Header Ads

KIKWETE: TAIFA LIMETAMBUA MCHANGO WA BALOZI MAHALU




KIKWETE: TAIFA LIMETAMBUA MCHANGO WA BALOZI MAHALU  

RAIS Jakaya Kikwete akimkabidhi cheti cha heshima Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Bagamoyo(UB), Profesa Costa Ricky Mahalu,kwa kutambua mchango wa Mahalu  kwa taifa  katika Kutunga Katiba iliyopendekezwa , akiwa  Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba.
 Licha ya Mahalu kuwa mjumbe wa bunge hilo pia ndiye aliyekuwa Mwenyekiti  wa Kamati ya kutunga Kanuni zilizoliongoza Bunge kufanyakazi zake na pia Mahalu  alikuwa ni mjumbe wa  Kamati ya kuandika Katiba iliyopendekezwa na Bunge Hilo kuanzia Februali 18 hadi Oktoba 4 Mwaka 2014. 
Chanzo: Facebook: Happiness Katabazi (UB)

No comments:

Powered by Blogger.