mashoga hukodishwa kwaajili ya kuja kusasambua sanduku analotuzwa bibi harusi mtarajiwa, kucheza muziki wa mwambao na mashoga hao ama kwa hakika uchangamsha sherehe hizo. Na wakati mashoga hao wakifanya vitendo hivyo wazazi wa bibi harusi mtarajiwa na ndugu wa mwanaume ambao mtoto wao wa kiume  siku chache zijazo anatarajia kumuoa bibi harusi huyo, wanakuwepo ukumbini na kushuhudia hali hiyo na wala hawakemei au kususia sherehe hizo na ndiyo huwa wa kwanza kuwatunza fedha mashoga hao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi Maustaadhi  wa dini ya Kiislamu nao wamekuwa wakilalamikiwa kichini chini na wengine kufikishwa mahakamani kwa makosa ya kuwalawiti watoto wa kiume ambao ufika ‘Chuoni’  kufundishwa mafundisho ya dini ya Kiislamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nao baadhi ya viongozi  wa dini ya Kikristo hasa wale Roman Katoliki nao wamekuwa wakituhumiwa kuwanajisi watoto wa kiume ambao hufika makanisani kujifunza dini na wengine pia wakafikishwa mahakamani kwa makosa ya kulawiti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Malalamiko hayo ya mapadri kuwanajisi watoto wa kiume ambayo yamezaaga karibu dunia nzima, hivi karibuni yalimlazimu Kiongozi wa Kanisa hilo la Katoriki Papa Benedict akiwa kwenye ziara yake  nchi moja , kuomba radhi kwa vitendo hivyo vinavyofanywa na baadhi ya mapadri  kwaniaba ya kanisa hilo.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa muktadha huo hapo juu, sioni sababu ya kupinga utekelezwaji wa agizo la Uingereza  licha tayari serikali yangu imetoa tamko la kulipinga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwani hakuna ubishi kwamba Tanzania licha inautajiri mkubwa tu, taifa letu limeamua kuwa tegemezi kwa nchi zilizoendelea.Na siyo tu serikali yetu imeamua kuwa tegemezi  pia hata vyama vya siasa si CCM,Chadema, CUF na vingine navyo vimegeuka kuwa omba omba ‘Matonya’ kwa ama wafanyabiashara wakubwa wa ndani na nje ya nchi  au vyama vya siasa vya nchi zilizoendelea kikiwemo cha huyo David Cameroon  na vimekuwa vikipatiwa misaada ya kifedha, mafunzo na vifaa mbalimbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukizigeukia hizo taasisi binafsi zinazojiita taasisi za wanaharakati uchwara ambazo kila kukicha zimekuwa zikiishutumu bajeti ya serikali kutegemea wafadhili, wakati kumbe taasisi hizo nazo zinaendeshwa kwa kutegemea fedha hizo hizo za wafadhili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumuulize huyo Bernad Membe ni kwanini asingepinga agizo hilo pale pale wakati Swahiba wetu Cameroon anaongea kule Australia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Membe kasubiri  amefika hapa nchini kwa sisi malofa wenzie ndiyo anajifanya mwamba kwa kutoa tamko la kupinga agizo hilo?Ananichekesha sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi nazifahamu fika hulka za wanasiasa wa Tanzania, wengi wao ni wanafiki na wazandiki wakubwa, kwani wanachokisema adharani siyo wanachokifiria wala kukitenda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ieleweke wazi ule mshikamano na umoja wa kweli wa nchi za Jumuiya ya Afrika haupo tena.Kila nchi inaangalia maslahi yake kwanza tofauti na awali.Hivyo katika utekelezwaji wa agizo hilo mwisho wa siku msije mkashangaa nchi zingine za Afrika ikiwemo Tanzania  zikaridhia kutekeleza agizo hilo kwa kigezo kwamba wanaogopa kunyimwa misaada.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanasiasa kama mnakataa sheria hiyo isitungwe hapa nchini basi hata wakati wa Uchaguzi mkatae kupigiwa kura za ndiyo na hao mashoga, wasagaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mawazo yangu nitabaki nikiamini kuwa David Cameroon hakutoa agizo lile kwa bahati mbaya ndani ya mkutano ule  maana hatukuona hata  rais yoyote ndani ya mkutano ule aliyejitutumua  kunyosha kidole kupinga agizo hilo la Bwana Mkubwa “Cameroon’ ambaye nchi yake imekuwa ikitupatia misaada kila wakati, kulipinga. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie kwa kuwataka watanzania watambue misemo hii yenye maana kubwa ndani yake  kuwa “Maskini hana kiapo, Hakuna bingwa wa shida,na  ukijua kupokea  ujue na kutoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika&lt;br /&gt;0716 774494:www.katabazihappy.blogspot.com&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba 8 mwaka 2011.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-6482266768211112982?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/6482266768211112982/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=6482266768211112982' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6482266768211112982'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6482266768211112982'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/watanzania-tuache-unafiki.html' title='WATANZANIA TUACHE UNAFIKI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-F0ou86pbJB0/TrlIlqNzyZI/AAAAAAAAAnc/G8E2_eCKiz8/s72-c/katabazi-rasta.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5869867203303912937</id><published>2011-11-08T18:10:00.002+03:00</published><updated>2011-11-08T18:15:44.164+03:00</updated><title type='text'>SUMATRA,HAWA WAENDESHA PIKIPIKI POSTA MPYA VIPI?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-pYOXxVTuFek/TrlHi2P-xXI/AAAAAAAAAnQ/FO1VgkMmVe8/s1600/KATABAZI.JPG"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-pYOXxVTuFek/TrlHi2P-xXI/AAAAAAAAAnQ/FO1VgkMmVe8/s320/KATABAZI.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5672643869653517682" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness  Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NAANZA kuandika mtazamo huu kwa kuwaomba radhi waendesha Pikipiki maarufu ‘Boda boda”wanaoendesha pikipiki hizo katikati ya jijini la Dar es Salaam,kwa lengo la kutoa huduma ya usafiri kwa abiria wanaopenda kutumia huduma hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasema nawaomba radhi kwakuwa mtazamo huu wa leo unaweza kuwakwaza kwa njia moja au nyingine kwasababu nafahamu fika nyie waendeshapikipiki mliofurika kwa kasi maeneo ya Posta Mpya na maeneo mingine ya katikati ya mji, mnatafuta riziki ili mkono uende kinywani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Itakumbukwa kuwa ni Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu(SUMATRA), ilizipiga marufuku daladala(Hiace) maarufu kwa jina la Vipanya kuingia katikati ya mji na badala yake ikaruhusu madaladala makubwa (DCM)ndiyo yatakuwa na kibali cha kuingia katikati ya mji na kutoa huduma hiyo ya usafiri kwa abiria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kweli amri hiyo ilitekelezwa kwa vitendo na hadi sasa Vipanya havitoi huduma ya usafiri katikati ya mji na badala yake vipanya vimekuwa vikitoa huduma ya usafiri katika barabara ambazo haziingii katikati ya jiji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini cha kushangaza hivi sasa takribani miezi minne sasa sisi tunaofanyakazi maeneo ya Posta mpya, tumeshuhudia idadi kubwa ya waendeshapikipi wakitoa huduma ya usafiri wa pikipiki bila ya hata SUMATRA kuutangazia umma kuwa imeziruhusu pikipiki hizo kutoa huduma katika ya mji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na mbaya zaidi waendesha pikipiki hao wamekuwa waziegesha pikipiki hizo kwenye vituo vinavyopaki daladala hali inayoleta usumbufu mkubwa kwa abiria wanasuburi kupanda daladala na watembea kwa miguu  na kufanya abiria washindwe kutofautisha kituo cha kusubiria daladaka ni kipi na kituo cha kusubilia pikipiki ni kipi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati waendesha pikipiki wakiendelea kutamalaki katikati ya mji,hatujasikia Sumatra ikiutaarifu umma  kuwa huduma ya pikipiki ndiyo imekuwa mbadala wa daladala (Vipanya).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sumatra basi jitokezeni muueleze umma kama ni kweli usafiri wa pikipiki ndiyo umekuwa mbadala wa vile Vipanya mlivyovipiga marufuku ili tuelewe, kwani huo ukimya wenu unatukera na mwisho wa siku utakuja kusababisha madhara kwa abiria wanaosubiri madaladala vituoni na wanatemba kwa miguu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa sababu hivi sasa tunachoona kwenye vituo vya mabasi ni mashindano ya kuporana wateja baina ya makonda wa daladala na waendesha pikipiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kama ni kweli pikipiki ndiyo zimeruhusiwa kuja kutoa huduma ya usafiri badala ya Vipanya, basi huu utakuwa ni uwendawazimu wa hali ya juu, kwani huwezi kukataza vipanya visiingie katikati ya mji kutoa huduma ya usafiri wakati kinauwezo wa kubeba abiria wengi kuliko hizo pikipiki halafu ukaruhusu pikipiki ndiyo zitoe huduma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ieleweke wazi Mtazamo huu hauna lengo la kuharibu biashara ya usafiri wa pikipiki la hasha, unalengo la kuhoji Je ni halali kukataza vipanya siingine katikati ya mji kutoa huduma ya usafiri ambapo vipanya hivyo vinauwezo wa kubeba abiria wengi kuliko pikipiki halafu mamlaka husika zikaruhusu pikipiki ndiyo ziingie katikati ya mji kutoa huduma hiyo ya usafiri tena bila abiria anayepanda pikipiki hapewi risiti?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ifike mahala mamlaka husika za serikali ziache mzahaa katika utendaji kazi na zitimize majukumu yake kwa maslahi ya taifa hili na siyo ubabaishaji kama huu, kama mamlaka husika ilisema uwepo wa Vipanya katikati ya mji ni uchafu, iweje leo hii iruhusu pikipiki ndiyo ziingie katikati ya mji kutoa huduma hiyo ?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna ubishi kuwa madai kuwa waendesha pikipiki wengi hivi sasa hawana mafunzo ya kutosha kuhusu uendeshaji wa pikipiki hizo hali inayosababisha kila kukicha ajali za pikipiki kuongeza na kusababisha majeruhi wa ajali za pikipiki kuleta msongamano mkubwa pale Taasisi ya Mifupa(MOI) yanaongezeka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa kama hivyo ndiyo serikali imejipanga vipi kuakikisha inawashughulikia madereva uchwara wa pikipiki ili wasiweze kuendesha pikipiki hizo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie kwakusema kuwa kuna ulazima wa SUMATRA kutolea tamko kuwa limewaruhusu waendesha pikipiki kutoa huduma hiyo katikati ya mji na kama imewaruhusu basi waendesha pikipiki hao wawekewe utaratibu wa maalum ili tuweze kuitambua kuwa pikipiki hii iliyopakwa rangi fulani ubavu inafanya safari zake mfano Sinza hadi Posta na abiria wanaotumia usafiri huo wapewe risiti na waendesha pikipiki hao wapangiwe kiwango cha nauli cha kuwatoza abiria hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinyume cha hapo utakuwa ni uwendawazimu tu uliowekewa baraka za mamlaka husika inayoshughulika na huduma ya usafiri mjini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;www.katabazihappy.blogspot.com&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne,Novemba mosi,mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5869867203303912937?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5869867203303912937/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5869867203303912937' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5869867203303912937'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5869867203303912937'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/sumatrahawa-waendesha-pikipiki-posta.html' title='SUMATRA,HAWA WAENDESHA PIKIPIKI POSTA MPYA VIPI?'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-pYOXxVTuFek/TrlHi2P-xXI/AAAAAAAAAnQ/FO1VgkMmVe8/s72-c/KATABAZI.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5817168566062448965</id><published>2011-11-02T15:08:00.002+03:00</published><updated>2011-11-02T15:12:03.043+03:00</updated><title type='text'>DPP-DK.FELESHI AUKWAA UDAKTARI WA SHERIA</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-wRoN5tcb5RM/TrEzBz7B4DI/AAAAAAAAAm0/AeD4FhIRONs/s1600/DPP-Dk.Feleshi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-wRoN5tcb5RM/TrEzBz7B4DI/AAAAAAAAAm0/AeD4FhIRONs/s320/DPP-Dk.Feleshi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5670369512046846002" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP),Dk.Eliezer Feleshi (kushoto), Dk.Zakayo Lukumai (Kulia) wakifurahia jambo na Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo (katikati), muda mfupi baada ya kutunukiwa Shahada ya Juu ya Uzamivu (PhD). ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, hivi karibuni.Picha na Happiness Katabazi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5817168566062448965?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5817168566062448965/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5817168566062448965' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5817168566062448965'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5817168566062448965'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/dpp-dkfeleshi-aukwaa-udaktari-wa-sheria.html' title='DPP-DK.FELESHI AUKWAA UDAKTARI WA SHERIA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-wRoN5tcb5RM/TrEzBz7B4DI/AAAAAAAAAm0/AeD4FhIRONs/s72-c/DPP-Dk.Feleshi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-4636670421013486260</id><published>2011-11-02T10:44:00.003+03:00</published><updated>2011-11-02T10:48:11.225+03:00</updated><title type='text'>MNYIKA AKANUSHA MADAI YA NG'UMBI</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-lmboQ70yngY/TrD1pjqNNHI/AAAAAAAAAmo/5RJ7lDPEzb0/s1600/mnyika.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 207px; height: 243px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-lmboQ70yngY/TrD1pjqNNHI/AAAAAAAAAmo/5RJ7lDPEzb0/s320/mnyika.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5670302025155163250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MBUNGE wa Jimbo la Ubunge kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), John Mnyika ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, itupilie mbali hati ya madai iliyofanyiwa marekebisho na aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya (CCM), Hawa Ng’umbi kwa madai kuwa tuhuma zilizoelekezwa kwake na Ng’umbi ni za uzushi na hazina ushahidi.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kesi hiyo ya madai ya Na.107/2010 ,iliyopo mbele ya Jaji Upendo Msuya , Ng’umbi anayetetewa na wakili wa kujitegemea Issa Maige,anamshtaki Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Ubungo na Mnyika, ambapo anadai  Sheria ya Uchaguzi ilikiukwa katika uchaguzi huo na kwamba mwanasheria mkuu wa serikali na msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo walishindwa kutimiza majukumu yao ya kuakikisha sheria za uchaguzi katika uchaguzi huo zisivunjwe na Myika na mawakala wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majibu hayo ya Mnyika dhidi ya hati hiyo ya hati hiyo ya madai iliyofanyiwa marekebisho yanatoka na amri iliyotolewa na Jaji Msuya Septemba 27 mwaka huu, ambapo Jaji huyo alimwamuru Ng’umbi kuiondoa hati hiyo ya madai na kwenda kuifanyia marekebisho na kisha airejeshe mahakamani hapo , amri ambayo ilitekelezwa na mlalamikaji huyo ambaye Oktoba 11 mwaka huu, aliwasilisha mahakamani hapo hati hiyo mpya ambayo aliifanyia marekebisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnyika anayetetewa na wakili Edson Mbogoro anadi kuwa madai kuwa yeye na mawakala wake waliitumia kompyuta zao kuhesabia kura bila idhini ya wagombea wenzake na Tume ya Uchaguzi , hayana msingi kwani hajaona sheria yoyote hapa nchini inayokataza mgombea kuingiza kompyuta ndani ya chumba cha kuhesabia kura.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnyika anadai tuhuma kuwa Septemba 11 mwaka 2010 wakati akihutubia kwenye mkutano wake wa kampeni eneo la Riverside kuwa alitoa maneno ya kashfa dhidi ya Ng’umbi alipokuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Wilaya ya Kinondoni(UWT),alijihusisha na ufisadi wa kuuza nyumba za jumuiya kinyume cha sheria, kuwa tuhuma hiyo haina ukweli wowote na kuongeza kuwa hata kama aliitoa tuhuma hiyo kwenye mikutano yake ya kampeni, mlalamikaji ameshindwa kuonyesha ni jinsi gani matamshi hayo yameweza kuathiri matokeo yake ya uchaguzi wa ubunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu tuhuma kuwa kuna baadhi ya vituo fomu za matokeo hazikuwasilishwa kwa NEC, Mnyika pia anapinga tuhuma hiyo na kuongeza kuwa mlalamikaji ameishoa kutoa tuhuma hiyo bila kuonyesha vielelezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Naiomba mahakama hii itupulie mbali tena kwa gharama  hati hiyo ya madai iliyofanyiwa marekebisho kwasababu madai anayotuhumiwa nayo ni ya uzushi na yasiyo na ushahidi”alidai Mnyika anayetetewa na wakili Edson Mbogoro.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Oktoba 11 mwaka huu, Ng’umbi aliwasilisha hati iliyofanyiwa marekebisho na kuiomba mahakama hii itamke kufanyike uchaguzi huru na wa haki kwasababu uchaguzi mkuu wa jimbo hilo uliofanyika mwaka jana aukuwa huru na wa haki kwani sheria za uchaguzi zilivunjwa na Mnyika  katika mikutano yake  kampeni alimtolea maneno ya kumkashfu kwa kumuita fisadi aliyeza nyumba za CWT tuhuma anayodai ilisababisha wanawake wengi wa jimbo hilo kutompigia kura kwaajili ya kuchafuliwa kwa kashfa hiyo na mdaiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Novemba 2 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-4636670421013486260?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/4636670421013486260/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=4636670421013486260' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4636670421013486260'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4636670421013486260'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/mnyika-akanusha-madai-ya-ngumbi.html' title='MNYIKA AKANUSHA MADAI YA NG&apos;UMBI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-lmboQ70yngY/TrD1pjqNNHI/AAAAAAAAAmo/5RJ7lDPEzb0/s72-c/mnyika.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1145582016086546553</id><published>2011-11-02T10:37:00.003+03:00</published><updated>2011-11-02T10:44:00.302+03:00</updated><title type='text'>HUKUMU KESI YA JERRY MURRO NOVEMBA 30</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imesema Novemba 30 mwaka  huu, itatoa hukumu dhidi ya aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa(TBC1), Jerry Murro na wenzake ambao wanakabiliwa na kesi ya kula njama na kuomba rushwa ya Sh milioni 10.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yalisemwa jana na Hakimu MKazi Frank Mosha jana wakati kesi hiyo ilipokuja kwaajili ya kutajwa na kupangiwa tarehe ya hukumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;‘Oktoba 4 nilitoa amri ya kuzitaka pande mbili katika kesi hii zilete majumuisho yao ya kuwaona washtakiwa ama wana hatia au hawana hatia ambapo upande wa utetezi uliwasilisha majumuisho yao Oktoba 21 mwaka huu na upande wa Jamhuri uliwasilisha majumuisho yao ambayo yaliomba mahakama hii iwaone washtakiwa wanahatia Oktoba 28 mwaka huu:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;‘Kwa  kuwa amri hiyo imetekelezwa kikamilifu na mawakili wa pande zote mbili kwa mujibu wa sheria, hatua inayofuata ni ya mahakama hii kupanga tarehe ya kutoa hukumu katika kesi hii na hivyo basi leo hii mahakama hii inatamka kuwa itatoa hukumu dhidi ya Murro na wenzake Novemba 30 mwaka huu’ alisema Hakimu Mosha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Februali 5 mwaka 2010, Murro na washtakiwa wenzake Edmund Kapama na Deogratius Mugasa walifikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo wakikabiliwa na makosa kula njama, kuomba rushwa na kujifanya wao ni watumishi wa serikali.Murro anayetetewa na wakili wa kujitegemea Richard Rweyongeza anakabiliwa na makosa mawili ya kula njama na kuomba rushwa, wakati Mugasa na Kapama wanakabiliwa na mashtaka yote matatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Novemba Mosi mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1145582016086546553?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1145582016086546553/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1145582016086546553' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1145582016086546553'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1145582016086546553'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/hukumu-kesi-ya-jerry-murro-novemba-30.html' title='HUKUMU KESI YA JERRY MURRO NOVEMBA 30'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1140398341074621553</id><published>2011-11-02T10:26:00.002+03:00</published><updated>2011-11-02T10:37:26.759+03:00</updated><title type='text'>JERRY MURRO ANA HATIA-SERIKALI</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-H-a4tQqky9I/TrDzLtfTqmI/AAAAAAAAAmc/_DSRkm8Lheo/s1600/jerry.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 204px; height: 212px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-H-a4tQqky9I/TrDzLtfTqmI/AAAAAAAAAmc/_DSRkm8Lheo/s320/jerry.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5670299313374472802" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kula njama na kuomba rushwa ya shilingi milioni 10 inayomkabili aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la (TBC1), Jerry Murro na wenzake imeiomba  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam,imtie hatiani kwa kesi inayomkabili.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ombi hilo liliwasilishwa jana kwa njia ya maandishi na Mkurugenzi Msaidizi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Stanslaus Boniface ikiwa ni utetekelezaji wa amri ya Hakimu Mkazi Frank Moshi aliyoitoa Oktoba 4 mwaka huu, ambapo alizitaka pande hizo mbili kuwasilisha majumuisho yao ya kuwaona washtakiwa wana hatia au la.Ambapo upande wa utetezi uliwasilisha majumuisho yao Oktoba 28 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku hiyo ya Oktoba 4  mwaka huu, upande wa utetezi ulifunga ushahidi wao baada ya mshtakiwa wa pili na watatu na shahahidi wa shahidi wa kwanza walitoa ushahidi wao na walimaliza siku hiyo hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Boniface ambaye ni Wakili Kiongozi wa Serikali katika majumuisho yake ambayo nakala yake tunayo, anadai kwa mujibu wa mashahidi wa upande wa Jamhuri na utetezi uliotolewa na washtakiwa umethibitisha bila kuacha mashaka kuwa washtakiwa walitenda makosa ya kula njama, kuomba rushwa na kujifanya ni watumishi wa serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Boniface alidai hoja ya Wakili wa Murro, Richard Rweyongeza inayodai kuwa Murro hakutenda makosa hayo na kwamba anashangaa ni kwanini polisi walifanya haraka kumkamata Murro wakati alikuwa hajapokea kiasi hicho cha fedha,ni dhahifu kwasabu kabla ya Murro kukakamatwa tayari aliyekuwa Mhasibu wa Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo, Michael Kalo Wage alishafika kituo cha polisi na kutoa taarifa kuwa mshtakiwa huyo amemwomba rushwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Na kifungu cha 15(1)(a) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007  kinasema kitendo cha kuomba rushwa ni kosa chini ya kifungu hicho ….sasa namshangaa sana wakili Rweyongeza anavyo dai  ni kwanini polisi wasingesubiri Murro apokee zile Sh milioni 10  za rushwa.Tunaiomba mahakama iipuuze hoja hiyo ya wakili Rweyongeza kwasababu haina msingi kwani sheria hiyo ya kuzuia rushwa inatamka bayana mtu yoyote atayeomba rushwa, kupokea rushwa, kula njama ni makosa matatu yanayojitegemea na kitendo cha Murro kuomba rushwa tayari alikuwa ameishatenda kosa na ndiyo maana polisi walimkamata”alidai wakili Kiongozi wa Serikali Boniface.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha Wakili Boniface aliomba mahakama hiyo iikate hoja wakili wa Murro iliyokuwa ikidai kuwa Murro alikamatwa katika Hoteli ya City Garden Februali mwaka jana  wakati mshatiwa huyo hotelini hapo kwaajili ya kuudhulia mkutano nma waandishi wa habari, hoja ambayo wakili hiyo wa seriakali ni ya uongo kwani siku hiyo hapakuwepo na mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika hapo na ndiyo maana si Murro wala wakili wake Rweyongeza wameweza kuleta ushahahidi unaonyesha siku hiyo hotelini hapo ulifanyika mkutano na waandishi wa habari na pia wameshindwa kumleta mtu aliyekuwa ameuitisha mkutano huo ili aje kuidhibitishia mahakama kuwa alikuwa ameitisha mkutano siku hiyo na kwamba ni yeye ndiye alikuwa amempigia simu Murro ili aje hotelini hapo kuudhulia mkutano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ni rai ya upande wa Jamhuri kuwa tumeweza kuithibitisha kesi yetu na tunaiomba mahakama imuone Murro na wenzake wana hatia katika kesi hii inayowakabili kwani ushahidi, vielelezo na utetezi waliotuoa mahakamani hapa umedhibitisha kuwa washtakiwa hao walitenda makosa yanayowakabili hivyo tunaiomba mahakama hii tukufu iwatie hatiani”alidai Wakili Boniface.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo itakuja tena Oktoba 31 mwaka huu, kwaajili ya kutajwa na kupangiwa tarehe ya kutolewa hukumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 14 mwaka huu, washtakiwa hao walifikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo wakikabiliwa na makosa ya kula njama, kuomba rushwa na kujifanya maofisa wa serikali  ambapo walimuomba rushwa ya shilingi milioni 10 , Mhasibu wa Halmashauri ya Bagamayo ,Michael Wage ili Murro asiweze kurusha tuhuma za ufisadi zinazomkabili katika kipindi cha Usiku wa Habari kinachorushwa na Televisheni ya TBC1.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Oktoba 29 mwaka 2011.&lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1140398341074621553?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1140398341074621553/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1140398341074621553' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1140398341074621553'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1140398341074621553'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/11/jerry-murro-ana-hatia-serikali.html' title='JERRY MURRO ANA HATIA-SERIKALI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-H-a4tQqky9I/TrDzLtfTqmI/AAAAAAAAAmc/_DSRkm8Lheo/s72-c/jerry.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-8274231013082476954</id><published>2011-10-28T18:41:00.002+03:00</published><updated>2011-10-28T19:27:29.009+03:00</updated><title type='text'>MDEE AKWAA KISIKI KORTINI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lilowekwa na Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),Halima Mdee lililokuwa likitaka hati ya madai  katika kesi ya kupinga  matokeo  ya uchaguzi  mkuu mwaka 2010  iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea Ubunge kwa tiketi ya (NCCR-Mageuzi), James Mbatia ifanyiwe marekebisho kwa maelezo kuwa haina msingi wa kisheria.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji John Utamwa ambaye baada ya kusikiliza hoja za pande zote  mbili alifikia uamuzi wa kukubaliana na hoja za wakili wa mlalamikaji, Mohamedi Tibanyendela aliyetaka pingamizi hilo litupwe na mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Utamwa alisema kwa mujibu wa hati ya madai, mlalamikaji ameeleza malalamiko yake yote kwa mapana dhidi ya mdaiwa  na maelezo hayo yanajitosheleza kumfanya mdaiwa kujibu tuhuma hizo zilizoelekezwa kwake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hivyo mahakama hii haikubaliani na pingamizi la mdaiwa anayetetewa na Wakili Edson Mbogoro anayetaka hati ya madai ifanyiwe marekebisho kwa vile hawezi kujibu baadhi ya tuhuma alizotuhumiwa nazo kwasababu zinamkera, kumtia kichefuchefu…..kwa hiyo mahakama hii leo inasema tuhuma hizo hazikeri wala kutia kichefuchefu hivyo ina muamuru mdaiwa kuzijibu na inatupilia mbali pingamizi la mdaiwa”alisema Jaji Utamwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Utamwa aliahirisha kesi hiyo hadi Novemba Mosi mwaka huu, ambapo kesi hiyo itakuja kwa ajili ya kutajwa na kuangalia muda wa jinsi ya kuendelea nayo kwani Sheria ya Uchaguzi ya mwaka 2010 inataka kesi za uchaguzi zimalizike ndani ya mwaka mmoja tangu zilipofunguliwa. Kesi hiyo ilifunguliwa Novemba mwaka 2010.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo unatokana na pingamizi lilowasilishwa na wakili wa Mdee, Mbogoro la kuiomba mahakama hiyo imwamuru mlalamikaji aifanyie marekebisho hati yake ya madai na kuyaondoa baadhi ya madai ambayo Novemba 25 mwaka 2010 Mbatia alifungua kesi ya kupinga matokeo ya ubunge wa jimbo hilo ambayo yalimtangaza Halima Mdee(CHADEMA) kuwa mshindi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbatia anadai kuwa katika mikutano ya kampeni, Mdee alimwita yeye kuwa ni fataki anayefanya mapenzi na watoto wa shule, kibaraka wa CCM na kila wiki analipwa sh milioni 80 na chama hicho, hivyo kuwataka wapiga kura wa jimbo la Kawe wasimchague Mbatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Oktoba 29 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-8274231013082476954?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/8274231013082476954/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=8274231013082476954' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8274231013082476954'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8274231013082476954'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/mdee-akwaa-kisiki-kortini.html' title='MDEE AKWAA KISIKI KORTINI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-8513908201927528336</id><published>2011-10-28T18:36:00.002+03:00</published><updated>2011-10-28T18:41:45.104+03:00</updated><title type='text'>KESI YA JEETU PATEL DHIDI YA MENGI YATUPWA</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-VMF7pil8ARs/TqrNK2DPA1I/AAAAAAAAAmQ/zcRT8QK2-w4/s1600/jeetu%2Bpatel.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 160px; height: 120px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-VMF7pil8ARs/TqrNK2DPA1I/AAAAAAAAAmQ/zcRT8QK2-w4/s320/jeetu%2Bpatel.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5668568667190657874" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na mfanyabiashara Jayantkumar Chandubai ‘Jeetu Patel’ na wenzake watatu dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi na Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) kwa maelezo kuwa kesi hiyo haina mantiki ya kisheria na Kikatiba.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo wa kesi hiyo Na. 30/2009 ulitolewa jana asubuhi na jopo la majaji watatu Jaji Kiongozi wa Fakihi Jundu, Semistocles Kaijage na Profesa Ibrahim Juma ambao walisema licha wanaifuta kesi hiyo kwa sababu haina mantiki ya kisheria, pia walisema madai ya Patel kuhusu tamko la Mengi alilolitoa Aprili 23 mwaka 2009 kwa vyombo vya habari kuwa yaliingilia uhuru wa Mahakama  Mkazi Kisutu  na kuidharau mahakama hiyo kwa kuwa hukumu walalamikaji ambao wanakabiliwa na kesi nne za EPA kupitia vyombo vya habari kuwa ni ‘Mafisadi Papa’ yalipaswa yapelekwe katika mahakama hiyo ya chini kwani mahakama za chini zimepewa nguvu za kuwaadhibu  wale wote wanaotenda makosa ya kuidharau mahakama na endapo uamuzi wa mahakama hiyo ya chini asingelidhika nao ndiyo Jeetu Patel angekatia rufaa uamuzi huo wa mahakama ya Kisutu katika Mahakama Kuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mdaiwa wa kwanza(AG) na wa tatu walikuwa wanatetewa na Wakili Kiongozi wa Serikali Stanslaus Boniface na mdaiwa wa pili(Mengi) alikuwa anatetewa na Michael Ngaro.&lt;br /&gt;Jaji Jundu alisema baada ya kupitia hoja za pande zote mbili, jopo hilo lilijiuliza kwa mujibu wa Sheria ya Utekelezaji ya mwaka 2002 (Basic Rights and Eforcement Act,Cap 3; 2002) inayo mamlaka ya kutengua Ibara ya 59(B) ya  Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977  na kuzifuta kesi nne za jinai zinazowakabili washtakiwa katika Mahakama ya Kisutu ambazo zimefunguliwa na DPP kwa kutumia Sheria ya  Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2002 kwasababu  kesi iliyokuwa mbele yao ni kesi ya Kikatiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Jibu tulilolipata baada ya kujiuliza swali hilo ni  kwamba jopo hilo lilikuwa halina mamlaka ya kutengua ibara hiyo ya 59(B) ya Katiba ambayo inataja majukumu ya  DPP na haiwezi kuzifuta kesi hizo zilizopo mahakama ya Kisutu na hivyo imekubaliana na hoja ya wakili wa Mengi(Ngaro) kuwa Mengi ni mtu binafsi  na hivyo hana mamlaka ya Kikatiba wa kisheria wa kuimwelekeza DPP wala mahakama kuzifuta kesi hizo zinazowakabili walalamikaji katika kesi hiyo ya Kikatiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; “Hivyo jopo hili linakubaliana na hoja za mawakili wa utetezi kuwa Mengi ni mtu binafsi hakupaswa kuunganishwa kwenye kesi hiyo kwasababu Mengi siyo taasisi na hana nguvu za kisheria  wala Katiba za kuingilia kazi za DPP wala mahakama”alisema Jaji Jundu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Jundu alisema madai ya Jeetu Patel dhidi ya Mengi hayakupaswa kuangukia kwenye kesi hiyo ya Kikatiba bali walalamikaji kama waliona Mengi amewakosea walitakiwa kumshtaki  kwa  kutumia sheria ya Madai au ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002 kuwa alitoa matamshi ya kuwakashfu au kuidhara mahakama kwa kutoa maneno yanayowahukumu kabla ya mahakama ya Kisutu  kutolea hukumu kesi nne za EPA zinazowakabili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali katika mapingamizi ya awali yaliyotolewa na mawakili wa utetezi Michael Ngaro na Stanslaus Boniface, wakili Boniface aliomba mahakama hiyo iifute kesi hiyo kwasababu viapo vilivyoapwa na walalamikaji wakati wanafungua kesi hiyo ni batili na havina hadhi ya kisheria. Huku wakili Ngaro aliomba jina la Mengi liondolewe kwenye hati ya madai  au likibaki basi kesi ifutwe kwasababu Mengi hakupaswa kushtakiwa binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha pingamizi la pili, mawakili hao walidai kesi hiyo ilikuwa ni kesi ya Kikatiba kwa hiyo mahakama hiyo ya Kikatiba haitakuwa na mamlaka ya kupokea,kujadili wa kutolea maamuzi  mgogoro wowote unaoangukia kwenye Sheria ya madai wala jiani badala yake itabakia kuwa na mamlaka ya kujadili, kusikiliza na kutolea maamuzi mgogoro wa Kikatiba peke yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha katika madai ya msingi ya Jeetu Patel alidai Mengi amemvunjia haki yake ya Kikatiba ya ambayo Katiba inakata mtu asichukuliwe na hatia hadi pale mahakama itakapomtia hatiani na kwamba AG na DPP wameshindwa kumchukulia hatua za kisheria Mengi kwa kitendo chake cha kuingilia uhuru wa mahakama bila kumshtaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 2008,Jeetu Patel na wadaiwa wenzake Davendra Vinodbhai Patel,Amit Nandy na Ketan Chohan walifikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi nne za wizi katika akaunti ya Madeni ya Nje(EPA). Kesi hizo ni kesi Na. 1153,1154,1155 na 1157 za mwaka 2008.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Julai mwaka 2009 mawakili wa Patel, Martin Matunda aliwasilisha maombi katika Mahakama ya Kisutu ya kuomba kesi zote hizo nne zisimame kusikilizwa kwasababu washtakiwa hao walifungua kesi hiyo ya Kikatiba iliyotolewa uamuzi jana itakapotolewa uamuzi. Na kwa kipindi chote hicho kesi hizo zote zilikuwa zimesimama kusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Oktoba 26 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-8513908201927528336?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/8513908201927528336/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=8513908201927528336' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8513908201927528336'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8513908201927528336'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/kesi-ya-jeetu-patel-dhidi-ya-mengi.html' title='KESI YA JEETU PATEL DHIDI YA MENGI YATUPWA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-VMF7pil8ARs/TqrNK2DPA1I/AAAAAAAAAmQ/zcRT8QK2-w4/s72-c/jeetu%2Bpatel.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-6960263550088458996</id><published>2011-10-28T18:25:00.001+03:00</published><updated>2011-10-28T18:26:48.786+03:00</updated><title type='text'>HAKIMU AKWAMISHA KESI YA LIYUMBA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba jana ulishindwa kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa huyo kwa sababu hakimu mkazi Stewart Sanga anayesikiliza kesi yake kutokuwepo mahakamani hapo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda alimweleza Hakimu Mkazi Aloyce Katemana kuwa kesi hiyo jana ilikuja kwaajili ya wao kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa huyo na mawakili wa utetezi kuwasilisha hoja za pingamizi lao lakini akaomba kesi hiyo iairishwe kwasababu hakimu anayesikiliza kesi hiyo hajafika mahakamani hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja hiyo ilikubaliwa na mawakili wa utetezi Hudson Ndusyepo, Onesmo Kyauke na Majura Magafu pamoja na Hakimu Katemana ambaye aliairisha kesi hiyo hadi Desemba  mbili mwaka huu, itakapokuja kwaajili ya  Jamhuri kumsomea maelezo ya awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali Septemba 8 mwaka huu, Liyumba alifikishwa mahakamani hapo akikabiliwa na kesi hiyo mpya ya kukutwa na simu akiwa katika gereza la Ukonga wakati akitumikia adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela baada ya Mei 25 mwaka jana, mahakama hiyo kumtia hatiani kwa kosa la matumuzi mabaya ya ofisi ya umma.Septemba 23 mwaka huu, alitoka gerezani baada ya kumaliza kutimikia kifungo hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Oktoba 29 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-6960263550088458996?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/6960263550088458996/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=6960263550088458996' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6960263550088458996'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6960263550088458996'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/hakimu-akwamisha-kesi-ya-liyumba.html' title='HAKIMU AKWAMISHA KESI YA LIYUMBA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-6076651871754690728</id><published>2011-10-28T18:16:00.002+03:00</published><updated>2011-10-28T18:25:04.715+03:00</updated><title type='text'>MAHAKAMA INA NINI NA KESI YA MRAMBA?</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-i_P0p4fAdwE/TqrJHySZADI/AAAAAAAAAmE/rRIVDxHpDCA/s1600/happiness.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 90px; height: 120px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-i_P0p4fAdwE/TqrJHySZADI/AAAAAAAAAmE/rRIVDxHpDCA/s320/happiness.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5668564216594366514" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JANUARI 20 mwaka huu, upande wa Jamhuri katika kesi ya matumuzi mabaya na kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 11.7 inayomkabili Waziri wa Fedha wazamani, Basil Mramba na Waziri wa Nishati na Madini na Nishati wa zamani Daniel Yona na Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Gray Mgonja,walifunga kesi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washtakiwa hao wanatetewa na mawakili wa kujitegemea Hurbet Nyange, Elisa Msuya ,Peter Swai na Profesa Leonard Shaidi.Wakati upande wa Jamhuri unawakilishwa na Wakili Kiongozi wa Serikali Stanslaus Boniface anayesaidiwa na Fredrick Manyanda na Ben Lincolin.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo ambayo inasikilizwa kwa mtindo wa jopo.Jaji John Utamwa ndiye anaongoza jopo la Mahakimu wakazi kusikiliza kesi hiyo ambapo anasaidiwa na Sam Rumanyika na Saul Kinemela.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi mimi nimiongoni mwa waandishi wa habari wachache hapa nchini ambao nimezama katika kuripoti habari za mahakamani kikamilifu.Hivyo kuhusu kesi hii ya Mramba nadiriki kusema nimepata fursa ya kuudhulia kesi hii tangu ilipofunguliwa rasmi Novemba 25 mwaka 2008 .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ambapo Mramba na Yona ndiyo walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa mara ya kwanza kwa pamoja  kwa mbwembwe na  makachero wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) zilizochagizwa na vyombo vya habari wakikabiliwa na makosa hayo lakini hata hivyo siku hiyo walishindwa kutimiza masharti ya dhamana na hivyo kuamliwa kwenda gerezani hadi siku watakapotimiza masharti ya dhamana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kisha Desemba 15 mwaka 2008  majira ya mchana ndipo Mgonja alifikishwa peke yake hapo mahakamani na makachero wa Takukuru ambapo naye alisomewa mashtaka yale yale yanayofana na kesi ya Mramba na Yona na  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini ilipofika Januari 2 mwaka 2009 Jamhuri iliibadilisha hati ya mashtaka ya kesi iliyokuwa ikimkabibili Mramba na Yona kwa kumuunganisha Mgonja katika kesi hiyo hivyo kufanya kesi hiyo kuwa na jumla ya washtakiwa watatu na ile kesi iliyokuwa ikimkabili Mgonja peke yake kufutwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na mwisho wangu kuudhulia kesi ya washtakiwa hao ambao ni watumishi wa muda mrefu serikali na Bungeni ni Oktoba 19 mwaka huu, ambapo kesi hiyo siku hiyo ilikuja mbele ya kwa Hakimu Mkazi Sundi Fimbo kwaajili ya kutajwa na jopo la mahakimu wakazi wanaosikiliza kesi hiyo yaani Jaji Utamwa, Rumanyika na Kinemela kuwagawia mwenendo wa kesi hiyo pande mbili za kesi hiyo yaani upande wa Jamhuri na ule wa utetezi ili kila upande uende kuaandaa sababu ambazo mwisho wa siku upande wa Jamhuri utaleta sababu zake za kuiomba Jamhuri iwaone washtakiwa hao wanakesi ya kujibu na upande wa utetezi utaiomba mahakama iwaone wateja wao hawana kesi ya kujibu na baada ya pande hizo kuwasilisha mahakamani maombi hao, ndipo kisheria mahakama inabaki na jukumu ya kuyapitia kwa kina maombi hayo ya pande hizo mbili na kisha mahakama hiyo inapanga tarehe yake ya kuja kutoa uamuzi utakaowaona washtakiwa hao ama wana kesi ya kujibu au wanakesi ya kujibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na endapo mahakama itafikia uamuzi wa kuwaona washtakiwa wana kesi ya kujibu, hivyo washtakiwa watalazimika kupanda kizimbani kujitetea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini katika kesi hii ya Mramba, Yona na Mgonja, upande wa Jamhuri ilijitahidi kadri ya uwezo wake kuleta jumla ya mashahidi 13 ambao walifika mahakamani hapo na kutoa ushahidi wao na kisha ilipofika Januari 20 mwaka huu, ndipo upande wa Jamhuri uliambia mahakama hiyo kuwa wamefunga kesi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka siku hiyo baada ya wakili wa serikali Boniface kuieleza mahakama kuwa wamefunga kesi yao, Jaji Utamwa jopo lake linaueleza uongozi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya Hakimu Mkuu Mfawidhi Elvin Mugeta uuchape mwenendo mzima wa kesi hiyo(Procedings) na ukimaliza kuuchapa mwenendo huo watapewa wanajopo hili waweze kuhuhakiki na wakishamaliza kuhakiki ndipo panede hizo mbili zitapewa mwenendo huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu Jaji Utamwa atoe ahadi hiyo ambayo kweli ilitekelezwa kwa vitendo na uongozi wa Mahakama ya Kisutu licha mahakama ilikuwa ikikabiliwa na tatizo la mgao wa umeme ,ikauchapa mwenendo huo na ukaugawa mwenendo huo wa wanajopo hao na tangu kipindi hicho cha Januari 20 mwaka huu, washtakiwa na mawakili wa pande zote na waandishi wa habari za mahakamani wamekuwa wakifika mahakamani hapo kwa terehe zilizokuwa zikipangwa ambapo kesi hiyo imekuwa ikija kwaajili ya kutajwa huku mahakimu wanaoarisha kesi hizo ambazo siyo wanajopo wakihitimisha kuairisha kesi hiyo kwa kibwagizo kisemacho ‘jopo linalosikiliza kesi hiyo bado linaendelea na uhakiki wa mwenendo”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka wakati mashahidi wa Jamhuri wanatoa ushahidi wao, kuna mwandishi mmoja aliripoti habari isiyosahihi kuhusu ushahidi huo hali iliyosababisha mawakili wa washtakiwa hao kugeuka mbogo na kuliomba jopo linalosikiliza kesi hiyo kulichukulia hatua gazeti hilo(siyo Tanzania Daima), lakini kiongozi wa jopo hilo Jaji Utamwa akitoleoa uamuzi ombi hilo alisema hawezi kutolea uamuzi ombi la mawakili hao kwasababu vyombo vya habari siyo sehemu ya kesi hiyo.Sehemu ya kesi hiyo ni upande wa Jamhuri na Utetezi.Nakubaliana na uamuzi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini sisi wanahabari tunawajibu wa ujulisha umma taarifa mbalimbali ikiwemo kesi mbalimbali zinavyoendelea mahakamani ikiwemo kesi hii ya Mramba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napenda ieleweke wazi kuwa kutokana na jopo hilo la mahakimu wakazi kuchukua muda mrefu bila kuzipatia pande mbili katika kes hizo ule mwenendo wa kesi hiyo, umezua minong’ono na hisia tofauti ambazo zinaendelea kusambaa chini chini kwa wananchi wenyewe, viongozi wa serikali, hata kwa mawakili wa pande hizo wamekuwa wakijiuliza nje ya mahakama kuwa kuna nini kilichojificha ambacho kinasababisha jopo hilo la mahakimu wakazi lichukue muda mrefu kuwapatia mwenendo huo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wale tuliokuwa tukiudhulia kesi hii tunaweza kusema kesi hii ni miongoni mwa kesi chache za upande wa Jamhuri ambazo upande wa Jamhuri umejitahidi kuleta mashahidi wake kadri ya inavyoweza  lakini cha kushangaza ni jopo hilo hadi kufikia leo inakaribia kumalizika mwaka mmoja inashindwa kutoa mwenendo huo wa kesi hiyo kwa pande hizo mbali hali inayosababisha kuibua maswali mengi kuliko majibu nje ya mahakama?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni rai yangu kwa jopo hilo linaloongozwa na Jaji Utamwa kwamba tayari kitendo cha jopo lake kuchukua muda mrefu licha jopo hilo lina haki ya kisheria kujitetea kuwa halikutoa muda kuwa kipindi fulani kitakuwa kimemaliza kuuhakiki mwenendo na kitakuwa kimeishazipatia pande pande hizo nyaraka, kimeanza kulalamikiwa chini chini na kuhusishwa na hisia mbaya na wafuatiliaji wa kesi hiyo na pia limesababisha sisi waandishi wa habari za mahakamani kuanza kujiuliza kuwa  mahakama ina nini na kesi ya Mramba?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaamini jopo la mahakimu hao ni jopo la mahakimu wakazi wenye uweledi na uzoefu katika taaluma hiyo ya sheria.Na ninafahamu pia mahakama haifanyi kazi kwa hisia wala minongono ya watu waliopo nje ya mahakama lakini, ni vyema pia jopo hilo  kuanzia sasa likaona ni vyema kukomesha hisia hizo mbaya ambazo hazina ushahidi zinazoelekezwa kwao na hivyo likaharakisha kuzipatia pande hizo mbili mwenendo huo  ili taratibu zingine za kisheria kuhusu kesi hizo ziendelee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ieleweke wazi kesi hiyo inawahusu washtakiwa hao ambao walishatoa mchango mkubwa wa utumushi katika taifa letu hivyo wanamajukumu mengine yakufanya, pia nao mawakili wa serikali na mawakili wa kujitegemea nao wanamajukumu mengine, sasa kitendo cha kesi hiyo ambayo hivi sasa inakaribia kufikia mwaka mmoja , inakuja kwaajili ya kutajwa tu , ni wazi kabisa hao mawakili, washtakiwa na ndugu wawashtakiwa na sisi waandishi wa habari tunashindwa kwenda kufanya shughuli nyingine za ujenzi wa taifa tunakuja kuudhulia kesi hiyo ambayo inaairishwa kila kukicha na mbaya zaidi inaarishwa kwa mahakimu ambao hawasikilizi kesi hiyo, huku jopo hilo la mahakimu wakazi halifiki katika viwanja vya mahakama ya Kisutu kuarisha kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;em&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Oktoba 27 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-6076651871754690728?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/6076651871754690728/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=6076651871754690728' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6076651871754690728'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6076651871754690728'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/mahakama-ina-nini-na-kesi-ya-mramba.html' title='MAHAKAMA INA NINI NA KESI YA MRAMBA?'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-i_P0p4fAdwE/TqrJHySZADI/AAAAAAAAAmE/rRIVDxHpDCA/s72-c/happiness.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-6575113424478460758</id><published>2011-10-28T17:53:00.001+03:00</published><updated>2011-10-28T18:16:18.255+03:00</updated><title type='text'>HAKIMU AGOMA KUJITOA KESI YA MARANDA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JOPO la Mahakimu Wakazi watatu wanaosikiliza kesi ya wizi wa Sh bilioni 3.3 katika Akaunti ya Madeni ya Nje(EPA) inayomkabili Rajabu Maranda na wenzake  wanne katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam,limetupilia mbali ombi la washtakiwa wawili Maranda na Farijala Hussein lilokuwa likiomba Hakimu Mkuu Mfawidhi Elvin Mugeta anayeunda jopo hilo ajitoe kwenye kesi hiyo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaounda jopo hilo ni Jaji Beatrice Mutungi, Jaji Karua na Hakimu Mkazi Mugeta. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo ulitolewa jana na jopo hilo ambalo lilisema uamuzi huo unatokana na ombi lilowasilishwa juzi na wakili wa washtakiwa hao Majura Magafu ambaye ambalo lilimwomba Mugeta ajitoe kwenye kesi hiyo kwani hatatenda haki  kwakuwa Mugeta ndiye aliyekuwa akiunda jopo la mahakimu wakazi Saul Kinemela na Focus Bampikya ambao Mei 25 mwaka huu, walihukumu washtakiwa hao Maranda, Farijala kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia kujipatia sh bilioni 1.8 kwa njia ya udanganyifu kutoka Benki Kuu na kwamba mashahidi waliotoa ushahidi kwenye kesi ya awali ndiyo wanaokuja kutoa ushahidi kwenye kesi hiyo ya sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Karua alisema wamefikia uamuzi huo kwasababu ombi hilo halina msingi  wa kisheria kwani kesi hiyo inaendesha kwa mtindo wa jopo hivyo Hakimu Mugeta peke yake hawezi kulishawishi jopo hilo kutoa uamuzi anaoutaka yeye bila kukubaliana na jopo hilo na hivyo akaiarisha kesi hiyo hadi Novemba 25 itakapokuja kwaajili ya kutajwa na itakuja kwaajili  Februali 13-17 mwaka 2011 kwaajili ya kuendelea kusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na Maranda na Farijala washtakiwa wengine ni maofisa wa BoT, Sophia Lalika na Iman Mwakosya, Ester Komu na mfanyabiashara Ajay Somani ambao wanadai wakula njama na kuibia BoT jumla ya Sh bilioni 3.3.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-6575113424478460758?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/6575113424478460758/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=6575113424478460758' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6575113424478460758'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6575113424478460758'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/hakimu-agoma-kujitoa-kesi-ya-maranda_28.html' title='HAKIMU AGOMA KUJITOA KESI YA MARANDA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7903309667446943388</id><published>2011-10-28T14:26:00.001+03:00</published><updated>2011-10-28T14:42:42.519+03:00</updated><title type='text'>HAKIMU AGOMA KUJITOA KESI YA MARANDA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JOPO la Mahakimu Wakazi watatu wanaosikiliza kesi ya wizi wa Sh bilioni 3.3 katika Akaunti ya Madeni ya Nje(EPA) inayomkabili Rajabu Maranda na wenzake  wanne katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam,limetupilia mbali ombi la washtakiwa wawili Maranda na Farijala Hussein lilokuwa likiomba Hakimu Mkuu Mfawidhi Elvin Mugeta anayeunda jopo hilo ajitoe kwenye kesi hiyo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaounda jopo hilo ni Jaji Beatrice Mutungi, Jaji Karua na Hakimu Mkazi Mugeta. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo ulitolewa jana na jopo hilo ambalo lilisema uamuzi huo unatokana na ombi lilowasilishwa juzi na wakili wa washtakiwa hao Majura Magafu ambaye ambalo lilimwomba Mugeta ajitoe kwenye kesi hiyo kwani hatatenda haki  kwakuwa Mugeta ndiye aliyekuwa akiunda jopo la mahakimu wakazi Saul Kinemela na Focus Bampikya ambao Mei 25 mwaka huu, walihukumu washtakiwa hao Maranda, Farijala kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia kujipatia sh bilioni 1.8 kwa njia ya udanganyifu kutoka Benki Kuu na kwamba mashahidi waliotoa ushahidi kwenye kesi ya awali ndiyo wanaokuja kutoa ushahidi kwenye kesi hiyo ya sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Karua alisema wamefikia uamuzi huo kwasababu ombi hilo halina msingi  wa kisheria kwani kesi hiyo inaendesha kwa mtindo wa jopo hivyo Hakimu Mugeta peke yake hawezi kulishawishi jopo hilo kutoa uamuzi anaoutaka yeye bila kukubaliana na jopo hilo na hivyo akaiarisha kesi hiyo hadi Novemba 25 itakapokuja kwaajili ya kutajwa na itakuja kwaajili  Februali 13-17 mwaka 2011 kwaajili ya kuendelea kusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na Maranda na Farijala washtakiwa wengine ni maofisa wa BoT, Sophia Lalila na Iman Mwakosya, Ester Komu na mfanyabiashara Ajay Somani ambao wanadai wakula njama na kuibia BoT jumla ya Sh bilioni 3.3.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Oktoba 26 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7903309667446943388?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7903309667446943388/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7903309667446943388' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7903309667446943388'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7903309667446943388'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/hakimu-agoma-kujitoa-kesi-ya-maranda.html' title='HAKIMU AGOMA KUJITOA KESI YA MARANDA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-6140881245106550841</id><published>2011-10-28T14:24:00.002+03:00</published><updated>2011-10-28T14:26:32.275+03:00</updated><title type='text'>JERRY MURRO HANA HATIA-WAKILI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAKILI wa aliyekuwa mtangazaji  wa Shirika la Utangazaji  la Taifa (TBC1), Jerry Murro anayekabiliwa na kesi ya kula njama na kuomba rushwa  ya sh milioni 10,  Richard Rweyongeza  ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam,imwachilie huru mshtakiwa huyo kwasababu hana hatia katika kesi hiyo inayomkabili.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Rweyongeza aliwasilisha maombi hayo mahakamani hapo kwa njia ya maandishi nakala yake (gazeti hili inayo) kufuatia amri iliyotolewa na Hakimu Mkazi Frank Moshi aliyoitoa Oktoba mwaka huu ambapo alizitaka pande zote mbili kuwasilisha majumuisho yao kuwaona washtakiwa wana hatia au la kwa njia ya maandishi ambapo upande wa Jamhuri utawasilisha majumuisho yao kesho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Rweyongeza alidai kuwa alisikilizwa kwa makini  ushahidi uliotolewa na mashahidi wa upande wa Jamhuri lakini hajasikia kitu chochote  kinacho muunganisha  Murro na washtakiwa wengine wasiojulikana  kula njama kutenda kosa hilo kama shtaka la kwanza kwanza linavyodai kuwa Murro na washtakiwa wenzake ambao ni Deo Mugassa  na Edmund Kapama na watu wengine wasiyofahamika walitenda kusa la kushawishi ili wapewe rushwa Sh milioni 10 toka kwa Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo,  Michael Wage Karoli , Januari 20 mwaka 2010 ili asiwe kurusha tuhuma zake za ubadhilifu wa fedha za umma katika kipindi cha Usiku wa Habari kinachorushwa na Televisheni ya TBC1.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Shtaka la kwanza katika hati ya mashtaka, linasomeka kuwa kosa lilitendeka Januari 28 mwaka 2010.Lakini ushahidi ulitolewa na Jamhuri ulionyesha kosa  lilitendekea Januari 29 mwaka 2010…na hadi mapema Oktoba mwaka huu washtakiwa walimaliza kujitetea na hivyo kesi upande wa utetezi ikawa imefungwa , hati ya mashtaka ilikuwa ikisomeka Murro alitenda kosa hilo  Januari 28 mwaka 2010 ndipo upande wa Jamhuri siku hiyo kabla ya utetezi kufunga kesi yao ukaamua kubadilisha hati ya mashtaka na mahakama ilikubali hati hiyo kubadilishwa kutokana  na utofauti uliopo kati  ushahidi  na maelezo yaliyokuwa yameandikwa kwenye hati ya mashtaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa  hali hiyo naona upande Jamhuri hauna maelezo ya uhakika yanayoonyesha mteja wangu alitenda makosa hayo  na badala yake ikaamua kuleta ushahidi wa kuungaunga  na matokeo yake ndiyo maana Murro aliyakana mashtaka yote yanayomkabili mahakamani hapa”alidai Rweyongeza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa kesi ya Jamhuri imesimama na kutegemea ushahidi wa shahidi wa tatu (Michael Wage) jambo linawapotosha kwa sisi upande wa utetezi tunamuona Wage siyo shahidi wa kuaminika na wanaoimba mahakama iupuuze ushahidi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Rweyongeza alidai kuwa katika ushahidi  mashahidi wa Jamhuri walidai kuwa shahidi wa tatu(Wage) kwakuanzia aliwapatia washtakiwa wote rushwa ya Sh 9,000,000 katika sehemu ya rushwa ya Sh milioni 10 aliyokuwa ameombwa na washtakiwa, na wakili huyo akadai kuwa kama hivyo ndivyo ni kwanini polisi wasingesubiri Murro apokee rushwa hiyo ndiyo wakamkamate  na kuongeza ni kwanini polisi ilifanya haraka kumkamata Murro wakati bado hajapokea rushwa hiyo ya Sh milioni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tunaomba mahakama hii imwachilie huru Murro kwasababu upande wa Jamhuri umeshindwa kuthibitisha kesi yao bila kuacha mashaka yoyote hivyo namalizia kwa kuiomba mahakama hii imuone Murro hana hatia”alidai Rweyengeza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Februali 15 mwaka 2010, ilidaiwa mahakamani na upande wa Jamhuri kuwa washtakiwa wote walitenda makosa ya kula njama, kushawishi kupewa rushwa ya Sh milioni 10 kutoka kwa Wage na kujipachika kuwa wao ni wa Maofisa ya TAKUKURU.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Oktoba 22 mwaka 2011. &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-6140881245106550841?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/6140881245106550841/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=6140881245106550841' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6140881245106550841'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6140881245106550841'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/jerry-murro-hana-hatia-wakili.html' title='JERRY MURRO HANA HATIA-WAKILI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3215175951172363774</id><published>2011-10-25T18:45:00.004+03:00</published><updated>2011-10-25T18:57:57.824+03:00</updated><title type='text'>SITA WAACHIWA KESI YA MAUJI NMB TEMEKE</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imewaachiria huru washtakiwa sita kati ya 15 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya watu wawili katika Benki ya Makabwera (NMB) Tawi la Temeke Dar es Salaam.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo inakuja  baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Dk.Eliezer Feleshi  kuwasilisha ombi la kuiomba mahakama hiyo iwafutie kesi washtakiwa hao kwasababu amebaini hana ushahidi unamshawishi kuendelea kuwashtaki washtakiwa hao kwasababu  amebaini  hana ushahidi  wa kuendelea  kuwashtaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washtakiwa katika kesi hiyo ya mauaji Na. 22/2011 inayosikilizwa na Jaji Dk.Fauz Twaibu ni Richard Muhanza “Leonard’, Mwanzo Bunga, Alimeshi Bibuka, Yusufu Mlete,  Japo Salum, Issack Abdul ‘Swai’,Said Hamisi ‘Katikati’, Antony Solya ‘Matonya’, Richard  Tawete ‘Anwari’, Shafii Abdala, Boniface Makai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengine ni Fabian Mchome ‘Fabi’, Selemani Nzowa, Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ), MT.55935 Mathew Mwangunga  na Deogratius  Massawe ambao wanatetewa na wakili wa kujitegemea Amour Khamis.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washtakiwa waliochiliwa huru ni mshtakiwa wa (2) Bunga, (3)Bibuka (10)Abdalah (12)Mchome(13)Nzowa na mshtakiwa wa  (15)Massawe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Twaibu alisema amefikia uamuzi wa kuwachilia  huru washtakiwa hao kufuatia ombi lilowasilishwa mbele yake jana mchana na  Mkurugenzi Msaidizi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Stanslaus Boniface ambaye aliwasilisha ombi la kuwataka washtakiwa hao sita kati ya 15 waachiliwe  huru chini ya kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai sura ya 20  kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002,  kwasababu DPP hana haja ya kuendelea na kesi dhidi yao kwasababu umekosekana ushahidi wa kuendelea kuwashtaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwakuwa kesi hii imefunguliwa mahakamani hapo na upande wa Jamhuri na upande huo wa Jamhuri leo umewasilisha ombi la kuiomba mahakama  iwafutie kesi, mahakama hii inakubali ombi hili na inawaachiria huru washtakiwa sita tu, washtakiwa waliosalia wataendelea kubaki kuwa washtakiwa katika kesi hii”alisema Jaji Dk.Twaibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sekunde chache baada ya washtakiwa hao kuachiliwa huru na kutolewa na askari wa jeshi la Magereza nje ya kordo ya Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara, baadhi ya washtakiwa hao walioachiliwa huru walianza kuzungumza kwa sauti ya juu hali iliyosababisha askari Magereza kutoka nje na kuwataka wakae kimya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya Jaji Dk.Twaibu   kutoa uamuzi huo, Mkurugenzi Msaidi katika ofisi ya DPP, Boniface aliambia mahakama hiyo kuwa kesi hiyo jana ilikuja kwaajili kuwasomea maelezo ya awali washtakiwa hao ambapo alianza kuwasomea maelezo hayo kwa kudai kuwa  Julai 31 mwaka 2009  katika Benki ya NMB Tawi la Temeke,  watu wawili  wasiliyo na hatia mmoja akiwa ni askari wa Jeshi la Polisi, E.329 Koplo  Josephat  Milambo na  mlinzi mwingine wa benki hiyo  Seif  Mkwike waliuwawa kwa kupigwa risasi na majambazi  waliokuwa wamevamia benki hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Boniface ambaye pia ni Wakili Kiongozi wa Serikali, alidai tukio hilo lilitokea  saa 4:30 asubuhi ambapo majambazi hao walivamia benki hiyo kwa nia ya kuiba fedha  na kabla ya kufanya jambo lolote , majambazi hao walitoa silaha zao na kuwaelekezea moja kwa moja maofisa wa polisi  ambao walikuwa wamekaa kwenye chumba cha walinzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai baada ya majambazi hao kuwaelekezea polisi hao silaha, maofisa hao wa polisi nao walilazimika kuingia kwenye mapambano ya silaha dhidi ya majambazi hao  na matokeo ya mapambano hayo ya silaha yalisababisha marehemu hao wawili kufariki dunia na majambazi hao wakafanikiwa kuingia ndani ya benki hiyo na kuondoka na kiasi cha fedha kisichofahamika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Katika eneo la tukio majambazi watatu yaani mshtakiwa aitwaye Yusufu Mlete, Issack Abdul ‘Swai” na MT 55935 Sajenti Mathew  Mwangunga walitambuliwa na baadaye mashahidi walikuja kuwatambua   na baada ya majambazi hao watatu kukamatwa wakitambuliwa tena na mashahidi katika gwaride la utambuzi  lililokuwa limeandaliwa na Jeshi la Polisi”alidai wakili Boniface.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliendelea kueleza kuwa  kadri majambazi wale hao waliohusika katika tukio hilo walivyokuwa wakizidi kukakamatwa na kisha wakahojiwa na polisi , majambazi katika maungamo yao walikiri kutenda makosa hayo ya mauji ya watu wawili .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Boniface aliwataja majambazi hao (washtakiwa)  ambao walikiri kutenda kosa hilo katika maungamo yao ni  Richard Muhanza, Mlete, Matonya, Tawete Salum, Said Hamiusi ‘Katikati’ na Makai. Na kwamba washtakiwa hao waliokiri kutenda kosa hilo walikamatwa kwa pamoja  huko Mbagala Kuu  wakati wakijiandaa kupanga njama za kufanya tukio jingine la uhalifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Na mtukufu Jaji  maungamo yao waliyoungama polisi waliungamba mbele ya ASP-Ndagile Makubi kuwa walihusika kutenda kosa la mauji ya  watu wa wiwili  katika NMB Tawi la Temeke, Julai 31 mwaka 2009”alidai wakili Boniface.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha alidai kuwa miili ya marehemu hao ilifanyiwa uchunguzi  na wataalamu na ripoti ya uchunguzi ikaonyesha marehemu Seif Athuman Mkwike aliuwa kwa shinikizo la damu  na marehemu Koplo Milambo  naye aliuwa kutokana na mlipuko wa bomu la mkono lililorushwa na washtakiwa hao  siku ya tukio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo wakili wa utetezi Amour Khamis alidai kuwa washtakiwa wote wanakanusha maelezo hayo ya awali waliyosomewa na upande wa Jamhuri na kwamba wanachokubali ni majina yao tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya pande hizo mbili kutoa maelezo hayo, Jaji Twaibu aliutaka upande wa Jamhuri kuleta orodha ya mashahidi na vielelezo watakavyovitumia kwenye kesi hiyo Novemba 22 mwaka huu, na kwamba anaiarisha kesi hiyo hadi Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, atakapoipanga tena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Oktoba 25 mwaka 2011.&lt;br /&gt;mwisho.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3215175951172363774?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3215175951172363774/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3215175951172363774' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3215175951172363774'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3215175951172363774'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/sita-waachiwa-kesi-ya-mauji-nmb-temeke.html' title='SITA WAACHIWA KESI YA MAUJI NMB TEMEKE'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3889006969401962819</id><published>2011-10-24T17:26:00.001+03:00</published><updated>2011-10-24T17:29:01.213+03:00</updated><title type='text'>KESI YA KAKOBE YAZUA MAZITO</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KESI inayomkabili Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zakaria Kakobe, imechukua sura mpya baada ya mama mzazi wa Jaji Agustine Shangwa anayesikiliza shauri hilo kumvaa mwanaye na kumtaka ajieleze kwa nini amekataliwa na walalamikaji.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Shangwa alisema kesi hiyo imemletea mzozo na mama yake mzazi anayeishi Bukoba ambaye baada ya kusoma taarifa za kukataliwa kusikiliza shauri hilo zilizochapishwa na gazeti moja la kila siku (sio Tanzania Daima), alimpigia simu na kumhoji kwa nini hawatendei haki walalamikaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa kitendo cha walalamikaji kukimbilia katika vyombo vya habari hakikuwa cha kistaarabu kwa kuwa yeye katika kesi hiyo ni mshauri tu na sio msikilizaji.&lt;br /&gt;Pamoja na kutoa siri hiyo, Jaji Sangwa amechukua uamuzi mwingine mzito wa kukataa kujitoa katika kesi hiyo kama alivyotakiwa na walalamikaji waliodai kutokuwa na imani naye kwa vile alionyesha upendeleo kwa mshtakiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; “Jamani mimi nilikuwa nikiwashauri tu nyie walalamikaji lakini mkaenda kwenye gazeti hilo  na sijui na kwa watu gani wengine kulalamika kuwa siwatendei haki, hadi mama yangu akaniuliza, sasa nendeni mkaseme tena  kuwa leo nimerudia  kutowatendea  haki, maana hao waandishi wana vinasa sauti vinarekodi kila kitu,” alisema Jaji Shangwa na kusababisha watu kucheka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akieleza sababu za kugoma kujitoa, Jaji Shangwa alisema walalamikaji wameshindwa kutoa hoja za maana ambazo zingeweza kumfanya ajiondoe kwenye kesi hiyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Shangwa alitoa uamuzi huo mwishoni mwa wiki akisema amefikia uamuzi huo wa kukataa kujiondoa kwenye kesi hiyo kwa kuwa yeye si msikilizaji bali ni msuluhishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Msisononeshwe na uamuzi huo, mimi ni Jaji Msuluhishi tu katika kesi hii na si Jaji  Msikilizaji. Hivyo kama  usuluhishi  wa kesi hii ukishindikana jalada litarudishwa kwa Jaji Mfawidhi ili ampange jaji mwingine wa kuisikiliza kesi hii,” alisema Jaji Shangwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walalamikaji katika kesi hiyo ya tuhuma za ubadhirifu wa mali na pesa zaidi ya shilingi bilioni 14 pamoja na ukiukwaji wa katiba ya kanisa hilo, Dezedelius Patrick, Angelo Mutasingwa na Benedict Kaduma walimtaka Jaji Shangwa ajiondoe mwenyewe katika kesi hiyo kwa madai kuwa hawana imani naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walalamikaji hao walimwandikia barua Msajili wa Mahakama Kuu Dar es Salaam, Agosti 26, mwaka huu, wakimtaka Jaji Shangwa ajiondoe mwenyewe katika kesi hiyo wakidai kuwa amekiuka maadili ya kitaaluma, taratibu na heshima ya mahakama na ameonyesha upendeleo kwa mlalamikiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanadai kuwa mlalamikiwa hakuwasilisha maelezo yake ya maandishi (WSD) ndani ya siku 21  na kwamba siku ya kutajwa kwa kesi hiyo wakili wake Miriam Majamba alitoa sababu za uongo lakini jaji hakutilia maanani na  badala yake Agosti 2, 2011 yeye alitoa hukumu dhidi yao wakati kesi hiyo haijafikia hatua hiyo.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walalamikaji hao wanadai maneno ya jaji huyo yalikuwa na upendeleo wa waziwazi kwa Kakobe. Katika ushauri wake katika kesi hiyo, jaji huyo alisema, “Nyie walalamikaji nasema bila kumung’unya maneno kuwa madai yenu yote ni majungu… Kakobe ni mungu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, kanisa ni mali yake… kwa hiyo kama anakula fedha za kanisa anakula fedha zake, hakuna wa kumhoji kwani lile ni kanisa lake na ni mali yake,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walalamikaji hao wananukuu maneno ya jaji huyo aliyedai: “Kakobe atawashinda kesi hii na kuwadai pesa nyingi, kwa hiyo futeni kesi, kama na ninyi mnataka kaanzisheni makanisa yenu, uaskofu wake alijipa mwenyewe sio kama makanisa mengine wanaosomea.”&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa hati ya madai iliyowasilishwa mahakamani, walalamikaji hao wanamtuhumu Kakobe kuwa amekuwa akikusanya fedha  kutoka kwa waumini wake kwa madai ya kufanyia shughuli na miradi mbalimbali ya kanisa na kuzitumia isivyo halali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na kufuja fedha hizo  kama vile kugharamia kampeni za kisiasa, pia wanadai kuwa amekuwa hatoi taarifa ya mapato na matumizi ya fedha anazozikusanya. &lt;br /&gt;Miongoni mwa madai hayo ni makusanyo ya shilingi milioni 800 kwa ajili ya kununulia vifaa vya kuanzisha televisheni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo wanadai kuwa badala yake Kakobe anadai kuwa vifaa hiyo amevirudisha Marekani alikovinunua kwa kuwa eneo la mradi huo limeathiriwa na mradi wa umeme wa msongo mkubwa na kwamba kwa sasa anataka kuhamia jijini Boston Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu ukiukwaji wa katiba ya kanisa hilo, walalamikaji hao wanadai kuwa katiba inataka kuitishwa kwa mkutano mkuu kila baada ya miaka mitano ambacho ndicho chombo cha juu cha maamuzi lakini Kakobe hajawahi kuitisha mkutano huo tangu mwaka 1989.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia wanadai kuwa katiba hiyo inataka kanisa liwe na Katibu Mkuu na Mweka Hazina ambao ndio watakaolinda mali za kanisa lakini Kakobe amekuwa akifanya maamuzi na shughuli zote peke yake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatatu, Oktoba 24 mwaka 2011.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3889006969401962819?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3889006969401962819/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3889006969401962819' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3889006969401962819'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3889006969401962819'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/kesi-ya-kakobe-yazua-mazito.html' title='KESI YA KAKOBE YAZUA MAZITO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5768279183783924679</id><published>2011-10-24T17:09:00.002+03:00</published><updated>2011-10-24T17:15:54.154+03:00</updated><title type='text'>WATUHUMIWA WA MAUAJI WAACHIWA HURU</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MWEKEZAJI wa Hoteli ya South Beach ya Kigamboni, Salim Nathoo ‘Chipata’ (53), na wenzake waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kijana Lila Hussein (25), wameachiwa huru kufuatia Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) Eliezer Feleshi kuwasilisha hati ya kuiondoa kesi hiyo mahakamani.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nathoo aliyeshtakiwa pamoja na Meneja wake Bhushan Mathkar na John Mkwanjiombi (32) waliachiwa wiki hii na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Temeke, Kassim Mkwawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwendesha mashtaka katika kesi hiyo, Dunstun Kombe, aliliambia Tanzania Daima kwamba amri ya kuachiwa huru kwa watuhumiwa hao ilitolewa Oktoba 10 na DPP kwa kutumia kifungu 91 (1) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai ya mwaka 2002, inayompa madaraka ya kuondoa kesi mahakamani ikiwa ataona ushahidi wa kesi husika hautoshelezi bila kuhojiwa na mtu wala taasisi yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ndugu wachachamaa, wataka maelezo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, kuachiwa kwa mwekezaji huyo kumezua utata mkubwa kwa baadhi ya ndugu wa marehemu na wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliokuwa wakifuatilia kwa makini kesi hiyo tangu kutokea kwa mkasa huo, usiku wa April 9, mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza kwa niaba ya ndugu wa marehemu, Abdullah Saiwaad, alisema wamesikitishwa na hatua ya serikali ya kuwaachia huru watuhumiwa wa mauaji ya ndugu yao, bila kujali madhara makubwa yaliyopatikana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kitendo cha kuachiwa kwa mwekezaji huyo tena kwa muda mfupi tu tangu kukamatwa na kufikishwa mahakamani, bila kujali athari waliyopata ndugu wa marehemu, kimewafanya waamini kwamba mwenye pesa yuko juu ya sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ndugu yetu ameuawa kinyama kwa kuchomwa moto kama kuku, alafu leo hii watu hawa wanaachiwa huru katika mazingira yenye utata namna hii..inasikitisha sana,” alisema Saiwaad.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliiomba serikali kurudia upya uchunguzi huo na kufungua mashtaka mapya dhidi ya watuhumiwa hao na kwa kuzingatia zaidi ushahidi wa marehemu alioutoa kabla hajafariki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mkasa mzima wa kifo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lila anadaiwa kukumbwa na mkasa huo Aprili 11 mwaka huu majira ya kati ya saa 5:00 na 6:00 usiku akidaiwa kuingia katika ukumbi wa muziki hotelini hapo bila kulipa kiingilio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inadaiwa kwamba marehemu alikamatwa na kupigwa vibaya na askari wanaolinda usalama kwa amri ya meneja na mwekezaji huyo, kabla ya kufikia uamuzi wa kumvua nguo na kummwagia mafuta ya petroli na kumchoma moto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari zinaongeza kuwa wafanyakazi wawili walioshuhudia ukatili huo, walilazimika kupeleka taarifa za tukio hilo kwa ndugu zake, kijiji cha Mjimwema waliofika na kumkimbiza hospitalini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lila aliyelazwa wodi namba 7 katika Hospitali ya Temeke akiwa hajitambui akiwa amejeruhiwa vibaya kuanzia magotini hadi shingoni, alifariki dunia Aprili 17 mwaka huu, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watuhumiwa hao walikamatwa na kufunguliwa kesi ya kujeruhi ambayo iliunguruma katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke, kabla ya kubadilishiwa mashtaka na kuwa ya mauaji kufuatia kifo cha kijana huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Sababu za kuondolewa kwa kesi&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nayo Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini, imetoa ufafanuzi wa kina wa kile kilichosababisha kufutwa kwa kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na Tanzania Daima katika mahojiano maalum, Mkurugenzi Msaidizi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Stanslaus Boniface, ofisi hiyo iliifuta kesi hiyo baada ya kubaini upungufu mkubwa ikiwa ni pamoja na kukosekana kwa ushahidi kwa washtakiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bonifasi aliongeza kuwa ofisi yake ilifikia uamuzi wa kulikagua jalada hilo, baada ya kupokea malalamiko mengi toka ndugu wa washtakiwa waliodai kubambikiziwa kesi ya mauaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika barua ya maamuzi kwenda kwa mwanasheria wa Kanda ya Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi huyo alisema ushahidi uliokuwa ukitarajiwa kuijenga kesi hiyo ulikuwa ni wa aina mbili: ushahidi wa kwanza ni tamko linalodaiwa kutolewa na marehemu kabla hajakata roho na ushahidi wa mazingira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Barua hiyo (nakala tunayo) inasema ushahidi uliomo katika jalada la kesi hiyo ulikuwa na mapungufu mawili. “Kama ni kweli marehemu aliwaeleza maneno hayo hao mashahidi wawili Aprili 10 mwaka huu saa 6:30 usiku, kwa nini mashahidi hao hawakutoa maelezo hayo polisi siku ya kwanza kabisa walivyokuwa wakichukuliwa maelezo yao na polisi Aprili 10 mwaka huu saa 5:30?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kitendo cha miezi miwili kupita bila ya polisi kuarifiwa na mashahidi hao kile walichoelezwa na marehemu, pia kimesababisha ushahidi uliopo kwenye jalada hilo kuwa na mapungufu makubwa na sababu hiyo ya kwanza pia ndiyo imenisukuma kuifuta kesi hiyo kwani ofisi ya DPP haiwezi kuendelea kuwashtaki watu pindi inapobaini ushahidi uliopo ndani ya jalada hautoshelezi kuendelea kuwashtaki,” alisema Boniface.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Boniface alichambua ushahidi ambao ni tamko lililotolewa na marehemu kabla ya kifo na ulidhibitishwa na Salum Ally, Saidi Kau Sahan, marehemu mwenyewe na G.5975 PC Saidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Salum Ally na Said Kau Sahani ndiyo walikuwa watu wa kwanza kukutana na marehemu katika hoteli ya Sunrise baada ya kuchomwa moto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na katika maelezo ya nyongeza waliyoyatoa polisi Juni 7, 2011, Salum Ally kwa mara ya kwanza walisema:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Niliambiwa naye (marehemu) wakati tulipokutana naye kuwa amechomwa moto huko South Beach.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu ya pili, hata kama wataamua kuhisi kuwa ni hicho ndicho marehemu alichowaeleza mashahidi hao, ni wazi maelezo hayo hayasababishi mshtakiwa yeyote kushtakiwa kwa kesi ya mauji kwa kuwa maelezo ya mashahidi hao yanatofautiana na ushahidi wa Saidi Kau Sahani ambaye ana uhusiano katika kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ushahidi wake, Sahani alisema, “Kuhusiana na mtu aliyemchoma moto mimi sifahamu ila nilisikia toka kwa Lila (marehemu) kuwa ni Mkurugenzi wa Hoteli aitwaye Chipata na Wahindi wa hapo Hoteli ya South Beach.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Salum Ally, Sahani katika maelezo yao walienda mbali na kulitaja jina la mshtakiwa wa kwanza “Chipata” kuwa ni miongoni mwa watu waliomchoma moto marehemu, maelezo hayo yalileta mkanganyiko na sheria katika hali hiyo inasema kama kuna mashahidi wawili wanatoa ushahidi wa kusikia mtu akiwaelezea migogoro miwili tofauti kuwa hicho ndicho alichoelezwa na mtu huyo, basi ushahidi utakaotolewa na mashahidi wa aina hiyo hautakubaliwa na utakuwa hauna thamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa hiyo maoni yetu kutokana na ushahidi tuliouchambua kwenye jalada la kesi hii umesababisha ofisi ya DPP kuamini kuwa marehemu hakuwaeleza mashahidi hao yaani Ally na Sahani jambo lolote lilompata yeye na hivyo tunakubaliana na na ushahidi wa shahidi Fatuma Hussein ambaye ni dada wa marehemu ambaye alitoa maelezo yafuatayo polisi:&lt;br /&gt;“Nilijaribu kumuuliza huyo mtu aliyemleta (yaani Saidi Kau Hassan) ilikuwaje naye akanijibu naye hajui lolote kwani naye alifuatwa na kijana aitwaye MBAVU (Salum Ally,) wakati huo huyo marehemu hakuweza kuniambia lolote zaidi ya kupiga kelele akiomba maji.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Boniface alisema kabla ya marehemu kufariki alichukuliwa maelezo na G.5975 Pc Saidi ambapo marehemu katika tamko lake alisema alikwenda kucheza muziki South Beach Resort na kwamba mmiliki wa hoteli hiyo alimwita mwizi na akampiga kwa kutumia fimbo na kisha akamvalisha tairi na kumchoma moto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Marehemu anadai kwamba ili kuiokoa ngozi yake alikimbia katika Bahari ya Hindi na katika tamko lake hilo alihitimisha kwa kusema hamfahamu ni nani aliyempeleka nyumbani kwao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ofisi ilijiuliza kama kweli marehemu aliacha tamko ambalo linaungwa mkono na ushahidi wa PC Saidi ambaye ndiye aliyemchukua maelezo Lila kabla hajafa Aprili 10 mwaka huu saa 7:15 mchana kwa mtindo wa maswali na majibu ….. na PC Saidi wakati akimchukua maelezo Lila hospitalini alisema ‘…nilijaribu kumhoji kama anaweza kunieleza mkasa mzima uliompata alitoa maelezo yake kwa taabu sana…”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Boniface alisema pia baadhi ya mashahidi waliendelea kusema, “Ukweli maneno yake hayo aliyatoa kwa taabu sana huku akipoteza kumbukumbu sahihi ya alichokuwa anakieleza.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sasa kwa mazingira yanayotatanisha namna hiyo ofisi ya DPP inaamini kulikuwa na uchelewaji wa kuchukuliwa tamko la marehemu hivyo kufanya tamko hilo kutokuwa na thamani kwa sababu halionyeshi ukweli wowote katika umakini hivyo kufanya tamko hilo kuonekana siyo la kweli …hivyo katika kesi hii hilo tamko la marehemu halina maana yoyote na tunakihesabu ni kipande kidogo sana cha ushahidi ambacho hakiifikishi mahali popote upande wa Jamhuri na hata ushahidi wa nyongeza haupo ndani ya jalada hilo na hivyo kufanya kesi hiyo kubakiwa na ushahidi wa mazingira tu ambao nao pia ni dhahifu,” inasema sehemu ya barua hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, alisema Ofisi ya Mwanasheria wa Kanda ya Dar es Salaam, ilitoa maoni yake kuwa kuna haja ya kuendelea kwa kesi hiyo mahakamani kwa sababu mbili ambapo sababu ya kwanza ushahidi uliopo kwenye jalada hilo unatosheleza na sababu ya pili , kesi hiyo ilikuwa na maslahi kwa umma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;‘Ni kweli ofisi ya DPP inakubaliana na ofisi ya mwanasheria wa kanda , lakini ieleweke kwamba hicho mnachokiita maslahi ya umma peke yake bila ya kuwepo kwa ushahidi wa kutosha katika kesi hiyo kamwe haiwezi kuchukuliwa kuwa ni kigezo ambacho kitailazimisha ofisi ya DPP isiondoe kesi hiyo mahakamani,” alisema Wakili Boniface.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, kufutwa kwa mashtaka hayo, hakuzuii kufunguliwa upya kwa kesi hiyo, iwapo utapatikana ushahidi mwingine makini unaoweza kuishawishi Jamhuri kufungua upya shauri hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Oktoba 21 mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5768279183783924679?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5768279183783924679/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5768279183783924679' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5768279183783924679'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5768279183783924679'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/watuhumiwa-wa-mauaji-waachiwa-huru.html' title='WATUHUMIWA WA MAUAJI WAACHIWA HURU'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1613517095048387343</id><published>2011-10-20T09:58:00.002+03:00</published><updated>2011-10-20T10:04:49.353+03:00</updated><title type='text'>SERIKALI YAJICHANGANYA KESI YA MAHALU</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi wa zaidi ya euro milioni mbili, inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Prof. Dk. Costa Mahalu na Grace Martin, jana umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, kuwa imepata nyaraka halisi  za mawasiliano yaliyokuwa yakifanywa kati ya mshitakiwa huyo na serikali licha ya awali ulidai kutokuwa na nyaraka hizo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kesi hiyo ambayo jana ilikuwa imekuja kwaajili ya kuendelea kusikilizwa huku Wakili Mwandamizi wa Serikali, Ponsia Lukosi, akitarajiwa kuieleza mahakama amebaini nini kwenye zile  nyaraka 11 zilizotolewa juzi na Prof. Mahalu ambaye aliomba zipokewe kama vielelezo, adala yake wakili huyo aliomba mahakama kabla ya kuvipokea, kesi hiyo iahishwe hadi jana ili upande wa Jamhuri uweze kupata nafasi ya kuzipitia nyaraka  hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbele ya Hakimu Mkuu Mfawidhi  wa mahakama hiyo, Elvin Mugeta , wakili Ponsian jana alishindwa kueleza amebaini nini baada ya kuvipitia vielelezo hivyo na matokeo yake akaomba  kesi hiyo ihairishwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu ya kuomba kuahrishwa kwa kesi hiyo ni kwamba, juzi wakati kesi hiyo inaendelea, aliletewa bahasha kubwa kutoka  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ambayo ndani yake kulikuwa na nyaraka kadhaa zikiwemo zile ambazo Prof. Mahalu alizitoa juzi mahakamani hapo kama vielelezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwamba vile vile ndani ya bahasha hiyo kulikuwa na barua iliyokuwa ikimjulisha kuwa serikali imeshapata nyaraka za mawasiliano yaliyokuwa yakifanywa kati ya Mahalu na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania kuhusu ununuzi wa jengo la ualozi mjini Rome,Italia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Baada ya kupata ujumbe huo toka wizara ya Mambo ya Nje, nilifanya jitihada za kwenda wizarani hapo na kuendelea kukusanya nyaraka nyingine  kwa jili ya kuja kuzilinganisha na nyaraka vivuli ambazo zinatolewa na Mahalu mahakamani kama vielelezo na kwa kuwa bado tunaendelea kukusanya nyaraka hizo na kesi hii imepangwa leo na kesho kwaajili ya mshtakiwa kuendelea kujitetea tunaona si busara kesi hii ikaendelea kusikilizwa,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Lukosi aliongeza kuwa kwa sababu upande wa Jamhuri unaendelea kukusanya nyaraka hizo ambazo zimepatikana, wanaomba kesi iahrishwe kwa siku chache  ili waweze kuzikusanya nyaraka zote. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya wakili Ponsian kutoa ombi hilo, wakili wa utetezi, Beatus Malima,alieleza mahakama kuwa hana pingamizi na ombi hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye Hakimu Mugeta, alisema kwa kuwa hakuna uhakika hadi kufikia jana upande wa Jamhuri utakuwa umeishamaliza kukusanya nyaraka hizo  na vile vile ilikuwa imepangwa kusikilizwa mfululizo kuanzia juzi, ana na leo, kwa sababu hiyo anaiahisha hadi Novemba 15,16,17 na 18 mwaka huu, kwa ajili ya kuendelea kusikilizwa mfululizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mapema mwaka huu, mawakili wa Mahalu na Martin;Mabere Marando, Alex Mgongolwa  na Beatus Malima waliuandikia barua upande wa Jamhuri kuomba uwapatie nyaraka halisi  ambazo wateja wao walikuwa wakikusudia kuzitumia kwa ajili ya kujitetea, lakini wakili wa serikali Lukosi  kwa kujiamini mbele ya Hakimu Mugeta aliwajibu kuwa serikali haina nyaraka hizo na haiwezi kuwapatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo ilimfanya Prof. Mahalu kupanda kizimbani kujitetea kwa kukutumia nyaraka vivuli na mahakama kulazimika kuzipokea kama vielelezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Oktoba 20 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1613517095048387343?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1613517095048387343/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1613517095048387343' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1613517095048387343'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1613517095048387343'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/serikali-yajichanganya-kesi-ya-mahalu.html' title='SERIKALI YAJICHANGANYA KESI YA MAHALU'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3143425743592494087</id><published>2011-10-19T11:19:00.002+03:00</published><updated>2011-10-19T11:24:11.795+03:00</updated><title type='text'>MAHALU AFICHUA BEI UNUNUZI JENGO LA UBALOZI ,ROME ITALIA</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-F-6Jfinv0mc/Tp6JFZvD-6I/AAAAAAAAAl4/NRyn4FEaHLU/s1600/mahalu.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 182px; height: 142px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-F-6Jfinv0mc/Tp6JFZvD-6I/AAAAAAAAAl4/NRyn4FEaHLU/s320/mahalu.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5665116107179293602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;ALIYEKUWA balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kuwa ripoti ya bei ya ununuzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania mjini Roma aliyokuwa ameipendekeza yeye ilikuwa ni ya bei ya chini ukilinganisha na ripoti ya ununuzi wa jengo hilo iliyokuwa imependekezwa na serikali kupitia Wizara ya Ujenzi.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Profesa Mahalu alitoa maelezo hayo jana mbele ya Hakimu Mkuu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Elvin Mugeta  wakati mshtakiwa huyo anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi wa zaidi ya Euro milioni mbili akiongozwa na Wakili wake Mabere Marando, Alex Mgongolwa, Beatus Malima na Cuthebert Tenga kutoa utetezi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Profesa Mahalu alidai kuwa mujibu wa kielelezo cha saba kilichotolewa na shahidi wa Jamhuri ambaye ni Mchunguzi toka TAKUKURU, hakijakamilika alidai kuwa kielelezo kile ni barua ya Februalia 2 mwaka 2002  ambayo  akiwa Balozi aliandika yeye kwenda kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Kimataifa na nakala ya barua hiyo ilikwenda kwa Waziri wa wizara hiyo Jakaya Kikwete ambaye ni rais  wa nchi kwa sasa, Waziri wa Fedha, Basil Mramba, Katibu Mkuu Kiongozi, Kamishna wa Bajeti  Wizara hiyo na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo akiwaarifu  viongozi hao wa serikali kuhusu shughuli  za ununuzi  wa jengo la ofisi za Ubalozi mjini Roma,Italia  hatua aliyofikia  sasa ni ya kulipia jengo lenyewe ili liweze kuwa letu na hatimaye kuhamia  na kwamba malipo  ya jengo hilo  kwa ujumla  ni dola za Kimarekani  2,788,862.24 au Euro  3,098,741.38 sawa na Shilingi 2,534,770,448.80.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ni kweli barua hiyo iliyotolewa na shahidi huyo wa Jamhuri ilikishwapokelewa na mahakama hii kama kielelezo cha saba kweli kielelezo hicho ni barua ambayo niliandika mimi kwenda kwa mkuu wangu wa kazi lakini barua nilikuwa nimeambatanisha na viambatanisho kumi na moja vikiwemo ripoti tatu za uthamini wa majengo ambapo ripoti A ni ropiti iliyoandaliwa na Kaimu Mkurugenzi-Idara ya Majengo wa Wizara ya Ujenzi M.T.Kimweri, Ripoti B, ilikuwa ni ripoti ambayo ambayo nilikuwa nimeiandika kama balozi ambapo nilipendekeza jengo hilo linunuliwe kwa gharama ya dola za Kimarekani milioni  2.7 sawa  na Sh bilioni 2.5 ambayo mwisho wa siku ndiyo ilikuja kutumiwa na serikali kununulia jengo jipya la Ubalozi na ripoti C, ilikuwa ni ya mwenye jengo  F.Morelli, viambatanisho hivyo havimo kwenye barua hiyo”alidai Profesa Mahalu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alieleza kwa mujibu wa safari ya Roma  nchini Italia ya Julai 15-26 mwaka 2001 iliyoandaliwa na Kimweri toka Wizara ya Ujenzi baada ya kuyachunguza majengo matatu la Via Colli della, Via Continad ‘ Appezo 185-Rome ambapo kila jengo lilikuwa likiuzwa kwa dola za kimarekani milioni tatu wakati jengo la Via  San  Marno 25 Rome ambalo lilikuwa likiuzwa kwa  dola za Kimarekani milioni  2.25 ambapo katika ripoti yake baada ya uchunguzi huo , Kimweli alitoa mapendekezo yake akiitaka serikali ikubali  kununua jengo la Via Continad’ Apezzo 185-Roma kama itashindikana kulinunua hilo jengo la  Via Colli della 128-Roma    kwa kuwa majengo hayo yapo maeneo mazuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo kwa mujibu wa barua hiyo ya Mahalu kwenda  kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, yeye alipendekeza jengo hilo la Via Continad  Appezzo 185 –Rome ninunuliwe kwa bei ya chini ya jumla ya dola za kimarekani 2,788,862.24 sawa na Shilingi 2,534,770,448.80 ambazo serikali ilizilipa kwa awamu kwa mmiliki wa jengo hilo F.Morelli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa kuwa mimi ndiyo mwandishi wa barua hiyo ,ndiyo ninayefahamu wakati naituma barua kwa viongozi wangu wa serikali nilikuwa nimeambatanisha na viambatanisho vyote hivyo ambapo nashangaa shahidi ametoa barua hii pekee yake bila viambatanisho hivyo na kushindwa kwake kuleta viambatanisho hivyo hapa  mahakamani ambapo mimi ninazo nakala ya hivyo viambatanisho na ninaiomba nivitoe hivyo viambatanisho kama vilelezo mahakamani”alidai Profesa Mahalu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo baada ya Mahalu kuomba viambatanisho hivyo mahakama hiyo ivipokee kama vielelezo , Wakili Mwandamizi wa Serikali Lukosi ,ghafla aliomba  mahakama iarishe kesi hiyo hadi leo ili waweze kupata nafasi ya kulinganisha viambatanisho vivuli hali iliyosababisha hakimu Mgeta kumhoji wakili huyo wa serikali kuwa anaenda kulinganisha viambatanisho hivyo na nyaraka zipi kwasababu hapo awali Jamhuri ilishasema haina nyaraka halisi za nyaraka hizo anazozitumia Mahalu katika utetezi wake kwasababu serikali siyo mwandishi wa barua hiyo hali iliyosababisha wakili huyo kujibu kuwa wanaomba muda ili waweze kwenda kuzipitia nyaraka hizo na siyo kwenda kuzilinganisha(cross check).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Mgeta alikubali ombi hilo la kuarishwa kwa kesi hiyo akaiarisha kesi hiyo hadi leo saa tatu asubuhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo; Chanzo Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Oktoba  19 mwaka 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3143425743592494087?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3143425743592494087/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3143425743592494087' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3143425743592494087'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3143425743592494087'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/mahalu-afichua-bei-ununuzi-jengo-la.html' title='MAHALU AFICHUA BEI UNUNUZI JENGO LA UBALOZI ,ROME ITALIA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-F-6Jfinv0mc/Tp6JFZvD-6I/AAAAAAAAAl4/NRyn4FEaHLU/s72-c/mahalu.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-2339044682800431582</id><published>2011-10-18T13:15:00.002+03:00</published><updated>2011-10-18T13:19:25.462+03:00</updated><title type='text'>TAHADHARI YA BABU WA LOLIONDO</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-5BRXoHTWbr4/Tp1SosdWmOI/AAAAAAAAAls/2dkw5vOS728/s1600/mwasapile.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 186px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-5BRXoHTWbr4/Tp1SosdWmOI/AAAAAAAAAls/2dkw5vOS728/s320/mwasapile.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5664774765384472802" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;JUMATATU wiki hii gazeti moja siyo Tanzania Daima, lilimnukuu aliyekuwa Mchungaji wa Kanisa la Kiinjiili la Kilutheli nchini(KKKT), Ambilikile Mwasapile akisema kuwa wananchi wajiandae kupokea muujuzi mpya kutoka kwake.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwasapile kwa jina maarufu ‘Babu wa Loliondo’ pamoja na kutoa ahadi hiyo pia aliwashutumu baadhi ya viongozi wa makanisa na waganga wa kienyeji ambao wamekuwa wakikimbiwa na wateja wao kuwa ndiyo wamekuwa wakimchafulia jina lake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sote tungali tukikumbuka kuwa mapema mwaka huu maelfu ya  watanzania na raia wa kigeni waliliminika katika makazi ya babu huyo kule Kijijini Samunge mkoani Arusha kwaajili ya kupatiwa tiba ya magonjwa sugu  iliyokuwa ikitolewa kwa gharama ya Sh 500/- na babu huyo ambapo babu huyo aliwaaminisha wagonjwa hao kuwa dawa yake inawaponya wagonjwa waliokuwa na imani na haitawaponya wagonjwa ambao hawatakuwa na imani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi sina taaluma ya kitabib, mahabara wala siyo mtumishi wa dini hivyo ndiyo maana sitaki kukubali kwamba dawa ya babu huyo kuwa haikuwaponya au imewaponya wagonjwa waliokunywa dawa yake ‘Kikombe cha Babu’ kwasababu kati ya watu watano ambao ninawafahamu na waliniaga wakati wanakwenda kunywa dawa kwa babu huyo, hadi leo wameshindwa kunieleza wamerudi mahabara na kupimwa na kukutwa maradhi yaliyokuwa yakiwasumbua yametoweka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyovyote iwavyo, Mtazamo wangu wa leo si kutaka kupingana na ahadi ya babu aliyoitoa mapema wiki hii kuwa wananchi wajiandae kupata muujiza mpya kutoka kwake, la hasha mibinafsi  baada ya kusikia ahadi hiyo ya Babu wa Loliondo nimebaki kujiuliza je muujiza huo unaotarajiwa kutolewa na babu huyo, Je muujiza huo utolewa kwa njia ya dawa ya mitishamba ambayo itawalazimu wahusika kuitumia kwanjia ya kuinywa?&lt;br /&gt;Basi kama muujiza unaotarajiwa kutolewa na Babu wa Mwasapile atautoa kwa njia hiyo ya dawa, tafadhali sana kabla ujaanza kutoa dawa hiyo nakuomba uwaite faragha watafiti watatifi wa madawa toka taasisi za serikali ili uwaeleze ili waweze kuifanyia utatifi kwanza kabla ya wewe kuanza kutoa huduma hiyo kwa wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwani tungali tukikumbuka kuwa dawa yako ya awali”kikombe cha babu’ ulianza kuwapatia wagonjwa na wakanywa kabla haijafanyiwa utaifiti na wataalamu wa Taasisi ya Utafiti NIMR na Taasisi cha ya Chakulia na Dawa, wagonjwa walipojitokeza kwa wingi ndipo serikali kupitia taasisi hizo nazo zikafunga safari na kwenda kuchukua sampo za dawa ya babu huyo na kwenda kuifanyia utafiti kama inafaha kwa matumuzi ya binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Itakumbukwa kuwa mengi yamesemwa kuhusu dawa hiyo ya babu kuwa dawa hiyo haitibu na imesababisha wagonjwa wengi kupoteza maisha yao, binafsi sina ushahidi na hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila angalizo langu kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuwa nayo imeshamsikia babu wa Loliondo akijinasbu kuwa anatarajia kutoa muujiza mwingine, ni vyema basi ikawatuma kimya kimya maofisa wake kwenda kuzungumza na babu huyo ili awaeleze mapema ni muujiza wa aina gani anatarajia kuutoa na utawalenga wananchi wa makundi gani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili serikali iweze kujipanga sasa kuweza kutoa msaada wake pindi itakapoitajika kutoa msaada pindi muujiza huo utakapoanza kutolewa kwani ikumbukwe kuwa muujiza huo unahusu maisha ya watanzania na Kikatiba kila Mtanzania ana haki ya kuishi na kila mwananchi ana haki ya kulindwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumanne, Oktoba 18 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-2339044682800431582?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/2339044682800431582/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=2339044682800431582' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2339044682800431582'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/2339044682800431582'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/tahadhari-ya-babu-wa-loliondo.html' title='TAHADHARI YA BABU WA LOLIONDO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-5BRXoHTWbr4/Tp1SosdWmOI/AAAAAAAAAls/2dkw5vOS728/s72-c/mwasapile.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-718215408509929149</id><published>2011-10-17T11:30:00.001+03:00</published><updated>2011-10-17T11:37:09.996+03:00</updated><title type='text'>KORTI YAAMURU RAMA AKAPIMWE AKILI</title><content type='html'>MAHAKAMA Kuu Dar es Slaam imeamuru mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya mauaji ya kukusudia, Ramadhani Selemani, aliyekutwa akitafuna kichwa cha mtoto eneo la Hospitali ya Taifa Muhimbili, akapimwe akili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ramadhani na mama yake mzazi Hadija Ally wanashtakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia ya mtoto Salome Yohana (3) eneo la Tabata jijini Dar es Salaam. &lt;br /&gt;Kesi hiyo ilitarajiwa kuanza kusikilizwa kwa washtakiwa kusomewa maelezo ya awali ya mashtaka yao (PH) lakini ilishindikana baada ya wakili wa washtakiwa hao Yusufu Shehe kuiomba mahakama iamuru mshtakiwa huyo akapimwe akili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Jaji, kulingana na ushahidi wa kesi hii, chini ya kifungu cha 219 (1) Sura ya 20 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA), inaiomba mahakama yako iruhusu mshtakiwa wa kwanza akapimwe akili zake kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema ameamua kutoa ombi hilo ili kujiridhisha na utimamu wa akili za mshtakiwa kwanza kabla ya kuanza usikilizwaji wa kesi hiyo kulingana na kumbukumbu za maelezo ya ushahidi ulioko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata Hivyo Wakili Shehe alibainisha kuwa anakusudia mshtakiwa huyo apimwe akili kwa wakati ule tu aliotenda kosa analoshtakiwa kwalo na si kwa wakati mwingine wowote.&lt;br /&gt;Wakili wa upande Jamhuri (mashtaka) Dionisia Saiga akisaidia na Wakili wa Serikali Nassoro Katuga, alisema kuwa kulingana na ushahidi wa kesi hiyo hata wao hawana pinagmizi dhidi ya ombi la wakili wa utetezi kwa mshtakiwa huyo kupimwa akili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kusikiliza pande zote Jaji Karua alikubaliana na ombi hilo la wakili wa utetezi na kutoa amrim rasmi mshtakiwa huyo akapimwe akili kabla ya kuendelea na usikilizwaji wa kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo Jaji Karua aliahirisha kesi hiyo hadi itakapopangwa tarehe nyingine ya kuendelea nayo katika awamu nyingine ya vikao vya mahakama vya kesi za jinai.&lt;br /&gt;Kabla ya kutoa ombi la mshtakiwa kupimwa akili, Wakili Shehe aliomba mahakama iliamuru atafutwe wakili mwingine kwa ajili ya kumtetea mmoja wa washtakiwa katika kesi hiyo.&lt;br /&gt;Wakili Shehe ambaye alikuwa akiwatete washtakiwa wote wawili katika kesi hiyo alisema kwa mazingira ya kesi hiyo na ushahidi yakiwemo maelezo ya washtakiwa asingeweza kuendelea kuwatetea wote.&lt;br /&gt;Moja ya maelezo ambayo yalimsukuma Wakili Shehe aombe atafutwe wakili mwingine kwa ajili ya kumtetea mmoja wa watuhumiwa hao, ni yale ya mshtakiwa wa kwanza, Ramadhani kumsukumia mama yake mzigo kuwa ndiye aliyefanya mauaji hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo mama yake Ramadhani naye anakana tuhuma hizo akidai kuwa siyo yeye aliyemuua mtoto huyo, maelezo ambayo pia yanaashiria kuwa anamwachia mzigo huo mwanaye Ramadhani, aliyekutwa na kicha cha mtoto huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama ilikubaliana na ombi hilo la wakili wa utetezi na kuamuru atafutwe wakili mwingine kwa ajili ya kumtetea mshtakiwa mwingine, kabla ya kesi hiyo haijapangiwa tarehe nyingine ya kuanza kusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washtakiwa hao wanadaiwa kutenda kosa hilo &lt;br /&gt;Ramadhan alikamatwa na mlinzi wa Hospiltali ya Muhimbili Furgence Michael akiwa na kichwa cha mtoto huyo kikiwa kimesukwa nywele, April 26, 2008, akidai kuwa alikuwa anampelekea zawadi muuguzi mmoja wa hospitali hiyo.Kichwa hicho kilikuwa ndani ya mfuko wa nailoni aina ya Rambo huku akikitafuna hadharani huku akidai kuwa alikuwa amezoea kula nyama za watu yeye na bibi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukio hilo liliwafanya wafanyakazi wa hospitali hiyo na watu wengine waliofika hospilatini hapo kwa sababu mbalimbali kuacha shughuli zao na kwenda kumshuhudia kijana huyo akitafuna kichwa hicho &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo walimweka chini ya ulinzi mkali, na kutoa taarifa polisi ambapo baada ya polisi kufika walimuhoji akadai kuwa alikuja na bibi yake anayeishi makaburi ya Jeti Lumo na kwa bahati mbaya wamemuacha na wao wamepaa na ungo.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala Kanda Maalum Dar es Salaam, Faustine Shilogile alisema kuwa Ramadhan amekuwa akipatikana kwenye matukio tofauti ya ajabu na wanaendelea kumchunguza kutokana na matukio hayo.&lt;br /&gt;Kabla ya mwili na kichwa chake kupatikana mahali tofautotofauti mtoto Salome alipotea muda wa saa 2 usiku April 25 akiwa nyumbani kwa shangazi yake Furaha Majani (28), anayeishi Segerea kwa Bibi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtoto huyo alifika kwa shangazi yake hapo akiwa na wazazi wake, baba yake Yohana Majani na mama yake Upendo Datsun, wakazi wa Kimara, kwa ajili ya kumtembelea shangazi yake huyo.Baada ya kubaini kuwa mtoto huyo alikuwa amepotea katika mazingira ya kutatanisha walitoa taarifa kituo cha polisi baada ya kumtafuta kwa ndugu na jamaa bila mafanikio.Baadaye kiwiliwili cha mtoto huyo kiliokotwa ndani ya shimo la choo kikiwa kimekatwa kichwa na wazazi walitambua kuwa ni kiwiliwili cha mtoto wao.Baada yakupata taarifa za Ramadhani kukamatwa Muhimbili akiwa na kichwa cha mtoto, wazazi hao walifika hospitalini hapo  na walikitambua kichwa hicho kuwa ni cha mtoto wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima Daima, Oktoba 5 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-718215408509929149?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/718215408509929149/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=718215408509929149' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/718215408509929149'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/718215408509929149'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/korti-yaamuru-rama-akapimwe-akili.html' title='KORTI YAAMURU RAMA AKAPIMWE AKILI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-4117201793842256909</id><published>2011-10-17T11:27:00.003+03:00</published><updated>2011-10-17T11:30:50.780+03:00</updated><title type='text'>TANESCO IMEVUNA ILICHOPANDA DOWANS</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;SEPTEMBA 28 mwaka huu,Jaji wa  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, Emilian Mushi alitoa hukumu ya kihistoria  ambayo ilikata  ngebe ya vizabinazabina  ambao ni baadhi ya  wanasiasa na wanaharakati  waliokuwa wakifanya harakati za kulizuia Shirika la Ugavi wa Umeme (TANESCO), kulipa tuzo ya mabilioni ya shilingi kwa Kampuni ya kufua umeme, Dowans Tanzania.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuzo hiyo ya dola za Marekani milioni 65 (takriban sh bilioni 94) iliyotolewa Novemba 15, mwaka jana (2010); na Januari 25, mwaka huu, Dowans iliwasilisha ombi lake la kutaka Mahakama Kuu ya Tanzania iisajili tuzo waliyopewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa migogoro ya Kibiashara (ICC).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ICC iliitia hatiani TANESCO kwa kosa la kuvunja mkataba na Dowans iliyokuwa ikitetewa na wakili wa kimataifa Kennedy Fungamtama, na ikaiamuru iilipe tuzo hiyo na riba ya asilimia 7.5.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini wanaharakati kadhaa na wanasiasa hapa nchini wamekuwa wakipinga uamuzi huo wa ICC mahakamani.Jaji Mushi alisema Mahakamu Kuu ya Tanzania haina mamlaka ya kutengua hukumu ya ICC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo ya wanasiasa na wanaharakati kuchelewesha malipo ya tuzo hiyo itaifanya TANESCO kulipa kiasi kikubwa zaidi kwani riba imekuwa inaongezeka. Hadi siku hukumu inatolewa na Jaji Mushi Dowans  ilikuwa inastahili kulipwa na Tanesco  Sh bilioni 113 badala ya sh bilioni 94 kutokana na ucheleweshwaji huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alianza kwa kusema maneno yafuatayo: &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwanza, naishukuru TANESCO na zile taasisi nne za wanaharakati waliokuwa wakiongozwa na LHRC; walijitokeza mahakamani hapa kupinga tuzo ya Dowans isisajiliwe na kutumia muda wao kuchambua kesi mbalimbali na kuandaa mapingamizi yao, ambayo hata hivyo niliyatupilia mbali. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Pili, nafahamu fika kuwa kesi hii ya Dowans ina sayansi nyingi sana za kisiasa, hivyo napenda niwafahamishe mapema kabisa kabla ya kuendelea kuwa hukumu yangu nitakayotoa leo haijatoa nafasi kwa sayansi hizo za kisiasa, kwa sababu imezingatia misingi ya sheria na haki.” &lt;br /&gt;Jaji Mushi alisema baada ya kuipitia hukumu ya ICC amebaini kuwa haina makosa ya kisheria kama anavyodai mlalamikaji, na ndani ya hukumu hiyo alikuta kiambatanisho ambacho ni mkataba kati ya TANESCO na Dowans uliosainiwa Juni 23, mwaka 2006; na kufafanua kwamba pande zote mbili katika mkataba huo zilikubaliana kwamba uamuzi wa ICC ndiyo utakuwa wa mwisho, na utazibana pande zote mbili na hautaweza kukatiwa rufaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji huyo alisema kifungu cha 14 (f) cha mkataba huo kinasomeka hivi: “The parties waive any right to challenge or contest the validity or enforceability of this arbitration agreement or any arbitration proceeding or award brought in conformity with this section.” Kwa tafsiri nyepesi, Fungamtama alisema kifungu hicho kinasema, TANESCO na Dowans katika mkataba wao walikubaliana kwa maandishi kuweka kando haki za kupinga au kuhoji mwenendo na tuzo zitakazotolewa na baraza la usuluhishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji akasema: “Sasa kwa mujibu wa mkataba huo ni wazi kuwa TANESCO na Dowans walikubaliana kuwa endapo utatokea mgogoro baina yao utapaswa upelekwe ICC tu na ICC itakapotoa hukumu ya mgogoro baina yao, pande hizo mbili hazitakuwa na mamlaka ya kuikatia rufaa hukumu hiyo ya ICC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa makubaliano hayo ya pande hizo mbili ndani ya mkataba huo wa POA ambao TANESCO hadi wanakwenda kujitetea ICC hawakuwa wameuvunja huo mkataba wa POA na kupitia mkataba huo ICC pia iliutumia kutolea uamuzi wake…ni wazi kabisa mahakama hii inakubaliana na hukumu ya ICC kuwa ilikuwa ni hukumu ya haki na iliyofuata sheria na ilizingatia pia masilahi ya sera za Tanzania na kwakuwa pande hizo zilikubaliana hukumu ya ICC hawataweza kuikatia rufaa basi ndivyo hivyo hivyo mahakama hii ya Tanzania haiwezi kutoa uamuzi wa kutengua hukumu hiyo iliyotolewa na ICC.”alisema Jaji Mushi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema anakubaliana na hoja ya wakili wa Dowans, Fungamtama, kuwa kifungu cha 3 cha jedwali la 3 katika Sheria ya Usuluhishi ya Tanzania, Sura ya 15 ya mwaka 2002 ambacho kinasomeka hivi: Kwa tafsiri rahisi, kifungu hicho utaona tayari nchi imejifunga mikono na utekelezaji wa hukumu zinazotolewa na mahakama za kimataifa kwa sababu ni nchi yetu yenyewe imeridhia sheria na mikataba ya kimataifa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alisema kitendo cha TANESCO kuwasilisha ombi mbele yake likidai kuwa Mahakama Kuu haina mamlaka ya kusajili tuzo hiyo, halina ukweli na kwamba mwanasheria aliyefahamu vema Sheria ya Usuluhishi ya Tanzania ya mwaka 2002 Sura ya 15, Mikataba ya Kimataifa na Sheria ya Makosa ya Madai ya mwaka 2002 ataona wazi kuwa Mahakama Kuu ya Tanzania imepewa mamlaka ya kusajili tuzo hapa nchini zinazotolewa na Mahakama za Kimataifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji alisema hoja ya TANESCO kuwa mwenendo wa hukumu ya ICC ulikuwa na mapungufu ya kisheria, haikupaswa kupelekwa mbele yake kwani Tanasco walikuwa ni wadaiwa katika kesi iliyofunguliwa ICC na walipaswa kuiwasilisha hoja hiyo ICC kabla ya mahakama hiyo ya kimataifa kutoa hukumu yake na kuikumbusha TANESCO kuwa ni yenyewe iliyoingia mkataba wa POA na Dowans ambao kwa ridhaa yao waliridhia kuwa hukumu itakayotolewa na ICC haitakatiwa rufaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na makubaliano ya pande hizo mbili, Jaji Mushi aliishangaa TANESCO kwa hatua yake ya kuwasilisha hoja hiyo ambayo ni wazi ilipaswa iwasilishwe kwenye mashauri ambayo yamekatiwa rufaa na kwamba shauri lilokuwa mbele yake halikuwa shauri la rufaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha Jaji Mushi alihitimisha kwa kusema kuwa anakubali ombi la Dowans la kusajili tuzo waliyopewa na ICC isajiliwe na mahakama ya Tanzania. Pia  aliiamuru TANESCO kulipa gharama zote za uendeshaji wa kesi hiyo, na Dowans ianze taratibu za kukazia hukumu ya Mahakama ya ICC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali ya yote napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa Mahakama Kuu ya Tanzania kupitia Jaji Mushi, kwani kupitia hukumu ya kesi hiyo kudhiirisha wazi bado tuna majaji majasiri ambao hawayumbishwi na makelele ya wanasiasa wahuni ambao walikuwa wakifikiri kupitia nyadhifa zao wangeweza kuiweka  mfukoni mhimili huo wa mahakama ili uweze kutoa uamuzi wanaotuka wao katika kesi hiyo ya Dowans dhidi ya Tanesco.Hongera sana Jaji Mushi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Napenda wasomaji wa makala hii wafahamu kuwa mimi nilikuwa ni miongoni mwa waandishi wa habari wa chache hapa nchini tuliyoifuatilia kwa karibu kesi hiyo kabla haijafunguliwa, ilipofunguliwa, ilipokuwa ikiendeshwa na hadi hukumu ilipotolewa Alhamisi  wiki hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka baada ya kufikishwa kwa hukumu ya ICC katika Mahakakama Kuu ya Tanzania, waandishi wa habari za mahakama tulikuwa tunapata wakati mgumu wa kupata ufafanuzi wa jinsi ya ombi hilo la kusajiliwa kwa tuzo lakini mwisho wa siku kwa busara ya uongozi wa mahakama ulitenga utaratibu uliotuwezesha sisi kuwa tunapata habari kuhusu kesi hiyo.Tunashukuru kwa hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa basi kwa muktadha huo hapo juu wa baadhi ya maneno yaliyopo kwenye hukumu  hiyo, sote tutakubaliana na Jaji Mushi kuwa kesi hiyo ilikuwa imegubikwa na siasa zilizokuwa zikiendeshwa na baadhi ya wanasiasa manyang’au, wakorofi ambao wanafahamu fika nchi yetu inafuata sheria lakini kwa makusudi wakaamua kutumia nyadhifa zao kuamasisha umma ushiriki  katika mzozo huo wa Tuzo ya Dowans isisajiliwe eti kusajiliwa kwa Dowans ni ufisadi mkubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa maneno machache hayo hapo juu ambayo yanapatikana kwenye  hukumu ya Jaji Mushi, binafsi nampongeza Jaji Mushi kwa ujasiri wake wa kutoa hukumu hiyo ambayo nyuma ya kesi hiyo ilikuwa imegukibwa na magomvi ya siasa chafu hasa za wanasiasa wa CCM na baadhi ya taasisi za wanaharakati ambao hata nakala ya ICC na mkataba wa POA naimani hawakuzisoma kwa makini na kujua ziliandikwa nini kwani wangekuwa wamesoma, katu wasingekuwa wanabwatuka na kwenda kuipinga Tuzo ya Dowans mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi utekelezwaji wa hukumu hiyo itatekelezwa kwa kuchukuliwa kodi za wananchi wa Tanzania  na kisha kuilipa Dowans. Lakini chanzo cha uwendawazimu wote ni makundi yanayohasimiana ndani ya CCM ambayo yalifanikiwa kuuteka umma wa Tanzania uwange mkono katika harakati zao za kuikashfu kampuni Richmond na Dowans na kweli harakati zao zilifanikiwa kwani taifa likajikuta linaingia kwenye malumbano makali kuhusu kulipwa kwa kampuni hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbe nyuma ya pazia ya wanasiasa hao wa CCM ilikuwa ni chuki zao za kibiashara na siasa ambazo pia zinadaiwa ndizo zilizoisukuma  Tanesco kuyumba kitaaluma na kimaamuzi na matokeo yake ikajikuta inavunja mkataba na Dowans kwaajili ya kelele hizo za wanasiasa manyang’au.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwahiyo hapa hoja ya  Tanesco haiwezi kulipa kiasi hicho cha fedha haina msingi wowote ,kwani kushindwa kwao kusimamia maslahi ya taifa matokeo yake ikajikuta inafanya kazi na kutoa maamuzi kwaajili ya kuwafurahisha wanasiasa manyang’au ndiko kulikosababisha leo hii fedha za walipa kodi zitumike kuilipa dowans?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inakuwaje ni Tanesco ndiyo ilikuwa ya kwanza kuvunja mkataba halafu ikashtakiwa na hukumu ilivyotolewa ndiyo ikurupuke kutoa maneno matamu ya kuhadaa umma kuwa kulipwa kwa fedha hizo kutaifanya Tanesco ifilisike?Tuiulize Tanesco wakati ikitenda kosa hilo la kuvunja ule mkataba kwa mashiniko ya kisiasa mwisho wa siku ilitegemea Dowans iwafanye nini kama siyo kuwashtaki?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ieleweke wazi Tanzania ni nchi inayoendeshwa kwa misingi ya sheria na kila siku Jaji Mkuu Mstaafu Agustino Ramadhani amekuwa akisema haki ni gharama.Kwahiyo katika hili Tanzania  hatuna budi kugharimika kwa kuilipa Dowans kiasi hicho mabilioni ya shilingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na nipende kutoa taadhari kwa Tanesco ule mkataba waliousaini wa POA na Dowans na kitendo chao cha kuvunja mkataba na Dowans kabla ya muda, kuendesha mambo hayo kwa matakwa ya kelele za wanasiasa manyang’au ndiko kuliko tukifisha leo hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini Tanesco wanawafanya Watanzania wote ni mazuzu wasioshindwa kung’amua kuwa matendo hayo waliyoyatenda hapo  na hatua yake ya kuwakodi mawakili wa kujitegemea toka kampuni ya FK Chamber, Rex Attoney  kulitetea shirika katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro(ICC), Mahakama Kuu ya Tanzania, kunaendelea kuteketeza fedha za walipa kodi kwa kisingizo cha kutoa fedha za umma kuwalipa mawakili hao wa kujitegemea wakati mawakili wa serikali tena wazuri tu wapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa sisi tunaowafahamu hulka na tabia za mawakili wengi wa kujitegemea ,cha kwanza wanapenda fedha toka kwa mteja wao na uwa wanatabia za kama za matapeli za kuwahada wateja wao kuwa nilazima watashinda kesi inayomkabili mteja wake huku akijua wazi na akikaa pembeni ya watu wa mbali na mteja huyo anasema kesi inayomkabili mteja wake ni ngumu na watashindwa ila anachokifanya ni kuchukua fedha na kumfariji mteja wake kuwa atashinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo Idara ya Usalama wa Taifa(TISS), iamke usingizi  na kuwatumia hata wanasheria wake kuzisoma hizo nakala za hukumu za ICC na mahakama kuu ya Tanzania na ule mkataba wa POA  na pia iwachunguze hao mawakili wakujitegemea waliopewa tenda ya kuitetea Tanesco tangu ICC, Mahakama Kuu  na aliyewapa tenda hiyo, wanatumia taaluma zao kikweli kweli au wapo hapo kwaajili ya kutafuna tu fedha za walipa kodi na kuwaada wananchi huku wakijua moyoni kesi hiyo hatutaweza kushinda?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TISS ikishabaini ukweli pia ikachunguze katika ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni kweli kabisa hatukuwa na wanasheria wa serikali ambao nao wangepewa fursa ya kuendesha kesi hiyo tangu ICC na Mahakama Kuu? Na endapo itabaini ni ngumu Tanesco kushinda rufaa katika Mahakama ya Rufaa, ni vyema iikataze Tanesco kukata rufaa mahakama ya rufaa kwani fedha zetu zitaendelea kutafunwa bure na mawakili na gharama za liba ya kuilipa Dowans zitakuwa zimeongezeka maradaufu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Fredrick Werema, Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja  hakuwa wapumbavu walivyojitokeza  adharani siku za nyuma kusema ni lazima Dowans ilipwe licha baadhi ya wanasiasa na waandishi wa habari ambao ni mambumbu wa sheria waliwakejeli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Werema  na Ngeleja na wengineo walikuwa wakijua wanachokisema  kwasababu ni wanasheria wazuri waliobobea katika fani hiyo.Na walichokisema ndicho kilichokuja kuamuliwa na mahakama kuwa tuzo ya Dowans isajiliwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na cha kustajaabisha kabisa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta na aliyekuwa Spika na kundi lake  ambalo ndilo lilikuwa mstari wa mbele kutoa kauli za kuamasisha  umma tuamini kuwa kampuni ya Richmond, Dowans ni kampuni za mafisadi na mikataba iliyoingiwa na Tanesco ivunjwe  na leo hii wamekaa kimya utafikiri hawaishi Tanzania.Zile taasisi za wanaharakati ambazo ziliandaa maandamano ya kupinga Dowans isilipwe nazo leo hii baada ya hukumu kutolewa, hawasikikiti tena utafikiri wameaga dunia.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna ubishi yale malumbano ya visasi na kusingiziana  kuhusu kampuni ya Richmond,Dowans na baina ya baadhi ya viongozi wa kisiasa hususasi wale wa CCM kuhusu mikataba ya makampuni hayo, kama serikali yetu isingekuwa imara, ni wazi leo hii taifa hili lingekuwa limeingizwa mtoni na malumbano hayo ambayo yalikuwa yanachagizwa kwa kiasi kikubwa na sisi vyombo vya habari bila kujua kilichopo nyuma ya ajenda hiyo ya malumbano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ieleweke wezi kuwa Tanzania itabaki kuwa nchi yetu na hao wanasiasa manyang’au ambao wamekuwa wakitumia ushawishi wao wa kisiasa kuutumia umma usifahamu kilichopo nyuma ya pazia ya ajenda chafu zao , watapita na kusaulika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo nitoe rai kwa viongozi wetu wa siasa, taasisi za wanaharakati, vyombo vya habari na wananchi kuwa hukumu ile ya ICC na ile ya Mahakama Kuu ya Tanzania iwe funzo kwetu kuanzia sasa tukatae kugeuzwa makasuku wa ajenda chafu za wanasiasa hasa wa CCM na wale vyama vya upinzani kwani tukikubali kuwa makasuku wa ajenda za manyang’au mwisho wa siku tukubali matokeo  kama haya ya kutakiwa na mahakama kuilipa fidia Dowans ya zaidi ya dola za kimarekani bilioni 111. Na tutakapotakiwa na mahakama kufanya hivyo tusikasilike, tufurahi kwani tuliyataka wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;Chanzo:Gaazeti la Tanzania Daima la Jumapili, Oktoba 2 mwaka 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-4117201793842256909?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/4117201793842256909/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=4117201793842256909' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4117201793842256909'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4117201793842256909'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/tanesco-imevuna-ilichopanda-dowans.html' title='TANESCO IMEVUNA ILICHOPANDA DOWANS'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-8168691027956118984</id><published>2011-10-01T11:06:00.003+03:00</published><updated>2011-10-01T11:12:47.443+03:00</updated><title type='text'>RAIS KIKWETE TANGAZA VITA  DHIDI YA UGONJWA HUU</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-Zv95MiBMH4M/TobLbFdbbII/AAAAAAAAAkQ/k_5pI48O4ds/s1600/katabazi.picha%2Brasta.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 113px; height: 150px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-Zv95MiBMH4M/TobLbFdbbII/AAAAAAAAAkQ/k_5pI48O4ds/s320/katabazi.picha%2Brasta.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5658433648020122754" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JUMATATU ya wiki hii mimi na mwandishi mwenzangu wa habari za mahakamani Regina Kumba(Habari Leo), tulikwenda Wodi ya watoto wenye maradhi ya vichwa vikubwa vilivyojaa maji kitaalamu unajulikana kama Hydrocethalus  katika  Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwaajili ya kumjulia hali mwanataaluma mwenzetu(jina naliifadhi) ambaye mtoto wake mchanga amelazwa katika wodi hiyo akisumbuliwa na maradhi hayo.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulipofika hapo tulimkuta mwanataaluma mwenzetu akiwa na mama yake mzazi na mtoto wake ambaye tayari ameishafanyiwa upasuaji wakiendelea kumuuguza kichanga hicho. Tuliwajulia hali na kuwafariji na kwakweli walishukuru madaktari na wauguzi wa hospitali hiyo wanajitahidi kadri ya uwezo wao kutoa matibabu mazuri kwa watoto waliolazwa wodi hapo kwaajili ya matibabu.Nifarijika sana na kauli hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia nilishuhudia nje ya wodi hiyo ndugu na jamaa hasa wanawake wakiwa wamekaa chini ya miti na watoto wao wenye maradhi yao wakipunga upepo na kubadilishana mawazo na ndugu na jamaa zao waliofika hapo kwaajili ya kuwajulia hali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia kwa macho yangu niliwashuhudia watoto zaidi ya saba ambao wanasumbuliwa na maradhi hayo wakiwa wamepakatwa na wazazi wao na watoto wengine wakiwa wamekarishwa kwenye baiskeli za walemavu wakipunga upepo na kunywa vinywaji baridi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niwe muwazi baada ya kuishuhudia hali hiyo kwa macho, nilijisikia uchungu, mwili ulisisimka, nikakosa raha  na nikajiuliza swali moja moyoni , hivi wale watoto wamekosa nini kwa mungu?Lakini nikaishia kwakumaliza kwa kujibu mwenyewe kimoyo moyo kuwa yote hayo yanayowapata watoto hao ni mipango ya mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatizo hilo lilinilazimu kuwasiliana na baadhi ya madaktari kuwauliza chanzo hasa cha tatizo hilo ni nini lakini ili kama wazazi wakiwa wajawazito au watoto waliozaliwa wakiwa wazima lakini baada ya muda wakaja kupata tatizo hilo, wachukua hatua gani za taadhari ili waweze kujiepusha na janga hilo, kwa kweli madaktari hao wanne walishindwa kunipatia jibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi kutokana na kushuhudia hali hiyo nikiwa kama mama, mwanahabari nimelazimika kuandika mtazamo huu kuiamasisha serikali, sekta binafsi na sisi waandishi wa habari na wanajamii wengine kila mmoja kwa nafasi yake kuona wakati umefika sasa kwa taifa letu kuanza vita ya kuutokomeza ugonjwa huo ambao unawasumbua  watoto wengi wasiyokuwa na hatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii walifanikiwa kusaka fedha  za miradi waliyoibuni ya kutokomeza ugonjwa wa ukimwi na wakaupa kauli mbiu isemayo ‘Tanzania bila ukimwi inawezekana’, mradi wa kutokomeza maralia  ambapo  kaya nyingi zilipewa vyandarua kwaajili ya kuzuia mbu wasiwaambukie maralia, mradi wa afya ya uzazi salama kati ya mama na mtoto na miradi mingine mingi tu ambayo ilipata mwitikio mkubwa na jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tena kupitia mradi wa kampeni ya afya ya uzazi salama  kutoka kwa mama na mtoto imesababisha taasisi mbili za nchini Marekani wiki iliyopita kumtunukia tuzo mbili kwa mpigo rais Jakaya Kikwete tuzo kwa kazi nzuri ya kusimamia kampeni hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na situ serikali imekuwa ikiendesha kampeni kama hizo za kutokomeza magonjwa kadhaa, pia taasisi nyingine za kiraia nazo zimekuwa zikipambanua kuyapiga vita baadhi ya maradhi kama Saratani ya matiti kwa wakina mama na kweli kampeni hizo zimekuwa zikifanikiwa kwasababu ya wasamalia wema kujitokeza kuchangia fedha katika miradi hiyo na hatimaye waathirika wa maradhi hao wanafuatwa walipo na kupatiwa tiba.Napongeza katika hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kuhusu ugonjwa huo wa watoto kujaa vichwa maji,kimsingi tukubaliane kuwa jamii yetu ya Tanzania, bado hatutaki kutambua ugonjwa huu kadri siku zinavyozidi kwenda idadi ya watoto wanaopata tatizo hilo wanaongeza, na si viongozi wa kitaifa, dini, kijamii wala sisi vyombo vya habari hatujajitokeza adharani kupaza sauti au kutoa misaada ya kuwezeshwa kupanuliwa kwa wodi au kujengwa hospitali maalum kwaajili ya watoto wenye matatizo hayo au Taifa kuamua kufanya kampeni ya ama ya kuutokomeza au kuuzuia ugonjwa huu usiwapate watoto wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo maana nasema ushawishi ule ule uliotumiwa na serikali ya Kikwete kuomba fedha kwa  wafadhili au kuchukua fedha kwenye bajeti ya serikali na fedha hizo wakaziingiza kwenye kampeni zile na kwa kiasi Fulani zikafanikiwa, basi tunataka kuona sasa ushawishi huo huo wa kiongozi wetu wanchi pamoja na serikali yake wakiutumia kwaajili kuamasisha jamii kuukataa ugonjwa huo kwamba kwa kila mzazi anapona mtoto wake anaanza kunyemelewa na maradhi hayo ya kujaa maji amkimbize haraka hospitali, pia madaktari waliobobea katika ugonjwa huo  wawezeshwe ili waweze kupewa fursa ya kutoa elimu kwa umma  kuhusu ugonjwa huo kupitia vyombo vya habari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimemuomba rais Kikwete na serikali yake atumie ushawishi wake wa kuanza mikakati ya kuupiga vita ugonjwa huo kwasababu naamimi akifika katika ile wodi ya wototo wanaosumbuliwa na maradhi hayo na akafanikiwa kuwaona watoto wale naamini kabla ya kuondoka madarakani mwaka 2015, atatumia fursa alizonazo kuakikisha nguvu  za kitaalamu, madawa, ujenzi  wa wodi katika za watoto wenye maradhi kama hayo katika hospitali  zenye hadhi ya mikoa  hapa nchini zitajengwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama  serikali yetu imeweza kuelekeza nguvu zake na kuomba misaada kwenye taasisi za kimataifa kwaajili ya waathirika wa ukimwi na ikafanikiwa kupata misaada ya ujenzi wa wodi maalum za wagonjwa hao na matabibu wakapelekwa kuudhulia kozi mbalimbali  kwaajili ya kuwahudumia wagonjwa wa ukimwi, basi ni wazi serikali yetu ikiamua kulivalia njuga ugonjwa huo wa watoto wenye vichwa vikubwa vinavyojaa maji ambao mtaani wanauita ‘mabichwa maji’haishindwi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili nisianze kuamini kwamba katika miradi ile ya maralia, ukimwi, Kifua Kikuu, Saratani ambazo bado mnaendeleza kampeni zake kuwa mnafaidika binafsi, naomba uzalendo na shauku ile iliyowasukuma kuanzisha miradi hiyo, sasa muielekeze kwakuanza kusaka fedha kwaajili ya kuanzisha kampeni ya kuupunguza au kuutokomeza ugonjwa huo wa  Hydrocethalus.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kuitimia moyo serikali yetu sasa ione haja ya kuanzisha kampeni ya kutoa elimu kuhusu ugonjwa huo ili kama unaepukika watu wauepuke, kuutokomeza ugonjwa huo ambao ni wazi kabisa kwanjia moja au nyingine nao unachangia umaskini ndani ya familia ya watu ambao wanamtoto anayesumbuliwa na tatizo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;0716 -774494&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Oktoba mosi mwaka 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-8168691027956118984?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/8168691027956118984/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=8168691027956118984' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8168691027956118984'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8168691027956118984'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/10/rais-kikwete-tangaza-vita-dhidi-ya.html' title='RAIS KIKWETE TANGAZA VITA  DHIDI YA UGONJWA HUU'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-Zv95MiBMH4M/TobLbFdbbII/AAAAAAAAAkQ/k_5pI48O4ds/s72-c/katabazi.picha%2Brasta.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1285697321368964416</id><published>2011-09-29T19:40:00.003+03:00</published><updated>2011-09-29T19:55:02.959+03:00</updated><title type='text'>KESI YA SIMU YA LIYUMBA YAKWAMA</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-guayGhkRnts/ToSi3UOuDTI/AAAAAAAAAkI/xfa8I8TRK9w/s1600/liyumba.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 168px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-guayGhkRnts/ToSi3UOuDTI/AAAAAAAAAkI/xfa8I8TRK9w/s320/liyumba.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5657826103091137842" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kukutwa na simu ya mkononi gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu(BoT), Amatus Liyumba(63) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ulishindwa kutimiza ahadi yake kumsomea maelezo ya awali(PH) mshtakiwa huyo kwa madai kuwa wamegundua  mapungufu kwenye ushahidi uliopo kwenye jalada la kesi hiyo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yalielezwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Stewart  Sanga  na wakili wa serikali Ladslaus  Komanya na Cecilia  Mkonongo  ambapo walianza kwa kuikumbusha mahakama kuwa kesi hiyo jana ilikuja kwaajili  ya upande wa Jamhuri kumsomea mshtakiwa huyo maelezo ya awali lakini kutokana na sababu hiyo wakashindwa  kuandaa maelezo ya kesi hiyo kwasababu wamegundua mapungufu kwenye ushahidi uliokuwa umekusanywa na polisi kwenye jalada la kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa sababu hiyo, tunaiomba mahakama hii iiarishe kesi  na tunaomba tupewe wiki mbili kuanzia leo tutakuwa tumerekebisha mapungufu hayo baada ya wiki mbili tutakuwa tayari tumeishakamilisha …kwahiyo leo tumeshindwa kumsomea maelezo ya awali Liyumba kwa sababu ya mapungufu hayo ambayo yamesababisha tushindwe kuandaa maelezo ya kesi ambayo tungekuwa tumeyaandaa ndiyo tungemsomea leo”alisema wakili Komanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kumaliza kutoa sababu hiyo wakili huyo wa serikali, wakili wa utetezi Majura Magafu anayesaidiwa na  Hudson Ndusyepo na Onesmo Kyauke alidai kimsingi  sababu zilizotolewa na wakili huyo wa Jamhuri hazina mantiki  kwani Septemba 8 mwaka huu,siku ambayo ndiyo kesi hiyo ilifunguliwa mahakamani hapo, Wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda alimsomea mashtaka mshtakiwa na kudai kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika  na akaomba apangiwe tarehe ya jana kwaajili ya kuja kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa huyo  hivyo hiyo sababu ya eti wamegundua ushahidi uliokusanywa kwenye jalada la kesi una mapungufu,walipaswa waiseme sababu hiyo siku ile waliyojigamba kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mheshimiwa hakimu kama utakumbuka hata siku ya kwanza kesi hii ilipofunguliwa ni sisi upande wa utetezi ndiyo tuliusaidia upande wa Jamhuri kuwaonyesha kuwa hati yao ina mapungufu  ya kisheria hadi wewe hakimu siku hiyo hiyo ukatoa amri ya kuutaka upande wa Jamhuri uende ukaifanyie marekebisho hati yao mashitaka na wakaenda kuifanyia marekebisho na saa chache walivyorudi wakadai upelelezi umekamilika .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sasa sisi upande wa utetezi tunaona hizo wiki mbili walizoomba ni ndogo, tunaomba mahakama iwapatie muda wa mwezi mmoja ili kama wanaenda kumpikia kesi mpya Liyumba waende kuipika kabisa  ila tunaomba Jamhuri ifahamu kuwa tayari sisi upande wa Jamhuri tumeishawasilisha kwa maandishi mahakamani hapa  taarifa ya kuwasilisha pingamizi la awali na upande wa Jamhuri tumeishawapatia nakala ya pingamizi hilo na  tunaiomba mahakama hii siku kesi hii itakapokuja kwaajili ya usikilizwaji wa awali basi siku hiyo hiyo ndiyo pingamizi letu nalo lisikilizwe” alidai wakili Magafu kwa sauti ya juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Ndusyepo alieleza pingamizi hilo la awali waliloliwasilisha kwa uongozi wa mahakama hiyo, ni wanadai kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo  na kwamba sababu zote watazitoe siku hiyo ya pingamizi litakapokuja kwaajili ya kuanza kusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Mkazi Sanga alisema amesikiliza hoja za pande zote mbili amekubaliana nazo na kwamba  anaiarisha kesi hiyo hadi Septemba 28 mwaka huu, ambapo siku hiyo upande wa Jamhuri itakuja kwaajili ya kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa huyo na pingamizi hilo la upande wa utetezi litasikilizwa na mahakama hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Septemba 23  mwaka huu, Liyumba alitoka gerezani la Ukonga  jijini Dar es Salaam, alikokuwa akiishi baada ya kumaliza kutumikia  adhabu yake  ya kifungo  cha miaka miwili gerezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Septemba 8 mwaka huu,  kwa mara nyingine tena Liyumba alifikishwa  mbele ya hakimu Sanga akikabiliwa na kosa la kukutwa na kitu kilichokatazwa  gerezani  chini ya kifungu cha 86 (1,2) cha Sheria ya Magereza kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Kaganda alidai kuwa Liyumba ambaye wakati huo alikuwa ni mfungwa  mwenye Na.303/2010, Julai  mwaka huu, ndani ya gereza la Ukonga,  alikutwa na simu ya Nokia Na.1280 nyeusi iliyokuwa na laini  yenye Na. 0653-004662 na IMEI Na. 356273/04/276170/3 ambayo  alikuwa aikiitumia kufanyia mawasiliano binafsi  wakati ni kinyume cha sheria. Hata hivyo  alipata dhamana baada ya kujidhamini kwa bondi ya Sh 50,000. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Desemba mwaka 2010 , Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Emilian Mushi alitupilia mbali rufaa iliyokatwa na Liyumba iliyokuwa ikiiipinga hukumu ya Mahakama ya Kisutu iliyomuhukumu kwenda jela miaka miwili baada ya kumtia hatiani kwa kosa moja la matumuzi mabaya ya ofisi ya umma ambapo jaji huyo alisema akubaliana na hukumu ya Kisutu kwani ilikuwa sahihi kisheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mei 23 mwaka 2010, Mahakimu wawili wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Lameck Mlacha na Benedict Mwingwa walitoa hukumu ya kumtia hatiani Liyumba kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi ya umma, na hakimu mkazi mmoja Edson Mkasimongwa ambaye ndiye aliyekuwa akiliongoza jopo hilo kusikiliza kesi hiyo alitofautiana na mahakimu hao wawili na akatoa hukumu ya peke yake ambayo ilimwachiria huru mshtakiwa huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo hukumu iliyotolewa na mahakimu hao wawili ndiyo ilibaki kuwa ni hukumu ya mahakama ya Kisutu na hukumu ya Hakimu Mkasimongwa ikabaki kwenye kumbukumbu za mahakama na haikutumika kwaajili ya kumpatia adhabu Liyumba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Septemba 30 mwaka 2011.&lt;br /&gt;  &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1285697321368964416?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1285697321368964416/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1285697321368964416' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1285697321368964416'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1285697321368964416'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/kesi-ya-simu-ya-liyumba-yakwama.html' title='KESI YA SIMU YA LIYUMBA YAKWAMA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-guayGhkRnts/ToSi3UOuDTI/AAAAAAAAAkI/xfa8I8TRK9w/s72-c/liyumba.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-8313213569098218035</id><published>2011-09-29T11:32:00.004+03:00</published><updated>2011-09-29T11:46:27.479+03:00</updated><title type='text'>DOWANS YAIBWAGA TANESCO</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-eEFlmI35-yI/ToQwOqb-lrI/AAAAAAAAAkA/HpwhITOR1OA/s1600/fungamtama.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 259px; height: 194px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-eEFlmI35-yI/ToQwOqb-lrI/AAAAAAAAAkA/HpwhITOR1OA/s320/fungamtama.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5657700060352124594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;*ZITTO:NI MATOKEO YA SIASA CHAFU&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JITIHADA za wanasiasa na wanaharakati kulizuia Shirika la Ugavi wa Umeme (TANESCO), kulipa tuzo ya mabilioni ya shilingi kwa Kampuni ya kufua umeme, Dowans Tanzania, zimegonga mwamba baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kutoa uamuzi wa kuiruhusu Dowans kusajili tuzo hiyo ili ilipwe.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuzo hiyo ya dola za Marekani milioni 65 (takriban sh bilioni 94) iliyotolewa Novemba 15, mwaka jana (2010); na Januari 25, mwaka huu, Dowans iliwasilisha ombi lake la kutaka Mahakama Kuu ya Tanzania iisajili tuzo waliyopewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa migogoro ya Kibiashara (ICC).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ICC iliitia hatiani TANESCO kwa kosa la kuvunja mkataba na Dowans, na ikaiamuru iilipe tuzo hiyo na riba ya asilimia 7.5.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini wanaharakati kadhaa na wanasiasa hapa nchini wamekuwa wakipinga uamuzi huo wa ICC mahakamani. Jana Jaji Emilian Mushi alisema Mahakamu Kuu ya Tanzania haina mamlaka ya kutengua hukumu ya ICC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo ya wanasiasa na wanaharakati kuchelewesha malipo ya tuzo hiyo itaifanya TANESCO kulipa kiasi kikubwa zaidi kwani riba imekuwa inaongezeka. Hadi jana Dowans ilikuwa inastahili kulipwa sh bilioni 113 badala ya sh bilioni 94 kutokana na ucheleweshwaji huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hukumu hiyo aliyoanza kuisoma kuanzia saa 3:31 asubuhi hadi 6:53 mchana, Jaji Mushi alisema kesi hiyo ya madai Na. 8/2011 iliyofunguliwa na TANESCO dhidi Dowans Tanzania, ilikuja kwake ili atoe hukumu ya ama kuiruhusu Dowans kusajili au kutokusajili tuzo hiyo. TANESCO katika pingamizi lake iliwasilisha sababu 12 za kupinga tuzo hiyo isisajiliwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alianza kwa kusema maneno yafuatayo: &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwanza, naishukuru TANESCO na zile taasisi nne za wanaharakati waliokuwa wakiongozwa na LHRC; walijitokeza mahakamani hapa kupinga tuzo ya Dowans isisajiliwe na kutumia muda wao kuchambua kesi mbalimbali na kuandaa mapingamizi yao, ambayo hata hivyo niliyatupilia mbali. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Pili, nafahamu fika kuwa kesi hii ya Dowans ina sayansi nyingi sana za kisiasa, hivyo napenda niwafahamishe mapema kabisa kabla ya kuendelea kuwa hukumu yangu nitakayotoa leo haijatoa nafasi kwa sayansi hizo za kisiasa, kwa sababu imezingatia misingi ya sheria na haki.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alisema miongoni mwa sababu zilizowasilishwa na mlalamikaji (TANESCO) za kutaka tuzo ya Dowans isisajiliwe ni pamoja na majaji wa Mahakama ya ICC kuipendelea Dowans, hukumu yake kuwa na upungufu wa kisheria, hukumu kutofuata sera na maslahi ya taifa na Mahakama Kuu ya Tanzania kutokuwa na mamlaka ya kuisajili tuzo hiyo. Dowans ilikuwa inatetewa na Wakili Kennedy Fungamtama, huku TANESCO ikitetewa na Kampuni ya uwakili ya Rex Attorney. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali iliwakilishwa na Naibu Mwanasheria Mkuu, George Masaju na Dk. Hawa Senare. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alisema baada ya kuipitia hukumu ya ICC amebaini kuwa haina makosa ya kisheria kama anavyodai mlalamikaji, na ndani ya hukumu hiyo alikuta kiambatanisho ambacho ni mkataba kati ya TANESCO na Dowans uliosainiwa Juni 23, mwaka 2006; na kufafanua kwamba pande zote mbili katika mkataba huo zilikubaliana kwamba uamuzi wa ICC ndiyo utakuwa wa mwisho, na utazibana pande zote mbili na hautaweza kukatiwa rufaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji huyo alisema kifungu cha 14 (f) cha mkataba huo kinasomeka hivi: “The parties waive any right to challenge or contest the validity or enforceability of this arbitration agreement or any arbitration proceeding or award brought in conformity with this section.” Kwa tafsiri nyepesi, Fungamtama alisema kifungu hicho kinasema, TANESCO na Dowans katika mkataba wao walikubaliana kwa maandishi kuweka kando haki za kupinga au kuhoji mwenendo na tuzo zitakazotolewa na baraza la usuluhishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji akasema: “Sasa kwa mujibu wa mkataba huo ni wazi kuwa TANESCO na Dowans walikubaliana kuwa endapo utatokea mgogoro baina yao utapaswa upelekwe ICC tu na ICC itakapotoa hukumu ya mgogoro baina yao, pande hizo mbili hazitakuwa na mamlaka ya kuikatia rufaa hukumu hiyo ya ICC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa makubaliano hayo ya pande hizo mbili ndani ya mkataba huo wa POA ambao TANESCO hadi wanakwenda kujitetea ICC hawakuwa wameuvunja huo mkataba wa POA na kupitia mkataba huo ICC pia iliutumia kutolea uamuzi wake…ni wazi kabisa mahakama hii inakubaliana na hukumu ya ICC kuwa ilikuwa ni hukumu ya haki na iliyofuata sheria na ilizingatia pia masilahi ya sera za Tanzania na kwakuwa pande hizo zilikubaliana hukumu ya ICC hawataweza kuikatia rufaa basi ndivyo hivyo hivyo mahakama hii ya Tanzania haiwezi kutoa uamuzi wa kutengua hukumu hiyo iliyotolewa na ICC.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema anakubaliana na hoja ya wakili wa Dowans, Fungamtama, kuwa kifungu cha 3 cha jedwali la 3 katika Sheria ya Usuluhishi ya Tanzania, Sura ya 15 ya mwaka 2002 ambacho kinasomeka hivi: Kwa tafsiri rahisi, kifungu hicho utaona tayari nchi imejifunga mikono na utekelezaji wa hukumu zinazotolewa na mahakama za kimataifa kwa sababu ni nchi yetu yenyewe imeridhia sheria na mikataba ya kimataifa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alisema kitendo cha TANESCO kuwasilisha ombi mbele yake likidai kuwa Mahakama Kuu haina mamlaka ya kusajili tuzo hiyo, halina ukweli na kwamba mwanasheria aliyefahamu vema Sheria ya Usuluhishi ya Tanzania ya mwaka 2002 Sura ya 15, Mikataba ya Kimataifa na Sheria ya Makosa ya Madai ya mwaka 2002 ataona wazi kuwa Mahakama Kuu ya Tanzania imepewa mamlaka ya kusajili tuzo hapa nchini zinazotolewa na Mahakama za Kimataifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji alisema hoja ya TANESCO kuwa mwenendo wa hukumu ya ICC ulikuwa na mapungufu ya kisheria, haikupaswa kupelekwa mbele yake kwani Tanasco walikuwa ni wadaiwa katika kesi iliyofunguliwa ICC na walipaswa kuiwasilisha hoja hiyo ICC kabla ya mahakama hiyo ya kimataifa kutoa hukumu yake na kuikumbusha TANESCO kuwa ni yenyewe iliyoingia mkataba wa POA na Dowans ambao kwa ridhaa yao waliridhia kuwa hukumu itakayotolewa na ICC haitakatiwa rufaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na makubaliano ya pande hizo mbili, Jaji Mushi aliishangaa TANESCO kwa hatua yake ya kuwasilisha hoja hiyo ambayo ni wazi ilipaswa iwasilishwe kwenye mashauri ambayo yamekatiwa rufaa na kwamba shauri lilokuwa mbele yake halikuwa shauri la rufaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Jaji Mushi alisema anatupilia mbali hoja ya TANESCO iliyodai kuwa hukumu ya ICC haikuzingatia sera za Tanzania kwa maelezo kuwa haina msingi na baada ya kuisoma hukumu ya ICC amebaini kuwa hukumu ya majaji wa ICC ilizingatia sera za Tanzania na kuitaka TANESCO itambue kuwa nchi yetu imeridhia mikataba mbalimbali ya kimataifa na mahakama zote kote duniani zinatoa maamuzi yake kwa kufuata ushahidi uliowasilishwa mbele yake, sheria na haki na siyo vinginevyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alitupilia mbali hoja nyingine ya TANESCO iliyokuwa ikidai kuwa aliyekuwa mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, ndiye aliyekuwa akimiliki Dowans iliyokiuka taratibu za kupata tenda ya kuzalisha umeme kwa madai kuwa kesi iliyokuwa imefunguliwa ICC na Dowans dhidi ya TANESCO ilikuwa haihusiani kabisa na nani mmiliki wake, na akakubaliana na hukumu hiyo kuwa Rostam Aziz hausiki kwa namna yoyote ile kwenye kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alikubali ombi la Dowans la kusajili tuzo waliyopewa na ICC isajiliwe na mahakama ya Tanzania. aidha, jaji aliiamuru TANESCO kulipa gharama zote za uendeshaji wa kesi hiyo, na Dowans ianze taratibu za kukazia hukumu ya Mahakama ya ICC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Septemba 6 mwaka huu, Jaji Emilian Mushi alitoa uamuzi wa kuyatupilia mbali maombi ya wanaharakati waliokuwa wakiongozwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) ambao waliiomba mahakama hiyo ikatae kusajili tuzo iliyotolewa na Mahakama ya ICC kwa kampuni ya Dowans Holdings SA(Costa Rica) na Dowans Tanzania kwa sababu wanaharakati hao hawana haki wala mamlaka ya kupinga hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika uamuzi wake huo, Jaji Mushi alisema anakubaliana na pingamizi la wakili wa Dowans, Fungamtama kwamba walalamikaji hao hawakuwa wahusika kwenye kesi ya Dowans dhidi ya TANESCO iliyomalizika ICC, hivyo ni wazi hawakuwa na mamlaka ya kufungua kesi ya kupinga utekelezaji wa hukumu hiyo katika Mahakama Kuu ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Katiba na sheria za maamuzi mbalimbali ya mahakama yapo wazi na yametamka wazi kuwa mashauri ya madai yanayohusu nchi mwenye dhamana ya ulinzi na kufungua kesi za aina hiyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hivyo natupilia mbali ombi la wanaharakati hao ambao walidai kuwa wao ni watanzania wenye haki na wajibu wa kulinda mali za watanzania ndiyo maana wakafungua kesi hii ya kutaka Tuzo ya Dowans isisajiliwe. Kwa msingi huo, nalitupilia mbali ombi lao,” alisema Jaji Mushi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama ya ICC ilitoa hukumu ya kesi ya Dowans dhidi ya TANESCO, Novemba 15 mwaka jana baada ya kampuni hiyo kuishinda TANESCO katika kesi yake ya kudai fidia ya kuvunjiwa mkataba iliyokuwa imefunguliwa rasmi Novemba 20 mwaka 2008 na kupewa Na. 15947/VRO ambapo Mahakama ya ICC iliitia hatiani TANESCO kwa kosa la kuvunja mkataba na Dowans na ikaiamuru iilipe fidia ya dola za Marekani milioni 65 na riba ya asilimia 7.5.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hukumu hiyo ya ICC, muda mfupi baada ya kutolewa ilizusha malumbano makali baina ya wananchi, wanaisiasa, mawaziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kutoa kauli zinazopishana huku wachache wakitaka serikali iilipe Dowans na wengine wakisema kulipwa fidia kampuni hiyo ni ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta, ndiye aliyekuwa akinukuliwa na vyombo vya habari kuhamasisha umma na serikali isiilipe Dowans. Kwa upande mwingine, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Fredrick Werema na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, walitaka Dowans ilipwe, hali iliyosababisha baadhi ya wananchi kuwashambulia kwa maneno makali wale wote waliokuwa wakitaka Dowans isajiliwe kisha ilipwe tuzo yao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Malumbano hayo nje ya mahakama yalisababisha pia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuunda Kamati ya Wabunge kujadili hukumu hiyo na kisha wabunge watatu wa chama hicho, George Simbachawe (Kibakwe), Mbunge wa Karagwe, Gosbert Blandes, Mbunge wa Viti Maalumu, Angellah Kairuki na raia wengine wanne kufungua kesi ya Kikatiba Na. 5/2011 dhidi ya Waziri wa Nishati na Madini, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na TANESCO ambayo imeanza kusikilizwa mbele ya jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Njegafibili Mwaikugile, Agustine Shangwa na Projest Rugazia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa hati ya madai, walalamikaji hao wanaiomba mahakama itoe amri ya kuizuia serikali isiilipe Kampuni ya Dowans na endapo malipo hayo yatafanywa kwa kampuni hiyo ni wazi wadaiwa hao ambao wanaiwakilisha serikali kwa ujumla watakuwa wamevunja ibara 26(2),27(1) na 27 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ambazo mahakama hiyo ina wajibu wa kuilinda ibara hizo zisivunjwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;ZITTO KABWE ATOA MAONI:&lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameupongeza uamuzi huo wa Mahakama Kuu akidai kuwa ni malipo ya maamuzi yanayotokana na siasa za kipuuzi na uzalendo pofu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya simu Kabwe alisema tumeliingiza taifa hasara kubwa kwa sababu ya uongozi dhaifu na siasa za makundi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Alisema TANESCO hawataweza kulipa fidia hiyo kwani walilazimishwa kuingia mkataba na kisha kuuvunja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabwe alisema Kamati ya Mashirika ya Umma imeishaagiza kwamba deni hilo lisitokee katika hesabu za Shirika la TANESCO bali Serikali Kuu na kwamba hata Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amegoma kusaini hesabu za TANESCO za mwaka 2010 mpaka serikali ikubali kubeba mzigo huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Septemba 29 mwaka 2011.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-8313213569098218035?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/8313213569098218035/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=8313213569098218035' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8313213569098218035'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/8313213569098218035'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/dowans-yaibwaga-tanesco.html' title='DOWANS YAIBWAGA TANESCO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-eEFlmI35-yI/ToQwOqb-lrI/AAAAAAAAAkA/HpwhITOR1OA/s72-c/fungamtama.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-806800754609150764</id><published>2011-09-28T16:32:00.001+03:00</published><updated>2011-09-28T16:34:36.729+03:00</updated><title type='text'>MNYIKA AMTOA JASHO NG'UMBI KORTINI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;MAHAKAMA Kuu  Kanda ya Dar es Salaam, imeyakataa maombi ya aliyekuwa mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo(CCM), Hawa Ng’umbi yaliyokuwa yanaiomba mahakama itamke kuwa mbunge wa sasa wa jimbo hilo John Mnyika(Chadema) alijihusisha  na vitendo vya uvunjifu wa sheria za uchaguzi wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na uamuzi huo, Jaji Msuya alisema anamshangaa mlalamikaji(Ng’umbi)  kwa kushindwa kwake kuyaondoa mapungufu hayo mapema hadi muda mrefu umepita sasa ndiyo mahakama inakuja kuyabaini mapungufu hayo jana. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji Upendo Msuya wakati akitoa uamuzi wa kesi hiyo ya uchaguzi  ambapo pia alisema anatupilia mbali ombi la mlalamikaji lilokuwa likiomba mahakama hiyo itamke kuwa matokeo yaliyomtangaza Mnyika ambaye jana alikuwepo mahakamani hapo  kuwa mbunge hayakuwa halali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia Jaji Msuya alitupilia mbali pingamizi la Ng’umbi liloomba mahakama itoe amri ya kumzuia Mnyika kushiriki uchaguzi wowote na lile liloomba  mahakama hiyo itoe  amri ya kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa huru na haki katika jimbo la Ubungo kwasababu amebaini maombi hayo hayanamsingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Msuya alisema amefikia uamuzi huo baada ya kukubaliana na hoja za wakili wa Mnyika (Edson Mbogoro) kuwa hati ya madai iliyofanyiwa marekebisho ina makosa kwani kuna baadhi ya haya hazifafanui tuhuma anazotuhumiwa na mdaiwa  hali inayosababisha yeye kushindwa kuaanda utetezi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili, nakubaliana na hoja za wakili wa mdaiwa(Mbogoro) kuwa hati ya madai haifafanui kwa uwazi tuhuma zinazomkabili mdaiwa hali ambayo imesababisha mahakama hii ione hati hiyo ina mapufungu na inaamuru hati hiyo iondolewe na ikafanyiwe marekebisho na kisha irejeshwe mahakamani hapa ndani ya siku 14 kuanzia leo”alisema Jaji Msuya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha Jaji Msuya alimtaka Ng’umbi aakikishe hati mpya atakayokuwa ameifanyia marekebisho aakishe  anaifafanua kwa mapana tuhuma anayodai kuwa Tume ya Uchaguzi(NEC) ilishindwa kutimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kuwa akikishe analeta ufafanuzi kuhusu tuhuma alizomtuhumu Mnyika kuwa alitumia mikutano yake ya kampeni kumchafua kuwa yeye ni fisadi kwani aliuza nyumba za Jumuiya ya Umoja wa Wanawake(UWT).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Jaji Msuya alimwamuru Ng’umbi awasilishe hati mpya iliyofanyiwa marekebisho mahakamani hapo Oktoba 11 , na wadaiwa wajibu Oktoba 25 na kesi hiyo itakuja kwaajili ya kutajwa Novemba mosi mwaka huu.&lt;br /&gt;Agosti mwaka huu, wakili wa Mbogoro aliwasilisha  mapingamizi yake yanayotaka mahakama hiyo iifute hati hiyo kwasababu katika marekebisho ya hati hiyo, mlalamikaji ameendelea kujitoa malalamiko ya jumla  yenye utata, yasiyojibika  na yenye mkanganyiko  kisheria hali inayofanya mdaiwa hawezi kujitetea dhidi ya madai yanayomkabili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa madai katika kesi ya msingi ,Ng’umbi aliyoifungua Novemba mwaka jana,anadai  Mnyika na au wasaidizi na mashabiki wake walifanya vitendo  ambavyo ni ukiukwaji wa sheria kwa makusudi kwa madhumuni  ya kushinda uchaguzi na kwamba kaisis wa Kanisa Katoliki Saranga Oktoba 3 mwaka jana aliwashawishi wahumini  kupigia kura Mnyika  na kuwataka wasipigie kura CCM kwa kuwa ni chama cha Mafisadi na Jaji Msuya alifuta dai hilo kwasababu haliwataji kwa majina viongozi wa makanisa hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwamba Mnyika mara kadhaa alitumia  barua ya TANROADS, ya Machi 30 mwaka 2010 iliyotumwa kwa CCM kuwadanganya  wakazi  wa Kimara kwamba nyumba zao zitabolewa kama watamchagua Ng’umbi  na kwamba Mnyika aliwanunulia pombe na kuwalipa sh 20,000 wananchi wa Kimara  Saranga hili wampigie kura.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Septemba 28 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-806800754609150764?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/806800754609150764/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=806800754609150764' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/806800754609150764'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/806800754609150764'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/mnyika-amtoa-jasho-ngumbi-kortini.html' title='MNYIKA AMTOA JASHO NG&apos;UMBI KORTINI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-6929146659525566446</id><published>2011-09-28T16:29:00.001+03:00</published><updated>2011-09-28T16:32:02.580+03:00</updated><title type='text'>AMATUS LIYUMBA ATOKA GEREZANI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness  Katabazi&lt;br /&gt;HATIMAYE aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba (63) ametoka jela katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam , alikokuwa akiishi baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka miwili gerezani.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika toka ndani ya familia ya Liyumba, zililiambia Tanzania Daima jana kuwa Liyumba alitoka gerezani hapo jana saa 3:30 asubuhi bila ya kuwepo kwa vikwazo vyovyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyanzo hivyo ambavyo havikutaka kutaja majina yao gazetini kwa madai kuwa wao siyo wasemaji wa familia Liyumba, vilisema kuwa ndugu zake wachache walifika saa mbili asubuhi katika gereza la Ukonga kwaajili ya kumchukua ndugu yao na ilipofika saa 3:30 asubuhi, uongozi wa Gereza la Ukonga ulimruhusu Liyumba kutoka gerezani hapo baada ya mfungwa huyo na uongozi huo wa gereza kukamilisha taratibu zote za kumuachilia huru mfungwa anayekuwa amemaliza muda wake wa kutumikia kifungo na wakafanikiwa kuondoka naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tunamshukuru mungu ndugu yetu Liyumba leo katoka gerezani baada ya kumaliza kutumikia kifungo cha miaka miwili jela na hivi tunayofuraha kwani amerudi uraiani kurejea na familia yake…kwakweli tunafuraha na yote yaliyompata ndugu yetu tunamwachia mungu”kilisema chanzo hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo juhudi za gazeti hili za kumpata Liyumba ili azungumzie kumalizika kwa adhabu yake, zilishindikana kufuatia ndugu zake wa karibu kueleza kuwa hivi sasa ndugu yao hayupo tayari kuzungumza na vyombo vya habari kwani anaitaji kupumzika pamoja na familia yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Septemba 8 mwaka huu, Liyumba anayetetewa na mawakili wa kujitegemea Hudson Ndusyepo na Onesmo Kyauke alifikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Stewart Sanga  akikabiliwa na kesi mpya ya kukutwa simu gerezani hata hivyo alipata dhamana baada ya kujidhamini kwa bondi ya Sh 50,000. Na wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda alidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo mpya umekamilika na kwamba Septemba 29 mwaka huu, watakuja kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa huyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Desemba mwaka jana , Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Emilian Mushi alitupilia mbali rufaa iliyokatwa na Liyumba iliyokuwa ikiiipinga hukumu ya Mahakama ya Kisutu iliyomuhukumu kwenda jela miaka miwili baada ya kumtia hatiani  kwa kosa moja la matumuzi mabaya ya ofisi ya umma  ambapo jaji huyo alisema akubaliana na hukumu ya Kisutu kwani ilikuwa sahihi kisheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mei 23 mwaka 2010, Mahakimu wawili wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Lameck Mlacha na Benedict Mwingwa walitoa hukumu ya kumtia hatiani Liyumba kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi ya umma, na hakimu mkazi mmoja Edson Mkasimongwa  ambaye ndiye aliyekuwa akiliongoza jopo hilo kusikiliza kesi hiyo alitofautiana na mahakimu hao wawili na akatoa hukumu ya peke yake ambayo ilimwachiria huru mshtakiwa huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo hukumu iliyotolewa na mahakimu hao wawili ndiyo ilibaki kuwa ni hukumu ya mahakama ya Kisutu na hukumu ya Hakimu Mkasimongwa  ikabaki kwenye kumbukumbu za mahakama na haikutumika kwaajili ya kumpatia adhabu Liyumba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi, Septemba 24 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-6929146659525566446?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/6929146659525566446/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=6929146659525566446' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6929146659525566446'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/6929146659525566446'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/amatus-liyumba-atoka-gerezani.html' title='AMATUS LIYUMBA ATOKA GEREZANI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-3219201504157929417</id><published>2011-09-28T16:26:00.002+03:00</published><updated>2011-09-28T16:29:12.487+03:00</updated><title type='text'>JAJI AKWAMISHA UAMUZI KESI YA MBATI VS MDEE</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam John Utamwa , jana ilishindwa kutoa uamuzi wa ama hati ya madai katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea Ubunge(NCCR-Mageuzi) dhidi ya mbunge Jimbo hilo Halima Mdee(Chadema) ifanyiwe marekebisho au  la kwa maelezo kuwa bado hajakamilisha kuandaa uamuzi huo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Mbatia, Mohamed Tibanyendera aliikumbusha mahakama hiyo kuwa jana  kesi hiyo ilikuja kwaajili ya mahakama kutoa uamuzi huo na kwamba pande zote mbili zipo tayari kwaajili ya kupokea uamuzi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo kwa upande wake Jaji Utamwa alisema hataweza kutoa uamuzi huo jana kwasababu bado hajamaliza kuandaa uamuzi huo hivyo akaiarisha kesi hiyo ya uchaguzi hadi Septemba 29 mwaka huu, ambapo atakuja kuitolea uamuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo ya mahakama kutaka kutoa uamuzi kuhusu hati hiyo ya madai, kunafuatia pingamizi lilowasilishwa na wakili wa Mdee, Edson Mbogoro la kuiomba mahakama hiyo imwamuru mlalamikaji aifanyie marekebisho hati yake ya madai na kuyaondoa baadhi ya madai ambayo Mbatia anadai kuwa katika mikutano ya kampeni Mdee alimwita yeye kuwa ni Fataki anayefanya mapenzi na watoto wa shule, kibaraka wa CCM na kila wiki analipwa sh milioni 80 na CCM hivyo kuwataka wapiga kura wa jimbo la Kawe wasimchague Mbatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mdee anadai tuhuma hizo zilizoelekezwa kwake na Mbatia ndani ya hati hiyo ya madai zinamletea kinamkera na hataweza kuziandalia utetetezi na kusisitiza kwa kuomba mahakama hiyo imwamuru Mbatia aondee hizo tuhuma kwenye hiyo hati ya madai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Novemba 25 mwaka 2010 Mbatia alifungua kesi ya kupinga matokeo ya ubunge wa jimbo hilo ambayo yalimtangaza Halima Mdee(CHADEMA) kuwa ndiye aliyeshinda na ataliongoza jimbo hilo kwa kipindi cha miaka mitano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Chazeti la Tanzania Daima la Septemba 22 mwaka 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-3219201504157929417?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/3219201504157929417/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=3219201504157929417' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3219201504157929417'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/3219201504157929417'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/jaji-akwamisha-uamuzi-kesi-ya-mbati-vs.html' title='JAJI AKWAMISHA UAMUZI KESI YA MBATI VS MDEE'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7147025703741228495</id><published>2011-09-28T16:24:00.001+03:00</published><updated>2011-09-28T16:25:49.414+03:00</updated><title type='text'>HATI YA KESI YA NG'UMBI INA MAKOSA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Jimbo la Ubunge(CCM), Hawa Ng’umbi ambaye ni ndiye mlalamikaji katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 yaliyomtangaza John Mnyika kuwa mbunge wa jimbo hilo, amekiri kuwa hati yake ya madai aliyoifanyia marekebisho ina makosa ya kisheria na anaiomba mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imruhusu aende kuifanyia marekebisho.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ng’umbi aliyasema hayo kupitia majimbu yake yaliyowasilishwa kwaniaba yake na wakili wake Issa Maige kwa Jaji Upendo Msuya  ambapo alidai anakubaliana na baadhi ya mapingamizi aliyowekewa na Mnyika yanayotaka hati hiyo ifutwe kwasababu ina makosa ya kisheria yanayosababisha wadaiwa ambao ni Mnyika, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo hilo washindwe kuandaa utetezi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hati hiyo ya madai iliyofanyiwa marekebisho na Ng’umbi iliwasilishwa mahakamani hapo kufuatia amri ya Jaji Msuya aliyoitoa Julai 18 mwaka huu, ya kuleta mabadiliko hayo baada ya lalamiko la mlalamikaji la awali kupingwa na Mnyika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuwasilishwa kwa hati hiyo iliyofanyiwa marekebisho, Mnyika anayetetewa na wakili Edson Mbogoro naye aliwasilishwa mapingamizi yake yanayotaka mahakama hiyo iifute hati hiyo kwasababu katika marekebisho ya hati hiyo, mlalamikaji ameendelea kujitoa malalamiko ya jumla  yenye utata, yasiyojibika  na yenye mkanganyiko  kisheria hali inayofanya mdaiwa hawezi kujitetea dhidi ya madai yanayomkabili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Katika hati yake ya madai, mlalamikiaji anadai hukiukukwaji wa sheria, Kanuni na taratibu za uchaguzi  ulifanywa  na mimi wakati wa kampeni za uchaguzi ,pamoja na mambo mengine …kwa makosa hayo makubwa ya kisheria ambayo ni mdaiwa mwenyewe amekiri kuwa hati yake inadosari tunaomba mahakama hii itoea amri ya kuifuta hati hiyo  ili mahakama iendelee na taratibu nyingine”alidai Mnyika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa madai katika kesi ya msingi ,Ng’umbi aliyoifungua Novemba mwaka jana,anadai  Mnyika na au wasaidizi na mashabiki wake walifanya vitendo  ambavyo ni ukiukwaji wa sheria kwa makusudi kwa madhumuni  ya kushinda uchaguzi na kwamba kaisis wa Kanisa Katoliki Saranga Oktoba 3 mwaka jana aliwashawishi wahumini  kupigia kura Mnyikka  na kuwataka wasipigie kura CCM kwa kuwa ni chama cha Mafisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwamba Mnyika mara kadhaa alitumia  barua ya TANROADS, ya Machi 30 mwaka 2010 iliyotumwa kwa CCM kuwadanganya  wakazi  wa KImara kwamba nyumba zao zitabolewa kama watamchagua Ng’umbi  na kwamba Mnyika aliwanunulia pombe na kuwalipa sh 20,000 wananchi wa Kimara  Saranga hili wampigie kura.&lt;br /&gt;Hata hivyo Jaji Msuya alisema uamuzi wa maombi hayo atautoa Septemba 27 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumatano, Septemba 21 mwaka 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7147025703741228495?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7147025703741228495/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7147025703741228495' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7147025703741228495'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7147025703741228495'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/hati-ya-kesi-ya-ngumbi-ina-makosa.html' title='HATI YA KESI YA NG&apos;UMBI INA MAKOSA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1042721379801011695</id><published>2011-09-28T16:16:00.002+03:00</published><updated>2011-09-28T16:20:18.164+03:00</updated><title type='text'>KESI YA 'HASSANOO' YAPIGWA KALENDA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;KESI ya kula njama na kuiba tani 26 za Shaba  zenye thamani  ya Sh milioni 400 mali ya kampuni ya Liberty Express Ltd ya Dar es Salaam inayomkabili Mwenyekiti wa  Chama cha soka Mkoa wa Pwani (COREFA) Hassan Othman ‘Hassanoo’ na wenzake watatu,jana ilitajwa na kuairishwa mahakamani hapo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa Serikali  Komanya  mbele ya Hakimu Mkazi Victoria Nongwa alieleza mahakama kuwa kesi hiyo jana ilikuja kwaajili ya kutajwa na kwamba upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kwamba wanaomba iairishwe hadi tarehe nyingine ili siku hiyo waje kuona kama upelelezi umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ombi hilo lilikubaliwa na Hakimu Nongwa ambaye aliairisha hadi Oktoba 12 mwaka huu,ambapo mahakama itakuja kuona kama upelelezi wa shauri hilo kama umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Septemba  2 mwaka huu, mawakili wa serikali Andrew Rugarabamu na Aneth Kaganda,walidai mbele mahakamani hapo kuwa Agosti 26, mwaka huu ,maeneo ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam, washitakiwa walikula njama na kuiba mali hiyo kwenye gari namba T 821 BCL iliyokuwa inasafirishwa kwenda Zambia. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Rugarabamu alidai katika kosa la nne, washitakiwa hao wanadaiwa kupokea tani hizo za shaba kinyume cha sheria huku wakijua wazi mali hiyo iliibwa&lt;br /&gt;Mbali na Hassanor washtakiwa wengine ni  Wambura Kisiroti (32), Najim Msenga (50) na Salim Shekibula (29) ambao wanatetewa na wakili wa kujitegemea Majura Magafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanz:Gazeti la Tanzania Daima la Septemba 21 mwaka 2011.                                                                                                                               &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1042721379801011695?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1042721379801011695/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1042721379801011695' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1042721379801011695'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1042721379801011695'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/kesi-ya-hassanoo-yapigwa-kalenda.html' title='KESI YA &apos;HASSANOO&apos; YAPIGWA KALENDA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-7267651438771520121</id><published>2011-09-15T12:16:00.004+03:00</published><updated>2011-09-15T12:25:13.915+03:00</updated><title type='text'>TANESCO MSIKATE UMEME MAHOSPITALINI</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-ilHzrvT8vJg/TnHEWWnmoJI/AAAAAAAAAj4/Mf29Ksgq6EE/s1600/katabazi.picha%2Brasta.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 113px; height: 150px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-ilHzrvT8vJg/TnHEWWnmoJI/AAAAAAAAAj4/Mf29Ksgq6EE/s320/katabazi.picha%2Brasta.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5652514895634538642" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;KWA TAKRIBANI miaka mitano sasa Watanzania waliobahatika kupata nishati ya umeme wamekuwa wakikabiliwa na ukosefu wa umeme wa uhakika.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo imekuwa ikisababisha baadhi ya watu kukosa ajira, uzalishaji viwandani kupungua, wagonjwa kupoteza maisha mahospitalini kwaajili ya ukosefu wa uhakika wa nishati hiyo na hata uchumi wa nchi yetu kusuasua kutokana nauzalishaji viwandani kupungua kutokana na ukosefu wa umeme.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ijumaa iliyopita mwanangu Queen ‘Malkia’ (3) alilazwa kwa siku moja  katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam, ambapo alililazwa kwa siku moja baada ya Daktari wa watoto Dk. Zubeda Kange na Dk. Saumu Mweli kumgundua anasumbuliwa na ugonjwa  Tonsilite.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza nawashukuru  madaktari na wauguzi wote wa wodi ya watoto katika Hospitali hiyo ya Jeshi Lugalo kwani  walijitahidi kadri ya uwezo wao kuakikisha wanampatia huduma bora mwanangu na watoto wengine ambao walikuwa wamelazwa katika wodi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu asubuhi siku hiyo ndani ya hospitali hiyo kulikuwa na umeme lakini ilipofika saa 10-moja jioni umeme ulikatika hali iliyosababisha baadhi ya wananchi waliokuwa wakifika hospitalini hapo na kuonana na madaktari ambapo waliandikiwa vipo mbalimbali ili waende mahabahari kwaajili ya kupimwa na kugundulika na maradhi gani, lakini wagonjwa hao walipokuwa wakifika kwenye mahabara hiyo muda huo kwaajili ya kuchukuliwa vipimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wa mahabara walishindwa kuwachukua vipimo kwasababu ya umeme kukatika ndani ya hospitali hiyo.Kutokana na joto lilokuwa ndani ya wodi ya watato mimi na mwanangu tulitoka ndani ya wodi hiyo na kuketi kwenye viti ambavyo vimetazamana na mahabara hiyo na niliweza kuwashuhudia zaidi wananchi zaidi ya sita katika kipindi hicho wakifika katika mahabara hiyo kwaajili ya kuchukuliwa vipimo wakati umeme umekatika waliamua kwenda hospitali nyingine kupima na wengine waliamua kupima vipimo hapo na kuviacha mahabara ili umeme ukirudi muda usiofahamika warudi kuvichukua vipimo hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo ilinisikitisha sana licha halikuwa limeniathiri mimi binafsi.Kwani miongoni mwa watu hao waliokuwa wamefika katika kuchukuliwa vipimo walikuwa wanamaumivu makali katika mihili yao na walikuwa wakiitaji wapatiwe matibabu haraka lakini ndiyo ilikuwa haiwezekani kumpatia mgonjwa matibabu bila kujua amegunduliwa na vipimo vya mahabara kuwa anasumbuliwa na maradhi gani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niliishia kujiuuliza hivi kweli Shirika la Umeme(TANESCO) limeshindwa kabisa kuketi chini na kuorodhesha hospitali zote nchini kuwawekea ‘line’maalum ambazo zitafanya umeme katika hospitali hizo usikatike?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama ni Tanesco hii hii imeweza kutenganisha ‘line’ katika baadhi ya makazi watumishi wa Idara nyeti hayakatwi umeme, ni  kwanini Tanesco hii inashindwa kuunganisha line  maalum katika mahospitali yetu ili yasiwe yanakatiwa umeme?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi Tanesco inajipendekeza nini kwa makazi hayo ya wafanyakazi wa idara nyeti za serikali kutowakatia umeme, halafu inaona fahari kukata umeme katika mahospitali ambayo wananchi wengine maskini tunaosumbuliwa na maradhi tunakwenda mahospitalini kwaajili ya kupata tiba halafu kisha tunajikuta tunakosa tiba kwa wakati eti kwasababu ya mgao wa umeme hadi mahospitalini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ikiwa ni mahospitali haya haya ya serikali kila kukicha yamekuwa yakikabiliwa na upungufu wa madawa, ufinyu wa vitanda vya kulazia wagonjwa, leo hii serikali hii kupitia Tanesco inaendelea kuzitumbukiza kwenye shimo hospitali hizo ambazo zinatumiwa na wananchi, kuziingiza kwenye mgao wa umeme ambao unasababisha hospitali hizo kuingia gharama ya kununua mafuta kila wakati kwaajili kuweka kwenye majenereta?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfano mzuri ni pale wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mwananyamala, wanawake wanaosubiri kwenda chumba maalum kwaajili ya kujifungua wengine ujikuta wakilala chini kutokana na uhaba wa vitanda.Sasa katika hali kama hiyo ya msongamano ya wanawake wajawazito kulala chini, ongezea ukosefu wa umeme iwe mchana au usiku, hivi katika hali ya kawaida huyo mama mjazito anakuwa na hali gani ya kiafya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na mbaya zaidi Tanesco wakatapo umeme wala hawatoi taarifa kwamba dakika chache zijazo wanakata umeme, wanajikatia tu umeme wanavyojisikia wao na wakati wanakata kwa mtindo huo wa kutotoa taarifa mapema, kuna wananchi wenzetu wengine wanakuwa ndani ya vyumba vya upasuaji kwaajili ya kufanyiwa upasuaji na madaktari na wakati huo uenda majenereta ya baadhi ya mahospitali yanakuwa hayana mafuta, au yanahitilafu za ghafla hivyo uwezekano wa wananchi wenzetu kupoteza maisha wakiwa kwenye vyumba vya upasuaji kutokana na ukatikaji wa ovyo wa umeme ni mkubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imebidi tukubali kwamba Tanesco ndiyo mungu wa nishati ya  umeme hapa Tanzania,kwani hadi sasa hajapatikana kiongozi mwenye maono na mwenye maamuzi ya kuweza kutupatia mbadala wa Tanesco ndiyo maana Tanesco inajiona ni mungu wa nishati ya Umeme.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini  katika hili la Tanesco kukata umeme katika mahospitali tunaomba likome mara moja, tunaamini wataalamu wale wale wa Tanesco waliweza kutenganisha line zinazokwenda kwenye makazi ya wafanyakazi wa idara nyeti za serikali ambazo hazikatwi umeme, pia ni wataalamu hao hao wanaweza sasa kutumia taaluma yao  kutenganisha line zinazokwenda kwenye mahospitali ili umeme usiwe unakatika mahospitalini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama Tanesco ipo kwaajili ya kulitumikia taifa hili bila ubagudhi wa makundi fulani, naamini wanaweza kuweka mpango mkakati wa kuakisha mahospitali yote hayakatiwi umeme, na hili linawezekana isipokuwa tu bado hatujapata viongozi wenye uchungu wa kwale wananchi wa taifa hili hasa wale wenye hali ya chini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika&lt;br /&gt;0716 774494&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Septemba 16 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-7267651438771520121?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/7267651438771520121/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=7267651438771520121' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7267651438771520121'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/7267651438771520121'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/tanesco-msikate-umeme-mahospitalini.html' title='TANESCO MSIKATE UMEME MAHOSPITALINI'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-ilHzrvT8vJg/TnHEWWnmoJI/AAAAAAAAAj4/Mf29Ksgq6EE/s72-c/katabazi.picha%2Brasta.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-5953623150156995158</id><published>2011-09-15T12:14:00.003+03:00</published><updated>2011-09-15T12:15:59.826+03:00</updated><title type='text'>MASAWE,BENDERA WAPONGEZWA NA WADAU WA MICHEZO</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;CLUB ya Tanzania Youth Athletics  yenye maskani yake Holili Mkoani Kilimanjaro imempongeza Mkuu mkoa wa Kagera Mteule, Kanali Mstaafu, Fabiani Masawe kwa kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete juzi kushika wadhifa huo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na gazeti hilo kwa njia ya simu jana Mwenyekiti wa Club hiyo, Dominic Rwezaula na Nahodha wa timu Nelson Brighton  alisema kwaniaba ya klabu yake ambayo imeanzishwa kwaajili ya kuinua vipaji vya riadha mkoa wa Kagera anampongeza Masawe ambaye awali alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe kwa kuteuliwa kwake juzi na Rais Kikwete kuwa mkuu wa Mkoa wa Kagera.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Pongezi hizi zinatokana na Masawe mwenye kuwa ni mdau sana wa michezo na kuamini club ya riadha iliyoanzishwa itaendelezwa na kuibua vipaji vyavya riadha mkoa wa Kagera na tunaimani chini ya wadhifa wake mpya wa ukuu wa mkoa huo ,ataiendeleza michezo sambamba na kuwaunganisha wakazi wa mkoa huo kwaajili ya kujiletea maendeleo”alisema Rwezaula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati huo huo wadau mbalimbali wamepongeza hatua ya Rais Kikwete kumteua  Joel Bendera kuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kwasababu Bendera naye ni mdau wa sekta ya michezo hapa nchini na waimani kuwa atakapokuwa Morogoro pia ataweza kukukuza michezo katika mikoa hiyo na kwamba wamefurahishwa kwa hatua hiyo ya rais Kikwete kuwateua wakuu wa mikoa ambao ni wadau wakubwa wa michezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Septemba 16 mwaka 2011.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-5953623150156995158?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/5953623150156995158/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=5953623150156995158' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5953623150156995158'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/5953623150156995158'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/masawebendera-wapongezwa-na-wadau-wa.html' title='MASAWE,BENDERA WAPONGEZWA NA WADAU WA MICHEZO'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-4899292921483687141</id><published>2011-09-15T11:59:00.002+03:00</published><updated>2011-09-15T12:02:32.783+03:00</updated><title type='text'>JAJI LYIMO AAGWA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Fakihi Jundu amesema kuwa mchango wa kitalaamu uliotolewa na Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu, Vicent Lyimo utabaki kuwa alama na kumbumbuku katika mhimili wa mahakama nchini.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jundu aliyasema hayo jana wakati akiongoza sherehe za kitaaluma za kumuaga jaji Lyimo ambaye amestaafu kazi ya ujaji kwa mujibu wa Katiba Septemba 12 mwaka huu ambapo alisema mchango wake katika kuamua kesi mbalimbali alizoziamua na shughuli za kiutawala alizozifanya ,mhimili huo utaendelea kuziheshimu na kuzithamini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Jaji Lyimo leo mahakama kuu inakufanyia sherehe ya kitaaluma ya kukuaga baada ya wewe kutimiza umri wa kustaafu kwa mujibu wa Katiba ya nchini, hivyo kwaniaba ya Mahakama Kuu ya Tanzania napenda kuchukua fursa hii kukutakia afya na maisha mema wewe na familia yako katika maisha yako mapya ya kustaafu …na tunakukuakikishia kuwa yale yote mazuri  uliyoyatenda katika ukiwa mtumishi wa umma tuyaenzi”alisema Jaji Kiongozi Jundu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake Jaji mstaafu Lyimo akisoma hotuba yake alianza kwakumshukuru Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Tanga, Mussa Kipenga  ambapo alisema alipoteuliwa kuwa jaji alipangiwa kituo cha kazi cha Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba ambapo huko alikutana na Jaji Mussa Kipenga ambaye ndiye alikuwa Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo ambapo alisema ushirikiano mkubwa wa kikao na Jaji Mussa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Lyimo alisema hadi amefikia muda wa kustaafu, ataendelea kumheshimu na kumshukuru Jaji Kipenka ambaye kwa sasa ndiye Jaji Mfawidhi Kanda ya Tanga na kuongeza kuwa utendaji kazi wake  mzuri ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na ushirikiano wa kikazi alioupata awali alipoteliwa kuwa jaji toka kwa Jaji Kipenda na familia yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha alisema bado mhimili wa mahakama unakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo zinatakiwa zitatuliwe licha ya Tume ya Kurekebisha Sheria imekuwa ikifanyakazi nzuri ya kutoa misaada ya vitendea kazi, mafunzo kwa mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Alhamisi, Septemba 15 mwaka 2011.  &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-4899292921483687141?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/4899292921483687141/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=4899292921483687141' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4899292921483687141'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/4899292921483687141'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/jaji-lyimo-aagwa.html' title='JAJI LYIMO AAGWA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-1122653056188742888</id><published>2011-09-08T19:21:00.004+03:00</published><updated>2011-09-08T19:44:59.809+03:00</updated><title type='text'>LIYUMBA ASHITAKIWA TENA</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-Lqg9Hsbxc1M/Tmjw3bk87KI/AAAAAAAAAjw/gPW4YIlLgLI/s1600/liyumba.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 118px; height: 92px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-Lqg9Hsbxc1M/Tmjw3bk87KI/AAAAAAAAAjw/gPW4YIlLgLI/s320/liyumba.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5650030567622503586" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;ALIEYUKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania, Amatus Liyumba (63), ambaye Septemba 23 mwaka huu anamaliza kutumikia adhabu ya kifungu cha miaka miwili jela, jana alijikuta akipandishwa tena katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam kwa kesi mpya ya kukutwa na simu gerezani.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo baada ya kuingizwa mahakamani  saa 7:20 na wakili wa serikali, Elizabeth Kaganda, kumsomea shtaka moja linalomkabili, mawakili wake, Majura Magafu na Hudson Ndusyepo, waliibuka na hoja ya kutaka mteja wao asijibu chochote baada ya kusomewa shtaka hilo kwa hati yenye dosari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo, ilisababisha Hakimu Mkazi, Stewart Sanga, anayesikiliza kesi hiyo kukubaliana na mawakili wa utetezi na akalazimika kutoa amri ya kuutaka upande wa Jamhuri uende ukaifanyie  marekebisho hati hiyo na  kisha muda kidogo baadaye urudi mahakamani hapo ikiwa na hati mpya ambayo imefanyiwa marekebisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili wa serikali, Kaganda, akimsomea shtaka Liyumba kwa kutumia hati yenye dosari, alidai anakabiliwa na kosa la kukutwa na kitu kilichokatazwa gerezani  chini ya kifungu cha 86 cha Sheria ya Magereza kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka  2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alidai kuwa  Liyumba ambaye ni mfungwa mwenye namba 303/2010, Julai, mwaka huu, ndani ya gereza la  Ukonga, alikamatwa na simu aina ya Nokia Na.1280 nyeusi iliyokuwa na laini yenye namba  0653- 004662 na IMEI Na. 356273/04/276170/3 ambayo alikuwa akiitumia kwa ajili ya kufanya mawasiliano binafsi wakati ni kinyume cha sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya Kaganda kumaliza kusoma shtaka hilo, wakili Magafu aliinuka na kudai kuwa hawaoni sababu ya mteja wao kukana au kukubali shtaka hilo kwa sababu tayari hati ya mashtaka ina makosa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Magafu alidai kwa mujibu wa kifungu cha 86 cha Sheria ya Magereza, kifungu hicho kina vifungu vidogo vitatu yaani kifungu cha 86 (1, 2, 3) na kwamba hawaelewi Jamhuri inamshtaki mteja wao kwa kifungu cha 86 (1, 2, 3) au kipi na kuongeza kuwa ili mshtakiwa aweze kujibu mashtaka yanayomkabili ni lazima mashtaka yaliyo kwenye hati ya mashtaka yaeleweke yamefunguliwa chini ya kifungu kipi na si kama hivi ilivyofanya Jamhuri  kwenye kesi hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo aliiomba Jamhuri ikaifanyie  marekebisho hati hiyo ili mteja wake aweze kujibu kuhusu shtaka analoshtakiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akijibu hoja hiyo wakili wa serikali, Kaganda, alikiri kuwa ni kweli hati ya mashtaka inamshtaki kwa kifungu cha 86 cha Sheria ya Magereza lakini wanamaanisha kuwa anashtakiwa kwa kifungu cha 86 (1, 2, 3) cha Sheria ya Magereza na kuiomba hati hiyo ya mashtaka isomeke kuwa anashtakiwa chini ya kifungu hicho na vifungu vyote vidogo vilivyopo ndani ya kifungu hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja hiyo ilimlazimu tena wakili Magafu kudai kuwa wanasikitishwa na hoja hiyo ya Jamhuri kwani kifungu cha 86 (2) cha sheria kinatoa maana ya vitu vinavyokatazwa gerezani lakini hakiundi kosa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na pia kifungu cha 86 (3) kinataja vitu vilivyokatazwa gerezani na kinatoa mamlaka kwa Jeshi la Magereza kutaifisha kitu walichokikamata ndani ya gereza ambacho kimekatazwa na sheria hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tulitegemea tuusaidie upande wa Jamhuri kuweka vizuri hati yao ya mashtaka  lakini ndiyo kwanza  wanaenda njia potofu…sasa sisi tunasema haya mashtaka yameletwa kimakosa hapa mahakamani na mteja wetu hapaswi kujibu chochote hivyo tunaomba hati hiyo itupwe ili Jamhuri iende ikaifanyie marekebisho; mahakama hii ina mamlaka ya kuifuta hati hiyo au kuiamuru Jamhuri iende ikaifanyie marekebisho,” alidai Magafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufuatia malumbano hayo, Hakimu Sanga alisoma kifungu cha 86 cha Sheria ya Magereza, mstari kwa mstari, hivyo kukubaliana na hoja za wakili wa utetezi Magafu kuwa hati hiyo ina makosa na hivyo akauamuru upande wa Jamhuri uiondoe hati hiyo na iende ikaifanyiwe marekebisho na baada ya muda mfupi iletwe hati iliyofanyiwa marekebisho mahakamani hapo na kumsomea upya mashtaka mshtakiwa huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upande wa Jamhuri ulitii amri hiyo na ilipofika saa 8:22 mchana, Wakili Kaganda alirejea na kuiambia mahakama kuwa tayari ameishaifanyia marekebisho hati hiyo na kwamba hivi sasa itasomeka kuwa Liyumba anashtakiwa chini ya Kifungu cha 86 (1,2) cha sheria hiyo, ambapo  mshtakiwa alikana shtaka huku wakili wa serikali akidai upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Magafu alidai kuwa kifungu cha 148 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2002  hakiikatazi mahakama kutoa dhamana kwa mfungwa anayekabiliwa na kesi mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa kwa vile Septemba 23, mteja wao anamaliza kutumikia adhabu yake gerezani na kwamba kosa linalomkabili hivi sasa lina dhamana, wanaiomba mahakama impatie dhamana, ombi ambalo halikupingwa na wakili wa serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Sanga alikubaliana na ombi hilo ambapo alisema ili mshtakiwa huyo apate dhamana, atatakiwa asaini bondi ya sh 50,000 na awe na mdhamini mmoja wa kuaminika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Liyumba alitimiza mashtari hayo na kupatiwa dhamana kwa kesi hiyo lakini hata hivyo alirudi gerezani kwa ajili ya kutumia adhabu ya kesi ya matumuzi mabaya ya madaraka aliyohukumiwa nayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu aliahirisha kesi hiyo mpya  hadi Septemba 29, mwaka huu, ambapo itakuja kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa maelezo ya awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mei 24 mwaka jana, Mahakama ya Hakimu Mkazi ilimtia hatiani kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi ya umma na kumhukumu kwenda jela miaka miwili lakini hata hivyo, Liyumba hakuridhika na hukumu hiyo akakata rufaa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Mbele ya Jaji Mushi, Desemba mwaka jana alitupilia mbali rufaa ya Liyumba kwa maelezo kuwa hukumu ya Mahakama ya Kisutu ilikuwa sahihi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Ijumaa, Septemba 9 mwaka 2011.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4469495351474662702-1122653056188742888?l=katabazihappy.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://katabazihappy.blogspot.com/feeds/1122653056188742888/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4469495351474662702&amp;postID=1122653056188742888' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1122653056188742888'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4469495351474662702/posts/default/1122653056188742888'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://katabazihappy.blogspot.com/2011/09/liyumba-ashitakiwa-tena.html' title='LIYUMBA ASHITAKIWA TENA'/><author><name>Happiness Katabazi</name><uri>http://www.blogger.com/profile/04437274858753024061</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='32' src='http://3.bp.blogspot.com/-uwAEAdQA8Qo/Tpqn1z8nvlI/AAAAAAAAAkc/u2zr0OF1J3o/s220/happy.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-Lqg9Hsbxc1M/Tmjw3bk87KI/AAAAAAAAAjw/gPW4YIlLgLI/s72-c/liyumba.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4469495351474662702.post-8994298007741027245</id><published>2011-09-08T19:06:00.002+03:00</published><updated>2011-09-08T19:17:14.998+03:00</updated><title type='text'>DOWANS HAIKAMATIKI</title><content type='html'>&lt;strong&gt;*Mahakama yatupa maombi yawanaharakati&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeyafukuza maombi  ya wanaharakati waliokuwa wakiongozwa na  Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) ambao yaliyokuwa yakiomba mahakama hiyo ikatee kusajili tuzo   iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa migogoro ya Kibiashara(ICC) kwa kampuni ya  Dowans Holdings SA(Costa Rica) na na wenzake kwasababu wanaharakati hao hawana haki wala mamlaka ya kupinga hilo.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na hilo,  Jaji Emilian Mushi ambaye ndiye ametoa uamuzi huo wa kesi hiyo ya madai Na.8/2011iliyofunguliwa na LHRC, Chama cha Wanasheria wa Mazingira(LEAT),Kampuni ya Sikika Limited(SCL), na mwandishi wa habari Timothy Kahoho wanaotetewa na Dk.Sengondo Mvungi dhidi ya Dowans Tanzania,Dowans Holdings SA(costa rica) na Tanesco alisema  uamuzi wa kusajiliwa au kutosajiliwa kwa  tuzo ya Dowans ataitoa baadaye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alianza kwa kuimbusha mahakama na kuwataka waandishi wa habari ufahamu kuwa uamuzi alioutoa jana ni mapingamizi ya awali yaliyowasilishwa na wakili wa wadaiwa Kennedy Fungamtama dhidi ya walalamikaji(Wanaharakati) na kwamba mahakama hiyo imefikia uamuzi wa kukubalina na mapingamizi ya wakili huyo kuwa walalamikaji hawana haki ya kisheria ya kufungua kesi ya kupinga tuzo hizo isisajiliwe kwa niaba ya Watanzania na kwamba wanaharakati hao wameshindwa kuonyesha ushahidi kuwa wao wanahaki,maslahi kwaniaba ya umma ya kufungua kesi kupinga tuzo hiyo isisajiliwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaji Mushi alisema pia anakubaliana na pingamizi la pili la wakili wa Dowans, Fungamtama kwamba walalamikaji hao hawakuwa wahusika kwenye kesi ya Dowans dhidi ya Tanesco iliyomalizika kwenye mahakama ya kimatiafa ya ICC hivyo kwakuwa hawakuwa wahusika katika kesi hiyo ni wazi hakuwa na mamlaka ya kufungua kesi ya kupinga utekelezaji wa hukumu ya ICC katika Mahakama Kuu ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Katiba na Sheria za maamuzi mbalimbali ya mahakama yapo wazi nayametamka wazi kuwa mashauri ya madai yanayohusu nchi mwenye dhamana ya ulinzi  na kufungua kesi za aina hiyo ni  ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, hivyo natupilia mbali ombi la wanaharakati hao ambao walidai kuwa wao ni watanzania wanahaki na wajibu wa kulinda mali za watanzania ndiyo maana wakafungua kesi hii ya kutaka Tuzo ya dowans isisajili, nalitupilia mbali ombi lao;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Pia natupilia mbali maombi ya waombaji ‘wanaharakati’ kwasababu hayo maombi ya uwakilishi yakufungua kesi hiyo  yameambatanishwa na mwenendo wa kesi iliyotolewa hukumu na mahakama ya kimataifa (ICC) na kwakushindwa kwao kafanya hivyo wakati Amri 1 Kanuni ya (8) ya Sheria ya Madai ya mwaka 2002 inawalazimisha wafanye hivyo, mahakama hii kwa mara nyingine inakubalina na pingamizi la wakili wa Dowans kuwa maombi hayo ya wanaharakati yanadosari ya kisheria na hivyo nayafukuza katika mahakama hii kwa gharama”alisema Jaji Mushi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sekunde chache baada ya Jaji  Mushi kumaliza kusoma uamuzi wake mwombaji wa nne, Kahoho aliamka kwenye kiti alichoketi na kusema kuwa hajaridhishwa na uamuzi huo na kwamba atakarufaa katika Mahakama ya Rufaa na alipomaliza kusema ma
